Motivation 255 Profile Banner
Motivation 255 Profile
Motivation 255

@motivation_255

Followers
154,233
Following
3,381
Media
2,158
Statuses
55,597

Pata maudhui yenye kukujenga (kimaadili na kiuchumi) na fursa mbalimbali za ajira, ufadhili wa masomo, mitaji, ruzuku, mafunzo na safari nje ya nchi za bure.

Canada
Joined October 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@motivation_255
Motivation 255
10 months
Jiunge sasa kwa kubonyeza @motivation_255 na kisha bonyeza subscribe. Utalipia Tshs 3,000 (elfu tatu) tu kwa mwezi, hii ni sawa Tshs 100 (shilingi mia) kwa siku.
Tweet media one
105
75
144
@motivation_255
Motivation 255
2 years
How manny retweets for these Ugandan Players? MashaAllah
Tweet media one
41
327
2K
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Mwanamke ukiwa huna fedha wala sehemu ya kujipatia kipato unakua na stress lakini ukiwa na kipato na HUJAOLEWA unakua na stress Zaidi, tusiichukulie powa NDOA angalieni dada zenu wenye miaka 35+ na hawana ndoa ndo mtajua umuhimu wa ndoa, Umepata bahati ya kuolewa TUNZA ndoa yako
408
212
2K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Nimewaza hapa Kama Angekua amechomwa Moto Mwanamke, Sijui Tungejadili Kwa siku Ngapi. Wanaume tunawaonea sana.
148
117
2K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
How Many Retweets ❤ , Allah Akbar
Tweet media one
63
453
2K
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Hadi nimetamani kua mama😄😄😄 Just imagine ,hakuna kitu cha thamani kama upendo wa mama❤
Tweet media one
96
57
2K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Hii Ni Nyumba Ya Naseeb. Samahani hili Ni Jumba la Naseeb.
Tweet media one
212
29
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ugumu wa chuo unafanya Nione urahisi wa kuolewa 😀
329
27
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
I was born a muslim, I am a muslim and In’Sha’Allah I will die a Muslim. And You?
246
66
1K
@motivation_255
Motivation 255
5 years
This is High Level Of stupidity, Mtu ameku DM ameomba muonane amekuja Mkoani kwako, una share privacy zake, Lusako kaja kweli Dodoma Mimi alinitafuta tena WhatsApp na Jana nimeonana nae amekuja hadi ofisin kwetu kututembelea, Such a Good Guy, Mbona Watu mna mistreat huyu Mtu?
Tweet media one
Tweet media two
189
84
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Nikki ananifanya nisitamani kuendelea na Masters Degree kabisa 😀
151
29
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Mtihani wa darasa la Saba nimefanya 2010.
219
20
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Bahati Mbaya Sana Wakaka Wazuri Hawanaga Hela, kiuhalisia Uzuri wa Mwanaume Hauliwi na hauna maana. 😀
205
36
1K
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Utakapo anguka usiogope kuamka kuanza upya Kila kishindo kina Malipo just sabr Good morning
101
96
1K
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Wanaume, Ukiona mwanamke hakusumbui kwa kitu chochote hakuna text, hakuna calls wala usumbufu wa kimahaba wowote ule ujue huna chako hapo.
154
53
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kuna msanii kafuta nyimbo yutyubu nampo kimya tuu
71
21
1K
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Umefanya mtihani wako wa form form mwaka gani??? Mimi 2015..
408
41
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Hii timu wiki ya pili Sasa anapostiwa mchezaji Mmoja tu 🤣🤣🤣
109
31
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kwanini Wrong Number nyingi huwa ni Wasukuma tu??
143
27
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Andika neno "Independence" Ukiwa umefumba macho.. don't cheat...
320
16
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kumpambania Diamond Twitter Yataka ujasiri mkubwa sana
98
26
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Super Woman 💕
Tweet media one
28
29
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Bado follower Mmoja Nifikishe 100K 🤣🤣
102
30
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Upi Mkoa Ni mzuri kwa Kijana Kama akitaka kuanzisha Maisha ya kujitegemea, Mkoa wenye nafuu ya Maisha?
