Williard Profile Banner
Williard Profile
Williard

@prolific_88

Followers
11,015
Following
2,380
Media
10,312
Statuses
88,240

Escobar's Dreams

Money
Joined March 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@prolific_88
Williard
16 hours
MCHANA HUU TUMEFANYA KUWATONESHA KIDONDA WARUSI KIDOGO 😁😁 HUKU BRAIN ZINACHEMKA KWELI ANAOIGWA LEFT RIGHT NA LEO NDO KUNA NBA 😂😂 NJOO GROUP CHAP 0760245103 ANDIKA ADD NI BURE KABISA HUKO🤝🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
42
56
@prolific_88
Williard
4 months
Kwamba dada yenu alikuwa hajui kuwa anarekodiwa akiliwa 😂 soon atadeactivate acc 🙌🏽
189
80
2K
@prolific_88
Williard
2 months
Najiuliza palmeiras wamefanikiwa wapi mpaka jezi zao zimenunuliwa sana msimu huu? 🤔
Tweet media one
54
31
1K
@prolific_88
Williard
1 month
Namba 0712790468 imenipigia usiku huu nakunipa vitisho vikali muda huu Inasomeka na usajili wa SELEMANI LILIDO.
Tweet media one
73
153
1K
@prolific_88
Williard
4 months
Wakati naambiwa Sativa kapigwa gun imepita pembeni binafsi nilijua imepita pembeni imemchuna na kumkwangua kidogo. Kumbe hapana wazee gun imepita chini ya Skio imeenda kutokea kwenye kidevu. Na bado anakwambia nilizima kwa dk 1 tu. Ikumbukwe hawezi kutembea na yupo katikati ya
Tweet media one
106
218
1K
@prolific_88
Williard
1 month
Wakati akina msuva na pacome wanapigwa vibao angalia GSM akifanyiwa training na Denzel😂
52
71
1K
@prolific_88
Williard
4 months
🖤🖤 SATIVA STAY STRONG GEE.
Tweet media one
4
160
807
@prolific_88
Williard
3 months
Dah nimecheka kuliko jana 😂
52
217
793
@prolific_88
Williard
10 months
Kibibi kipenda mboooo😂
Tweet media one
63
20
743
@prolific_88
Williard
11 months
Bro ni vile amezaliwa bongo tu 🙌🏿🙌🏿 Bro ni vile ameukuta muziki una mondi na kiba Bro ni vile ameukuta muziki wa mashabiki mpasuko Bro ni vile hatujachagua kumpa heshima HARMONIZE NI PURE TALENT.🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Tweet media one
66
51
684
@prolific_88
Williard
6 months
Nina shida na haka naomba mwenye kuuza au anayejua zinapo uzwa aje dm one time please 🙏🏿
Tweet media one
53
51
668
@prolific_88
Williard
4 months
Kutoka kwa Zungu pale Instagram 😞😞😞😞😞
Tweet media one
23
48
577
@prolific_88
Williard
4 months
Siku aki log in akute 100k ya upendo. Weka handle yako hapa hakikisha umemfollow @Sativa255
Tweet media one
126
117
584
@prolific_88
Williard
4 months
#TAPELI IS HERE TO STAY ALIVE ✊🏿
Tweet media one
10
57
566
@prolific_88
Williard
4 months
Aisee darusalaaam🙌🏽🙌🏽🙌🏽
99
69
562
@prolific_88
Williard
4 months
Tweet media one
5
156
531
@prolific_88
Williard
3 months
The next NBC premier league MVP. PPZ
24
36
493
@prolific_88
Williard
4 months
#TAPELI IS HERE TO DO IT AGAIN👊🏿✊🏿
Tweet media one
7
105
482
@prolific_88
Williard
2 months
Mjinga huyu hanaga shoe mbovu 😂😂
14
63
458
@prolific_88
Williard
4 months
Mh speaker @TuliaAckson ndugu yetu anaitwa Ediga mwakalebela amepotea toka jana jioni tunaomba msaada wenu tujue yuko wapi 🙏🏽🙏🏽
Tweet media one
14
196
448
@prolific_88
Williard
1 year
Tunauza bange kwa jumla na reja reja Jumla kilo 1= 15000Tsh Rejareja kwte=300Tsh Mikoani tunatuma. RT IFIKE MBALI UKIHITAJI NCHEKI DM
Tweet media one
75
85
428
@prolific_88
Williard
2 months
I'm not getting older, I'm getting better! 🌟🍰 🎂🎂
Tweet media one
135
79
437
@prolific_88
Williard
2 months
@Vybz_Official We pullin' up king
