Huwezi kuja kwangu ukalazimisha utamaduni wako bali utaishi kwa sheria na taratibu zangu!Nitakubali ninayopenda na nisoyataka utayaacha nje kabla kuingia au utayafanya kwa masharti yangu!
MMEMKOSEA SANA HESHIMA MZEE MWINYI.
Na Bollen Ngetti
Nyaraka zipo, historia ipo na haiwezi kufutika kwamba Mzee Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Mkuranga na kukulia Mkuranga na kuolea Mkuranga na kuzalia Mkuranga na kuacha "wosia" kwamba "nikifa mnizike Mkuranga".
Leo kwa sababu
Binadamu kiumbe aso na haya. Mwinyi kafariki wiki 3 zimepita.Mtoto fisadi mbinafsi Hussein kaamua kapambana na familia kwenda kumzika babake Zanzibar kinyume na wosia kutaka azikwe kwao Mkuranga walipolala wazee wake!Ndugu Rais hii laana ya kutumia mwili wa mzazi wenu kujaribu
Fikiria wewe kwa akili zako timamu … Uwanja wa Mkapa wenye uwezo wa kuchukua watu alfu sitini unakwenda kufanyiwa matengenezo kwa bilioni 31.Uwanja wa Amani hapa Zanzibar wenye uwezo wa kuchukua watu alfu kumi na tatu tu unafanyiwa matengenezo kwa bilioni 52! Kuli mmoja juzi
📌📌Rais Mwinyi yeye yuko bize kuiba hela kuficha Uturuki!!! Orkun wamempa private jet kabisa kuchukua pesa Zanzibar moja kwa moja kwenda Uturuki.Inshallah siku zake hapa Zanzibar sasa zinahesabika!!
Mjionee wenyewe hali yetu ilivyo hapa Zanzibar!Ukwapuzi kila pahala keshajuwa siku zake zinahesabika!!Visiwa hivi vimeng’oa masultani!Kibri ina mwisho!
📌📌📌ALERT!!!Idara ya Usalama wa Taifa kuna maafisa wenu bandarini Zanzibar wanashirikiana na Wafaransa walouziwa Bandari na Mwinyi kukataa kutekeleza maagizo ya mahakama.Mfaransa Nicholas Escalih anafanyaje kazi na chombo nyeti cha nchi kusaidia ufisadi wa Rais Mwinyi?
Mwinyi katoka Cuba kenda Uturuki,kagoma kukutana na Balozi wa Tanzania Uturuki ili safari yake ibaki siri.Airport kapokelewa na viongozi wa kampuni ya Orkun anaofanya nao ufisadi Zanzibar. Kiongozi wa ngazi yake anachukuliwaje na watu binafsi na kufichwa nyumba mali ya
Tuna mtawala fisadi kuwahi kutokea katika historia!.Uzuri siku zake zinahesabika. Vijiji zaidi ya 10 vinateseka kwa kukosa barabara watu wanapoteza maisha kwa kushindwa kufika hospitali kwa wakati ila mtu mmoja na mkewe wanachepusha rasilimali za umma kuweka sawa eneo lao la
1963 Zanzibar ikipewa kiti chake Umoja wa Mataifa baadaye kikapokwa mpaka imefikia mahala tuna mtalii kaletwa kuongoza Zanzibar!Asivyo na haya kisa ajijuwa mtalii yuko bize na ufisadi wa kila aina kuanzia 10% ya sindano ya hospitali hadi ardhi ya makaburi!GNU alopewa imani nayo
Mbinu mpya ya watawala kudhulumu watu ni hii ya kuwapa kesi za mchongo kama inavyofanyika Zanzibar zama hizi!! Rais anataka mali zako basi anakupa kesi ambayo haipo anataifisha kila kitu anajigawiya kupitia marafiki!Mtawala dhulmati ni tishio kwa uhai wa nchi!
#ufisadizanzibar
.
