Buying a book or selling a course doesn't imply you'll read it or complete it. The act of having purchased gives an immediate sense of completion, which is enough for most people raised on instant gratification.
Young Africans SC leo wanacheza na Geita Gold FC mchezo wao wa raundi ya pili ya Ligi Kuu ya NBC.
Makala hii fupi imeelezea timu hizi mbili zilivyokutana na matokeo yao kabla ya kukutana leo pale Azam Complex, Chamazi.
#CrownSports
Ni mahali pekee ambapo unaweza kueleza changamoto na ukapewa usikivu mkubwa, unaweza kusema sijashiba na ukaongezewa chakula, unaweza ukalia na ukapata wa kukubembeleza, na hata ukikosea utarekebishwa kwa upole. HAPA NI NYUMBANI ni salama kwako na kwa yule umpendae.
@CrownMediaTZ
Heri ya kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa Naibu Waziri wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma (
@MwanaFA
). Tunakutakia kila la kheri unapo ongeza mwaka mwingine.
#HapaNiNyumbani
#HappyCrownMediaYear
Match Day: Simba SC anacheza na Singida Fountain Gate FC kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Makala hii fupi imeandaliwa kuelekea mchezo huu utakao chezwa leo usiku.
Tabiri matokeo yako kwenye replies.
#HapaNiNyumbani
#CrownSports
#HappyCrownMediaYear
Kwa mara nyingine tena Simba SC itakutana na Al Ahly kwenye hatua ya Robo Fainali ya CAFCL.
Kwenye michezo minne iliyopita matokeo yalikua hivi.
Simba SC 1-0 Al Ahly
Al Ahly 1-0 Simba
Simba 2-2 Al Ahly
Simba 1-1 Al Ahly
Je, Al Ahly atatoka?
#HapaNiNyumbani
#CrownSports