moja kati ya couple bora ninayoikubali ni couple ya navy kenzo, wameweza kuishi peaceful bila zogo because walichagua kusolve matatizo yao bila kutumia social media ❤️🙌🏼
good morning champions!
jifunze hizi skills upate pesa kupitia on-line hustling;
1. UX design
2. Ghost writing
3. Content writing
4. Translator of languages
5. Web design
haya sasa, usikae kwenye uhusiano ambao hauoni kama unaheshimiwa na kuthaminiwa, muache kabla hajakuacha, maana akikuacha utaumia mara 5 ya maumivu 🏃🏃
good morning brother's and sister's 🦋💥
wanafunzi mliomaliza form four na chuo na mnataka kujifunza design, design ni ngumu kuliko physics.....
i'm just kidding.
i'm not kidding mkija huku mjiandae kukesha.
wanaume umri unavyozidi kuongezeka ndivyo thamani yetu inapanda, kinyume na wanawake
😊😊😊😊😊😊
na hii ndio sababu wanaume tunatakiwa kutafuta pesa mapema sana
musa nimechoka kuitwa katoto mara dogo 😂, sas nimeamua kutafuta girlfriend baadae aje kuwa mke kabsa..ili u-qualify kuwa ubavu wangu lazima uwe na vigezo hiv;
nilipomaliza chuo;
01. niligundua kua nitachelewa kuajiriwa
02. sina damu ya kufanya business
👉🏼 hapo ndipo ubongo wangu ukawaza!
how i can make money online?
nilianza online hustling ndugu kwa uvumilivu mkubwa, now online hustling ndio ugali wangu ❤️🤝
mafanikio yako yanategemea jinsi unavyosimamia vizuri vitu vitatu; muda wako, nguvu na umakini.
morning online hustlers, have a successful wednesday 👊🏽
girl au boy ambae uko chuo please chagua course moja ambayo hata ukihitimu chuo utajiajiri.
usifuate mkumbo eti fulani kasoma hii course na mie nisome, utajuta kila mtu ana kwao.
mambo magumu mtaani 😂 ni ushauri tu lakini
1. Drink water this morning. Do that for your kidney.
2. Eat at least an eggy today. Do that for your brain.
3. Use your legs. Exercise. Take a walk. Do that for your heart.
4. Stay hydrated through today. Do that for your body.
5. Retweet. Do that for othe
gm champions 🌺❤️