President and Owner of
@CrownMediaTz
| Founder Of KingsMusicRecords Label Contact :
@stanbicbanktz
Brand Amb. emailalikiba
@gmail
.com - ONLY ONE KING Album👇🏽
Sadala nisikilize ,kati ya hao watu ambao wewe unajidanganya kuwa Ni wenzako , na kudanganya watu wenye ufupi wa akili .hakuna hata mmoja ametanga ana hela akaandikwa FB. haina haja yakulalamika sisi ukituambia kama unahela tunaamini inatosha ila wale wana akili ndefu (mediocre)
Dear Kenyans, as you exercise your democratic right of voting in the general elections , I pray peace and unity prevails !! Allah bless the Great Republic of Kenya 🇰🇪♥️🙏🏿
My heart and prayers going out to Nigeria,
#SARS
needs to stop and Must stop! Its heartbreaking to see whats happening right now in Nigeria. May significant prayers of Peace and Harmony. May Allah bless Nigeria, May Allah Bless Africa.
#EndSARS
The heaviest coffins are the small ones. May Allah give all the strength to
@davido
and his family. Being a father is an unexplainable blessing and losing a child is an unbearable pain that no one should ever experience in their lives.
Nawashukuru wote walioshiriki katika mazishi ya mzee wangu Na wale ambao hawakujaaliwa pia mimi Na familia yangu tumefarijika sana namuomba MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali Pema peponi Na atupe subira kwenye kipindi hiki kigumu AMIN
HANS! Mimi ni miongoni mwa Mashabiki wa kazi yako, namna unavyochambua Football na kuufanya uonekane mchezo wa kimahesabu unanikumbusha enzi zangu wakati nakipiga pale Coast Union. Nilikuwa mtu Mnyama sana 🤣
Kwanza nitoe shukrani kwa ndugu zangu wa Kigoma kwa kuifanya
#AlikibaHomeComingConcert
kuwa ya kihistoria, pili kwa
@CloudsMediaLive
na media nyingine, pia shukrani za kipekee kwa Mh. Rais
@MagufuliJP
kwa kunipigia simu na kunitakia kheri katika kufanikisha shughuli hii.
Cinderella
MacMuga
Nakshi Nakshi
Mapenzi Yanarun Dunia
My Everything
Hadithi
Mail Yangu
Usiniseme
Mwana
Chekecha
Nagharamia
Mshumaa
Dodo
Mediocre
Aje
Seduce Me
Mvumo wa Radi
Unconditionally BAE
:
NAIVASHA tuanze na ipi?
#OnlyOneKingTour
THIS SATURDAY, Don’t miss this
Ambwene aliyeni inspire kuingia katika huu music, nilianza kwa rap kama Zee la Commercial, japo sikutoboa🤣. Leo nikiwa natimiza miaka 20 kwenye game, napenda kumualika my brother
@AyTanzania
katika
#20YaKING
Asanteni kwa support ya miaka 20 tangu nianze muziki, hamjawahi kuniacha, ninyi ni sehemu muhimu katika historia ya maisha yangu. Jioni ya tarehe 9, Jumamosi hii tutasheherekea
#20YaKing
kwa pamoja. Ikiwa hautokuwepo ukumbini, basi utajumuika nasi mitandaoni.
#KingKiba
I here by present to you the official Album Cover art of my forthcoming album, my third studio album called "ONLY ONE KING" This is a special gift for bloodfans and all goodmusic lovers .This classic album will be dropping on 07.10.2021🙏🏽
#OnlyOneKING
#AlikibaAlbum
#KingKiba
“Kwenye jamii kuna mentality kuwa mimi nina shida na
@OfficialAliKiba
lakini mimi sikufichi na nakwambia ukweli kabisa, Alikiba ni kati ya watu ambao mimi nimejifunza muziki kutoka kwao, hatujawahi kukutana kwenye tatizo lolote na hatujawahi hata kushare wanawake” - Harmonize
Historia imeandikwa 🙌🙌
Kwa mara ya kwanza Tiketi za Mzunguko zimemalizika siku 3 kabla ya tukio
Kawaida Mzunguko humalizika siku ya tukio
Lakini safari hii Mzunguko zimeisha mapema tena zimeisha kabla ya madaraja mengine wakati mara zote Mzunguko ndo hua za mwisho
Asanteni
Sanaa yetu ina upungufu wa wasanii wa kike, inabidi waliopo wapewe nguvu ili waweze kufanikiwa zaidi.
@officialnandy
ni msanii anayejituma na mwenye jitihada. Napenda anachofanya na ndio maana Jumamosi ijayo nitaenda nyumbani Kigoma kumpa support katika
#NandyFestival
#StrongGirl
Ndugu Watanzania wenzangu na Wana Afrika Mashariki na Kati, Saa 6 Usiku wa leo kutokea Muheza, Tanga nitaazima usikivu, macho na akili zenu.
Kaa karibu na
@CrownMediaTZ
#WanaWaHanuHanu
#HapaNiNyumbani
"JE WEWE NI FAN NUMBER MOJA WA ALIKIBA?" Basi nina Kadi Mbili za mualiko kwa Fans wangu wawili katika
#TamkoRasmi
na
#AfterParty
- ili kuzipata niambie nina Miaka mingapi Katika Game ya Muziki, wimbo wangu wa kwanza ni upi nilio ingiza sauti na Kwanini unapenda Sana Muziki wangu