225
29
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
"Mida Kama hii MwenyeziMungu huwatazama waja wake wanaoacha usingizi wao na kumsujudia yeye wakimuomba na kutaka Maghfila"
45
35
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Diamond Platnumz kashindwa kwa sababu Burna Boy echaguliwa na ameonekana Bora zaidi, hakuna sababu zaidi hiyo. Msijitie Umuhimu Bure.
121
39
1K
@motivation_255
Motivation 255
2 years
FH au basi😅😅😅😅😅
Tweet media one
34
16
1K
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Sijui niwape zawadi Gani mkifika 100K nyie viumbe....Bado wa 5 tu 🤭
79
22
998
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Uislamu unajotosheleza katika misingi yake yote, kisiasa, kiuchumi, kijamii na kitamaduni. Kila kitu kipo kwenye Quran, Tufuate Muongozo.
64
58
1K
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Wapwa, FOLLOW kila mtu atakaye LIKE handle yako.
202
30
983
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Mara zote kipindi Cha kilimo hua kigumu ,utachomwa na jua ,utaumia mikono lakini kipindi Cha mavuno utafarijika.. Alhamudlilah 🙏
67
49
991
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Mmegoma Kuoa? Tuambieni basi tujue tunafanyaje sisi..
185
24
962
@motivation_255
Motivation 255
3 years
BET here we come..... 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿, all votes For @diamondplatnumz ❤️❤️❤️❤️
Tweet media one
105
120
983
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Kumbe ALI ndo mpumbavu Ivo? Ama kweli watu wa kimya wabaya Sana, na si ameoa yule?
133
23
958
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Mtoto wa kiume usikae Nyumbani Kwenu zaidi ya miaka miwili baada ya kuhitimu chuo kikuu. Utadumaa
133
34
963
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Nakutana na mpambazi leo Pray For Me
103
15
944
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Hakuna mwanaume katili mbele ya mwanamke Mwerevu, Tupunguze midomo kwa waume zetu, ukikosea omba msamaha ni mwanaume yule duniani una wazazi wako na mumeo. Usijibizane na mwanaume, kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye maisha ya Ndoa stay still utaepusha mengi 🙏
122
131
967
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kenyatta Stops For Adhaana, MashaAllah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
38
43
949
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Nakukumbusha Mchumba hatafutwi mitandaoni, natanguliza Samahani 🙏
231
34
922
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Diamond will remain as the best ever performer In Tanzania. PERIOD.
68
40
935
@motivation_255
Motivation 255
3 years
My name is Rahma Adam Dosa. Age 23.
133
15
903
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Hivi kumbe wakaka hampendagi wasichana ambao wako overprotected, why??
99
23
943
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Sanitizer za Hiriki Nyie Wapwa wa Tanga mmekuwaje? Haya Inuaneni hapa chini comment your handles 👇
207
31
908
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Jamani KOKOTO za kujenge in English zinaitwaje?
156
22
907
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Unaweza Ishi Bila Kunywa POMBE na usipungukiwe na kitu chochote kile katika maisha yako
137
42
895
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Watu wa Arusha mnaelekea kutuharibia Kiswahili 🤣
86
23
871
@motivation_255
Motivation 255
3 years
I’m not perfect Muslim, but I’m trying.
56
49
881
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Mpambaz Ana wiki tatu Sasa DM kwangu Ila kila siku yeye Ni kuniambia nielewe Basi next time tutaenda wote Dubai, Muelekezen Strategies za kupata Pisi Kali huyu Muha..
123
15
874
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Wanaume kuitana Mbwa, au majina ya Ambayo hua Ni matusi kwao huwa Ni kawaida tu, Utasikia "SEMA we Mbwa" hii huwa Ni Nini?
206
20
863
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Kwa Niaba ya Mh. Rais natangaza Rasmi kwamba hii Wiki Yote Hadi siku ya Jumapili Ni wiki ya Wapwa Kuinuana, Wapwa must rise, Mabloo Must Fall, Lego Wapwa..
