Yaani Millard Ayo ndio chombo pekee walau kinatoa updates kinachoendelea huko. Meanwhile TBC wanaonyesha kipindi cha kwaya as if hakuna tukio kubwa linaoendelea nchini muda huu.
#BREAKING
Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Uokoaji kwa kushirikiana na Wananchi wamefanikiwa kuanza kuisogeza Ndege ya Precision Air iliyopata ajali leo asubuhi katika Ziwa Victoria, zoezi hili la kuivuta pembezoni linafanyika kwa kutumia kamba.
#MillardAyoBREAKING
@ZamaMpya_
"Unaitaka CCM iingie leo imalize", kwani CCM imeingia leo madarakani?? Miaka almost 61 bado eti wanaona kama wameingia leo vile!! Hawa majamaa sijui wanakuwaje kuwaje aisee.
Kindness is not selective. If a person is acting kind to you but unkind, cruel and harsh to others(unprovoked), one day you'll experience their unkindness & cruelty.
@kalegamyeh
Ila nyie aisee. Hivi umewahi kukutana na maskini hohehahe anaumwa na matibabu yake ni hayo ya kufanyiwa procedure ya dialysis halafu pesa hana? HAPO NDIO UTAJUA UMUHIMU WA KUWA NA PESA. Umaskini ni mbaya sana msiuromanticize kwa sababu nyie hamko katika hizo hali.
@spana_Konki
Kuna viumbe vina roho za kipekee kwa kweli. Unapush mtandaoni hastags za kuisifia TANESCO meanwhile nchini kuna mgao wa mkali sana wa umeme tena usiofuata ratiba unaendelea??? Aisee kazi ipo.
And when you pray tonight…pray for the eradication of bad habits. You need to do away with all the things that hinder progression. Anything that pulls you away from your goal needs to be removed. We are our biggest gatekeepers and cannot keep blaming other people for stagnation.
@eastafricatv
@SuluhuSamia
Muangaliage na watu wa kuwapa maiki. Kuna wengine wanaongeaga lolote lile wanalojisikia kuongea. Ila la msingi tumeipata point yake "waliokufa ni wabaya, walio hai ndio wazuri"
Yes, wanaume wakristo wanafanya hivyo nowdays. Na wote wanakuwa wake wa ndoa kabisa. Ndoa ya kwanza inakuwa ile ya kikristo halafu hii ya pili anafunga ya serikalini. Na wake wanajuana na familia pia inawatambua.
Jana nilikuwa na bro mmoja napiga nae stori akanambia ana wake wawili,nikamuuliza we si mkristo?akasema ndio,nikamwambia dini hairuhusu au kabila lako ndo utamaduni wenu?akanijibu hapana,huu ni utaratibu wangu mimi😅
Somo: Unaweza kuwa na utaratibu wako mwenyewe
@TwaibSon
@rollymsouth
Hii kitu wabongo hawaelewi na tunendekeza upuuzi tu. Ifike mahala mtu ukiwa na sherehe/harusi waombe watu wako wa karibu wakuchangie wanapoweza then fanya sherehe unayoimudu tu. Mambo za kuweka ulazima wa kuchangiana yamepitwa na wakati kwa kweli. 🙄🙄
@millardayo
Kuna uwezekano wowote kwa mtu itakayemuangukia alipwe fidia na hao NASA? Kama ni ndio basi watoe location ya mahali itangukia ni wapi watu tujue.
Mpaka pale imeshindikana kabisa, sababu zipo nje ya uwezo wako, Usiruhusu mtu yeyote hata kama ndugu wa karibu kiasi gani kukulelea mtoto wako.
No body can do it better than yourself.
HELLOW..!! Tanzania 🇹🇿 👍👍
Naitwa Lucas Larazo Mhuvile a.k.a JOTI kwa heshima kubwa naomba kura yako katika Tuzo hizi hadhimu za ZIKOMO AFRICA AWARDS 🥇....Nipo kwenye Category ya BEST ZIKOMO COMEDIAN OF THE YEAR 2023….Kupitia Kura yako ushindi utarudi nyumbani..😂
Na
@spana_Konki
Humu katika kila kitu inategemea na mtu na mtu. Anaweza kuwa bullied mtu wakacheka sana hao hao wanaokemea bullying, ila sasa akifanyiwa wanayempenda wao ndio mishipa ya shingo itawasimama kukemea. Walimwengu wa TOT😂😂😂
@spana_Konki
Aiseee!!🤣🤣🤣🤣 Hii ya leo ni kubwa kuliko zote😂😂😂Inatakikana uwe na mapafu ya chuma🙌🏽
Hivi umesomea sheria kaka?(tafadhali nauliza kiustaarabu tu nijue🙏🏽)
@IAMartin_
Nyutro gang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vipi tushaanza kuelewana!?
Njooni tupiganie
#KatibaMpya
tena SASA!
Otherwise mgumie kimya kwa maumivu mnapofikiwa na oppressive system!
#TutaelewanaTu
mbona? 🙌🏽
Sio marafiki tu hata mke/ mume au mpenzi. Mapenzi nayo huisha. Hakuna kitu chenye uhakika wa kudumu milele hapa duniani. Ukilielewa hili wala hutapata tabu pale mambo yanapobadilika kwenye maisha.
