Official Video Twitter page for
@millardayo
| We tell the best news and stories from East Africa | from the Most Subscribed to Journalist on YouTube in Africa.
PICHA: Wabunge wakimtunza pesa Mbunge wa Viti Maalumu Jacqueline Msongozi wakionesha kufurahishwa na kitendo chake cha kusimama, kutetea na kuomba muongozo kuhusu Mbunge wa Momba Condester Sichalwe kutolewa Bungeni kwa madai ya mavazi yasiyo na maadili.
#MillardAyoBUNGENI
VIDEO: Rapper Chidi Benz usiku wa kuamkia leo aliibuka kwenye party ya Desperados Elements Dar es salaam na kushika mic kwa dakika chache ambapo aliliamsha na classic yake ya ‘Dar es salaam stand up’
Mbwana Samatta
@samatta77
anafunga hat-trick yake ya pili akiwa na Genk leo akiichezea Genk vs Zulte-Waregen katika ushindi wa 4-0 (Pozuelo 29' Samatta 31' 68' 86')
#MillardAyoUPDATES
Salaam, kwa sasa Habari zote za AyoTV/millardayo Twitter zitawekwa ktk ukurasa huu wa
@ayotv_
baada ya
@millardayo
kudukuliwa, HATUNA account nyingine Twitter zaidi ya hizi, tunashukuru kwa msg za pole na kutaka kusaidia kuirudisha iliyodukuliwa, taratibu zinafanyika kuirudisha.
#BREAKING
: Rais Magufuli amesema Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka ndie Mkuu wa Mkoa anaeongoza wa kufanya kazi vizuri kuliko wote Tanzania ni kwa mujibu wa ripoti aliyonayo.
#MillardAyoUPDATES
"Nimekaa nje ya mfumo wa siasa kwa muda baada ya kutoka Chama Cha Mapinduzi, nilitaka nitumie muda wangu wa kutosha na familia, ni vizuri watu wakajifunza kuna kipindi cha kuongea na kipindi cha kunyamaza" Lazaro Nyalandu
#MillardAyoUPDATES
Mahojiano na Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo baada ya kumshinda kwa Knockout Mwingereza Sam Eggington huko Birmingham Uingereza.... sema Mkalimani katisha 😀😀
VIDEO: “Mama Samia tunasikia kauli zako za kurejesha matumaini lakini haitoshi sababu unafahamu kwa miaka mitano mlibadilisha kanuni/sheria kuminya uhuru wa Vyombo vya Habari, Demokrasia, kuwatesa Wafanyabiashara, naomba mkarekebishe sheria zote kandamizi” ———
@FreemanMboweTZ
Huyu ndie Grace Jones Raia wa Uingereza anayetajwa kuwa ndie Raia wa nchi hiyo mwenye umri mkubwa zaidi, Grace amefikisha leo miaka 112 na amedai kuwa siri ya kuishi kwa muda mrefu ni kunywa kila siku Whisky na alianza kufanya hivyo tangu miaka 60 iliyopita.
#MillardAyoUPDATES
“Nilipokwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu niliwaambia Wakuu wa Wilaya sitaki kusikia Mtumishi wa Umma kawekwa mahabusu, kwenye Mkoa wangu hutoona huu upuuzi” - ANTHONY MTAKA - RC SIMIYU
#MillardAyoUPDATES
#WIKIHII
Rais Magufuli ameagiza kuwa zaidi ya Milioni 400 zilizochangwa kama rambirambi zitumike kujenga wodi Tatu ktk Kituo cha Afya Bwisya.
#MillardAyoUPDATES
"Nataka IGP aje aniambie kama Polisi wamesalimu amri kwa majambazi ndiyo maana mabasi hayatembei usiku, biashara saa 12 zinafungwa, ukiuliza unaambiwa sababu ya usalama, IGP aniambie kama majambazi ndio wanatupangia pakwenda na wapi tusiende" Waziri Lugola
#MillardAyoUPDATES
Rafiki aliekua akiishi na Mwanachuo Aquilina aliyefariki kwa kupigwa risasi na Polisi jana Kinondoni DSM, amesema Aquilina alikua kwenye mipango ya kuanza mazoezi ya kazi kwa vitendo na jana ndio ilikua siku ya safari kupeleka barua ya maombi.