266
57
853
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Hata Kwa masihara baadhi ya maneno hayatakiwi kutoka kinywani mwako📌
48
81
898
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Assalam Alaykum Mtoto mzuri, Naomba namba Yako ya Wasapu, Ivo tu? 😂😂
107
24
882
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ilikua mwaka gani ulipo miliki Fedha kiasi Cha Tsh 500K kutokana na Jasho lako mwenyewe?
194
20
858
@motivation_255
Motivation 255
5 years
DM zenu ziko salama, so feel free to DM me, hua najibu msg hata nikitukanwa hua najibu Pia,ukija DM hakikisha umepitia profile yangu maswali ya naitwa nani, naishi wapi, ama nafanya shughuli gani naomba nisuliulizwe Nimefafanua kwenye Profile hapo Juu, marital status - NOT SINGLE
191
29
861
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kumbe Bado Kuna Wanaume wanatulilia kabisa Hadi machozi 🙆.. imefika wakati nililiwe Sasa na Mimi
92
16
847
@motivation_255
Motivation 255
3 years
UDOM ❤️
Tweet media one
59
24
860
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Mtu Mmoja aniweke DP Nitamlipa Leo.
98
16
827
@motivation_255
Motivation 255
3 years
I'm Delighted to announce that I'm joining @ManUtd On a Free transfer from @Arsenal , Contract signed until the end of the season. HERE WE GO.
127
49
848
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Zawadi Ya Mwanaume Ni boxer na Vest Tu Ukizidi Sana Spray Ya @MwanaFA Basi.
92
9
826
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Umesha kunywa Chai ama bado bado unasubiri saa sita sita hivi upige Pasi Kama Za Granit Xhaka?
97
25
811
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kumbee mambo ya Rapcha ni ya Kweli 🙆
32
17
815
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Rahma Dosa is finally Verified, Thanks To Everyone 🙏.
29
6
809
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Arsenal Mpo?? Niwaone hapa chini niwajue, niwafolo Ili tuumie vizuri 😂
175
21
791
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Una miaka 25, huna Kazi, unaishi kwenu alafu una wanawake (wapenzi) wa Nne, Wewe Ni Tatizo 😀
105
27
811
@motivation_255
Motivation 255
3 years
🙄Nawakumbusha tu Eid ni mwezi wa tatu
114
21
801
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Thank You Twitter for verifying my Account (Blue Tick). Next Year's Tweet.
38
17
781
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Msaada.. Nina mdogo Wangu anasumbuliwa na kichwa wiki ya pili Sasa, kazunguka hospitals shida haionekani, ila kichwa kinagonga sana na Usiku Halali kinampa na homa.. Mwenye kujua sababu na matibabu pls, Yuko DODOMA.
213
33
797
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Rahma Dosa is finally verified, Blue ticked.
34
11
790
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Makonda wa UDOM wanapiga Spana jamani 😂, eti unamnunia nani Sasa Mimi ndo nilikutuma upate SUP 😂..
41
17
791
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Mabloo na wengine wanaochukia Wapwa wameanza Makasiriko, Kama Makam Wa Rais nasema Tuta washangaza, narudia Tena tutawashangaza...Wapwa tuendelee Kuinuana just comment your handle Wadau wakufuate. #USW #MMF
348
42
772
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Siku nimekutana na Mpambazi pale Dodoma Viwanja vya Jamhuri, Muha alikua amejipaka mafuta ya mawese, alikua ananukia Kama mboga..
100
9
773
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Kuna Mgahawa Tanzania Hii hakuna Wali Maharage?
66
9
767
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Hivi yule Msanii aloimba "Nitakupa samaki nikubalie" alimaanisha Samaki huyu huyu ama Ni Sanaa tu 😀
73
10
761
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Akikuinvite dinner date on a first day nyumbani kwake KATAA, KATAA, KATAA Unless Labda uwe Tayari kwa kila kitu 👌
131
16
768
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Kitaalamu kabisa mtu anatakiwa abadili mswaki wake kwa muda gani? #DosaAsking
240
13
751
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Nimtafute Kipepe Sasa aniasaidie kuandaa CV nimeshachoka kukaa Nyumbani 🙆🙆
34
17
756
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ukishindwa kuwafollow back Basi reply hata comments zao kwenye tweets zako, usiwe selective, Wapwa nao Ni watu 🤭
73
35
763
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ila tuongee yote Ila Mpambazi Ni star Sana imagine tumefika kumuona tukakuta Kuna foleni ya Watu Wana msubiri, na sisi akatuweka benchi kwanza amalizane na wengine 😀😀, jamaa Amejua Sana kuishi vizuri na hi App
42
18
772
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Ukitaka trending ya heshima fanya zako vitu positive kama Majaliwa ,utatrend pia utagain from that trend always kwenye mioyo ya watu af trending ya nguvu yako unavimba Kwa amani kuliko hizi za uongo na kweli!!
