Ukibishana na Influencer TL ukamzidi kwa hoja anakuambia "Nimeshakupa Airtime Enjoy" Unajikuta Nani Kapurwa Mmoja Sikia Kubali Kuna Muda Unapuyanga Masta Usisahau ulichozidi watu ni hao Followers tu sio Akili 😎😎
Baada ya kukata Rufaa Mkopo nikapata Meals and Accommodation Tu! Mama yangu mtu wa usafi katika Bar Songea per month 50K ndio inayoendesha Familia hela ya usajili chuo na ada nusu Semester inafika 500,000/= (Laki Tano) Nawaomba Ndugu Zangu mnisaidie au nikopeshwe nikishajisajili
Nimenusurika kugongwa na Pikipiki Mabibo Hapa aise yaani pikipiki imefunga breki mguuni kwangu japo imenikanyaga mguu wa kushoto Mungu mkubwa sijui ingekuwaje 😭😭😭.
@regmmari
Pale maeneo ya Hindu Mandal wanakupa Sambusa 2 na Cocacola 1 wanakuongezea na Machicha ya Nazi na Pilipili Bomba Kwa Elfu Tisa Sijaendaga Tena
@Nomakatembo2
Pepo haliwezi kukaa kwenye kichwa kilichovurugwa na betting,tuma na ya kutolea,K-Vant,Kusambaza CV,Utelezi wa shida,Madeni,Vijana Mjiajiri
Kaka
@Vet_doctor87
AHSANTE 🙏 ulisema kama akijibu ana mtu wake tutumie hii code
"Msichana mzuri kama wewe huwezi kuwa na mtu 1 either uwe na watu 2 au 1 anaye play role zote hizo 2 however kama ni ngumu basi naomba tumtafutie mpenzi wako mtu mwingine Mimi nibaki na wewe" 💪
SAFARI YA KIGOMA NA MREMBO.
......ni binti mzuri mno mweupe sura ya duara,macho yake kama kala kungu manga,chuchu saa sita nyiee 😋😋 umbo lake sasa ni kama aliloimba Daz Baba yaani unaweza kusema nyama nyingi ugali kidogo kama mjomba Nishai 😂😂 hebu shuka na Uzi huu sasa 👇👇
nikipata Meals and Accommodation naahidi kuirejesha nachotaka ni kutumia hii fursa ya kusoma niliyopata ili niweze kupambania ndoto zangu. Nimepambana sana mpaka hapa nilipofika nimekosa msaada tafadhali nisaidieni wana
#TOT
@iHumphreyz
alipost hili lakini sijapata msaada.
@kigogo2014
Mkulungwa nilikuwa nauliza eti ndg
@zittokabwe
kaachiwa huru ila kaambiwa asitoe kauli za uchochezi kwa mwaka mmoja sasa baada ya huo mwaka anaruhusiwa kutoa kauli za uchochezi? Na hizo kauli alizotoa za kichochezi ni zipi? Mbona hatujachapishiwa tuzijue.
@swahilitimes
Huna Ajira,Kodi imeisha,Mapenzi yanakusumbua,Ndugu wanakuona mzigo,Mikeka inachanika,Umri umeacha mwili,Vijana mjiajiri,Unanuka Njaa Halafu Ukae Chini Usome Vitabu Kwa Raha Gani? 😳
SAFARI YA KIGOMA NA MREMBO-2
INAENDELEA...
.....Narudi kwenye gari nakuta mrembo kajilaza seat zote mbili kishuzi kakisusa juu nikasema kaisha 😋😋.Kama umewahi kufika Kaliua Stand pale kuna wanaolala kwenye gari na kuna wanaolala nje pale stand kuna vigodoro kama vya wanafunzi
Hivi kwanini TL baadhi ya watu mna CHUKI dhahiri na mnaonesha waziwazi shida ni nini?
1. Roho Mbaya Tu Mmezaliwa Nayo
2. Maisha Ni Magumu Sana Kwenu
3. Mapenzi Yamewaumiza Sana
4. Mna Matatizo Ya Afya Ya Akili
5. Mmejikatia Tamaa Wenyewe