hassanmwakinyo_ Profile Banner
hassanmwakinyo_ Profile
hassanmwakinyo_

@JrMwakinyo

Followers
20,888
Following
10
Media
345
Statuses
1,242

i came from nothing but through faith and commitment to my craft, I am going to get what's mine

Tanzania
Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Former world champion 5time James Buddy McGirt Rematch is on 🗣🔥🔥
Tweet media one
512
276
9K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
kutokana na mchezo wa jana na kitendo cha refa ree kuwa unfair kwangu kime mlazimu promoter @benjshalom kutupa nafasi ya rematch na Liam Januar23🫵🏽
Tweet media one
854
387
8K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
🫵🏽
Tweet media one
Tweet media two
552
265
6K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
i have enough strength condition for the rematch💪🏽 2️⃣0️⃣2️⃣3️⃣
Tweet media one
534
156
5K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Yaa manlah ahtaju ilal bayanu wa tafsiri ,naaaam
Tweet media one
373
236
5K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Hey Mamutu beg limepatikana sasa na mimi ndio huyu hapa nilie simama niko mwenyewe tu sina neno, kama mnavyo ona 🤒
Tweet media one
391
108
5K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Muonekano nilio nao ni kiashirio cha unyama mtupu “Colorado KING”👑 💪🏽
Tweet media one
297
146
5K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Guys” mnapo Amua kum brand bondia awe mkubwa hakikishen yeye kuwa smart ni kitu anachokipenda mnatia aibu taifa 😤😤
Tweet media one
331
99
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Everything is possible
Tweet media one
149
128
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Boxing academy coming soon 💪🏽
Tweet media one
300
163
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
My pleasure to say Alhamdulilah and thank you so much for Skysportboxing🥊 to give me second Opportunity 2023🫵🏽
Tweet media one
267
119
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
I need 2 turn up fight before rematch 😤
Tweet media one
357
76
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
🤫
381
348
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Alhabeesheeee
Tweet media one
139
70
4K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Umesubiri mzigo wako kwa mwezi mmoja na nusu halafu kinakuja kiatu size ya mtoto 😂😂😂
Tweet media one
270
76
3K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Sio rahisi juu ya kila kitu
Tweet media one
227
91
3K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Hongera sana kaka yangu dullah Mbabe na pongezi pia kwa AZANIA GROUP” this is what we need out of boxing 🫡
Tweet media one
45
98
3K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Punguzeni mihemko guys ni sheria ya British boxing border control. Mchezaji akipoteza kwa tko au ko anatakiwa kupumzika kwa siku 45 kwa sheria za nchin kwao lakini hio haimaanishi chochote mfano mdogo huo picha ya huyo nae alipoteza siku moja na mimi
Tweet media one
Tweet media two
624
164
3K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Baada ya miaka 7 kupita tunakwenda kukutana tena🫵
Tweet media one
213
210
3K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
imekuwa ni wakati mzuri sana na kwa heshima yako bwana mkubwa nina sema Asanteni kwa kuja” @millardayo
Tweet media one
46
68
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
“Maisha yana mifano mingi sana lakini mfano wa mwisho mkubwa kuliko yote ni 🫵wewe” mwenyewe…👊
Tweet media one
121
87
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mandonga umetukwaza sana na mzeee wangu hapa yani mimi nilitegemea kabisaa 😂😂😂 nilimwambia mapema mimi..🔥mtu kazi💀 sasa tusubiri moo boxing September ✅
Tweet media one
Tweet media two
56
68
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mafanikio ya maisha yako ni Makutano ya vitu vitatu: MUDA,JITIHADA,KUDRA Muda ni wa wote, Jitihada ni wewe binafsi, Lakini KUDRA ni Majaaliwa ya M/mungu pekee☝️
Tweet media one
179
124
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Elevation” kila unapokuwa mkubwa na fikra nazo hubadilka ukiwaza padogo leo ungali kijana utakosa cha kuwaza kabisa ukiwa mtu mzima 🦧
Tweet media one
116
43
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Ningependa kutoa shukuran zangu za dhati kwa kila mmoja alieshirki kwa nguvu na moyo kufanikisha Event yetu jana ASANTE sana 🙏🏽
Tweet media one
66
41
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
3 years
I have every reason” to be world champion this year 2️⃣0️⃣2️⃣2️⃣ 💪
Tweet media one
76
55
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kutana na chief” ’Amasunzu channi Kenge” kijana wa kwanza na bondia mtanashat kutoka makorora TANGA mnamo mwaka’1923…🙌🏾🤣🤣
Tweet media one
59
39
