menah💕 Profile Banner
menah💕 Profile
menah💕

@menaherself

Followers
4,017
Following
2,866
Media
355
Statuses
13,790

Tunauza vyombo aina zote na Decorations mbalimbali za Majumbani Hotelini pamoja na Restaurants, karibuni sana ☎️0745776971 📍DSM. Mikoani tunatuma

Goba kwa Robert
Joined August 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@menaherself
menah💕
2 months
Hello Naomba repost yako dear🤝❤️ Tsh.85,000/Set Hotpot Nzuri sana zinakuwa 4 Rangi zilizopo ni Kijivu, Nyeupe, na Offwhite Karibuni sana, Derivery ipo nchi nzima ☎️0745776971 📍Ubungo mawasiliano
Tweet media one
11
77
85
@menaherself
menah💕
2 years
Watu wana maneno asee, eti wanasema leo umeme Umekatika sababu walikua wanatest kichwa🤣🤣🤣
Tweet media one
71
50
2K
@menaherself
menah💕
2 years
Nani huyo anaesema mimi ni parody?
Tweet media one
56
30
1K
@menaherself
menah💕
10 months
Naomba kushare jambo fulani binafsi🙏 Natembea masaa 12+ kwa siku kutembeza karanga Huu ni muda wa likizo ndefu ya chuo Naamini ningekuwa mtoto wa kishua, nisingeijua mitaa ya Dar vizuri. Ningezijua main road tu Ninaishi kwa matumaini. TUMAINI LANGU KUBWA NI KUWA NITAPATA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
128
542
1K
@menaherself
menah💕
6 months
"Kwanza nina UE mambo ya valentine niwaachie wakubwa" 😂😂
Tweet media one
73
45
548
@menaherself
menah💕
2 months
Happy birthday to myself❤️
Tweet media one
Tweet media two
125
91
481
@menaherself
menah💕
5 months
Man City win💙💙
Tweet media one
50
27
451
@menaherself
menah💕
11 months
Naitwa @menaherself ni mwanafunzi UDSM, Natengenezea mazingira ya kujiajiri ajira ikiwa ngumu Jipatie karanga tamu mbichi na za kukaanga jumla na rejareja karibuni sana, bei ni nafuu mno kwa kila mtanzania Whatsup/call 0753433613 Naomba #Repost yako
Tweet media one
25
198
319
@menaherself
menah💕
1 month
Kabla #TBT haijaisha First year iyo 2021 😂😂
Tweet media one
42
31
313
@menaherself
menah💕
11 months
MUHIMU KWA MWANAUME NA MWANAMKE NDIO NI MUHIMU, TENA SANA KARANGA NI MUHIMU KATIKA MFUMO WA UZAZI. SIO TU KWA MWANAUME KAMA ILIVYOZOELEKA, HATA KWA MWANAMKE PIA Acha nikueleze machache kuhusu faida za karanga kwenye mfumo wa uzazi; 1.Kuongeza ubora wa manii: Karanga zina
Tweet media one
14
83
304
@menaherself
menah💕
3 months
Kama unaipenda afya yako ya akili achana na wanaume weupe
79
34
290
@menaherself
menah💕
9 months
Naomba repost yako Kwa mahitaj ya karanga mbichi na za kukaanga jumla na rejareja. Korosho pamoja na almonds. Nichek nikultetee 0753433613
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
164
279
@menaherself
menah💕
4 months
Kama mmegoma kuja kununua vyombo nipeni hata madilì mengine basi😁
Tweet media one
58
30
261
@menaherself
menah💕
7 months
Nikikumbuka nishawahi kuitwa parody humu naishiwa nguvu🙌🙌
Tweet media one
32
22
241
@menaherself
menah💕
4 months
Sema hizi nywele unaweza ukaziona cheap ila sio chini ya 25k hadi 35k kusuka
Tweet media one
61
22
231
@menaherself
menah💕
8 months
Kwani muda kuanza kumiliki pesa mingi ni miaka mingapi wakuu nisije nikajichanganya kumbe mda bado😄
Tweet media one
33
26
217
@menaherself
menah💕
2 months
Maisha hayakupi kile unachotaka bali hukupa kile unacho stahili Happy new month
Tweet media one
37
34
210
@menaherself
menah💕
2 years
Ukiwa na huzuni jaribu kukumbuka good moments ambazo zilikupa furaha utaona kabisa hauna sababu ya kuendelea kuhuzunika
Tweet media one
14
18
192
@menaherself
menah💕
7 months
Mungu awabariki muingiapao na mtokapo. GoodMorning familia
Tweet media one
23
67
204
@menaherself
menah💕
6 months