Tweet media one
60
30
429
@prolific_88
Williard
4 months
Baada ya mimi kutoka Kwa Sativa Nimepigiwa simu kuwa kuna Mama na Bro walienda pia kumtafuta pale kama mimi nilivoenda kumtafuta wameshangaa kama mimi nilivoshangaa kutokumkuta. Wameshafunga Madirisha pale home naambiwa wameaga kuwa wanaenda kutoa taarifa kituo cha Polisi. Kwa
Tweet media one
6
136
404
@prolific_88
Williard
4 months
SATIVA UKO WAPI KAKA? NINI KIMEKUPATA HOME BOY? SIMU HAZIITI KAMA TULIVOZOEA UKO WAPI SATIVA KUNA TAHARUKI JUU YAKO. ALIYE NA SATIVA AU ANAEJUA TAARIFA YOYOTE JUU YAKE TUNAOMBA TAARIFA DM AU PIGA HIZI NAMBA👇🏽 0624235103 0699742232 RT TUMPATE NDUGU YETU 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Tweet media one
2
328
390
@prolific_88
Williard
4 months
Hopefully uko salama home boy 🙏🏽
Tweet media one
4
194
298
@prolific_88
Williard
8 months
Dah canser imeondoka na sister 💔.
120
40
294
@prolific_88
Williard
2 months
Huu sio ustaarabu na ni level ndogo sana professionalism
Tweet media one
65
20
296
@prolific_88
Williard
4 months
Leo txt zinaenda
Tweet media one
12
42
297
@prolific_88
Williard
4 months
Ni imani yetu sura hii itakuwa na tabasamu tena kwa mara nyingine kama tulivyo izoea. Tunamuomba Mwenyezi Mungu asimame na jambo letu leo tena katika harakati za kumtafuta ndugu yetu @Sativa255 ambaye ametoweka siku kadhaa zilizopita, ni imani yetu kuwa tutapata msaada kutoka
Tweet media one
9
188
287
@prolific_88
Williard
4 months
Jina lake kamili anaitwa Edger Edson Mwakabela wengi wanamfahamu kwa jina la Sativa. Ndugu yetu hajulikani alipo toka tarehe 23.06.2024 Majira ya saa 12:45 jioni maeneo ya ubungo alipoaga kwa Kaka yake Patrick na kuchukua Boda ya kurudi nyumbani kwake Kimara. Sisi kama ndugu,
Tweet media one
4
190
281
@prolific_88
Williard
4 months
"Kama mlijua nitakuja na PAMBIO za sifa kama MMAKONDE sio mimi" cc: @Sativa255
Tweet media one
4
41
280
@prolific_88
Williard
4 months
Wote tunaamini Sativa atapatikana muda wowote lakini cha zaidi tunatamani apatikane mapema na akiwa mzima. Binafsi naelewa kuna muda watu inatakiwa wapush biashara zao, Waendelee na mambo mengine wapo pia ambao wanatoa ushirikiano nje ya hii App hilo ni jambo linatia moyo na la
Tweet media one
Tweet media two
7
88
277
@prolific_88
Williard
4 months
WE MISS YOU OUR OWN #TAPELI
Tweet media one
6
122
264
@prolific_88
Williard
4 months
Nadhani pakianzia tunapo #sativa Atapatikana tu.
Tweet media one
14
97
252
@prolific_88
Williard
4 months
Tweet media one
0
217
241
@prolific_88
Williard
2 months
Aiseee 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
20
36
243
@prolific_88
Williard
1 month
😂😂😂
10
34
234
@prolific_88
Williard
4 months
Sativa ana akili timamu hawezi kutoweka bila sababu, tunaomba mamlaka za kiulinzi zikiongozwa na @tanpol watusaidie kumpata ndugu yetu aliye timiza siku tatu sasa pasipo kujulikana yuko wapi. #WhereIsSativa
Tweet media one
2
130
231
@prolific_88
Williard
4 months
Mpaka sasa yametimia masaa 60 hatujui ndugu yetu Sativa alipo. Ni jambo la kusikitisha na la kutisha kwa zaidi ya siku mbili tumemtafuta bila mafanikio yoyote. Wapo ambao walitoa ushauri kuwa tumtafute Boda aliyembeba kijiweni mara ya mwisho lakini kwa bahati mbaya sana alichukua
Tweet media one
8
142
228
@prolific_88
Williard
4 months
Weka handle hapa muda hautoshi followers ni wengi.