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Yes!! this is how work it’s….🤺
Tweet media one
63
33
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
sprint….🏃‍♂️
Tweet media one
34
20
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Yananitosha mapito ya maisha yangu kukiri binafsi” ya kuwa na jiona kijana jasiri hodari mwenye uthubutu wa pekee katika kujaribu’ na moral hio ya uthubutu nilionao hakuna mahali itafika mwisho mpaka iwe mwisho kama sasa sio mwisho M/mungu watunze na uwarehem wazee wangu 🙏🏽
Tweet media one
118
70
2K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
I can’t wait September 3 💪
Tweet media one
89
114
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mo 🥊 ni kiboko ya promoter janja janja nafikiri sasa hakutakuwa tena na mapromoter wanao danganya watu kwa kuchezesha mikanda ya kuvalia surual lazima tuheshimiane sasa “🥵🥵🥵 @mwakinyopros
Tweet media one
65
35
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
100
59
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Bongo bwana Boxer unajulikana mikoa 5 tu Tanzania umeshaanza kuvimba mabega!! Eti unajiona kila mtu Una muweza ikipigwa hesabu yako tangu. Uanze ngumi hujashika hata milion 10 mapambano yako milion 3. Milion 5 Gademn🤑🤑 kazeni nanyi mlipwe dolar
257
53
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mchongo mwengine huu wapa wadau…twende kazi…. Account bado changa hii 👌
Tweet media one
102
29
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Wanao hitaji kueleweshwa wataelewa hapa na wajinga tuwaache na ujinga wao Asalaaam alaykum 🫡
248
109
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Tweet media one
66
34
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Imani yangu kubwa imefungamana na Mungu sitaraji kushindwa popote sitishwi na lolote👊🏿stay strong Msena this is what I believe September 🙏
Tweet media one
80
63
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Marehem by fatma aliwahi kusema ishi kwenye maisha ya ndoto zako hata kama usipo zifika lakini bado utakuwa na moyo tofauti usio fanana na hali ya maisha yako✊
Tweet media one
72
69
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kuna watu wamenishiba kiasi mpaka siamin kama kweli huyu ni mimi 🫡Anyway this is much Big respect en kubaliana na mimi kwamba hasara mbaya kuliko zote ni kujikatia tamaa kabla ya kukatiwa tamaa na wanao kutumainia nyakati zote….🫵🏽
Tweet media one
59
38
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Ukiwa karibu na watu wanao kimbiza ndoto zao ili waishi maisha yao…, nawe kimbiza ndoto zako uyaishi maisha yako ili hata wakifanikiwa usione wamekutenga… ni mtazamo’tu way to go mwakinyosmith2️⃣
Tweet media one
60
51
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
15 days
Jishughulishe zaidi na tabia yako kuliko sifa yako, kwa sababu tabia yako ndivyo ulivyo, wakati sifa yako ni vile wengine wanavyofikiri kuhusu wewe…🍲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
66
68
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
10 months
Kwa bahati mbaya ikitokea amekufa Nahodha kiungo wetu muaminifu mbwana samata bado kutakuwa na team ya taifa lakini ikitokea amekufa mwakinyo mmoja safari makaburi ya mnyanjan biashara imekwisha… ngumi ni mchezo hatari na
63
51
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Damn.!!! Kila nikitazama boxing ya bongo najiona bado nina umri mrefu wa kuendelea kuwa mfano wao….😤😤😤
133
21
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Na hili nalo la kwetu….🫵🏽
Tweet media one
52
34
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
from dreaming a dream so much you can appear in it #profesional 🥊
Tweet media one
23
16
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Bud Crawford ni katika wachezaji ninao wa amini sana 147.pounds na sina mashaka nae… kabisaa kuelekea fight yake na Errol spence.. Mungu akinijaalia uzima nakwenda vegas Kuangalia hii fight live💪🏽
Tweet media one
71
24
1K
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Yani Utapigwa ndonga utalala …👊🏿 sptmbr 3️⃣
Tweet media one
80
31
996
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Nitakuja kupiga sana watoto wa watu body punch mie sitaki masihara kabisaa udhuriii kama huu… halafu ujifanye una mapenzi nae kuliko sisi wewee 🥴🥴
Tweet media one
96
15
973
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
they only support you when you make it 🧠
Tweet media one
29
27
983
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Leo.. ipo kati yetu na Mungu.. na kesho ni tumaini letu kwa Mungu hivyo kuifika yatupasa kunyenyekea kwakwe ili tuwe na matumaini yenye kesho nyingi zaidi Amiiin 🙌
Tweet media one
48
27
955
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
😤😤😤 training camp✈️ 🇨🇦
Tweet media one
33
18