Mamboo 😉 Naomba repost yako tafadhali 🙏 Nauza vyombo vya udongo jumla na rejareja Location Dar es salaam Mawasiliano bus stand Derivery ipo na Mikoani tunatuma 0745776971
Tweet media one
Tweet media two
12
164
196
@menaherself
menah💕
3 months
Sema Hill boom la mwisho tunalipokea kwa manyanyaso kweli yani 😅
21
28
196
@menaherself
menah💕
7 months
@IdrisSultan Ni mwanafunzi wa chuo UDSM nauza KARANGA,KOROSHO NA ALMONDS jumla na rejareja sina duka ila nafanya derivery nchi nzima.Natamani kufungua duka siku moja au sehemu permanent ili wateja wangu wafike kwa Urahisi🙏
7
160
186
@menaherself
menah💕
9 months
Good Morning Family Vyuo vimefunguliwa lakini hainizuii kukuletea wewe mteja wangu karanga . Weka order na zitakufikia popote ulipo. Bei 500 hadi 4000. 0745776971( whatsup) Calls 0753433613 Karibuni sana
Tweet media one
Tweet media two
19
98
191
@menaherself
menah💕
3 months
Yani unatafuta pesa mwezi mzima inakuja kuisha kwa wiki moja😭😅. Nimalize chuo nihame huu mji rasmi aisee
22
17
176
@menaherself
menah💕
10 months
Au niache kuuza karanga nianze kubet kama @INFLUENCERjr
Tweet media one
Tweet media two
19
34
172
@menaherself
menah💕
10 months
😭😭😭 HUZUNI Mtu ameweka Order kubwa ya karanga, nimetoa pesa ya Ada ili kuanda mzigo wa kutosha. Mwishoni ananiambia ameahirisha😥 Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga jumla na rejareja ☎️ 0753433613 📍Dsm Naomba #Repost yako 🙏
Tweet media one
Tweet media two
27
81
169
@menaherself
menah💕
9 months
Dah Nimeota Yanga tumefungwa 3-1 nimelia sana ndotoni😭😭😭😭
Tweet media one
41
22
167
@menaherself
menah💕
10 months
Good morning friends Ikawe siku ya heri kwenye utafutaji wako Leo nitakuwa kariakoo, karibuni sana mni support🙏 Bei ni rafiki kwa kila mwafrika ☎️ +255753433613 Naomba repost yako🙏
Tweet media one
12
76
164
@menaherself
menah💕
8 months
Naomba retweet yako tafadhali👍 Kwa mahitaji ya Karanga , Korosho na Almonds usisite kunicheki Derivery ipo na Mikoani tunatuma kwa uamnifu mkubwa No free derivery‼️ 0753433613
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
99
160
@menaherself
menah💕
10 months
Leo nimeenda kanisa jipya, nimenyimwa nafasi ya kujitambulisha. Ningetangaza na karanga zangu hapo
Tweet media one
Tweet media two
10
45
164
@menaherself
menah💕
10 months
Karanga Karanga Karanga Nimerudia mara tatu Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami; 0753433613 Bei rafiki (500 hadi 4000 )
Tweet media one
Tweet media two
7
43
153
@menaherself
menah💕
5 months
Tweet media one
@TMnyama4_
T
5 months
14. Quote this with a video or picture of yourself
7
6
63
18
15
144
@menaherself
menah💕
3 months
Hizi dawa za mbu zimekuwa za mchongo sana siku hizi yaani unapuliza dawa asubuhi unatoka ukirudi jioni mbu wako palepale aisee na milango ulifunga 🤧🤧
15
14
141
@menaherself
menah💕
10 months
Karanga Karanga Karanga Nimerudia mara tatu Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami; 0753433613 Bei rafiki (500 hadi 4000 )
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
59
134
@menaherself
menah💕
10 months
#Repost Tufurahi Wote Nasikitika kuona mtaji wa karanga unateketea kwa kula mimi mwenyewe Hizi karanga ni tamu, Ninafungua Pakiti ya 6 hapa🤓 Wateja niugisheni kabla sijamaliza zote🙏 Tunauza Karanga mbichi na za kukaanga Bei za kizalendo (500 hadi 4000) ☎️0753433613
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
48
139
@menaherself
menah💕
1 month
22😊
Tweet media one
@Iameniolamyde
DemiLade
1 month
20yrs - 45yrs old , bless us with your picture/video. Let’s see you and appreciate God’s creatures.
