Hako kapicha, ka enzi HIZO nilikuwa mlugaluga/kauzu sana...lakini NAJIVUNIA nako sababu ni sehemu ya HISTORIA yangu! Mhe.
@MagufuliJP
kama kweli wasaidizi wako wanamshikilia
@IdrisSultan
sababu ya ile picha yako..ambayo hata mie niliipenda, ni matumizi MABOVU ya fedha za UMMA.