![George Haule Profile](https://abs.twimg.com/sticky/default_profile_images/default_profile_x96.png)
George Haule
@GeorgeHaule14
Followers
138
Following
128
Statuses
2K
Joined May 2019
@Liberatus80 @SuluhuSamia Ndugu yangu Libe hyo ni sirari tu ilitakiwa na Njombe kwa Rose mayemba iwe hivyo kama enzi za Mh Mbowe na Lowassa
0
0
0
@saed_kubenea Sasa mzee kubenea hela za gazeti la mwanahalisi mapato yameshuka nn?, Ulivyohamia Nccr Mageuzi kwani wao na wewe nani anaufahamu?Wao wamesimamishwa tu na hawajatangaza kuhama kama vyeo na hela ni haki yao
0
0
1
@LuchioMbifile @godbless_lema Kiongozi anayejitambua huwezi kula matapishi yako,chama sio vizuri kicha ngiwe na mtu lazima kijitegemee na kubuni vyanzo na ruzuku nitashusha mpaka kata na kijiji na chama hiki kimeanza kuwa na rushwa au kupewa na Abdul na watu wameumizwa sana na chaguzi za kidaila
0
0
2
@Zacharia_Obada Hawa wapenda vyeo na majimboni hawa chagulika na kuwa ogopa vijana wenzio wa ccm kushindwa kupambana huko majimboni mf mzuri Mabula hapo Nyamagana na Waitara Tarime vijijini vijana hawa waliufyata ndio vijana hawa wawe viongozi wa leo na kesho kweli?ila kukichafua chama wee!
0
0
0
@MBISE255 @VitusNkuna Sio size yako achana na mtusi kwa mtu usiyefamfahamu ,karibu dogo nipo bongo sio nje
1
0
0
@MBISE255 @VitusNkuna Unamjua? ila pole kwa kuwa leader wako mwambie Njombe hawezi kupata hata ubalozi labda ujumbe wa kupewa au akalime palachichi
1
0
0
@ChiefLumanyika Nakubaliana na wewe ila kuna wajuwaji wachache watafuta vyeo kwenye chama hawakuelewa eti alikuja upinzani kuharibu na Dr slaa alikuwa anakubalika hivi? Na kumlaumu Mh Mbowe na haitatokea tena pongezi nyingi kwa Mh Mbowe ulifanya kazi inayotukuka duniani amen
0
0
0
@kashorgesh @mwaipungu24 Hilo ni doa kubwa sana ndani ya Chadema kukichafua chama,rushwa,na haya mambo yalikuwa ni ya kuongelea ndani, Lissu alikuwa anashinda hata asingeshinda nafac anayokubwa bila hata kuropoka,mf 2025 Njombe mkoa wote ccm wanashinda kilaini
0
0
0
@mwaipungu24 Nikiwa mm mwenye akili najiuzulu na kukisafisha chama mapema ili watu waendelee kuwa na imani nacho,ukiwa sikiliza wanachama wenye uchu na vyeo chama kinakufia na kubaki sehemu tu kama kule kwa mashemeji
0
0
2
@mdudenyagali @ngurumo Yupo sahihi uliofanyika Chadema ni utoto mkubwa sana unakichafua chama ili adui yako akupende eti kwa kusema ukweli wkt dola hamjapata kwa hawa ccm?, Mmewakoroga sana wapiga kura na wapenda upinzani,Bora mtoke mseme tulikosea!!
0
0
1
@msouth_Tupac Lkn sio vyama vya upinzani ambavyo vinatuhumiana kuwa vinatoa rushwa na wote wapo ndani ya uongozi na mtu anayeropoka hana ushahidi tutasubiri sana kuchukua nchi
0
0
0
@Liberatus80 Kuwarudisha watu ni ngumu au hawatawapigia kura wamekaa njiapanda kuwarudisha maana chama kinarushwa na maridhiano hapo ndio kazi ilipo ukiropoka ovyo ndio ilivyo
0
0
0
@JustineOctavian @Lumola_Steven Alisema maridhiano yasiyo na tija huko ni kuramba asali na alimsema Mh Mbowe sasa yeye kafanya nini tuache unafiki
0
0
1