![Zacharia Thomas Obad Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1626224015185682432/1WqnCz0b_x96.jpg)
Zacharia Thomas Obad
@Zacharia_Obada
Followers
7K
Following
12K
Statuses
2K
Katibu wa Chadema Kanda ya Victoria
Tanzania
Joined November 2014
Nimeshiriki mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe @HecheJohn Sirari. Mapokezi ni namna mojawapo ya kupewa kibari cha familia na jamiii inayokuzunguka kukabiliana na mapambano. Makamu Mwenyekiti amepewa kibari cha kupambana na Serikali ya CCM . #NOREFORMNOELECTION
3
35
254
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. @TunduALissu akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Mhe. @amanigolugwa leo tarehe 10.02.2025 wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake. #StrongerTogether
0
18
73
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa 10:00 jioni. Hotuba hiyo ataitolea Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam. Waandishi wote wa habari mnakaribishwa. #StrongerTogether
0
7
11
RT @Sativa255: Tarehe 15.2. IKUNGI ITASIMAMA. Home boy wenu anarudi nyumbani kama Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA. Atasindikizwa na WAFUASI n…
0
321
0
Baada ya home ground moto utawaka nchi nzima. Wanavictoria hii siyo ya kukosa. Twendeni kwa pamoja tukaheshimishe viwanja vya viongozi wetu. Tusipoe. Twendeni kwa Makamu @HecheJohn na kwa Mwenyekiti @TunduALissu
0
29
111
RT @Liberatus80: 1-2: Nimepata haya kutoka kwenye hotuba ya Mh. @TunduALissu leo: 1. Naomba mjaribu kukumbuka mara ya mwisho lini mlishuh…
0
115
0
Salamu za rambirambi kufatia vifo vya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari ya Businda wilayani Bukombe -Geita. @TunduALissu
@jjmnyika
@ortamisemitz
0
0
3
RT @jjmnyika: Kwa mujibu wa ratiba hii ya @bunge_tz hakuna muswada wowote wa sheria kwa ajili ya reforms zitakazowezesha kuwa na #UchaguziH…
0
420
0
Hongera sana Mhe Mwenyekiti wa Chama Taifa @TunduALissu kwa kuaminiwa na Mkutano Mkuu kuongoza mapambano yaliyopo na yaliyo mbele yetu. Kwa sababu umma ulikutaka wewe na wajumbe wametekeleza sasa ni wakati wa umma kuwa tayari kwa kazi ya uokozi wa nchi yetu.
1
20
90
Kaka @godbless_lema ni mwanachama sahihi wa kukitumikia chama chetu. Anakipenda na pale kinapokuwa kwenye hali ya hatari hukilinda. Hongera kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu. Ni matumaini ya wanachama na wananchi Mwenyekiti wa Chama Taifa @TunduALissu hajakosea
1
14
80