#MillardAyoUPDATES
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mussa Taibu amesema hana taarifa za kukamatwa kwa Tito Magoti wa LHRC kwenye himaya yake kama inavyosambazwa mitandaoni, licha ya Kamanda Lazaro Mambosasa kuthibitisha Tito alikamatwa Mwenge Wilayani Kinondoni.
Tajiri Said Salim Bakhresa ametangaza kufungua kampuni ya Mawasiliano ya simu Tanzania miezi michache ijayo, itaitwa AZAM TELECOM, kwa mujibu wa THE CITIZEN.
#MillardAyoUPDATES
Mbwana Samatta kafunga hat-trick yake ya kwanza akiwa KRC Genk katika ushindi wa magoli 5-2 dhidi ya Brondby If (Samatta 38' 55' 70' Trossard 45' 90') (Hermannsson 47' Wilczek 51') game ya kuwania kufuzu Europa League
#MillardAyoUPDATES
FREEMAN MBOWE: "Tunaweza kuwa na tofauti ya Vyama, lakini sote ni Watanzania. Tusitangulize ushabiki wa vyama tukajenga uhasama tukaachana na undugu wetu. Vyama vya siasa ni kazi ya Binadamu, vinaweza kufa kesho lakini Tanzania na watu wake ni mali ya Mungu."
#MillardAyoUPDATES
.
"ushauri wangu kwako usirithi adui wa mtu,tengeneza adui yako,na ushauri wangu kwako huna sababu ya kutengeneza adui ,ni jambo halina tija ,mchukulie kila mtu vile alivyo sio kwa kuambiwa ,utakapo fanya nae kazi utajua nani ni nani",
@jmkikwete
#MillardAyoUPDATES
Toumani Diallo Balozi wa Mali nchini Ufaransa amemzungumza na Mamoudou Gassama ktk ofisi za Ubalozi wa nchi hiyo na kumpa pongezi kutoka kwa Rais wa Mali na kumuambia kwamba Rais amemtaka arudi nchini kwao amemuandalia nafasi ya Jeshi.
#MillardAyoUPDATES
"Dhamana ya Uongozi haikufanyi uwe zaidi ya Raia mwingine yeyote, ni jambo kubwa la Viongozi kutambua kwamba kujishusha hakukufanyi usiwe Kiongozi, kujimwambafai wala hakukufanyi uwe Kiongozi zaidi" - MSTAAFU KIKWETE
Full Video ipo hapa
“Mimi sio Roma wala mimi sio Diamond, naiburuza BASATA Mahakamani kwa swala hili na ndio mtajua namna gani Nchi inatakiwa kuendeshwa” asema Mbunge ‘SUGU’ baada ya BASATA kudaiwa kuufingia wimbo wake mpya
#MillardAyoUPDATES
Video ya wimbo wa Rapper wa South Africa
@ShoMadjozi
alimotiririka kwa kiswahili humo ndani ‘huku’ imeendela kupata views za kutosha ambapo kwa sasa inakaribia kufikisha milioni moja.
VIDEO: Chama cha Wajane na Wagane Tanzania (TAWIA),kimemtembelea Mke wa Marehemu Reginald Mengi,
@JNtuyabaliwe
kwa lengo la kumfariji na kumtia moyo "Nawashukuru kwa upendo, tuendelee kushirikina na kupeana moyo, nawapa pole maana najua ninayopitia nanyi mmepitia"
(📹via
@ayotv_
)
Vyuo Vikuu vinne nchini Marekani vinatafuta Watu 1000 watakao kula Maparachichi kila siku kwa kipindi cha miezi 6 kwa ajili ya kutafiti iwapo Maparachichi yanaweza kumsaidia Mtu kupunguza uzito, kila mshiriki atalipwa Dola 300 sawa na Laki 6 za Kitanzania na Maparachichi 24.
