Ricayo Profile Banner
Ricayo Profile
Ricayo

@ricayo22

Followers
882
Following
196
Media
910
Statuses
89,769

Messi is Infinito💫| Rejoice always | Culer

Dar es Salaam, Tanzania
Joined July 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@ricayo22
Ricayo
2 years
"Kama mimi mwenye basi nimeamua kumchukua huyu abiria kumpeleka mpaka anapotaka wewe kinakuuma nini wewe ambae huna hata basi, nini kinakuuma"😂😂😂😂
91
252
1K
@ricayo22
Ricayo
2 years
@RajiniENicholas "Mums been asking for you by the way, for daysss"💀
Tweet media one
36
37
370
@ricayo22
Ricayo
1 year
+1 🥳🥂 Forever grateful 🙏🏾
Tweet media one
51
30
306
@ricayo22
Ricayo
10 months
And the debate can rage on if you like😎 The BEST 💫⭐⭐⭐ #Messi 𓃵
Tweet media one
3
31
216
@ricayo22
Ricayo
2 years
Me sielewi aisee. Kwa hiyo mwezi huwa unaandama/kuonekana siku tofauti tofauti kulingana na nchi au eneo? Cc @20qnana
51
26
212
@ricayo22
Ricayo
2 years
+1🙏🏽 Cheers to the new age🥂😊
Tweet media one
41
15
178
@ricayo22
Ricayo
2 years
Yaani Millard Ayo ndio chombo pekee walau kinatoa updates kinachoendelea huko. Meanwhile TBC wanaonyesha kipindi cha kwaya as if hakuna tukio kubwa linaoendelea nchini muda huu.
@millardayo
millardayo
2 years
#BREAKING Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Uokoaji kwa kushirikiana na Wananchi wamefanikiwa kuanza kuisogeza Ndege ya Precision Air iliyopata ajali leo asubuhi katika Ziwa Victoria, zoezi hili la kuivuta pembezoni linafanyika kwa kutumia kamba. #MillardAyoBREAKING
202
165
1K
26
26
162
@ricayo22
Ricayo
2 years
Bi. Aisha🧕🏾😊
Tweet media one
25
4
155
@ricayo22
Ricayo
2 years
The accuracy💀
Tweet media one
10
18
133
@ricayo22
Ricayo
2 years
Having kids when you know you won't be there for them financially, mentally and emotionally.
@KhulumaniSibisi
Phumajongosi
2 years
What's the weirdest thing society accepts as normal? 🤔
1K
551
3K
1
42
125
@ricayo22
Ricayo
3 years
Tweet media one
9
2
121
@ricayo22
Ricayo
2 years
Hivi mnawezaje wezaje!!??🙄🤔 Aisee hiki ni kipaji au superpower kabisa🙌🏽😂😂😂
85
21
122
@ricayo22
Ricayo
10 months
The eyes 🥹 Such an adorable little lady🥰
0
3
118
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Mnyonge mnyongeni ila hapo Herode katoa pwenti tupu tena bila matusi wala nini. Kama unabisha google him hataki mbwembwe za maneno tu😂😂😂
4
3
114
@ricayo22
Ricayo
10 months
My mood today💃🏾🤩 I feel Argentinian today walahi🤍💙😅😅😅 #Messi 𓃵
2
19
103
@ricayo22
Ricayo
1 year
Bi. Khaisha🤗
Tweet media one
@Maryftaddoh
Mariam
1 year
Make up free and filter free selfies anyone🤎?
Tweet media one
58
53
718
13
6
95
@ricayo22
Ricayo
2 years
@AlbicelesteTalk Seriously Neymar!???😭 Messi's love for Neymar is so pure💙😂😂😂
0
0
89
@ricayo22
Ricayo
2 years
@ZamaMpya_ "Unaitaka CCM iingie leo imalize", kwani CCM imeingia leo madarakani?? Miaka almost 61 bado eti wanaona kama wameingia leo vile!! Hawa majamaa sijui wanakuwaje kuwaje aisee.
