@mkandamizaji
Mchungaji! Mchungaji! Mchungaji! Nimekuita mara 3 kwa maana naona mfano wako hauna mantiki...huyu baba (raia wa tz) wala hajakataa kuhudumia familia na wala sio kama haudumii familia ila kuna kiwango kulingana na kipato chako, usijilazimishe kuhudumia kupita uwezo wako wa mfuko