![Facts_Lover Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1788170094066966528/pYNwPggD_x96.jpg)
Facts_Lover
@FactloverG
Followers
83
Following
2K
Statuses
4K
Here for weird and Amazing facts | DM for business
New York, USA
Joined June 2023
@YusufJM01 @MAGITE3 @Am_Romanii @tuuphilbert @spana_Konki Nairobi kuwa hub ya investors haina uhusiano na land br, Pale ni issue za sheria nyingine kabisa, kodi etc, Kwa hio na NALA wameenda Kenya kisa land Act ? Hao weusi wa SA wafanye kazi wanunue hizo ardhi, waache kupenda vya bure
0
0
1
@YusufJM01 @MAGITE3 @Am_Romanii @tuuphilbert @spana_Konki Kama ndio mbongo wew na pesa yako tu kununua unapotaka, Unataka nunua kkoo sawa, unataka nunua Njombe sawa,
0
0
0
@TheBlackmkoloni @IAMartin_ Paye anakatwa, Sema inakatwa kwenye mshahara ila Posho haikatwi, According to @zittokabwe
1
1
1
@MAGITE3 @Am_Romanii @tuuphilbert @YusufJM01 @spana_Konki Ina mana nikiwa na hela nikitaka ardhi south Africa nakosa ?
1
0
0
@Am_Romanii @tuuphilbert @YusufJM01 @spana_Konki Hio ni sawa na kulalamika kwann majengo mengi kkoo ni wachaga, Hakuna aliekatazwa kununua ardhi SA, Ni vile wanataka blacks wagawiwe bure, kitu ambacho ni suicide kwa taifa hilo, Btw, SA itakuja kuwa failed state tu, hakuna kitu tena pale
1
0
0
@Nachukiasiasa @Roma_Mkatoliki Hio pesa ni nyingi sana hata kwa waUSA wenyewe, ni mshahara wa mwez, Ni kama 1M hiv ya kwetu huku
1
0
3
@laukipaji @TheRealEkiswaga Fuatilia kwanza nani mmiliki boss, Sometimes watu wanaachaga maeneo, Hata mm nina hio tabia 😂😂 unanunua eneo unakata hati miliki, unaliacha tu hata 20 years
1
0
0
@laukipaji @TheRealEkiswaga Nani alikuwa mmiliki? Kuna maeneo huku ya mzee mmoja, watu wanachezea mpira, wanaweka na magoli kabisa, ila ni kiwanja cha mtu na yeye kapiga kimya anadai wanamtunzia
0
0
0
@laukipaji @TheRealEkiswaga Swali ni je hayo ni maeneo ya uwanja from start? Isije kuwa kilikuwa ni kiwanja cha mtu sema kapiga kimya mkawa mnacheza mpira mkahisi ni chenu
1
0
0