4
0
84
@ricayo22
Ricayo
2 years
4
6
76
@ricayo22
Ricayo
3 years
Rejoice in the Lord🖤💚 #backthen #BeingHuman
Tweet media one
15
2
72
@ricayo22
Ricayo
2 years
Kindness is not selective. If a person is acting kind to you but unkind, cruel and harsh to others(unprovoked), one day you'll experience their unkindness & cruelty.
@Hauwa_L
Hauwa 🌟🌬
2 years
What’s the one hill you’re willing to die on?
518
585
2K
0
46
71
@ricayo22
Ricayo
2 years
Bi. Aisha🧕🏾
Tweet media one
@Mickeyy254
Mickey
2 years
Black and white challenge? Anyone?
Tweet media one
646
314
6K
13
4
67
@ricayo22
Ricayo
2 years
@kalegamyeh Ila nyie aisee. Hivi umewahi kukutana na maskini hohehahe anaumwa na matibabu yake ni hayo ya kufanyiwa procedure ya dialysis halafu pesa hana? HAPO NDIO UTAJUA UMUHIMU WA KUWA NA PESA. Umaskini ni mbaya sana msiuromanticize kwa sababu nyie hamko katika hizo hali.
6
2
53
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Kuna viumbe vina roho za kipekee kwa kweli. Unapush mtandaoni hastags za kuisifia TANESCO meanwhile nchini kuna mgao wa mkali sana wa umeme tena usiofuata ratiba unaendelea??? Aisee kazi ipo.
4
1
52
@ricayo22
Ricayo
2 years
This 🤝🏽 "We are our biggest gatekeepers and cannot keep blaming other people for stagnation."📌
@AusBassie
Dr Moeketsi
2 years
And when you pray tonight…pray for the eradication of bad habits. You need to do away with all the things that hinder progression. Anything that pulls you away from your goal needs to be removed. We are our biggest gatekeepers and cannot keep blaming other people for stagnation.
78
5K
18K
0
2
50
@ricayo22
Ricayo
2 years
@eastafricatv @SuluhuSamia Muangaliage na watu wa kuwapa maiki. Kuna wengine wanaongeaga lolote lile wanalojisikia kuongea. Ila la msingi tumeipata point yake "waliokufa ni wabaya, walio hai ndio wazuri"
1
2
52
@ricayo22
Ricayo
2 years
Our gorgeous baby is One month old today🥳🎉 😍😍😍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
2
51
@ricayo22
Ricayo
2 years
@ZamaMpya_ @SuluhuSamia "Akina mama hawalalamiki kuhusu Tozo, wanaolalamika ni wanaume tu"🤡🤡🤡🚮
Tweet media one
7
0
47
@ricayo22
Ricayo
3 years
@spana_Konki Humu unaweza kuta watu wanakujua hadi kitovu chako kilitupwa wapi miaka hiyooo😂 Wanakuangalia tu wanasema hiiiiii🤣🤣🤣🤣
5
0
42
@ricayo22
Ricayo
1 year
Us those 🤗🥰🤎
Tweet media one
@Thelumusa_Nkosi
𝙳𝙻𝙰𝙼𝙸𝙽𝙸
1 year
A girl with no eye lashes no makeup❤But with natural beauty❤❤Bless us with a pic🤲🏿
575
276
4K
16
4
45
@ricayo22
Ricayo
2 years
Kikubwa uhai tu kwa kweli😂😂😂
Tweet media one
@itsmonaleesah
Omalicha 💕
2 years
@sleekslim48 @Mayordeyforyou “Twitter for Android” siwezi kukulaumu 💀
29
2
17
8
6
37
@ricayo22
Ricayo
2 years
Mungu ndio maana akakupa nyota ya ngoma za BASATA uishie kuperform Sauti za busara.