71
54
774
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ukiachana na maneno Kama "Book, Good, Goose, Tooth, boots, root, na loose, Ni maneno gani Mengine ya Kingereza yenye "O" mbili katikati.. Usiige la Mwenzio... I challenge you comment down 👇
351
26
746
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Na mapenzi yangu yote kwa WCB kwenye hili Swala siwezi watetea 😀😀, wapigeni Spana tu...
42
27
768
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Kuna Mtu mmoja alikuaga anaitwa UCHEBE alipotelega wapi?
103
13
750
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Ningetoa wapi pesa Halali ya kununua Samsung A10s Mimi Kama sio Twitter 😀, acheni masiahara jamani
25
18
743
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Mpambazi anaonekana Maisha mazuri na Ana Hela kweli kweli, nimzamie DM 😀
75
11
750
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Mkumbusheni Mmakonde Mh.Rais alikua anatania tu Ile siku
47
17
742
@motivation_255
Motivation 255
2 years
Hello Mambo, Nipe Namba Yako.
98
22
748
@motivation_255
Motivation 255
4 years
WAPWA TUINUANE, achaneni na huyo Muha.. drop your handle follow kila atakaye like handle yako.
257
38
740
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Jasho la mlevi linanuka POMBE, mkojo wa mlevi unanuka POMBE, Yaani mtu ananuka POMBE POMBE tu...
132
20
731
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Mkeo anaweza kukufanya ukaacha kunywa POMBE?
184
9
734
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Wazazi najua mnasoma hapa, Mwanao akipata Mwenza akawa Tayari kuoa ama kuolewa swala la kuwa define watu kwa makabila Yao sio Ustaarabu, utasikia yule Mrangi anatabia mbaya, Mara Mhaya ni hatari, Mara Muha and bla bla.. imagine mwanao ndo anakataliwa kwa kigezo Cha kabila lake
122
36
737
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Unampigia simu asali wa Moyo wako halafu anapokea Nyuki 🤣🙆
52
33
734
@motivation_255
Motivation 255
4 years
ALI Ni Kama hua anajiimbia yeye na kigenge chake, hajui Public Demand. Mapovu Yanakaribishwa
98
19
732
@motivation_255
Motivation 255
5 years
Leo i will be following 400 accounts, kama nilipitiwa kukufollow back pls comment FB i will follow you ASAP, na kama bado Follow and will Follow you ASAP...400 Accounts 🙏
253
26
726
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Jamani Hili baridi DODOMA linatoka wapi Jamanii
81
9
726
@motivation_255
Motivation 255
3 years
Ubaya ni kwamba watu wengi wenye influence kubwa humu ni mashabiki wa Yanga 🤣🤣
50
30
729
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Anayeingiza sauti kwenye zile Meme za Nyonyoma hua ananikosha Sana kokote aliko ale Khamsa 👊
27
11
722
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Tuinuane kidogo Tulakalale Wapwa, drop Your Handle Kisha FOLLOW kila atakaye Like Your Handle.
192
33
711
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Wapwa kabla hamjalala wacha niwainue kidogo, Drop Your handle, Kisha follow kila retweet ya hii Tweet, I'm following back Leo accounts mpya .....
251
68
711
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Hakuna Mwanaume Asiyependa kuwa na Hela, ama Anaye fanya kusudi asipate hela, tuwakumbushe kwa Ustaarabu tu tusiwafokee Wala kuwaharabia..
46
34
712
@motivation_255
Motivation 255
4 years
Turudi Chuo Jamani, mbona kazi zinakua Nyingi hivi Asubuhi Asubuhi 🙄🙄
109
13
701