Hell, he didn’t even tell me when he had his second baby.
I just noticed a different baby with him and I’m like “ekse who’s this?” He’s like “that’s my daughter bro” I was like “eh hamba wena champion smasher”
Even when he bought his car. He just came with it🤣😂
@ummymwalimu
"2. NHIF wapite kutoa elimu kwenye mashule."
Yaani mnapenda kuanzishaga tuvitu vitu ili tu hela zitumike. Sasa hapo elimu ya kulipia bima wanatakiwa wapewe watoto au wazazi wa hao watoto??? Mnalalamika mfuko hauna hela ila bado mnaweka mianya ya hela kutumika ndivyo sivyo.
Watu wa Mitandao Salama wametumia hii Comment yangu kwenye hiyo Tweet ya Mwanahamis kufanya kampeni yao Mitandaoni, wakitaka kuaminisha umma kwamba comment yangu ilikuwa mbaya. Nataka wanieleze ilikuwa na shida gani? Wameniumiza, wamenidharirisha nataka waniombe Radhi haraka!
Hali ni mbaya sana😑 Imagine watuhumiwa waliofikishwa mahakamani ni 3800, so hao 2368 bado tupo nao mtaani wanadunda tu. Na hii ni kwa miezi 9 tu🤔
@RebecaGyumi
@CarolNdosi
@MarekaMalili
hope mmeiona hizi stats
Hali ya Ukatili kwa watoto:
Kati ya Januari - September 2021
Jumla ya watoto 3524 wamebakwa
Watoto 637 wamelawitiwa (wavulana 567 na wasichana 70)
Watoto 130 walichomwa moto
Watoto 1887 wamepata mimba
Lakini mwishimiwa juzi hapa si ulikuwa unakemea raia kuongea kwa kuwakosea heshima watu wazima ambao kiumri ni kama wazazi wetu(mama) kuwa ni kosa? Hapa huyu babu ni kama babu yako pia so ujizuie tu maana na yeye anastahili heshima hivyo hivyo.
@MarekaMalili
Hakunaga kitu cha kukuzuia kuhusika kwenye malezi ya mwanao kama unahitaji kufanya hivyo. Kama mzazi mwenzako ni mkorofi anakuzuia kwa namna yoyote ile unaruhusiwa kumfikisha mikononi mwa sheria na haki hupatikana. Labda amtoroshe mbali huko akajifiche nae .
@MarekaMalili
Mtoto anaweza kuwa salama au sio salama kutegemea na yuko na watu wa aina gani(wema au wabaya). Haijalishi ni sehemu gani kati ya hizo tatu zilizotajwa hapo juu.
LMAO💀Kwamba kumuoa ndio nini????? Mnawaoa na bado mnaenda kuchepuka kutafuta types zenu wa kutumia nao hela zenu🤡🤡🤡
The most ungrateful group of organisms in the whole universe🚮
Mwanamke aliyekuwa na wewe tangu hauna kitu, akavumilia zile emotions zako mbaya, depression and overthinking yako akavumilia sababu anaelewa hali yako. Mwanamke ambaye amekuvumilia kila mnapogombana na kakubaliana na madhaifu yako. Ukifanikiwa muoe huyo. Ndo mke wako huyo.
@tanescoyetutz
Miaka 61 ya Uhuru bado hadi leo mnapitia "kipindi kigumu cha upungufu wa umeme". Ni heri hiyo slogan yenu muibadilishe tu iwe "Tanesco tunayapa giza maisha ya watanzania". 🚮🚮🚮
Ila kwa Idris hapo hapana angalau yeye huwa tunamuonaga anaongea upande wa raia na kukosoa pia kupitia comedy zake. Labda ungeweka mfano wa kina chitaki na yoo.
Mchekeshaji maarufu Kenya, Eric Omondi leo, 21.02.2023 amewaongoza waandamanaji kuzuia njia ya kuingia na kutoka bungeni wakifikisha ujumbe wa jamii kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kodi lukuki
Braza
@IdrisSultan
tusubiri utafanya jambo kama Eric au wewe ni SAMIA GANG?
@spana_Konki
Carol amenishangaza sana kwa mtu wa projects za kijamii na mfanyabiashara aliyebase kwenye social media. Hao asiowafollow ndio atataka waende kwenye nyamachoma au waengage kwenye posts zake za projects za kijamii ili numbers zisome. Halafu hao hao anawabagua? Ajitafakari sana.
A whole adult married man doing stupidity kukumbatia na kushika shika wanaume wenzie hadharani in the name of 'chawa najitafutia mkate'!!🚮
Hapo nyumbani akirudi anaitwa 'mume wangu'🤡
Walahi kuna wamama wana kasheshe kweli kweli majumbani mwao.😂😂😂
Kikubwa ni kuwa mapenzi yanakuwa yameisha. Na mapenzi yakiisha huwezi kuvumilia tena chochote ambacho ulikivumilia mwanzo. Cha msingi ni mwanamke kukubali ukweli kuwa mapenzi yameisha na co-parenting(kulea watoto kwa kushirikiana) iwepo. Maisha mengine yaendelee.