OscarOscar Profile
OscarOscar

@mzeewakaliua

Followers
1,022,191
Following
203
Media
178
Statuses
9,232

Journalist

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Mume wa Zumaridi😀🙌🏻
Tweet media one
446
144
6K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Fatherhood requires love not DNA.
Tweet media one
158
138
6K
@mzeewakaliua
OscarOscar
9 months
A new Graduate in Town. A master’s degree of Arts in Mass Communication from the University of Dar es Salaam is a done deal.
Tweet media one
185
191
6K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Dear Henoc Inonga, greetings. Nimejisikia vibaya sana kukuona unatetemeka baada ya kukosa penalty. Take it easy. You are the best.
254
202
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Nilienda EFM nikiwa kijana mdogo sana Kitaaluma, lakini nimeondoka kama mtu mzima. Malezi na Miongozo yenu kwa kiasi kikubwa imechangia mimi kuwa hapa nilipo leo, I will always be grateful 🙏🏻. Tumetoka mbali sana. Tumepitia mambo mengi sana. EFM/TVE mtabaki kuwa Wazazi wangu
Tweet media one
277
195
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
JAMHURI SECONDARY DODOMA, Kidato cha SITA.
Tweet media one
612
132
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama ukiwapa Viongozi wa Simba kile Kikosi cha Yanga, Robo Fainali ni Uhakika kabisa.
166
159
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Mambo ya kusema Derby haina mwenyewe, yaishe mara moja. Derby ina mwenyewe, na mwenyewe ni YANGA.
190
242
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama tunataka kwenda mbele, Tujifunze kupokea ukweli. SIMBA DAY ni LIDUDE kubwa sana.
129
228
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Okrah ni Mchezaji mzuri sana lakini bado ana Kaufala flani hivi .
307
111
5K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Asanteni sana Martin Luther Schools kwa Elimu Bora ya Msingi, Mungu awabariki sana🙏🏽. We are now On to the Next One at MARIAN BOYS SECONDARY SCHOOL
Tweet media one
241
107
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Al Hilal Media Officer
Tweet media one
199
94
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Huyu Kuku Maji si alituaminisha kwamba Fei haendi kokote? PITA HUKU!🤣
Tweet media one
194
100
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Asante Boss wangu @diamondplatnumz kwa kunipatia Bodyguard 🙏🏻
Tweet media one
119
126
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Unalalamika huolewi, halafu kutwa unazurura na Jezi ya YANGA!
211
205
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Wananchi najua mnafuzu kwenda Nusu Fainali, lakini nikipewa Yanga na Andazi, nitachagua Andazi. @Roma_Mkatoliki
Tweet media one
154
126
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Kama una Amini, Simba SC anashinda Weekend hii dhidi ya Vipers, type AMEN YARABBI🙏🏻
Tweet media one
400
95
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Baada ya Ally Mayay kutokuwa na Sifa za kuwania URAIS wa TFF, hatimaye amekuwa na Sifa za kuwa Boss wa TFF!
164
169
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
SIMBA 5-0 Mtibwa Sugar, watu Kimya. Yanga 4-1 Singida BS, watu Bahasha! Hakika UNGA sio mzuri!
270
234
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Baada ya Barbara kwenda CAF, Group A msimu huu litaundwa na Wydad Casablanca, Mamelod Sundowns, Al Ahly na Yanga.
250
137
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
SIMBA ni LIDUBWASHA kubwa sana Africa.
75
151
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
1 year
Ukiulizwa Oscar Oscar ni mtu wa aina gani utajibuje?
Tweet media one
897
125
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Ni kweli Mzungu wa Simba ana Magoli mengi ligi Kuu kuliko Azizi KI?
136
109
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kitendo cha Yanga kutoalikwa kwenye Mkutano Mkuu wa CAF unaofanyika ARUSHA ni kuwakosea Heshima.
426
110
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama Simba tunataka Ubingwa, Yule Azizi KI anatakiwa kupewa Lishangazi pale Magomeni Mapipa mapema.
142
124
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
11 months
Ni mwaka mwingine tena. Ni Baraka nyingine tena na niko tayari kuzipokea. Happy birthday to me
Tweet media one
240
121
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Huyu ni Mtu wa hovyo anayetumia jina langu kuandika vitu vya hovyo!! Sihusiki na mambo haya ya hovyo!
Tweet media one
417
113
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hawa TFF wana Matatizo yao mengi sana lakini kwenye hili suala la Yanga, nawaunga Mkono.
143
158
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Maulid Kitenge ndiye Afisa Habari mpya. Kila la heri kaka🙏🏻
66
96
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama Nabi amekatazwa kukaa kwenye benchi, huyu ninayemuona hapa ni Baba Yako?
208
114
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Leo ndiyo nimeamini kuwa SIMBA SC ndiyo BRAND kubwa zaidi ya Soka hapa Tanzania.