@millardayo
ungeandika “MWINYI ATEUA FISADI MWENZAKE KUWA WAZIRI” mana huyu wameiba wote akiwa mkurugenzi wa uwekezaji ZIPA na ni mkwapuzi wake mwenza na hela wanaficha naye Uturuki!Hadi Sheria wanabadili kutafuna kama panya hawajui muda umekwisha!Mwisho wenu utakuwa wa laana na
Familia ya Mwinyi na biashara ya pombe - Sehemu ya kwanza
Familia ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni moja ya familia tajiri zaidi Tanzania. Utajiri wake umechumwa na unaendelea kuchumwa kupitia siasa ikianza rasmi na mzee Ali Ali Hassan Mwinyi alipokuwa Rais wa Tanzania baada
Tuna changamoto ya tovuti yetu kupatikana Tanzania na lazima mtu atumie VPN kupata habari zetu!Vpn yenyewe wanatisha watu kwamba ni makosa kutumia.Ukiona taarifa zinawatia hofu watawala ujue ni za kweli.Ndio kwanza tumeanza!!!
WARAKA WA WAZI KWA RAIS WA ZANZIBAR MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI
Kwako ndugu Rais
Uhusiano wako na mfanyabiashara Jitesh Ladwa ni wa muda mrefu. Binadamu lazima awe na marafiki na hii haki yako Mheshimiwa Rais wala si jambo baya. Isicho haki ni matumizi ya nafasi yako kama
Hizi zimefungiwa baada ya agizo la Mwinyi kwa bwana Nape ----- zanzibarleaks dot com, zanzibarwatch dot com, kigogoforum dot com,ufisadizanzibar dot com! --- Bila VPN huzipati Tanzania. Kosa kubwa ni kufichua ufisadi unaoendelea Zanzibar!Ukweli kama maji ya mafuriko huwezi
Ndugu Rais pole kwa safari ya Cuba kisha Uturuki kisirisiri kisha Zanzibar.Pesa za asilimia za miradi na hizi za kujiuzia bandari wanazokufichia Orkun Uturuki kwa nini usiwekeze hata Mkuranga watu wapate ajira? Halafu mbona wamekurudisha kimya kimya kwa ndege yao?Karibu Unguja!
kiwanda cha umeme Tropical wamiliki ni Aloyce Ngowi,Charles Mlawa na Hussein Mwinyi. Thamani yake zaidi ya dola milioni hamsini, Hussein Mwinyi shea yake 60%.Ofisi ya Tropical pale victoria Dsm ardhi ni mali ya Hussein Mwinyi.Huyu maisha yake yote kawa mtumishi wa serikali
TAHARUKI KUJIUZULU WAZIRI SIMAI
Hatua ya Mh Simai Mohamed Simai kujiuzulu nafasi ya uwaziri wa Utalii na Mambo ya Kale katika serikali ya mapinduzi Zanzibar imezua tahruki kubwa.
Taarifa za uhakika zinasema kuwa Simai ambaye ni swahiba mkubwa wa Rais Hussein Mwinyi amechukua
Bandari ya Malindi imeuzwa kwa kampuni ya Bollore ya Ufaransa!Hussein Mwinyi na Toufiq Turky wamepewa asilimia thelathini ya mkataba wafaransa wamebaki na asilimia sabini!Zanzibar iko mnadani!!!
Ardhi yenyewe ni ya mwekezaji anaitwa Blue Amber Resort. Kaomba mwekezaji ammegee kipande mwekezaji kagoma basi kaamua achukue yote iwe mali yake.!Mwekezaji kenda mahakama za kimataifa kashinda mana alijua atamuonea kama sisi alokwapua hadi ardhi ya makaburi ya wazee
Kasisitiza alale Mkuranga walipolala mababuze!Msipofuata wosia mzimu utawafuata hadi vitandani. Subirini mwone maana mna vichwa vigumu na hivi mko bize na biashara ya pombe na ufisadi Zanzibar ni kama mshawehuka!hadi ardhi za makaburi mnakwapuwa!Acheni ubinafsi kutumia msiba
ZANZIBAR INA RAIS MWIZI, ASOJUWA HISTORIA YA ZANZIBAR WALA KUWA NA UCHUNGU NAYO. MFANO ZANZIBAR HATUNA TATIZO LA SUKARI HATA KABLA HAJAJA YEYE.KACHEZA SINEMA KUWA TUNA TATIZO,KAONDOA VAT YA SUKARI KWA MWEZI MMOJA ILI AINGIZE MAGENDO NA MARAFIKI ZAKE!USHAHIDI UPO.TISS NA CCM
zanzibar wanataka waendeshe nchi kama ustadh anavyoendesha madrassa. wanzanzibari wakatae matumizi haya mabaya ya kodi na rasilimali zao kwenye kujadili mambo ya kipuuzi yasiyoathiri maisha yao kwa namna yoyote ile.
