musa ndile Profile
musa ndile

@musa_ndile

Followers
407
Following
168
Media
22
Statuses
56

Man of action

Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@musa_ndile
musa ndile
2 months
Ziara ya ujenzi wa Chama Sumbawanga mjini kijiji cha Malagano kata ya Pito, tar 16/06/2024. God be with you people of malagano.
0
6
41
@musa_ndile
musa ndile
3 months
Ziara za ujenzi wa Chama kijiji cha matanga jimbo Sumbawanga mjini leo tar 15/06/2024 kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji By *Musa Ndile*
1
6
26
@musa_ndile
musa ndile
3 years
@kigogo2014 Nadhani watanzania wanaendelea kujua namna ambavyo CCM ni Ile Ile kama wimbo wao ulivyo, Serikali ndani ya miaka 6 inakopa tirion 40 kasoro, Kwa maendeleo yapi?? Ni muda wa kusimama na kuhesabiwa
2
0
14
@musa_ndile
musa ndile
3 months
Ni muda muafaka Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania atoke hadharani atwambie ni Utaratibu gani wa kisheria utatumika kuratibu Uchaguzi wa serikali za mitaa, Watanzania tutaendelea kuwa wajinga kama sheria zinakanyagwa na sisi tuko kimya.... Let us stand firm
0
1
10
@musa_ndile
musa ndile
5 months
Watanzania tubadilike ndugu zangu
0
0
8
@musa_ndile
musa ndile
4 months
An exception Man Tundu Antipas Lisu ATEMA CHECHE SIKU YA MEI DEI
0
2
7
@musa_ndile
musa ndile
18 days
Ukweli ni kwamba kama Vijana hatutaacha Uoga katika kusimamia na kupigania haki zetu za msingi na haki za watanzania wote basi mbele yetu kuna giza nene, Let us first Remove fear and be ready to sacrifice for our country, it is too much in Tz, enough has to be enough.
Tweet media one
1
0
6
@musa_ndile
musa ndile
6 months
Amkungumbuka, Neno hili ni zito sana, Watanzania Mungu atusaidie tubadilike
1
0
4
@musa_ndile
musa ndile
2 months
@SuluhuSamia Jana hapa simu2000 nimeshuhudia watu wanalia kilio kwa kuwa wamewekeza fedha nyingi hata mwaka haujaisha Wanaambia Watoke Ili DART wajenge karakana, hata hivyo hayo ni maelezo ya RC wetu Chalamila, Naombeni sana viongozi muwajali watu, haya ni maneno ya kiongozi Rc
2
0
4
@musa_ndile
musa ndile
1 year
Mungu atasimama na watu wake na hakika utukufu wa mwisho utakua mkubwa kuliko wa kwanza, Asanten Mungu kwa ajili ya hawa watesi wetu, muda si mrefu watajua ukuu wako
Tweet media one
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
2 years
Hivi Rais Samia Kweli hujui Kama Ufisadi Nchi hii umerudi Mara Dufu, nashindwa kuelewa ni kwamba hujui au Ufisadi huu Una Baraka Zako? Kuna Taarifa Kuwa kwenye Kila Lita ya mafuta Kuna percent zinaingia kwenye mifuko ya watu, Kuna Ufisadi mkubwa kwenye manunuz ya dawa hivi hujui?
Tweet media one
0
0
3
@musa_ndile
musa ndile
2 years
With My Chairman,Legendary of Tanzanian politics #freemanmbowetz
Tweet media one
0
0
3
@musa_ndile
musa ndile
2 years
Hatimaye Leo Baraza la Chadema, litaweka Msingi Mpya na Mwelekeo Mpya wa siasa za Nchi Yetu, Masuala yote nyeti Kama Katiba Mpya, Tume Huru na Rufaa za wale Wabunge wa Covid 19 zitaamuliwa Leo, Kumekucha Chadema, Kumekucha Tanzania.
Tweet media one
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
6 months
Hongereni sana wanawake wa Chadema(BAWACHA) kwa kusherehekea siku kuu ya wanawake hapo Mkoani Dodoma, hakika mmekipa heshima kubwa chama chetu.
Tweet media one
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
6 months
@mdudechadematz
Mdude Chadema
6 months
Fikiria huyu ni Rais ambaye tumempa vyombo vyote vya dola avitumie kulinda nchi na mali zake,ila bado analalamika pesa za nchi zinaibiwa. Nakosea wapi nikisema Samia hatoshi? Mara ngapi hapa watu wamelalamika mawaziri wake wanaiba pesa na kujilimbikizia mali ndani na nje ya nchi?