@Wakazi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
2 years
Was he on drugs?! daamn #CostaTitch 💔 🕊
90
4
287
13
11
39
@ricayo22
Ricayo
2 years
Nowadays Kids are the most vurnerable humans in the world💔
@kiracantmizz
kira*
2 years
now we all know why she was the favorite😭
Tweet media one
94
366
13K
3
0
39
@ricayo22
Ricayo
2 years
Kikubwa uhai tu😬
Tweet media one
3
6
35
@ricayo22
Ricayo
2 years
But this ain't healthy jamani. Stop romanticizing obesity.
14
7
35
@ricayo22
Ricayo
2 years
@Itswambu "Ni shetani"
Tweet media one
1
3
38
@ricayo22
Ricayo
2 years
Mbona wengine hatuoni kitu jamani??? Au dhambi zimetuzidia??🥲 😂😂😂😂
@meamswahili
MeaMswahili
2 years
BIKIRA MARIA AONEKANA KENYA WAKATI WA IBADA
198
53
392
15
2
36
@ricayo22
Ricayo
2 years
Awww this😍😍❤
3
8
35
@ricayo22
Ricayo
3 years
40 years 4 kids 19 tattoos I'm Libra 😎
Tweet media one
9
1
36
@ricayo22
Ricayo
2 years
You can't force people to choose you. You can be a nice person with a very generous heart and still be hated. Know this know Peace❤
2
23
32
@ricayo22
Ricayo
2 years
Natamani nimjue huyo mwamba mmoja😂😂😂
@eastafricatv
EastAfricaTV
2 years
#UPDATES Dkt @SuluhuSamia amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa @ccm_tanzania kwa kuchaguliwa kwa kura za ndio 1914 kati ya kura 1915 na kura 1 imesema hapana. #MkutanoMkuuCCM #EastAfricaTV
Tweet media one
171
32
841
7
3
33
@ricayo22
Ricayo
2 years
It's a very beautiful morning and ARGENTINA are the CHAMPIONS of FIFA QATAR WORLD CUP 2022🇦🇷 🤍💙 #VamosMessi #VamosArgentina
2
1
32
@ricayo22
Ricayo
2 years
Lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuomboleza🙏🏽✞
Tweet media one
5
5
32
@ricayo22
Ricayo
2 years
"Oooouuuuhhh, mawenge" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Ganslay_tz
Mchambuzi Wa Mchongo ⚽
2 years
Fei Toto Kakimbia kucheza CAF ili Akacheze MAPINDUZI CUP 😂😂 #WachambuziWaMchongo
40
59
643
3
0
33
@ricayo22
Ricayo
2 years
@SuphianJuma @Tigo_TZ "Hivi Kuna mtandao mwingine wenye vifurushi nafuu tuhamie?"🤡
Tweet media one
3
0
30
@ricayo22
Ricayo
3 years
Yes, wanaume wakristo wanafanya hivyo nowdays. Na wote wanakuwa wake wa ndoa kabisa. Ndoa ya kwanza inakuwa ile ya kikristo halafu hii ya pili anafunga ya serikalini. Na wake wanajuana na familia pia inawatambua.
@rollymsouth
Madenge
3 years
Jana nilikuwa na bro mmoja napiga nae stori akanambia ana wake wawili,nikamuuliza we si mkristo?akasema ndio,nikamwambia dini hairuhusu au kabila lako ndo utamaduni wenu?akanijibu hapana,huu ni utaratibu wangu mimi😅 Somo: Unaweza kuwa na utaratibu wako mwenyewe
215
169
2K
4
1
30
@ricayo22
Ricayo
3 years
@TwaibSon @rollymsouth Hii kitu wabongo hawaelewi na tunendekeza upuuzi tu. Ifike mahala mtu ukiwa na sherehe/harusi waombe watu wako wa karibu wakuchangie wanapoweza then fanya sherehe unayoimudu tu. Mambo za kuweka ulazima wa kuchangiana yamepitwa na wakati kwa kweli. 🙄🙄
1
0
28
@ricayo22
Ricayo
2 years
@millardayo Kuna uwezekano wowote kwa mtu itakayemuangukia alipwe fidia na hao NASA? Kama ni ndio basi watoe location ya mahali itangukia ni wapi watu tujue.