954
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
10 months
fight has been cancel 🔓 baada ya mazungumzo kuto fika atamu na sasa ni rasmi hakutakua na pigano langu hakuna tena biashara ya kununua ticket … ombi kwa wizara ya michezo na BMT naomba wasimamie haki za bondia julius indongo
61
46
937
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
El champez el coloradoKings 😂😂💪🏽
113
53
881
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
now.. you will see the difference already” KIBABA! getting in shape for fight!! 💪
Tweet media one
39
18
868
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
10 months
Binafsi!! Napenda sana Kushukuru M/mungu kwa uzima na Afya nilio nayo Leo” pia niwashukuru sana washabiki zangu kwa kujitokeza kwa Nguvu kuonyesha shauku ya kuni support nawashukuru sana AZAM TV kwa kuendelea kutoa nafasi!! Kwetu kama wachezaji wa ndani naomba niweke hisia zangu
70
45
887
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kuna uwezekano mkubwa kuanzia 2023” Nikamiliki Eneo kubwa la kisiwa Mahali flani au kununua Nyumba ya kuishi Canada, nibebe wanangu tukamalzie ungwe huko..🙌🏾 i speak truth this isn’t joking msena”
104
40
858
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
3 years
Asalaaam alaykum/ kheri ya mwaka mpya ! Ndugu na wapenzi wangu mnisamehe. sana kwa kilichotokea katika upande wangu wa twitter kwa muda na nilikuwa nikifaham ile account’lakini sikuwa naona vibaya lakini kwa tulipofikia naona imekuwa mbaya zaidi ila yote kwa yote mnisamehe sana
59
90
805
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Yupo muwezaji wa kila kilicho tushinda sisi …na kupitia yeye hakuna gumu wala kubwa kushinda yote..Akiamua ☝️
Tweet media one
43
41
809
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kuwa mwanaume rijali kwanza uwe timamu wa akili upande wa majukum yako, pili uwe sehem ya msaada wa family yako kama uta jaaliwa kipato na la mwisho kabisa mwanamke mbali na huduma zote juu yake pia anahitaji magongo kama magongo hakuna hakuna jambO..
54
37
815
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
10 months
Ugumu wa kweli maishani ni kushinda matamanio ya moyo wako juu ya unavyofikiria mwenyewe Mara nyingi chuki ni adui mbaya zaidi alie ndani yako Ikiwa utaweza kujifunza kujishinda mwenyewe utakua na wakati mzuri zaidi wa kushinda vizuizi vilivyo mbele yako #Mogadishu
Tweet media one
66
41
774
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kusema kweli sijaona kosa kwenye Wimbo wa Dula makabila na sababu za yeye kuitwa hazina mashiko… kabisa juu ya alicho kiimba na ubunifu wake anyway 🇹🇿
27
27
747
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
6 months
Nakumbuka siku moja Kaka yangu Mh @mwanafa alinambia ya kua champ maneno yamekua mengi sana ukipata fight hakikisha mtu anaumia kweli” end this is what i did #Coloradoking 💪 Thanks for all Mogadishu family 🙏
86
67
758
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Tunza vyema wazazi wako lea vyema family yako na moja ya malipo yake makubwa ni yeye Mungu mwenyewe kuwa muangalizi wa kazi zako na badala yake utaona tu vitu vinakua pasi na kutegemea na hakuna pahali utakosea naitwa 🗣hassan mwakinyo Asalaam alaykum..🙌🙌
Tweet media one
52
38
730
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Usijibeze juu ya unacho tamani kuwa ‘huwa razaq bil kuwat matin🙏 huyo ndio Mungu bwana
Tweet media one
34
18
703
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 month
sio tu kila mtu ila ni mtu wa watu mtu sharp kuntu na ni mtu mbavu sio mtu kavu huyu mtu ana utu na love ukileta ukavu tutakupa ubichi ” 💪🏾 coloradoKings.👊🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
44
37
714
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Ukifanya kazi kwa Kumuamini Mungu”atakutumia wewe kuwa mfano, wa kuwezekana vilivyo washinda wengine kuviamini kuwezekana kupitia wewe….✌️
Tweet media one
29
37
702
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Quitting is not an option.I will keep working till I become better at this.. Nina njia ya kufanya mengi makubwa kuliko mnayo taraji kuyaona, let’s start 2023 😎 @skysportsboxing 🥊
Tweet media one
43
25
689
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
👑_KIBA Alipokutana na mwenye mji wake ulikuwa ni usiku wa kushangaza sana Mwamba Ali fanya makubwa sana heshima na baraka kubwa iwafikie washabiki zake duniani kote..🙏🏽
11
17
672
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Paukwa pakawa September 3️⃣💪
59
39
654
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kuitofautisha tofauti kwa unao fananishwa ni kukazana kufanya yaliyo washinda that’s it ….👊🏿 september….3️⃣
Tweet media one
38
22
639
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Maoni katika hili..?
