Adviser💪 Profile Banner
Adviser💪 Profile
Adviser💪

@paulambross1

Followers
2,801
Following
2,907
Media
917
Statuses
37,931

God First | Advicer | @SimbaSCTanzania , @ManUtd | @realmadrid Fan #MaishaNiKuishi Public Relation Officer at Kukeke Gang

Dar Es Salaam-Tanzania
Joined August 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@paulambross1
Adviser💪
10 months
Elimu sio nyenzo ya kujitajirisha au kupatia cheo cha siasa bali Elimu ni pahala pa kupanua maono yako na kukamilisha ubinadamu wako. #MaishaNiKuishi
1
8
20
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Ukibishana na Influencer TL ukamzidi kwa hoja anakuambia "Nimeshakupa Airtime Enjoy" Unajikuta Nani Kapurwa Mmoja Sikia Kubali Kuna Muda Unapuyanga Masta Usisahau ulichozidi watu ni hao Followers tu sio Akili 😎😎
44
40
719
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Kila wakiishambulia ile familia yule demu lazima aingilie ndio maana amekauka hata picha zake anajilazimisha furaha 🚮
42
18
553
@paulambross1
Adviser💪
3 years
Baada ya kukata Rufaa Mkopo nikapata Meals and Accommodation Tu! Mama yangu mtu wa usafi katika Bar Songea per month 50K ndio inayoendesha Familia hela ya usajili chuo na ada nusu Semester inafika 500,000/= (Laki Tano) Nawaomba Ndugu Zangu mnisaidie au nikopeshwe nikishajisajili
13
157
417
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Ndugu Zangu Naomba Rt Zenu Tuweze Kumpata Au Kujua Alipo TYSON 🙏.
Tweet media one
Tweet media two
14
269
358
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Nimenusurika kugongwa na Pikipiki Mabibo Hapa aise yaani pikipiki imefunga breki mguuni kwangu japo imenikanyaga mguu wa kushoto Mungu mkubwa sijui ingekuwaje 😭😭😭.
52
13
271
@paulambross1
Adviser💪
2 years
1.Unarongwa na mkeo 2.Unarogwa na Dada zako uache kumsikiliza mkeo ambaye amekuroga 3.Unarogwa na michepuko yako 4.Unarogwa na mwanamke kazini kwako kisa unamzidi Skills & Creativity 5.Wanaume Tutafika Tumechoka Sana 😔
@MarekaMalili
Lubasha Jr
2 years
Funny fact, Wanawake wanaanini kwenye ushirikina hasa kwenye mahusiano. Kifupi wana tunarogwa sana siku hizi 😃
111
40
406
16
12
129
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Tweet media one
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
1 year
Hii nchi vijana mnachanganyikiwa sana....fanya biashara acha utapeli
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
65
29
336
1
3
116
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Nyie soko gumu sana hii January yule kafunua mapaja huyu katoa kabisa manyonyo nje halafu wote wamekosa airtime 😂😂🙌🙌
12
1
100
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Hata wale waliotukatisha tamaa wakiamini hatuwezi na hatutafika popote leo wako na sisi kushangilia neema na baraka za Mungu juu yetu 🙏.
7
22
88
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Tupo wengi sana Amina
Tweet media one
@amina_hafidh
mimilicious🌹🍒
1 year
Humu ndani kuna wanaume wazuri jmn 😍😍 Maa-sh-Allah
63
15
242
6
0
83
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mnatumiaga nguvu kubwa hyping mids wakianza kuwaletea kiburi kisa Twitter Fame mnaanza kusumbuka kuwashusha kazi mnayo.
5
8
77
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Ahsante kwa Upendo ila mimi bado najitunza sitaki wanawake 😅😅 by the way karibu DM
Tweet media one
@bajabiri
Moyo wa TAIFA ™️
2 years
Hii inaitwa Due Diligence....in relationship affairs
Tweet media one
7
2
121
31
6
78
@paulambross1
Adviser💪
3 years
@regmmari Pale maeneo ya Hindu Mandal wanakupa Sambusa 2 na Cocacola 1 wanakuongezea na Machicha ya Nazi na Pilipili Bomba Kwa Elfu Tisa Sijaendaga Tena
6
2
77
@paulambross1
Adviser💪
10 months
Mungu ana nguvu sana hashindwi kitu usiache kumtumaini 🙏.
11
15
68
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Ila wanawake wana confidence sana 😂😂😂🙌🙌🙌
7
7
66
@paulambross1
Adviser💪
5 years
1
0
62
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mungu ana nguvu na hajawahi kushindwa kitu 🙌🙌🙌
3
5
61
@paulambross1
Adviser💪
3 years
@Nomakatembo2 Pepo haliwezi kukaa kwenye kichwa kilichovurugwa na betting,tuma na ya kutolea,K-Vant,Kusambaza CV,Utelezi wa shida,Madeni,Vijana Mjiajiri
14
4
65
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Nawal be like "Veges spa onions inasaidia utumbo mpana usipate shida" Enjoy Fellas 😂😂
Tweet media one
12
2
58