Tweet media one
175
25
223
@prolific_88
Williard
6 months
Wamemkamata juzi wakamfinya 😂😂
25
21
219
@prolific_88
Williard
4 months
Kuna watu wanareport akaunt ya @Thereal_taivina wakati ni moja ya akaunti ambazo inaleta updates muhimu hapa X. Amenipigia na kuniambia kuwa mpaka sasa amepata viashilia zaidi ya mara tatu vya kuripotiwa akaunti yake na watu wa humu. Iko hivi @Thereal_taivina ndiye mtu
Tweet media one
23
130
223
@prolific_88
Williard
4 months
AMEPOTEA AMEPOTEA. AMEPOTEA Anaitwa ABDALA MAKUKA ana miaka 31 UR ni FT 5.8 mwenyeji wa Iringa tangu apotee ana siku ya tatu Leo hajulikani alipo msaada familia inalia kumtafuta kijana wao. NAOMBA RT YAKO KIJANA APATIKANE Cc: @TzGiza
Tweet media one
2
210
214
@prolific_88
Williard
3 months
Weka handle tufike 10k hakikisha umenifollow nafollow back chap.
Tweet media one
139
46
202
@prolific_88
Williard
4 months
#Update ya #SATIVA toka kwa @Thereal_taivina Soma na Sambaza Ujumbe👇🏼👇🏼👇🏼 Zimetimia siku 3 sawa na Masaa 72 Ndugu yetu Edger bado haonekani. Ni jambo la kutisha na la kusikitisha kadri siku zinavozidi kwenda tumemtafuta sehemu nyingi sana Staki Shali, Temeke, O bay, Gogoni,
Tweet media one
6
168
208
@prolific_88
Williard
4 months
Tweet media one
0
97
205
@prolific_88
Williard
4 months
Mpaka sasa katika jitihada za kumtafuta ndugu yetu tumefanikiwa kufika kituoni osterbay na kueleza mazingira ya upotevu wa ndugu yetu lakini juhudi zetu zimegonga mwamba baada ya kuambiwa pale ndugu yetu hayupo. Baada ya hapo uelekeo ilikuwa ni hospitali ya taifa ya muhimbili
Tweet media one
10
130
199
@prolific_88
Williard
3 months
Hii ndio hali yangu ya Sasa. Madaktari wanaweza kunielewa. Hizi nyaya na Lastiki nimefungwa mdomo mzima. Hii ni kama "HOGO" ambapo ukivunjika kwenye mfupa linafungwa kwa nje kuzuia movement za eneo husika. Hizi nyaya zinafungwa na Lastiki ambazo lengo lake ni KUBANA meno
Tweet media one
Tweet media two
13
63
192
@prolific_88
Williard
2 months
Huyu Denzel atawauwa hawa 😂
9
9
193
@prolific_88
Williard
4 months
Kama unataka acc yako ikue fasta fanya haya👇🏽 ✅Nifollow nikufollow back ✅ Retweet hii post ✅Weka handle yako kwenye comment ✅Follow kila mmoja alie weka handle
Tweet media one
115
98
185
@prolific_88
Williard
30 days
Mimi sitaki vitisho vya kisenge njoo direct hood ufanye unalotaka sikuzaliwa niishi siku zote duniani.
9
16
183
@prolific_88
Williard
4 months
Tumia uzoefu wako utuambie hii simu gani.
Tweet media one
53
11
179
@prolific_88
Williard
4 months
SATIVA TUKO NA WEWE KAKA USIWE MPWEKE MAOMBI YETU YOTE YAKO KWAKO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
8
59
182
@prolific_88
Williard
2 months
Nimeambiwa hapa atakae leta namba ya huyu anakula 100k fasta🤝🏿
Tweet media one
6
8
174
@prolific_88
Williard
4 months
Kaka yetu @TitoMagoti Alitupa story fupi kuwa kipindi amepata matatizo kuna Mtu alimkejeli na kumuuliza ana Followers kiasi gani kama wapo waende kumsaidia maana hao ndio waliokuwa wakimpa kichwa. Siku chache mbele alifanikiwa kutoka na kisha mtu huyo huyo kumwambia kuwa ashukuru
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
107
170
@prolific_88
Williard
2 months
Mchina kajichanganya 😁😂
9
16
161
@prolific_88
Williard
3 months
MAMALA MAMAAAAAMAMAMAAAAEEEEEE
Tweet media one
0
8
159
@prolific_88
Williard
3 months
Katavi kwa kina @Sativa255 huko mambo ni mengi.
