Bernard Sacha Profile
Bernard Sacha

@BernardSacha1

Followers
26
Following
10K
Statuses
587

Zanzibar
Joined October 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@BernardSacha1
Bernard Sacha
16 hours
@ford_sony5 @lifeofmshaba Hujawazid mkuu, ww safar umeanzia karbu na tz umeende kiurefu wa nchi yako hadi chini, lkn congo hiyo njia ni cross section, yaan anaikata na kuifuata congo katikati wakat ww umeenda kiurefu wa bahari,
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
1 day
@shiggaJr Masai mnawatengaaaa, tena bado ya kutochamba, bado ya hawanaga vyoo, bado kutema mate popote hata km ni ikulu😂😂😂
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
1 day
@habib_nasra @Paullyker Oyaa weeee😂😂😂
0
0
1
@BernardSacha1
Bernard Sacha
1 day
@SaleheDulla @bantubikoI60519 @Jambotv_ Ki uhalisia ukiwa na bunduki kuna sehem za kumpiga mtu aanguke ili akamatwe ahojiwe Katumwa na nan? Huwez uwa mtu una bunduki yy ana panga na nondo, amejua kujilinda ila hawana mafunzo ya akili
1
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
1 day
@falsafa22_ @mshambuliaji Magu kakaa miaka zaid ya 5 madarakani, jamaa huu mwaka wake wa tau tu tena ni wa pili maana aliingia sep,mwishoni 2022, jamaa tusimfananishe magu,Magu bado sana kwa huyu jamaaa
0
0
1
@BernardSacha1
Bernard Sacha
2 days
@fumbokhanJr Tambua huyo anatafuta mchumba, sio mpenz, kuhusu mpenz yawezekana anao zaid ya wawili sema anatafuta mchumba hapo ndio hata ww fumbo had sasa hujachumbia
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
2 days
@nhekima @Phbhimself Wale hawakutaka,walihamishwa then huko ndio kuna mambo ya ushahid na kuanza kutoka,
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
2 days
@SaidMau85080092 @PolycarpMDM Ubakaji upo zanzibar wa watoto wadogo, mbaya zaid mnapenda kuwabaka wanaume kuliko wanawake, mnapenda kubaka watt kuliko watu wazma, pia mwari anabikra yake lkn nyuma kabomolewa
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
3 days
@JamiiForums Bora nyumba ya karibu, ina faida nying kuliko hasara, kuna mda wa kuwah kufika nyumban na kupumzika, utakuwa na mda mwing wa kuwa nyumban ni rahisi kufanya shughuli zingne za kuingiza kipato, huhitaj kuwah 4hrs before kwenda job, una mda wa kutosha kupumzka
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
3 days
@babalao__ Na viongoz wetu wamefyata mkia, yaan kimya kabsaaaaa naona Eto'o akichaguliwa labda atabadili hali ya hewa, jamaa yuko vzur sana
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
3 days
@its_pray_ @fatma_karume Kitumike afrika nzima, yaan iwe lugha ya afrika? Kwann? Kwasababu nchi nying afrika hazina lugha ya taifa ya kwao halafu ikatawala nchi nzima kwa 95%+ kama tanzania,Tanzania kiswahili ni nchi nzima, asiejua mara nying anajua lugha mama ya kabila, nchi nying za afrika zmefeli hapo
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
4 days
@its_pray_ @fatma_karume Kichwan una matope, yaan unajua kiswahili kwa 80%, hujui kwa 20%, halafu unaanza tena kusoma lugha kuanza na 0%, na ambapo had unafika form four una 50% ya hyo lugha, hapo tunazungumzia sant kayumba, hakuna neno ambalo linakosa tafsiri, yoote tafsiri ipo
1
0
1
@BernardSacha1
Bernard Sacha
4 days
@babalao__ Zima taa, fumba macho, utakuja tu Plan B, piga kimoja cha dk 30, usipige cha kuku, Plan c, piga nyeto, ukikosa hapo bas kachomwe sindano ya usingiz
1
0
2
@BernardSacha1
Bernard Sacha
4 days
@babalao__ 😂😂😂
0
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
5 days
@mdaukutokaDM @JamiiForums Ukiwa serious hawasumbui, uwe na maswali yenye hoja, usiwe na uwoga
1
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
5 days
@GlaDiAtore255 @JamiiForums Nan wanapiga kimya?, maana details zoote zipo na wenyewe huwa wanatumia reference ya mkataba wako, huwez pigwa chini hata mchango mmoja kutoka kwa mwajir labda nssf kwenye kukulipa kuna miez inakuwa hela yake haitok
1
0
0
@BernardSacha1
Bernard Sacha
6 days
@babalao__ 556 katka lak moja inakuja nusu kwa nusu, au mm sijaelewa?
0
0
0