Huyu ndie Belachew Girma Raia wa Ethiopia ambae anatajwa kuwa ndie Binadamu anayecheka kwa muda mrefu zaidi na hii ni baada ya kucheka kwa SAA TATU na dakika 6 mfululizo, Girma kwa sasa ana shule yake anayofundisha Watu kucheka kama yeye.
Sumu ya Nge ndio kimiminika ghali zaidi duniani ambapo galoni moja tu la lita 5 huuzwa Dola Milioni 39 sawa na zaidi ya Bilioni 89 za Kitanzania, inaelezwa kuwa sumu ya Nge hutumiwa kutibu magonjwa mbalimbali ya Binadamu na kuna uwezekano baadae ikaja kutumika kutibu Kansa.
"Mtazame Polepole aliyekuwa anazungumza ktk Tume ya Jaji Warioba, kuhusu umuhimu wa Katiba mpya,Tume ya Uchaguzi itakayotenda Haki na Demokrasia, mchukue na Polepole wa sasa, unapoiganga njaa kupita kiasi hata heshima yako unaiweka kando"-Prof.Lipumba
…
Huu ni unyama, huu sio uungwana !! Watanzania waungana kulaani Mwandishi wa habari
#SilasMbise
kupigwa na Polisi pamoja na kwamba alionekana kutii amri za Polisi akiwa chini ya ulinzi Uwanja wa Taifa Dar es salaam.
BREAKING: Mchekeshaji Mkongwe wa Tanzania Mzee Majuto amefariki dunia leo Agosti 8 kwenye Hospitali ya Muhimbili, mtoto wake aitwae Abuu amethibitisha. R.I.P Mzee wetu
#BREAKING
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akutana na mbunifu wa Bajaji iliyokosa vibali, Andrew Mbanga (60) atoa maagizo kwa TBS yatekelezwe kabla ya September 14, 2018
#MillardAyoUPDATES
#UNAAMBIWA
Baba mwenye nyumba mmoja Uganda Mr. Mubiru ametajwa kuwa wa kipekee, hawapigii simu Wapangaji kuulizia kodi iliyoisha mpaka wampe wenyewe hata miezi mitatu ikipita na huruhusu Wapangaji kutumia kodi hiyo wanapopata dharura, huwaletea bure chakula/matunda akienda shamba
"Mungu anatupenda Tanzania, wee midege kama hii inashuka hapa!, na lazima tujiulize kwanini midege hii haikushuka zamani imesubiri Magufuli awepo ndio ishuke, kwanza nimefurahi sana, Makonda umeomba Hospitali ya Wilaya Ubungo unaomba Billion 1.5 nitazitoa ijengwe Hospitali" - JPM
"Nimesikia Waziri Kigwangalla akimtaja Lowassa kama mmoja ya watu eti walioshiriki kupora ardhi Arusha, nikiwa Msemaji wa Familia ninazo taarifa zote za umiliki wote wa Lowassa”
“Yote aliyosema hayapo, kama anayo basi tuko tayari afanye lolote chini ya mamlaka yake”-Fred Lowassa
Kwa mara ya kwanza ktk historia ya Uwanja wa Ndege Dar, Ndege kubwa ya ‘gorofa’ A380 ya Fly Emirates imetua leo, Wafanyakazi Airport wanasema ilikua inaelekea Mauritius lakini imeshindwa kuelekea huko sababu ya hali mbaya ya hewa hivyo imetua Dar kwa muda.
