![Baitu Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1841770891933302784/pp0B2poh_x96.png)
Baitu
@o_odillo
Followers
0
Following
12
Statuses
72
Joined October 2024
@mdudenyagali Nawapongeza askari kwa kuondoa vibaka hao. Mwanao kutekwa halafu hujui amelalaje na yuko mazingira gani jambo linauma sana. Isikie kwa mwenzio. Vijana fanyeni kazi halali.
1
0
4
@SharifaSabrina Kazia maji sana tena ya moto, sio ya baridi, angalau Lita 2 kila siku, utajikuta soda unaitamani tu kiasi kwamba kwa mwaka huwezi zidi soda 30, yaani Kuna mwezi unakata hata soda hujagusa Chupa yake.
0
0
0
@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 @Balyx_ Wala si la kushangaza kwasababu mtengeneza tatizo ndo mtatua tatizo na makofi na vigelegele juu
0
0
0
@Deo18Tarimo Ifike mahala wanaume wenzangu tujiamini, kama una mke anayejitambua, mtoto mkubwa anayejitambua, ndugu yako tumbo moja anayejitambua tafadhari unapoanzisha mradi regardless udogo au ukubwa wake wafanye hao watu wawe sehemu ya mradi. Uwepo usiwepo mradi utasonga mbele.
0
0
0
@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @Balyx_ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 Mabinti wa kibongo.... Wanajua kujipamba...kwa mapenzi... Hatari hiyo
0
0
3
@Phbhimself Mkuu hongera sana kwa simulizi kali na ya kuvutia. Kwa ufupi umeiva kwenye simulizi zenye facts.
0
0
7
@Thommunkondya Tuliruhusiwa kuomba lift nadhani ndo muda mwafaka wa kuomba lift. Tusicheze na fursa. Ukiliona tu piga mkono simamisha omba wakusogeze .... Raia na mali zetu tuwe karibu na jeshi letu pendwa.
0
0
0
@FatmahShokat Penda penda zawadi eeeee. Haya poa. Binafsi zawadi yako kauze niwekee hiyo hela benki matumizi nitapanga mwenyewe. Ndugu tuheshimiane tusipangiane matumizi
0
0
1
@tweetbylegendy Mi nilipojua mbwa analiwa iringa, panya mtwara, senene bukoba, nyoka, chura, mende, ng'e china, Vietnam, US hawali ugali wa mahindi, nikakutana na pweza na utumbo wa broila dar. Nikaapa suala la kula na kinacholiwa ni nini namuachia mlaji mwenyewe.
0
0
0
@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ Hii ni bongo!! Gdlk alipokuwa amefikia ndo wa kushindwa kununua kigari cha bei ya kawaida akaendeleza Gospel mpaka akapewe zawadi ya gari na mwanaume mwenzie kwa lipi la kumfurahisha. Siku zote amini Uwezo wako aliokupa Mungu
0
0
0
@Phbhimself @nyuki_malkia DT this time around tutamkubali Dunia nzima na hasa wanaume wanaoelewa maana ya uanaume.
0
0
1
@Phbhimself @nyuki_malkia Binafsi namuunga mkono DT asilimia 200. Kama hayajakukuta we mwanaume, usiombe yakukute. Nenda Temeke kituo Jumuishi cha mirathi utashuhudia nyumba na mali zinavyouzwa kwa sababu ya upuuzi wa kugawana sawa baada ya talaka kutokea. Na talaka nyingi ni za mchongo za makusudi.
0
0
0
@MagdalenaJ81011 Wangu nimemzidi 15 net, sasa uliza maajabu tumezaliwa tarehe na mwezi vinafanana, yeye kazaliwa alhamisi mi nikazaliwa jumapili. Maisha yanaenda .....
1
0
1