Tweet media one
55
28
636
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
3 years
Kupoteza mama ni jambo limeathiri sana Moyo wangu na kuwa bingwa wa dunia ni ahadi ya moyo wangu!! 🤞 2022 @millardayo @MwanaFA @RahmaMwita
Tweet media one
34
28
637
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
🫵
Tweet media one
57
41
634
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
genius” is born crazy”👊🏿 Tornado #coloradoKing nipe jina lako jipyaa💪
Tweet media one
73
21
632
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
SIMBA WAMEPATA BAHATI SANA mwaka huu kupata cocha halafu mganga watani kazi mnayo salute kwako Juma mgunda tangaone 😂😂😂 joking
18
16
629
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Happy birthday Msena undisputed” champion budcrawford🥊
Tweet media one
13
8
633
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Usipende kukunja sana kwa wenzako Sifa kubwa ya mtu mkunjaji kwa mwenzake Mungu hampi vya kwake zaidi humfanya kuwa msimamiz au mtumwa wa vitu vya alio wakunjia .. 📌
Tweet media one
35
30
623
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
😂😂😂 ma legend wangu mumetisha sana 🙌🙌
35
74
617
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
kitendo cha Mungu kutupa ufaham wa kujua tunachotaka na tukapewa uwezo wa kuvipigania basi ni wazi ya kwamba nae yuko radhi nasi kutupa katika tunayo yataka…🙌🙌
Tweet media one
49
22
620
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Left hook upper cut to the Body 🥊
Tweet media one
19
19
611
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Tabia mbaya za watu ni sawa na msafara wa wadudu siafu Uspo jiondoa mwenyewe katika msafara wao basi usihuzunike juu ya malipo yao… 📌
Tweet media one
36
32
595
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
trust” the process” Msena’ all the time 🤞🏽🤞🏽
Tweet media one
23
12
607
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Sky Sports🙌
23
50
611
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Rest In Peace ✌️ queen 😞
Tweet media one
20
10
588
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Usilemazwe sana na wakuambiao “asante nashukuru nimepata leo” sababu tafsiri nzuri ya maisha ni kushika nasi kupoteza,,, watakao eneza mabaya yako leo ndio ambao walikuwa washauri na wasiri wako jana na hii ndio hasara yenye maana kubwa kwenye MAISHA 🙌
62
47
560
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Kila aliyekwezwa na Mungu’ mwanadamu awez kumshusha pambania kila unacho kiamini Mungu yupo mbele yako na yeye ndio mwenye mamlaka ya kushusha na kupandisha watu… keep focused msena 🫶
Tweet media one
23
23
573
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
i know how tough is but the only thing i believe is that liam smith can’t stop me ever🫵 September 3 @SkySportsBoxing
43
37
551
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mapenzi ni imani thabit iliyo ndani ya moyo inayo kufanya kuamini pasipo aminiwa ama kutarajiwa na wengine ima mwanamke mzuri unaempenda sana au kazi na kitu kizuri unachopenda kufanya sana..🥊
Tweet media one
34
20
539
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Kusema Asante Mungu ni kumkumbuka alipo kukumbuka wakati ambao wengi walihitaji msaada wake kumbuka Kuridhika kupata ulicho kipigania baada ya kuhaso kwa kulia na kuumia sana lakini usitosheke mpaka ufanikiwe sana… picha la kutisha na jasirhodar #tornado 💪
Tweet media one
30
23
535
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Dé là pròfèśiòńàl çàmpioñèr ✌️
Tweet media one
20
12
519
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Woooooooooowwwww….🎶🎶🎶🎶
34
24
531
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
3 years
New year. New day. New goals. New belts? 2022
Tweet media one
7
15
511
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
get ready msena my next fight Will be announced early October don’t miss that 🎯🫵🏽
66
23
497
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Jitihada na ndoto za kweli ziko ndani ya mioyo ya watu wachache lakini Ndoto za Mafanikio ziko ndani ya Maisha ya kila mtu” 🤷
Tweet media one
20
26
462
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
3 years
Wakati Mwingine Kile Ulichopoteza Ndio Sababu Hasa Kwa Nini Umeanza Kushinda💪
Tweet media one
5
17
454
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Mfano mkubwa kuliko yote kwenye. hii Dunia ni wewe. mwenyewe binafsi wapi, ulipokuwa na wapi Ulipo …🥊 we should to’ say Alhamdulilah wasena, Eid Mubarak عيد ميرك
Tweet media one
18
23
460
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
2 years
Mimi ni shabiki wa Terence badCrawwford i think everyone know that but kwa fight ya leo nitakuwa upande wa Anthony sababu tu ni Muafrica mwenzetu…💪 japo tunajua sio game rahisi kwetu lakini INSHAALAH 🙏
Tweet media one
Tweet media two
14
14
429
@JrMwakinyo
hassanmwakinyo_
1 year
Pesa ni nyenzo muhimu kwa maisha yetu lakini haipaswi kuwa sababu ya uwepo wetu…📿
Tweet media one
14
16
432