#MillardAyoUPDATES
"Kama haujaisikiliza Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa SADC kaisikilize tena, Rais Magufuli I salute you, leo umetoa remarkable speech ever na hii Afrika Mungu ameiweka mikononi mwako nenda nayo Baba kwa ukombozi mkubwa" - RC MAKONDA
(📹 via
@ayotv_
)
#UPDATES
Waandishi wa Habari Congo DRC wanasema Jenerali John Tshibangu ameasi na kutangaza kupitia kanda ya video kwamba anampa Rais Joseph Kabila siku 45 awe amejiuzulu Urais na kuwaomba Wananchi msamaha kwa kushindwa kuongoza nchi.
#MillardAyoUPDATES
“Mimi niliombe hili Bunge tutekeleze wajibu wetu, hivi inaingia akilini? kwenye Kilimo ambacho kinaajiri zaidi ya 75% ya Watanzania tumeweka Bilioni 11 tu, kwenye Ndege ambapo tunauhakika hii pesa tunakwenda kuimwaga chini tumeweka Trilioni 1” -Mbunge wa Kawe
@HalimaMdee
leo
VIDEO: Uongozi wa Hoteli ya Naura Springs Arusha umekiri ni kweli wanapunguza Wafanyakazi ambapo Meneja Rasilimali Watu Vivian Mollel amesema “Ni notisi ambayo tumeamua kuitoa kulingana na hali ya uchumi ya hotel hii, tumefikia maamuzi hayo ili kuweza kuboresha huduma zetu”
Maria Sarungi Tsehai
@MariaSTsehai
amefungua kesi dhidi ya Musiba na Gazeti la TANZANITE kwa kumkashifu na kuchafua jina lake, ni baada ya kutajwa February 25 2018 kwenye ile orodha ya Musiba kwamba ni miongoni mwa Watu hatari kwa Tanzania.
#MillardAyoUPDATES
VIDEO: "Mama Samia kabla sijakutana na wewe na Viongozi wenzangu wa CHADEMA anza kurekebisha sheria zote ambazo ni kandamizi zinawaumiza Watanzania ili tukafanye ushindani wa haki”———
@FreemanMboweTZ
Arusha leo.
#MillardAyoUPDATES
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza nyongeza ya asilimia 5 kwa kiwango cha chini cha mshahara nchini Kenya.
Ametaka pawepo mazungumzo kutatua migogoro ya migomo Kenya.
#MillardAyoUPDATES
"Nilizaliwa katika familia ya umasikini, nakumbuka nililala kwenye nyumba ya udongo, wageni wangu walikuwa ni panya, mende lakini baadaye nilipokua nikasema naweza kuondoka kwenye umasikini" - Dr. Mengi
#MillardAyoUPDATES
Polisi Mkoani Kilimanjaro wamesema hakuna hujuma wala uharibifu wa miundombinu ya Reli uliofanyika katika Kijiji cha Rundugai Wilayani Hai kama ilivyosemwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya.
Kiwanda cha kuunda magari cha Nairobi Kenya (Mobius Motors) kimeliingiza sokoni gari lake jipya MOBIUS II ambalo limetengenezwa kwa kuzingatia ubovu wa barabara za Afrika, gharama yake inafika MILIONI 28 Tsh.
#MillardAyoUPDATES
Wasanii wa HipHop wanaounda kundi la ROSTAM, Roma na Stamina leo August 6,2018 wameitwa BASATA ikiwa ni kujadili kuhusu Wimbo wao mpya waliouachia hivi karibuni unaoitwa ‘PARAPANDA’
#MillardAyoUPDATES
"Siasa za kubembeleza mlizokuwa mmezizoea sitozisema mimi hadi namaliza muda wangu, hizo kwangu hazipo. Mimi sitaki nipendwe sana hata sura yangu ni mbaya - Rais Magufuli
#MillardAyoUPDATES
VIDEO: Fundi Mkuu wa MV Nyerere Alphonce Cherehani baada ya kuokolewa, inaelezwa alijifungia kwenye chumba toka walipozama huku mwili wake wote ukiwa umejaa oil.