13
1
31
@ricayo22
Ricayo
1 year
When your 🐐 is celebrating by doing the iconic salute of your late favourite actor on his death month🥹🫶🏽 RIP Chadwick 🕊️
@brfootball
B/R Football
1 year
Messi hit the Wakanda Forever celebration 🙅‍♂️
Tweet media one
1K
7K
110K
3
0
29
@ricayo22
Ricayo
2 years
This🤝🏽 "No body can do it better than yourself."📌 Labda uwe kifungoni, haupo duniani au umeshikwa na ugonjwa mkubwa na mzito sana aisee.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
2 years
Mpaka pale imeshindikana kabisa, sababu zipo nje ya uwezo wako, Usiruhusu mtu yeyote hata kama ndugu wa karibu kiasi gani kukulelea mtoto wako. No body can do it better than yourself.
4
12
90
0
3
26
@ricayo22
Ricayo
2 years
@IAMartin_ Me as a parent of the kid:
1
6
28
@ricayo22
Ricayo
1 year
Mnaombaga raia kura kwa "heshima kubwa" ila mkishinda unatoa shukurani kwa mama, waziri na chama chako raia unawapiga sub za kichwa😂😂😂😂😂
@JotiOfficial
Joti
1 year
HELLOW..!! Tanzania 🇹🇿 👍👍 Naitwa Lucas Larazo Mhuvile a.k.a JOTI kwa heshima kubwa naomba kura yako katika Tuzo hizi hadhimu za ZIKOMO AFRICA AWARDS 🥇....Nipo kwenye Category ya BEST ZIKOMO COMEDIAN OF THE YEAR 2023….Kupitia Kura yako ushindi utarudi nyumbani..😂 Na
Tweet media one
344
217
2K
2
2
29
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Humu katika kila kitu inategemea na mtu na mtu. Anaweza kuwa bullied mtu wakacheka sana hao hao wanaokemea bullying, ila sasa akifanyiwa wanayempenda wao ndio mishipa ya shingo itawasimama kukemea. Walimwengu wa TOT😂😂😂
2
1
27
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Wadau wanasema upo upande wa mmanuaji maana always captions zako unakekeke😁😁😁
1
0
29
@ricayo22
Ricayo
1 year
My favourite video mweeh🥲 RIP Benny🕊️
8
3
28
@ricayo22
Ricayo
3 years
@spana_Konki Aiseee!!🤣🤣🤣🤣 Hii ya leo ni kubwa kuliko zote😂😂😂Inatakikana uwe na mapafu ya chuma🙌🏽 Hivi umesomea sheria kaka?(tafadhali nauliza kiustaarabu tu nijue🙏🏽) @IAMartin_
1
0
28
@ricayo22
Ricayo
2 years
Finally The MOST LIKED post on Instagram🏆🥳 56.5M likes in less than 48 hours🚀🚀🚀🚀 #Messi 𓃵
Tweet media one
3
1
28
@ricayo22
Ricayo
2 years
'Nyutro'😂😂 Hii weekend itakuwa ndefu sana🤣🤣🤣
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
2 years
Nyutro gang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Vipi tushaanza kuelewana!? Njooni tupiganie #KatibaMpya tena SASA! Otherwise mgumie kimya kwa maumivu mnapofikiwa na oppressive system! #TutaelewanaTu mbona? 🙌🏽
Tweet media one
36
76
355
1
4
27
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Hapo cha muhimu ni kutafakari na kuchukua ATUA kwa kweli😂😂😂
1
0
27
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Nah, this app I can't it walahi😂 Heri niendelee kuwa busy kushow off my babe Messi na Barça yangu tu basi😂😂😂
3
0
25
@ricayo22
Ricayo
3 years
Sio marafiki tu hata mke/ mume au mpenzi. Mapenzi nayo huisha. Hakuna kitu chenye uhakika wa kudumu milele hapa duniani. Ukilielewa hili wala hutapata tabu pale mambo yanapobadilika kwenye maisha.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
It is very okay endapo the so called your friends choose other friends over you. Maisha yanabadilika, hisia zinabadilika na vipaumbele pia.
