Ziara za ujenzi wa Chama kijiji cha matanga jimbo Sumbawanga mjini leo tar 15/06/2024 kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji
By *Musa Ndile*
@kigogo2014
Nadhani watanzania wanaendelea kujua namna ambavyo CCM ni Ile Ile kama wimbo wao ulivyo, Serikali ndani ya miaka 6 inakopa tirion 40 kasoro, Kwa maendeleo yapi?? Ni muda wa kusimama na kuhesabiwa
Ni muda muafaka Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania atoke hadharani atwambie ni Utaratibu gani wa kisheria utatumika kuratibu Uchaguzi wa serikali za mitaa, Watanzania tutaendelea kuwa wajinga kama sheria zinakanyagwa na sisi tuko kimya.... Let us stand firm
Ukweli ni kwamba kama Vijana hatutaacha Uoga katika kusimamia na kupigania haki zetu za msingi na haki za watanzania wote basi mbele yetu kuna giza nene, Let us first Remove fear and be ready to sacrifice for our country, it is too much in Tz,
enough has to be enough.
@SuluhuSamia
Jana hapa simu2000 nimeshuhudia watu wanalia kilio kwa kuwa wamewekeza fedha nyingi hata mwaka haujaisha Wanaambia Watoke Ili DART wajenge karakana, hata hivyo hayo ni maelezo ya RC wetu Chalamila, Naombeni sana viongozi muwajali watu, haya ni maneno ya kiongozi Rc
Mungu atasimama na watu wake na hakika utukufu wa mwisho utakua mkubwa kuliko wa kwanza, Asanten Mungu kwa ajili ya hawa watesi wetu, muda si mrefu watajua ukuu wako
Hivi Rais Samia Kweli hujui Kama Ufisadi Nchi hii umerudi Mara Dufu, nashindwa kuelewa ni kwamba hujui au Ufisadi huu Una Baraka Zako? Kuna Taarifa Kuwa kwenye Kila Lita ya mafuta Kuna percent zinaingia kwenye mifuko ya watu, Kuna Ufisadi mkubwa kwenye manunuz ya dawa hivi hujui?
Hatimaye Leo Baraza la Chadema, litaweka Msingi Mpya na Mwelekeo Mpya wa siasa za Nchi Yetu, Masuala yote nyeti Kama Katiba Mpya, Tume Huru na Rufaa za wale Wabunge wa Covid 19 zitaamuliwa Leo, Kumekucha Chadema, Kumekucha Tanzania.
Fikiria huyu ni Rais ambaye tumempa vyombo vyote vya dola avitumie kulinda nchi na mali zake,ila bado analalamika pesa za nchi zinaibiwa. Nakosea wapi nikisema Samia hatoshi? Mara ngapi hapa watu wamelalamika mawaziri wake wanaiba pesa na kujilimbikizia mali ndani na nje ya nchi?
Tz imekua Shamba la Bibi, fedha za umma zinachotwa kama maji ya mtoni, hakuna mwenye huruma na hakuna hatua zozote zinachukuliwa, huko NHIF Mabilioni ya fedha watu wamejikopesa bure kabisa (41 bill)
Wajawazito na watoto wanakufa, nani alaumiwe sis WATANZANIA au CCM. Time will tel
@SuluhuSamia
Mh Rais Pole na Majukumu, Kwa ufupi Sana Rais naomba kukushauri jitahidi sana kuwa Mkali katika Kusimamia Utendaji Kazi wa watu wako binafsi hua nakasirika Sana nikikuona unaongea mambo nyeti as if unaongea na rafiki Yako, Ivi Kweli Watanzania unawajua Mh? Kuwa Mkali kidogo basi
@HKigwangalla
Hivi Mh
@Kigwangala
hua unatoa wapi muda wa kujibizana na watu kwenye mitandao? You can never satisfied everyone, Can't you just write your things and leave
Yan HUYU MTU ANAITWA FREEM MBOWE NI MTU HATARI SANA KWENYE SIASA ZA MAGEUZA AFRICA NZIMA KWA SASA,
Baada ya kuitafakali hotuba yake ya Jana nimeona Kuna Kila sababu ya sisi kumpa heshima ya kuwa
#ProfesaFreeman
Mbowe
Siasa za Tanzania ni za hatari sana, zimetawaliwa na unafiki na ubinafsi tu, Binafsi mambo yote mabaya aliyoyafanya Ndungai ilikua ajenda ya CCM, hivyo ata angeenda nani pale Bungeni bado atafanya kama CCM inavyotaka afanye hivyo ata kushabikia Ndungai ajiuzulu sio jawabu.