Ndugu Jamal Kassim Ali wewe ni shujaa na historia itakukumbuka vyema. Hakuna asojua ufisadi unaofanyika Zanzibar sasa hivi na ukwapuzi wa kihistoria. Inatumika nguvu kubwa sana kufunika maovu kwa kigezo kuwa yanaletwa maendeleo kana kwamba Zanzibar ilikuwa kijiji cha nyumba za
Salaam za Mhe
@IsmailJussa
kwa bwamdogo
#ufisadizanzibar
!Utapeli wa Hussein Mwinyi kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa na ufisadi mkubwa yeye na genge lake anaoifanyia Zanzibar ni mambo ambayo Wazanzibari tutayatumia kutoa funzo la kihistoria.
#neveragainzanzibar
Hii tulionya mapema mkafungia tovuti yetu!UFISADI WA RAIS MWINYI TENDA YA MAFUTA ZANZIBAR. Bei USD kwa metric tone zilikuwa hizi kampuni ya Petrol Kenya $66.53, OilCom $50, Addax $194,Hapco $248 na GBP $272.7. Cha ajabu Rais Mwinyi kalazimisha Serikali kuipa tenda GPB ambaye ndo
BREAKING!! UTEKAJI ZANZIBAR!! ABDUCTIONS IN ZANZIBAR!!!
Watu watatu wametekwa kutoka ofisi za kampuni iitwayo ZMMI maeneo ya Migombani majira ya saa kumi na moja unusu jioni leo.Watekaji walikuwa wamevalia flana za SMZ. Mashuhuda wanasema watekaji walivamia ofisi na kuwapiga
Ufisadi Maruhubi Ferry Terminal! Zanzibar inafisadiwa na Rais wake yenyewe! Wazanzibari tunaendelea kufisadiwa kwa mabilioni! Naam,wiki chache zilopita Rais Hussein Mwinyi na washirika wake wamepokea asilimia ishirini ya fedha za mradi wa Maruhubi Ferry Terminal,shilingi bilioni
Baada ya kujimilikisha 30% ya Bandari,kuchukua ardhi hadi za makaburi,kuteka na kupoteza watu mwaka wa pili huu hawaonekani,kutaka kuleta pombe kiholela Zanzibar ili kuharibu kizazi na future ya Zanzibar (maana hana uchungu napo) kujipa hadi 40% ya kila mradi Zanzibar na kupewa
Kichekesho Zanzibar!! Rais Mwinyi kaingia ubia binafsi na Waturuki kununua water taxis kwa zaidi ya bilioni 50 ili ahodhi hiyo biashara kama alivyojipa bandari!Basi Allah alivyo fundi Waturuki wamemtapeli wamekimbia na fedha!Ndugu Rais hata hizo unazokwiba na kwenda kuficha huko
Asokujuwa hakuthamini!Asoijuwa Zanzibar ilipotoka na inapotaka kwenda hawezi kuwa na uchungu nayo. Mwaka 2020 Maalim na Mwinyi walikubaliana fidia kwa watu walioumizwa kwenye uchaguzi, kuwawajibisha walioumiza watu na kuua Wazanzibari kwenye uchaguzi ule, mageuzi ya Sheria ya
LEAKED!!!Minong’ono inayoendelea hapa Zanzibar mbali na ufisadi mkubwa SMZ ni kitendo cha Rais Mwinyi kuunda kundi la siri la watu 9 kukusanya pesa kugombea Urais Bara 2025.!Tamaa au kaamka mbinu ya kuishi baada kuambiwa anaweza kustaafishwa 2025?Pesa zinafichwa Uturuki
Msomaji wetu kutoka SUZA ✍️✍️✍️ "Mwambieni ndugu Rais kujiuzulu kwa mawaziri kusimtese wala asitafute kufafanua sana anazidi kupata aibu.Waziri Simai kajiuzulu kwa kuingiliwa utendaji kwenye sekta ya utalii kitu ambacho kingeleta matokeo mabaya kiuchumi na yeye kulaumiwa. Kaamua
Kada wa CCM Zanzibar apotea kwa miaka miwili. Familia yataka majibu! Mhusika mkuu ni Nadir Abdullatif Yussuf Alwardy mwakilishi wa Chaani na rafikiye Hussein Mwinyi.Mtakufa midomo wazi ninyi subirini siku yenu yaja!