11
61
464
2
1
25
@ricayo22
Ricayo
2 years
@eastafricatv Nyie vidunavi mkae mtulie tu kwa kweli😂😂😂😂
Tweet media one
6
2
25
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki "Wewe kitu unacho kichwani cha thamani ni mwanya tu" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Andunje mwana kulitafuta mwana kulipata😂😂😂
1
0
25
@ricayo22
Ricayo
2 years
Y'all be embarassing yourselves yapping anything on social media just to fit in toxicity😭😭😭 Can't be me wallahi 😂😂😂😂
@Lxnwabo
Lonwabo
2 years
Hell, he didn’t even tell me when he had his second baby. I just noticed a different baby with him and I’m like “ekse who’s this?” He’s like “that’s my daughter bro” I was like “eh hamba wena champion smasher” Even when he bought his car. He just came with it🤣😂
51
206
3K
0
0
24
@ricayo22
Ricayo
1 year
@ummymwalimu "2. NHIF wapite kutoa elimu kwenye mashule." Yaani mnapenda kuanzishaga tuvitu vitu ili tu hela zitumike. Sasa hapo elimu ya kulipia bima wanatakiwa wapewe watoto au wazazi wa hao watoto??? Mnalalamika mfuko hauna hela ila bado mnaweka mianya ya hela kutumika ndivyo sivyo.
2
1
25
@ricayo22
Ricayo
3 years
Aisee!! Kuna kosa gano hapo?? Mbona tunajiweka inferior sana jamani!! Yaleyale ya shishi kuanza kumchokoza yeye King, karudishiwa anaanza kulialia ooh wanawake tunadhalilishwa🚮
@Eric__Bernard
MR BEN
3 years
Watu wa Mitandao Salama wametumia hii Comment yangu kwenye hiyo Tweet ya Mwanahamis kufanya kampeni yao Mitandaoni, wakitaka kuaminisha umma kwamba comment yangu ilikuwa mbaya. Nataka wanieleze ilikuwa na shida gani? Wameniumiza, wamenidharirisha nataka waniombe Radhi haraka!
Tweet media one
28
10
78
2
1
23
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Michezo😂😂😂😂
Tweet media one
2
0
23
@ricayo22
Ricayo
2 years
Hukutakiwa hata kuwajibu Ney. Kuna wengine hutafuta attention kwa nguvu sana mtandaoni. You're very beautiful, bonge la model❤😍😍
@Neypaul01
Neypaul🤎
2 years
Hiyo alama apo, ni sababu mimi naishi🙌 Hallelujah 🙏😍
160
76
2K
2
3
23
@ricayo22
Ricayo
2 years
We're Argentinians 🇦🇷 💙🤍 #VamosArgentina 💪🏽
Tweet media one
Tweet media two
4
2
21
@ricayo22
Ricayo
3 years
Hali ni mbaya sana😑 Imagine watuhumiwa waliofikishwa mahakamani ni 3800, so hao 2368 bado tupo nao mtaani wanadunda tu. Na hii ni kwa miezi 9 tu🤔 @RebecaGyumi @CarolNdosi @MarekaMalili hope mmeiona hizi stats
@TheChanzo
The Chanzo
3 years
Hali ya Ukatili kwa watoto: Kati ya Januari - September 2021 Jumla ya watoto 3524 wamebakwa Watoto 637 wamelawitiwa (wavulana 567 na wasichana 70) Watoto 130 walichomwa moto Watoto 1887 wamepata mimba
Tweet media one
4
24
59
2
4
23
@ricayo22
Ricayo
2 years
@MarekaMalili Hizo ni biashara za madanguro katika kivuli cha massage parlour. Nothing else hapo.