#MillardAyoUPDATES
#UNAAMBIWA
Mwaka 2016 kuna Mwanamke mmoja huko CHINA aliwaomba Boyfriends wake wapatao 20 kila mmoja kwa wakati wake amzawadie iPHONE 7 ambapo baada ya wote kufanya hivyo, aliziuza zote na kununua nyumba 😄
Aldi Novel (19) wa Indonesia ameokolewa leo baada ya kukaa kwenye maji siku 49 bila msaada, Novel alikuwa akivua samaki baharini kabla ya chombo chake kupigwa na mawimbi na kumpeleka mbali na asiwe na uwezo wa kurudi nchi kavu, Novel alikuwa akinywa maji ya bahari na kula samaki.
Dudubaya anasema “hakuna Boss yeyote anaempenda Mfanyakazi wake, Boss anapenda kazi yako... ukitaka kuliamini hili hebu fungwa jela leo uone kama huyo Boss ataijali familia yako” unampa BIG YES au BIG NO ?
“Mmesikia hili sakata DSM eti Mkuu wa Mkoa ameleta Makontena ameambiwa alipe kodi, kwanini asilipe? sasa ukichukua makontena umezungumza labda na watu wengine labda au Wafanyabiashara unasema una makontena yako alafu ukasema ni ya Waalimu wala shule hazitajwi maanake nini” - JPM
Mwananchi Communication imejitolea kuhudumia mahitaji ya familia ya Mwandishi wao wa habari aliyepotea kwa takribani siku 100 Azory
Mkurugenzi Mtendaji wa MCL Francis Nanai asema watalipia mahitaji ya watoto shule, bima ya Afya, Biashara ya kujikimu na chakula
#MillardAyoUPDATES
Mkuu wa VETA Mkoani Kigoma Saidi Ally, amethibitisha kuanza mafunzo Chuoni hapo kwa Zuberi Abdallah, kijana mwenye miaka 20 kutokea Kigoma ambaye licha ya kuishia Darasa la 6, kipaji chake kimemuwezesha kubuni pikipiki ndogo inayoshabihiana kwa kiasi kikubwa na pikipiki Kubwa.
Mbunge wa Stockton Kusini Uingereza Dr.
#PaulWilliams
amezungumza Bungeni Uingereza namna Mbunge wa Uganda Bobby Wine alivyokamatwa na kuteswa na Jeshi, ameitaka Uingereza kumuwekea vikwazo Museveni, Wabunge wa upande wa Serikali waliuunga mkono hoja hiyo pia
#MillardAyoUPDATES
M/kiti wa Chama cha CHAUMMA Hashim Rungwe ameomba msaada wa kutafutiwa watu wawili wa Familia yake waliopotea ktk mazingira ya kutatanisha
Watu hao ni Mume na Mke, Mume alikua wa kwanza kupotea kisha Mke wake akafatia baada ya kuaga anakwenda Polisi kumtafuta.
#MillardAyoUPDATES
VIDEO: "Kama kuna baadhi ya Watu iliwapendeza kuwatesa Watanzania wenzao, tukaongoze safari kurejesha utengemano wa Taifa, tukaongoze mapambano ya kuirejesha haki, tukarejeshe utawala wa kisheria na kikatiba” ——— M/kiti
@FreemanMboweTZ
leo Arusha.
#MillardAyoUPDATES
“Nilipoingia Segerea sikua na Virusi vya UKIMWI nilishapima hata wakati naingia nilipimwa,ugumu wa maisha gerezani nikawa na-share nyembe n.k,nilipotoka afya yangu ilianza kuwa mbaya nikawa naumwa,nikapima nikakutwa nimeathirika”-Frank Mhina
Full Story ipo YouTube ya ‘millardayo’
VIDEO: Mwigizaji Wema Sepetu amesema yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Mtu ambae sio maarufu ila haitotokea akamuonesha kwenye mitandao “ mambo ya kuonesha Wapenzi kwenye mitandao ni utoto na imeshapitwa na wakati, ule likua ni utoto, sasa hivi nimekua”
VIDEO: "Hatutashiriki Uchaguzi wa Udiwani, Ubunge au Urais hadi tutakapokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba mpya na hatusemi tunakwenda kulala tukisubiri vishuke kama maji tutavipigania kuanzia leo kwa nguvu zetu zote” ———
@FreemanMboweTZ
#MillardAyoUPDATES
ViDEO: Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo leo August 15 amefanya ziara ya kushtukiza ktk kituo cha mafuta ambacho kinalalamikiwa na wateja kuwa hakitoi risiti baada ya kutoa huduma, ameagiza tuhuma hizo zifuatiliwe na ikibainika ni kweli kituo kifungwe.