Tweet media one
37
78
428
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
1 year
So grateful
Tweet media one
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
6 months
Tz imekua Shamba la Bibi, fedha za umma zinachotwa kama maji ya mtoni, hakuna mwenye huruma na hakuna hatua zozote zinachukuliwa, huko NHIF Mabilioni ya fedha watu wamejikopesa bure kabisa (41 bill) Wajawazito na watoto wanakufa, nani alaumiwe sis WATANZANIA au CCM. Time will tel
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
1 year
@TunduALissu Thank you mr Tundu Lisu Tutanyamaza tukiwa wafu
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
2 years
@SuluhuSamia Mh Rais Pole na Majukumu, Kwa ufupi Sana Rais naomba kukushauri jitahidi sana kuwa Mkali katika Kusimamia Utendaji Kazi wa watu wako binafsi hua nakasirika Sana nikikuona unaongea mambo nyeti as if unaongea na rafiki Yako, Ivi Kweli Watanzania unawajua Mh? Kuwa Mkali kidogo basi
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
3 months
@rose_mayemba We are together @rose_mayemba Mungu yupo pamoja nasi daima
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
3 years
@JonMrema @jkikwete Kwa hali halisi ya sasa Bila KATIBA MPYA, ipo siku watu watakuja kuuza nchi mchana kweupe na watanzania wakabaki wanashangaana,
0
1
2
@musa_ndile
musa ndile
1 year
@HecheJohn @TunduALissu Hongereni viongozi wetu
0
0
2
@musa_ndile
musa ndile
6 months
@HKigwangalla Hivi Mh @Kigwangala hua unatoa wapi muda wa kujibizana na watu kwenye mitandao? You can never satisfied everyone, Can't you just write your things and leave
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
@MboweSioGaidi Mundu gwa Chala Adamooo Hongera sebho... Tuko pamoja sana
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
@jjmnyika @MarekaMalili Asante Mh Katibu Mkuu
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
@GeorgeKidindima @dude_ly_ Yan police wa nchi hiii wengi wao ni wa hovyo kabisa
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
Yan HUYU MTU ANAITWA FREEM MBOWE NI MTU HATARI SANA KWENYE SIASA ZA MAGEUZA AFRICA NZIMA KWA SASA, Baada ya kuitafakali hotuba yake ya Jana nimeona Kuna Kila sababu ya sisi kumpa heshima ya kuwa #ProfesaFreeman Mbowe
Tweet media one
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
God has done, we are finally the winner, Justice has prevailed Mbowe is a worrier
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
1 month
@MwanzoTvPlus @SuluhuSamia Mama Samia Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, tunaendelea kuomba uingilie kati hili jambo
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
3 years
Already in the Court with my friend Alfonce Lusako, The strong upcoming Advocate.
Tweet media one
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
1 year
MUNGU simama na watu wako, Damu yako ikanene mema, wewe usiesinzia wala kulala
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
3 years
Siasa za Tanzania ni za hatari sana, zimetawaliwa na unafiki na ubinafsi tu, Binafsi mambo yote mabaya aliyoyafanya Ndungai ilikua ajenda ya CCM, hivyo ata angeenda nani pale Bungeni bado atafanya kama CCM inavyotaka afanye hivyo ata kushabikia Ndungai ajiuzulu sio jawabu.
Tweet media one
0
0
1
@musa_ndile
musa ndile
2 years
Tunapoendelea na harakati za Kudai Katiba #Mpya mambo yafuatayo ni Muhimu Dana #Tumehuru #Msajili wa vyama vya Siasa #Mfumo wa Jeshi la Police #mfumo wa Mahakama #Madaraka ya Rais
0
0
1