1
0
23
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Bora wamempumzisha na spana za maumeme maana alielemewa hadi kuna siku akasemaga "niueni"😂😂😂😂😂😂
7
0
22
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Lakini jamaa kaongea ukweli sana😅😅
2
0
20
@ricayo22
Ricayo
1 year
Lakini mwishimiwa juzi hapa si ulikuwa unakemea raia kuongea kwa kuwakosea heshima watu wazima ambao kiumri ni kama wazazi wetu(mama) kuwa ni kosa? Hapa huyu babu ni kama babu yako pia so ujizuie tu maana na yeye anastahili heshima hivyo hivyo.
5
1
23
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Humu raia wanakujua kuliko unavyojijua wewe😂😂😂😂
2
1
22
@ricayo22
Ricayo
1 year
Just a normal day in African countries!!😑 I hate it here aisee!!
@Am_Blujay
The Instigator
1 year
Welcome to Zimbabwe where a chosen few eat while the masses suffer
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
565
2K
5K
2
5
20
@ricayo22
Ricayo
2 years
And Spoons & forks😂😂😂😂
@_theladymo
ỌMỌ́TÁRÁ LAWRENCE
2 years
Nothing disappears faster than pegs in African homes 🤣
948
753
7K
0
2
19
@ricayo22
Ricayo
1 year
Ila makolo ni spesho group aisee yaani unakatwa migoli mitano na uko nyumbani???🤣🤣🤣🤣🤣
@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
1 year
Tweet media one
1K
498
5K
1
2
21
@ricayo22
Ricayo
1 year
Thank you. But we are still waiting for John Wick Chapter 4🙏🏽
1
0
20
@ricayo22
Ricayo
1 year
@MarekaMalili Kuwashawishi kina Sharu Khan waje huku kuigiza Huba na Mboto😁😁😁
5
0
21
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Chawa unalipwa usifie maboss mtandaoni halafu kwa ground unakuwa tapeli😂😂😂😂 Kumbe ndio maana bar ikafa dhulma mbaya sana aisee
1
0
20
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki We kuweza??🤣 Hata mimi ningepotea hapo😂😂😂😂
1
0
21
@ricayo22
Ricayo
2 years
Madaraka Ya Kulevya Ni Come Penzi La Bundle
@iampopkiddy
Yung Forevér
2 years
Weusi's Best song is____?👀 #KiddyMusicBrief
Tweet media one
93
20
363
3
0
20
@ricayo22
Ricayo
2 years
@MarekaMalili Hakunaga kitu cha kukuzuia kuhusika kwenye malezi ya mwanao kama unahitaji kufanya hivyo. Kama mzazi mwenzako ni mkorofi anakuzuia kwa namna yoyote ile unaruhusiwa kumfikisha mikononi mwa sheria na haki hupatikana. Labda amtoroshe mbali huko akajifiche nae .
2
1
19
@ricayo22
Ricayo
2 years
@MarekaMalili Mtoto anaweza kuwa salama au sio salama kutegemea na yuko na watu wa aina gani(wema au wabaya). Haijalishi ni sehemu gani kati ya hizo tatu zilizotajwa hapo juu.
2
1
18
@ricayo22
Ricayo
1 year
@spana_Konki Juliana kaongea ukweli lakini😂😂😂😂😂
1
0
19
@ricayo22
Ricayo
1 year
LMAO💀Kwamba kumuoa ndio nini????? Mnawaoa na bado mnaenda kuchepuka kutafuta types zenu wa kutumia nao hela zenu🤡🤡🤡 The most ungrateful group of organisms in the whole universe🚮
@AmbweneJacob
Ambwene Jacob
1 year
Mwanamke aliyekuwa na wewe tangu hauna kitu, akavumilia zile emotions zako mbaya, depression and overthinking yako akavumilia sababu anaelewa hali yako. Mwanamke ambaye amekuvumilia kila mnapogombana na kakubaliana na madhaifu yako. Ukifanikiwa muoe huyo. Ndo mke wako huyo.