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Kaka @Vet_doctor87 AHSANTE 🙏 ulisema kama akijibu ana mtu wake tutumie hii code "Msichana mzuri kama wewe huwezi kuwa na mtu 1 either uwe na watu 2 au 1 anaye play role zote hizo 2 however kama ni ngumu basi naomba tumtafutie mpenzi wako mtu mwingine Mimi nibaki na wewe" 💪
7
11
63
@paulambross1
Adviser💪
5 years
0
0
55
@paulambross1
Adviser💪
2 years
I wish you successful week gorgeous @Mercedes_Benzl
Tweet media one
16
3
58
@paulambross1
Adviser💪
11 months
Mungu ana nguvu sana hashindwi kitu usiache kumtumaini 🙏.
8
20
58
@paulambross1
Adviser💪
4 years
0
0
53
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Dharau mnazozionesha kwa wazazi wenu Mungu akawalipe hivyo hivyo kwa kizazi chenu.
5
14
55
@paulambross1
Adviser💪
2 years
SAFARI YA KIGOMA NA MREMBO. ......ni binti mzuri mno mweupe sura ya duara,macho yake kama kala kungu manga,chuchu saa sita nyiee 😋😋 umbo lake sasa ni kama aliloimba Daz Baba yaani unaweza kusema nyama nyingi ugali kidogo kama mjomba Nishai 😂😂 hebu shuka na Uzi huu sasa 👇👇
9
8
54
@paulambross1
Adviser💪
2 years
CHUKI ni kubwa sana humu ndani.
11
8
54
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mungu ana nguvu sana tusiache kumtumainia
3
6
53
@paulambross1
Adviser💪
5 years
@Agreymwalim @FmNnko Twitter haitaki makasiriko 😊😊😊
1
0
49
@paulambross1
Adviser💪
3 years
nikipata Meals and Accommodation naahidi kuirejesha nachotaka ni kutumia hii fursa ya kusoma niliyopata ili niweze kupambania ndoto zangu. Nimepambana sana mpaka hapa nilipofika nimekosa msaada tafadhali nisaidieni wana #TOT @iHumphreyz alipost hili lakini sijapata msaada.
2
16
50
@paulambross1
Adviser💪
3 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
22
48
@paulambross1
Adviser💪
5 years
0
0
47
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mnataka watu tuongee mtufunge 🤔
@eastafricatv
EastAfricaTV
2 years
"Passport unaweza kuipata ndani ya siku moja hadi 7"- Uhamiaji :-
Tweet media one
198
56
1K
12
2
50
@paulambross1
Adviser💪
10 months
Mungu ana nguvu sana hashindwi kitu usiache kumtumaini 🙏. Dominika ya 1 ya mwaka B wa kanisa Jumalili ya kwanza ya mwezi December
6
7
47
@paulambross1
Adviser💪
1 year
😊
Tweet media one
11
0
45
@paulambross1
Adviser💪
2 years
@MarekaMalili 1: Mimina 2: Nikupe Nini Mungu Wangu 3: Utukuzwe Ee Baba Mungu
3
4
45
@paulambross1
Adviser💪
4 years
@kigogo2014 Mkulungwa nilikuwa nauliza eti ndg @zittokabwe kaachiwa huru ila kaambiwa asitoe kauli za uchochezi kwa mwaka mmoja sasa baada ya huo mwaka anaruhusiwa kutoa kauli za uchochezi? Na hizo kauli alizotoa za kichochezi ni zipi? Mbona hatujachapishiwa tuzijue.
2
1
44
@paulambross1
Adviser💪
2 years
@swahilitimes Huna Ajira,Kodi imeisha,Mapenzi yanakusumbua,Ndugu wanakuona mzigo,Mikeka inachanika,Umri umeacha mwili,Vijana mjiajiri,Unanuka Njaa Halafu Ukae Chini Usome Vitabu Kwa Raha Gani? 😳
7
4
42
@paulambross1
Adviser💪
2 years
SAFARI YA KIGOMA NA MREMBO-2 INAENDELEA... .....Narudi kwenye gari nakuta mrembo kajilaza seat zote mbili kishuzi kakisusa juu nikasema kaisha 😋😋.Kama umewahi kufika Kaliua Stand pale kuna wanaolala kwenye gari na kuna wanaolala nje pale stand kuna vigodoro kama vya wanafunzi
12
9
43
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Hi gorgeous @Mercedes_Benzl , I know you’ve been super busy. Just wanted to check in and ask how everything’s?
8
2
40
@paulambross1
Adviser💪
4 years
0
0
41
@paulambross1
Adviser💪
1 year
My Woman My Everything ❤
Tweet media one
9
3
37
@paulambross1
Adviser💪
10 months
Mungu ana nguvu sana hashindwi kitu usiache kumtumaini 🙏. Msisahau kwenda kanisani ndugu zangu.
4
12
41
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mungu ana nguvu na hashindwi kitu 🙌🙌🙌
1
8
37
@paulambross1
Adviser💪
3 years
@MudiMabiriani Yule Ndo Mudi Hipapu Sasa
Tweet media one
2
1
35
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Mungu ana nguvu sana hashindwi kitu 🙌🙌🙌 #MaishaNiKuishi
2
2
34
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Nilijua wote sisi ni jobless kumbe una kazi kaka
Tweet media one
8
2
33
@paulambross1
Adviser💪
2 years
@amusmartz Tafuta mpenzi uache roho mbaya
5
0
35
@paulambross1
Adviser💪
2 years
Simba 1.5 Umeshindwa Kutoa Kwanini? 😭😭🚮🚮
Tweet media one
Tweet media two
6
1
34
@paulambross1
Adviser💪
1 year
Hivi kwanini TL baadhi ya watu mna CHUKI dhahiri na mnaonesha waziwazi shida ni nini? 1. Roho Mbaya Tu Mmezaliwa Nayo 2. Maisha Ni Magumu Sana Kwenu 3. Mapenzi Yamewaumiza Sana 4. Mna Matatizo Ya Afya Ya Akili 5. Mmejikatia Tamaa Wenyewe
13
8
34