Kabla hajafungasha virago kuondoka tutaona mengi!Katoka Cuba kenda Uturuki kwa siri kutazama anakoficha pesa zake za ufisadi bila hata kuwaza dhahma aliyoachia Wazanzibari!!
Ndugu Rais Mwinyi Wazanzibari huku kamwe hatutakubali uturudishe.Kasema Katibu Mkuu CCM bwana Nchimbi SUK ni uhai wa Zanzibar na yeyote wa kutishia uhai wa SUK kwa janjajanja hata awe kakalia Ikulu ataondoka ili Zanzibar ibaki!!
Ndugu Rais
@DrHmwinyi
na familia ya Mwinyi kwa ujumla wameamua kutumia mwili wa baba yao kisiasa. Wanajuwa fika akizikwa Mkuranga kama wosia wake unavyosema itakuwa mwanzo wa mwisho wao kwenye siasa za Zanzibar!!Wanalazimisha kumzika Zanzibar.Itawatafuna!Kibri!
Mzee wetu amefariki. Kwa maelekezo yake anataka akazikwe kwao. Pwani. Kwa sababu binafsi za kisiasa (ili uonekane mwenzao) mnalazimisha akazikwe Zanzibar. Kwanini?Mimi nafikiri maelekezo ya mzee yafuatwe na yaheshimiwe.
Ndugu Rais
@DrHmwinyi
twafahamu mwanao anaolewa Umasaini miezi michache ijayo na hawa walikuja kwenye utambulisho wa mwanzo kama wakwe wala haikuwa sawa kufanya propaganda kuwa wamekuja kukupa pole ya msiba!. Halafu jamii za makabila mengine toka bara waishio Zanzibar nazo zaja
Mtawala kabadili lengo la ZIPA kwa maslahi yetu Wazanzibari kaamua kiwe chombo chake cha biashara!Mwakilishi wa Pandani Profesa Omari Fakih Hamad yeye kaamua kuitendea haki historia kwa niaba yetu Wazanzibari!!
Tovuti zetu mbili za na zimefungwa na mamlaka kwa maagizo ya Rais Mwinyi baada ya kutoa taarifa za ufisadi wa kutisha hapa Zanzibar.Tunataka tu kuwakumbusha watawala kwamba nguvu ya umma huwa inashinda hata kama inachelewa.Kuna wizi
WASHA VPN KAMA UKO TANZANIA KUSOMA HII HABARI! MWINYI NA NAPE WAMEBLOKU TOVUTI YA ZANZIBAR WATCH!!!Tangazo la kubinafsishwa kwa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO)
Zanzibar haina uongozi!Rais Mwinyi yuko bize kwiba hela kwenda ficha Uturuki!
Tusome hichi kisa cha Sabra Machano...
Ni kweli wapenzi wangu, nimepewa barua ya kusimamishwa kazi tena kwa tuhuma kuwa sifiki kazini kwa wakati uliopangwa. Nimefahamishwa kuwa; Haijalishi kwamba
Ndugu Rais Hussein Mwinyi kwa nini unaizamisha Zanzibar?