125
145
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
TFF mtaacha kushindana na Yanga lini? Wao Press Saa 5 Asubuhi na nyie Saa 5 Asubuhi! Utadhani Wake wenza!!
183
151
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Halafu unasikia kuna dogo anataka Kulipwa sawa na Aziz KI!
160
122
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kweli UTOPOLO ni UTOPOLO tu!
198
133
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Simba ni Last Born wa CAF.
195
122
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Simba ndiyo timu pekee ambayo huanza ligi na Makocha mpaka wa Misuli lakini humaliza ligi na Suleiman Matola tu.
189
140
4K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama niliwahi kusema mahali popote kuwa Yanga ndiyo timu Bora nchini, naomba mnisamehe. Nilikuwa nimelewa!
166
117
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya Ramani ya Jiji na Jezi ya Mpira.
104
141
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hivi hatuwezi kuwatuma hawa Simba Queens wakatuwakilishe na Tunisia ?
229
152
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Inasikitisha kuona Kamati ya Maadili inakosa Maadili!
286
137
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Role Model wa Soka la Kimataifa nchini ni Simba SC, kama unabisha njoo tubishane nimekaa paleeee!
114
157
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kwangu mimi , Goli la Mayele ni Bora sana kuliko la Ousmane Sakho. Period
612
96
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Yaani Jimmyson Mwanuke amelala Uturuki, halafu MAYELE amelala Msamvu? Sijapenda.
225
136
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kazi ya Ofisa Habari sio kuujaza Uwanja, my brothers punguzeni kufanya kazi ambazo si za kwenu.
208
106
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kila nikitaka kulala, namuota Florent Ibenge anakuja ameshika Panga. Hii Ndoto itakuwa na maana gani?
290
103
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Jezi Mpya ya Simba isipotambulishwa Kesho, Mniite Mbwa!
134
78
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Ukisikia Mlango unagongwa Usiku huu, Usifungue. Huenda ni Mabingwa wetu wanataka kuweka Kambi ya Pre Season kwako.
159
122
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama Simba itafika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika msimu huu, basi Yanga atakuwa Bingwa Mpya wa Afrika.
233
97
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Nimezipitia tena AMRI 10 ZA MUNGU, Aisee haingii Mtu Mbinguni.
190
138
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hili ndiyo Shirikisho la Mpira wa Miguu la HOVYO kuwahi kutokea Duniani!!
217
103
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Inauma sana kuona wewe unafungwa MBILI, halafu mwenzio anashinda MBILI na huku akiupiga mwingi.
100
111
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Linapokuja suala la Klabu Bingwa Afrika, Yanga ni DHAIFU!
143
126
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
3 years
Mwenye Picha ya Makambo akiwa amegusa Mpira , naiomba DM nina shida nayo.
215
99
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Ndiyo maana Kimataifa huwa Mnabanduliwa mapema!
295
136
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Natamani Yanga akitolewa na Al Hilal, kule Kombe la Shirikisho apangwe na MWARABU ili tuone ubunifu wake.
126
90
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Slogan yetu kule Khartoum ni LIWALO NA LIWE!
188
94
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Simba Bingwa Mara tano mfululizo ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
223
90
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Anayekuja kumfukuzisha Kazi Nabi sio Rais wa Yanga, ni Juma Mgunda nimekaa paleeee!!
121
131
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kuna timu ilikuwa imeandaa jezi za Klabu Bingwa group stage, lakini baada ya kusoma CUBA wakazigeuza na kuwa za kumuenzi Mwalimu!
160
110
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Ugomvi mkubwa kwaibuka Kambi ya Al Hilal, nasikia kila Winga anataka kucheza upande wa Joyce Lomalisa!
129
92
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Simba itakuwa timu ya kwanza nchini kucheza Fainali ya Klabu Bingwa AFRIKA. Somebody say AMEN??
255
88
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Wenye Wachezaji TISA kwenye timu ya Taifa, wameanza wanne tu. Ila wenye wachache (SABA), wameanza sita na wala hawaringi.
282
102
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Ni kweli timu imefuzu lakini Kocha Nabi inabidi atimuliwe tu kama kweli Yanga wanahitaji kusonga mbele.
281
89
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hivi mnauhakika kweli Simba walikuwa Pre-Season Egypt? Maana kile Kiwango ni kama walikuwa Keko Machungwa.
117
119
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama Nabi atafungwa na Wasudani na kufungwa tena na Pep Guardiola Mnene Mwendo atakuwa ameumaliza!
133
86
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kwa hiyo kwa sasa nakatwa Kodi kila Mshahara, nakatwa Bank kila Transaction na kwenye Simu kila Transaction?
