mhh_tz Profile Banner
TZ MHH Coalition Profile
TZ MHH Coalition

@mhh_tz

Followers
22
Following
11
Statuses
16

A platform that strengthen coordination of MHH stakeholders to enhance Menstrual hygiene awareness, access to safe material and facilities for women and girls

Joined April 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @MsichanaUwezo: Pedi Bila Kodi Inawezekana 💪🏻@TheGuardiantz #MHDay2022 #PediBilaKodi
Tweet media one
0
4
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @MsichanaUwezo: Jipatie copy ya Gazeti la Majira la leo @TimesMajira , Pedi Bila Kodi Inawezekana 💪🏻 #PediBilaKodi #MHDay2022 https://t.…
0
4
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Tweet media one
0
0
1
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Hedhi ni tunu na msingi wa afya, dhamiria kuwekeza katika nyanja zote" Kutoea mkoani Kigoma Kilele cha maadhimisho ya siku ya hedhi duniani kikienda sambamba na mbio za hisani zilizo ongozwa na mke wa makamu wa raisi Tanzania Mama phillip mpango. #MenstrualHygieneDay
Tweet media one
0
2
4
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @MsichanaUwezo: Ewe binti, tunasheherekea na kujivunia pamoja nawe. Ujumbe wetu kwako, tumeufikisha. Huu ni Mwezi wa Hedhi salama! @mhh_
0
3
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @WaterAidTZ: Hedhi Salama inamaanisha nini kwako? Kwetu sisi inamaanisha Afya, heshima na thamani. Paza sauti kupinga mila na desturi po…
0
7
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @MsichanaUwezo: Jipatie copy ya gazeti la @TheCitizenTz la leo kuona utafiti uliofanywa na @MsichanaUwezo kuhusiana na suala la Pedi Bil…
0
20
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @wizara_afyatz: Nitoe wito kwa jamii kuachana na mila na desturi potofu kuhakikisha upatikanaji wa huduma na vifaa vya kujihifadhi hasa…
0
4
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @wizara_afyatz: Miundombinu isiyokuwa rafiki kwa wasichana/wanawake wakati wa hedhi ina athari kama vile maambukizi katika njia ya mkojo…
0
10
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
RT @wizara_afyatz: Wizara kwa kushirikiana na wadau inaendelea kutoa elimu na uhamasishaji kwa jamii na shuleni ili kuongeza ufahamu juu ya…
0
4
0
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Hedhi safi na salama hufanyika pale binti au mwanamke yuko katika mazingira rafiki ya kupata taulo salama za kike zenye ubora kwa afya yake ya uzazi, Sambamba na upatikanaji wa nyenzo zote muhimu kwa ajili ya usalama wake na mazingira. #MenstrualHygieneDay #mhh2022
Tweet media one
0
2
2
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
We urge more commitment at the village, ward, district and region levels to prioritize and indicate enough budget to support MHH in schools. #MenstrualHygieneDay #mhday2022
Tweet media one
0
5
12
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Kuelekea Siku ya Hedhi Salama Duniani, shiriki challenge hii kwa kurekodi video ya dakika 1 ukielezea nini maana ya hedhi salama kwako na mchango unaotoa katika kuhakikisha wasichana na wanawake wanapata hedhi safi na salama #MenstrualHygieneDay #MHday2022
Tweet media one
1
6
7
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Je unajua inawezekana kuwa na jamii ambayo wasichana na wanawake wanapata hedhi safi na salama? shiriki challenge hii kwa kurekodi video ya dakika 1 ukielezea maana ya hedhi salama kwako na mchango unaotoa katika kuhakikisha wasichana na wanawake wanapata hedhi safi na salama.
Tweet media one
0
2
3
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Hedhi Salama inamaanisha nini kwako? ungana nasi! Kwetu sisi inamaanisha Afya, heshima na thamani. paza sauti kupinga mila na desturi potofu kuhusu hedhi salama. #menstrualhygineday #MHday2022
Tweet media one
0
2
5
@mhh_tz
TZ MHH Coalition
3 years
Kuelekea Maadhimisho ya siku ya hedhi salama duniani, kitaifa kufanyika Mkoani Kigoma 28.05.2022 Jukwaa la hedhi Salama Tanzania inawaletea mbio maalum Run for Hedhi Salama Mkoani Kigoma kwa ajili ya kukuza uelewa juu ya hedhi salamaTanzania #menstrualhygineday #MHday2022
Tweet media one
0
1
2