Anajuwa yeye si Mnzanzibari. Hata familia yake iko kwenye mgogoro mkubwa wa wapi azikwe baba yao (kaacha wasia azikwe kwao Mkuranga). Anajuwa harudi muhula wa pili baada ya kuchota mamilioni ya dola toka kwenye miradi
Tukiendelea kumtafakari mtalii aliyeigeuza Ikulu ya Zanzibar kuwa duka binafsi... Wazanzibari tunajua tumetoka wapi ...... 16/12/1963 Kenya and Zanzibar Become Members of United Nations. Kenya and Zanzibar, two newly independent African States, were admitted to United Nations
Serikali ya ALI HASSAN MWINYI na kashfa ya LOLIONDOGATE
Historia ni chungu lakini hatuna budi kuiweka sawa. Mzee Mwinyi alituuza na ndiye muasisi wa dhahma na madhila ya watu wa Loliondo na madudu mengine mengi na rafiki zake wa asili ya Asia.
----
November 11, 1992, Waziri wa
Mwinyi anawatumia ACT kama rubber stamp ya ufisadi muda ukiisha aende zake. Ukiona kiongozi hadi anashirikiana na wageni (Waturuki) kubeba pesa cash kwa ndege kwenda ficha nje ya nchi mjuwe maana yake!Hana nia ya umoja wa Wazanzibari wala kiini na msingi wa SUK.Amkeni mapema
HIZI NI ZA NDANI KABISA!!
Mh Waziri Simai kajiuzulu kutokana na kuingiliwa majukumu yake kisheria na wafanyakazi wa chini yake pamoja na Ikulu ya Rais Hussein Mwinyi. Habari za ndani kabisa zinasema Simai alihoji dili za kisiasa na kibiashara zinazogusa watu wa ngazi ya juu
Zanzibar iko njiani kuanza ujenzi wa terminal 4.kikao cha tenda kilifanyika nyumbani kwa Rais Mwinyi na kampuni ya ESTIM na wamekubaliana yeye anapewa 20% ya pesa ya mradi na pia 20% ya material ya ujenzi.!Kama hiyo haitoshi Rais pia kajipa haki ya kuwa mtu pekee anayefanya
Millard Ayo
@millardayo
, Maulid Kitenge
@mshambuliaji
mmechagua vita dhidi ya haki na Allah!!Mtafeli!Hii kazi ya kununuliwa na watawala kusafisha udhalimu wao kamwe hamtaiweza!Wenzenu
@MwananchiNews
na
@TheCitizenTz
waliona mapema wakajinusuru.Rais Mwinyi anateka watu hapa
Watu wamepigiwa simu wanaambiwa “kesho saa nne zamu yenu muje kutoa pole”. Rais kageuza msiba wa babake mtaji wa siasa.Baada ya kugomea wosia na kumzika ugenini sasa anajenga matukio ya kwenda kupewa pole ili kujiongezea siku za pumzi ya siasa.Ndugu Rais hii haina manusura!
Mhe Rais
@suluhusamia
TISS iko chini yako!!Jana usiku kuna watu wametekwa Zanzibar kwa maelekezo ya dikteta uchwara wa visiwani Hussein Mwinyi.Rished Khalfan & Katibu Mulla hawajulikani walipo baada ya kuchukuliwa na makachero wa Mwinyi!MSIRUDISHE NCHI KWENYE HUU UTAMADUNI!!
SKENDO ya Dola milioni hamsini zilivyoibwa toka Zanzibar chini ya uongozi wa
@DrHmwinyi
SMZ kwa maelekezo ya Mwinyi wamefungia tovuti yetu na huipati ukiwa Zanzibar hadi utumie VPN.Sisi ni sauti ya vilio vya wazanzibari wanaoteseka na ufisadi wa kutisha
CCM Zanzibar imeinyooshea kidole Ikulu ya Rais Mwinyi kwa kutumia Ikulu kufanya biashara na ufisadi Zanzibar. Msikilize Mwenezi Khamis Mbeto akielezea. Serikali ya Rais Mwinyi imekumbwa na kashfa kubwa za ufisadi ikiwemo kuuza bandari ya Zanzibar kwa Wafaransa ambapo inasemekana
Vilio Loliondo ni mwendelezo wa kulinda maslahi ya familia ya Mwinyi.!mwaka 1992 Mwinyi mkubwa aliuza Loliondo kwa Waarabu kupitia kampuni ya OBC.Mrithi wa hisa ni Rais wa sasa wa Zanzibar Hussein Mwinyi.Kaendeleza ya baba ndio maana kauza bandari ya Malindi na kupewa hisa.