296
167
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
CAF wameamua kuniletea Tanzania, chama langu la utotoni Club Africain. Thank you CAF🙏🏽
92
82
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Lobi Manzoki is Green and Yellow
175
67
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
3 years
Shemasi anajitahidi kuvaa Viatu vya Manara lakini, hajui Chochote kuhusu soka. Yeye anajua ni matusi tu!
298
129
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
3 years
Kwa matokeo haya hata Simba wenyewe waliotupa hii nafasi ya Klabu Bingwa Afrika tutawachosha!
165
157
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
DUBWASHA halijawahi Kutinga Group Stage ya CAF Champions league tangu mwaka 1998! Dubwasha kama DUBWASHA!
175
116
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Tanzania hatujawahi kuzalisha Quality player kama FARID Mussa.
116
83
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hakuna anaweza kukubali kulala Wachezaji Sita Chumba Kimoja.
160
86
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hivi vile Vishikwambi vya Sensa, baada ya Sensa vinakwenda wapi?
378
97
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
3 years
Hivi Rais wa nchi akitaka kwenda Uwanjani akiwa na mualiko wa VVIP, watoto wake wanaenda kukaa wapi?
328
81
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Yule Mserbia TUMEPIGWA, lakini Mohamed Ouattara ni VVD Mtupu.
92
66
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hatimaye Aibu iliyopatikana Singida, imefutwa na Goli la Aziz KI!
100
113
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Feisal Salum anapendwa sana na Mashabiki wa Soka Tanzania but Kiukweli, HE IS OVERRATED!
191
79
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Asante sana Sports HQ. Asanteni sana EFM🙏🏻
148
79
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Vita wanayopigana Yanga kwa sasa nje ya Uwanja, ni Kubwa kuliko Kutwaa Ubingwa wa Afrika. Tuwaombee
111
96
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Mpaka sasa sielewi hawa watu wamewezaje kumaliza ligi UNBEATEN!
203
70
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Chukueni Ubingwa wa Ligi, chukueni Ubingwa wa FA but as we Speak, timu Bora Tanzania bado ni Simba SC.
217
146
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kwa haraka unaweza kusema Yanga wanaongea Pumba kwenye Issue ya TK Master, lakini kiuhalisia ni Kweli Wanaongea Pumba.
118
104
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Mohamed Ouattara na Henoc Inonga wanaweza kuwa na Clean Sheet hata kama timu hawatoanza na Kipa.
80
96
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Mpira waliopiga Simba leo, mara ya mwisho niliuona Kwa Argentina Kombe la Dunia.
90
122
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Faini ya kugonga na Kuuwa Twiga, inafika mpaka 34M. Yanga always wanauwa Simba but no fine! DOUBLE STANDAARD!
106
130
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Pale Simba hamna Kocha, bora Uhai tu.
235
88
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
8 months
Merry Christmas to you and your family 🎄
Tweet media one
50
69
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kwa hiyo mpaka sasa Dário Frederico ni Bora kuliko Azizi KI? Hii nchi ina mambo ya hovyo sana!
116
73
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Chama yuko fiti kwa 50% tu, lakini tayari amehusika kwenye Magoli mengi kuliko Aucho na Fei!
123
119
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kila la kheri chama kubwa, Young Africans SC. Mkapate ushindi Insha'Allah.
139
101
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Nimejisikia Aibu sana, kumbe Yanga haijafuzu Group stage Klabu Bingwa Afrika tangu 1998?
100
94
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kama timu yako haijawahi kufungwa 5-0 na SIMBA, Njoo tubishane nimekaa paleeee!!
115
132
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Namuona Moses Phiri akicheza na Fiston Mayele pale Jangwani muda si mrefu.
143
74
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
3 years
KWA MARA YA KWANZA nashuhudia TEAM INAENDA Kushiriki CLUB BINGWA Afrika KWA KOMBE la mapinduzi!
195
72
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Matokeo kama haya yatawakomaza Wasemaji Vijana na kuwafanya kuwa na heshima dhidi ya timu Pinzani. Yanga haijawahi kuwa na uwekezaji mkubwa kuliko Al Hilal. Yanga haijawahi kuwa na rekodi bora za CAF kuliko Al Hilal! Yanga anaweza kufuzu lakini Vijana wapungunze Mihemko!
271
161
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Wazee wa FAIR COMPETITION mbona mko Kimya hili la Simba na Wagosi kuwa na kocha mmoja?
127
91
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Merry Christmas to you
Tweet media one
77
38
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Kuanzia leo Ukimuona Afisa Habari wetu ameshika hata Mpira wa Makaratasi, toa Taarifa Kituo cha Police kilichokaribu yako.
128
106
3K
@mzeewakaliua
OscarOscar
2 years
Hatimaye wale Watu kwenye Jezi za msimu uliyopita, Wamejenga kwenye Jezi za msimu huu ila Ujenzi Holela!
134
88
3K