(📹 via
@ayotv_
)
#UNAAMBIWA
Wataalamu wa mambo wanasema kuwa Mwanaume anayetazama/kodolea sana MATITI ya Mwanamke ana uwezekano wa kuishi muda mrefu kuliko ambae hafanyi hivyo.
Rais Dkt. Magufuli ameagiza kuwa kuanzia kesho Septemba 25 kila familia ya mfiwa na wale walionusurika ktk ajali ya
#MVNyeree
wapewe Milioni 1, awali Rais Magufuli alitoa Laki 5 kwa kila familia za Wafiwa.
#MillardAyoUPDATES
Imebainika kuwa Kiongozi wa Korea Kaskazini alisafiri na CHOO chake maalumu wakati wa mkutano na Rais Trump nchini Singapore ili kuzuia uwezekano wa Kinyesi chake kufanyiwa upembuzi na watu wa usalama.
#MillardAyoUPDATES
Huyu ndie Luther Younger (99) wa nchini Marekani ambae anatembea kila siku kwa zaidi ya kilomita 8 kwa ajili ya kwenda kumuona Mke wake hospitali, Younger alianza kufanya hivyo toka Mke wake alipolazwa hospitali kwa Kansa ya Ubongo mwaka 2009.
#BREAKING
Sasa ni rasmi, Tamasha la FIESTA 2017 Dsm litafanyika mpaka saa kumi na moja Alfajiri na sio kuishia saa saba usiku kama ilivyokua awali... "Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya 5" asema
@BDozen
wakati akitangaza mabadiliko hayo via
#JahaziCLOUDSFM
#MillardAyoUPDATES
Mtoto wa staa wa Real Madrid Marcelo akionesha uwezo wake alipokuwa dressing room ya wachezaji wa timu ya Real Madrid na kuwaonesha uwezo wake
#MillardAyoUPDATES
BREAKING: Afisa habari wa Simba SC Haji Manara ametangaza kuwa muwekezaji
@moodewji
ameridhia kupewa asilimia 49 ya hisa za Simba badala ya 51 kama alivyokuwa ameomba awali
#MillardAyoUPDATES
Mkurugenzi wa Serengeti Juma Hamsini alivyotokwa machozi mbele ya Rais Magufuli baada ya kuitwa mwizi na Mbunge Marwa Ryoba (CHADEMA).
#MillardAyoUPDATES
#UNAAMBIWA
Huyu ndie Dipak Das Dereva Raia wa India ambaye ameendesha gari nchini India kwa zaidi ya miaka 18 bila kupiga honi mpaka kupelekea kutunukiwa tuzo, Das anaamini kuwa Mtu anaweza kuendesha gari bila kupiga honi na wala asisababishe ajali.
#BREAKING
: "Waziri wa Maliasili na Utalii Dr. Hamisi Kigwangalla amepata ajali akitokea Arusha hali yake ni mbaya na wanasubiri Helicopter ili wamhamishe Hospitali na Mtu mmoja Mwandishi wa habari amefariki" amesema Mbunge wa Mbulu Vijijini Flaitey Masai.
#MillardAyoUPDATES
Tafiti iliyochapishwa kwenye Jarida la Cosmopolitan la nchini Marekani inadai kwamba asilimia kubwa ya Wanawake wanavutiwa sana na Wanaume wanaonukia harufu ya Matango.
#MillardAyoUPDATES