Tweet media one
6
5
162
@prolific_88
Williard
2 months
Ila huyu jamaa 😂😂😂
21
17
160
@prolific_88
Williard
1 year
Hili taifa lina watu wa hovyo sana 🙏🏾😂😂
Tweet media one
18
12
150
@prolific_88
Williard
2 months
Emotional damage 😂
3
11
149
@prolific_88
Williard
11 months
Wanaume wasiotokea mbeya.
Tweet media one
43
9
144
@prolific_88
Williard
4 months
Mpaka sasa Aziz Ki asilimia kubwa anaenda simba.
Tweet media one
12
14
145
@prolific_88
Williard
4 months
Twiter ina watu makini sana ni vile tu tunachukuliwa poa.
4
27
148
@prolific_88
Williard
4 months
Binadamu wabaya wamemuua huyu mtoto Asimwe, wamechukua viungo vyake kisha wamemfunga kwenye karatasi na kumtelekeza. Mungu atawaadhibu vibaya sana hawa watu, lakini tunahitaji kuona nguvu ya jeshi la polisi @tanpol kwenye hili. Hivi vitendo havitakiwi kuwa na nafasi keenye
Tweet media one
47
53
137
@prolific_88
Williard
2 months
Hii shughuli iko green app huko ni kukiwasha tu. Tunafanya operation ondoa lost zisizo na lazima. WhatsApp: 0760245103 Andika "Add"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
99
138
@prolific_88
Williard
4 months
Kuna siku sativa alisema kuwa kuna mtu alimpigia simu kumtishia kuwa aache kuisema serikali vibaya🤔
6
33
140
@prolific_88
Williard
1 year
Hii kazi ngumu
Tweet media one
56
17
139
@prolific_88
Williard
2 months
HONGERA MWAKABELA KWA KUWA MSHINDI WA 3 AFRIKA KATIKA SHINDANO LA PARTNER BORA AFRIKA KWA KAMPUNI YA 888STARZ Na Hii ni Story Yangu kuhusu Partnership na Ushindi wa MWAKABELA Partners wa Makampuni ya kubeti wanafanya kazi ya kuyafanya makampuni haya yajulikane kwa watu na kwa
Tweet media one
11
35
139
@prolific_88
Williard
1 year
Sema kumamake hii nchi hii 😂😂😂
Tweet media one
14
16
138
@prolific_88
Williard
5 months
Haya ndo mambo ya msingi ya kuongea bungeni safi sana WAITARA video kwenye comments 👇🏽
Tweet media one
2
4
127
@prolific_88
Williard
1 month
Usiku mwema kwa hisani ya Wananchi
19
10
133
@prolific_88
Williard
4 months
Kama @Sativa255 aliwakosea sana semeni tumuombe mama yake mzazi awaombe radhi.
4
47
127
@prolific_88
Williard
2 years
R.i.p big man😭😭
Tweet media one
7
13
120
@prolific_88
Williard
2 months
Wakuu hili nimefanikiwa jana na nimeamka hivi sasa.
Tweet media one
3
11
128
@prolific_88
Williard
4 months
Leo tena tunasimamisha shughuri zote kwenye magroup yetu ya betting mpaka pale tutakapo jua alipo ndugu yetu @Sativa255 . Mwenyezi Mungu awabariki wote mnaoshiriki katika hili suala. Tuendelee kushikamana pasipo kuweka tofauti zozote za kibanaadamu. Ni matumaini yangu leo Mungu
Tweet media one
2
74
126
@prolific_88
Williard
4 months
Edger Edson Mwakabela maarufu kama Sativa (Upande wa kulia) bado hajapatikana, pichani ni mavazi aliyovaa siku ya jumapili kabla ya kutoweka. Familia yake inaendelea kufanya juhudi za kumtafuta na sisi tufanye juhudi za kupaza sauti, “Umoja ni nguvu” 🙏🏾 Rudi kwetu #Sativa
Tweet media one
1
74
127
@prolific_88
Williard
2 years
Itoshe kusema kufanya kazi na wahindi ni kazi.