61
92
568
7
1
20
@ricayo22
Ricayo
2 years
@tanescoyetutz Miaka 61 ya Uhuru bado hadi leo mnapitia "kipindi kigumu cha upungufu wa umeme". Ni heri hiyo slogan yenu muibadilishe tu iwe "Tanesco tunayapa giza maisha ya watanzania". 🚮🚮🚮
1
0
19
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Kipara sijui anajisikiaje anavyoimbiwa huu wimbo kwa kweli. Yaani nafsi hata haimsuti kuifanya nchi inakuwa giza daily!!
1
0
20
@ricayo22
Ricayo
2 years
Kweli maisha yanabadilika aisee. Leo hii Kenani anamuonya Mzee Bashiru???🤣🤣🤣🤣🤣
8
5
17
@ricayo22
Ricayo
2 years
@Jambotv_ Wamfuate huko huko kijijini wakapige mnada mashamba yake yote 😂😂😂😂😂
5
0
18
@ricayo22
Ricayo
2 years
Ila kwa Idris hapo hapana angalau yeye huwa tunamuonaga anaongea upande wa raia na kukosoa pia kupitia comedy zake. Labda ungeweka mfano wa kina chitaki na yoo.
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Mchekeshaji maarufu Kenya, Eric Omondi leo, 21.02.2023 amewaongoza waandamanaji kuzuia njia ya kuingia na kutoka bungeni wakifikisha ujumbe wa jamii kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kodi lukuki Braza @IdrisSultan tusubiri utafanya jambo kama Eric au wewe ni SAMIA GANG?
Tweet media one
Tweet media two
121
128
2K
1
2
19
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Comment imetokea tumboni😭😭😭 Aah this app🤣🤣🤣🤣🤣
3
0
19
@ricayo22
Ricayo
2 years
@Joshua_Ubeku He really doesn't care about anything🤣🤣🤣🤣
0
0
18
@ricayo22
Ricayo
2 years
Feliz Navidad 🌲🎉🤍
Tweet media one
1
5
17
@ricayo22
Ricayo
3 years
@spana_Konki Carol amenishangaza sana kwa mtu wa projects za kijamii na mfanyabiashara aliyebase kwenye social media. Hao asiowafollow ndio atataka waende kwenye nyamachoma au waengage kwenye posts zake za projects za kijamii ili numbers zisome. Halafu hao hao anawabagua? Ajitafakari sana.
4
0
19
@ricayo22
Ricayo
1 year
A whole adult married man doing stupidity kukumbatia na kushika shika wanaume wenzie hadharani in the name of 'chawa najitafutia mkate'!!🚮 Hapo nyumbani akirudi anaitwa 'mume wangu'🤡 Walahi kuna wamama wana kasheshe kweli kweli majumbani mwao.😂😂😂
@Adventure_36
Adventure-360
1 year
Mwijaku alianza kuitwa na Abood, Baadae Shabiby, Baadae Mbunge Msukuma , Leo zamu ya Mkurugenzi wa Mabasi ya Al Saedy 😃😃🙌.
410
172
2K
7
3
18
@ricayo22
Ricayo
2 years
Naishaaaa🙌🏽🤣🤣🤣🤣🤣🤣
5
1
18
@ricayo22
Ricayo
2 years
@spana_Konki Wajob ni sheikh Yahya aliona mbali sana😂😂😂😂
1
0
19
@ricayo22
Ricayo
3 years
Kikubwa ni kuwa mapenzi yanakuwa yameisha. Na mapenzi yakiisha huwezi kuvumilia tena chochote ambacho ulikivumilia mwanzo. Cha msingi ni mwanamke kukubali ukweli kuwa mapenzi yameisha na co-parenting(kulea watoto kwa kushirikiana) iwepo. Maisha mengine yaendelee.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 years
Siku moja bila kutanguliza hisia tuongee kwanini wanaume uwa wanafikia hatua ya kuacha mwanamke wamezaa nae watoto zaidi ya mmoja.
72
39
758
2
2
18