Nilienda EFM nikiwa kijana mdogo sana Kitaaluma, lakini nimeondoka kama mtu mzima. Malezi na Miongozo yenu kwa kiasi kikubwa imechangia mimi kuwa hapa nilipo leo, I will always be grateful 🙏🏻.
Tumetoka mbali sana. Tumepitia mambo mengi sana. EFM/TVE mtabaki kuwa Wazazi wangu