22
32
117
@prolific_88
Williard
4 months
Mpira umekaa mguuni 🫡 @Thereal_taivina
Tweet media one
3
13
119
@prolific_88
Williard
4 months
Fanya yote lakini usishindane na mipango ya Mungu. Good morning
16
41
119
@prolific_88
Williard
1 year
Mwana ana matatizo ya akili kidogo ila kamganda manzi anamwambia NITUNUKU video kwenye comments
Tweet media one
4
4
118
@prolific_88
Williard
3 months
Hii AI imetengenezwa na mzaramo kudadeki zake 😂 Hizi kunguni imesaga sina hamu manina
Tweet media one
49
12
121
@prolific_88
Williard
2 years
@eastafricatv @OfficialShilole Kwani we ulivokuwa unamzaba nuh mziwanda na rais alikuwa mwanaume kuna sheria ilitungwa mkikuwa tuonesheni mmekuwa mbona mnataka kujifanya wajuaji kwa kuwa tu camera na mic zinawafusta kirahisi kwa ajili ya hiyo fame mlionayo 🚮
11
6
117
@prolific_88
Williard
4 months
Familia inamtegemea kijana tunaomba ijulikane yuko wapi. @Sativa255 ni hustler mkubwa sana anae amini kuengage na watu hasa vijana wenzie ndio njia sahihi ya yeye kufanikiwa sasa niwakati tupaze sauti tumpate mwanetu. #Yukowapisativa #yukowapisativa
1
79
117
@prolific_88
Williard
2 years
Mkumbushe mwanao maamuzi magumu sio lazima yawe sahihi.
9
35
116
@prolific_88
Williard
3 months
JINSI YA KUPATA FOLLOWER TWITER Kwanza heshimu twiti za kuinuana Ukiona twiti za kuinuana like, retweet Mwisho unashusha handle yako Mwisho kabisa uwe unalike zile handle walizo weka wenzako na kuzireply FB (Follow back) Kwa pamoja tutafika Weka handle tukufollow
Tweet media one
56
43
118
@prolific_88
Williard
4 months
Leo nina shida na sportybet ni Either achukue 250k niloshinda jana au apigee 10M na odds 40+ 🤝🏿
Tweet media one
5
14
117
@prolific_88
Williard
4 months
Fear Women Jamaa alivyofungwa tu Mke akapotea 😂🙌🏿jamani tusimame Dakika moja tu Fear Women nacheka kama mazuri🙌🏿 MCHANGO WA KULIPA FAINI YA MILIONI 7 YA ENG. MATARRA LIPA NAMBA MITANDAO YOTE: 5554323 MacFoodTz M-PESA: 0769853711 Devota Tweve #JusticeForMatara
1
65
117
@prolific_88
Williard
2 years
A man from another planet black maladona @dizastavina Genius Kamaliza na kumamae.
Tweet media one
12
23
107
@prolific_88
Williard
2 years
Viatu alivyopewa NUNEZ na LIVARFOOL
Tweet media one
19
26
111
@prolific_88
Williard
5 months
Tabiri mfungaji wa goal la kwanza kwenye mechi ya . @kagerasugarfc fc Vs @SimbaSCTanzania Atakae kuwa wa kwanza atalamba 10000/= Tsh
Tweet media one
46
14
114
@prolific_88
Williard
4 months
Namba za Familia na Lipa Namba kwa ajili ya Mchango wa Sativa. VODACOM 0769916759 Israel Patrick AIRTEL 0699742232 James Nelson Lipa Namba ya Voda 5012993 iPhone FIX
0
63
109
@prolific_88
Williard
4 months
Taarifa ya awali ya Ndg, Edgar Edson Mwakabela, @Sativa255 Baada ya @Sativa255 akiwa Dar es Salaam kutekwa, kuteswa na kutupwa pori la Katavi, waliomuokota walimfikisha Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe (Tupindo), Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe (Tupindo), ipo katika
Tweet media one
4
62
109
@prolific_88
Williard
4 months
Sambaza ujumbe huu tumpate kijana wetu
Tweet media one
2
100
106
@prolific_88
Williard
4 months
😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔SATUVA MUNGU AKUJAALIE UZIMA UKO ULIKO.🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
6
25
106
@prolific_88
Williard
4 months
Finally nimeona Video ya Sativa akiwa ameokotwa kwenye Pori kubwa akiwa na mavazi yale yale aliyopotea nayo. Inatisha Sana sana Eeh Mungu nisaidie nisaidie hiki ndio kipindi nakuhitaji zaidi. Mungu nionee huruma 💔💔🙏🙏 CC: @Thereal_taivina
3
28
103
@prolific_88
Williard
4 months
Namba za familia kwa ajili ya mchango wa MATIBABU YA SATIVA VODACOM 0769916759 Israel Patrick AIRTEL 0699742232 James Nelson Asante kwa kujitoa na Mungu akubariki 🙏
0
64
103