447
134
859
31
21
136
@menaherself
menah💕
11 months
Siku yangu imekuja nzuri sana leo Yote hii ni sababu ya upendo wa wana X Nina pokea order za karanga kutokana na repost zenu. Much love to you all 💕 Muwe na usiku mwema, Na umeme usiwakatikie🙏
Tweet media one
15
26
129
@menaherself
menah💕
2 months
Hello familia Nauza hivi vitu hapa bedi sofa pamoja na pallet Vyote 120k tu mwenye navyo anashida sana please naomba repost yako tafadhali 0675131580
Tweet media one
Tweet media two
14
64
133
@menaherself
menah💕
5 months
Imagine mtu una mvumilia hana kitu then, siku akifanikiwa anakuacha. Ndio maana wanawake wengi siku hizi wanataka wanaume wenye pesa.Fear Men
41
30
132
@menaherself
menah💕
3 months
Mpee mwanamke wako pesa weekend akaenjoy na marafiki zake😊
25
15
133
@menaherself
menah💕
4 months
Kuna Muda inabidi uvumilie manyanyaso na dharau ili tu upate unachokitaka na uweze kufikia lengo Good Morning champ
Tweet media one
37
71
128
@menaherself
menah💕
10 months
Siri Nyeti Kweli Kweli Usiyoifahamu Kuhusu Karanga. Hii Siri Imeficha kwa Miaka Mingi Sana. Leo Ninakuletea Bila Uchoyo. Repost Wengi Wapate kufahamu haya mambo👇👇 Kabla ya kuanza kusoma, tuelewane hapa. Je, Unadhani ninaandika haya kwaajili ya kutangaza biashara yangu? Kama
Tweet media one
10
52
126
@menaherself
menah💕
11 months
Good morning friends Kumekucha sasa nikatembeze karanga Bei: kuna package za; 500 1000 2000 3500 - ½+Kg 5000 - 1Kg 0753433613 Kindly repost 🙏
Tweet media one
Tweet media two
7
59
121
@menaherself
menah💕
2 years
Ishi na watu vizuri daaslam kuna kuku wa maziwa au nawapiga kamba........
Tweet media one
7
7
114
@menaherself
menah💕
5 months
Sometimes njia zilizo nyooka zitakufanya uchelewe kufika kwenye mafanikio au usifike kabisaa. Mungu atusaidie sana Good Morning
28
51
121
@menaherself
menah💕
10 months
MVUA MVUA MVUA Good morning FAM 😇
Tweet media one
14
47
122
@menaherself
menah💕
10 months
Hii ni ya kukosa ghetto kweli?
Tweet media one
14
37
118
@menaherself
menah💕
10 months
Karanga Karanga Karanga Nimerudia mara tatu Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami; 0753433613 Bei rafiki (500 hadi 4000 )
Tweet media one
@kapeto98
KAPETO🇹🇿
10 months
Good Morning all #BusinessMan and #Entrepreneurs kazi ni Moja tu Quote hii tweet na Biashara yako tukusupport kupata wateja.!✊
4
12
34
7
37
116
@menaherself
menah💕
5 months
Naturally
Tweet media one
@PCatnho
Princess Catie 🇹🇿
5 months
Tuone picha yenye nywele zako natural😁😁, mie👇👇
Tweet media one
Tweet media two
9
8
41
23
18
115
@menaherself
menah💕
3 months
Miguu yangu inazidi kuwa minene yani sio guu la bia tena ni shampein nifanyaje ipungue😭😭
25
11
114
@menaherself
menah💕
6 months
Kwahiyo mmefikia wapi tuhudumiwe au tuachwe😂 au vitoto vya 2000 hatuhusiki kwenye mada😂😂
Tweet media one
32
13
111
@menaherself
menah💕
10 months
Wateja Mko Wap? Undugu Uko Wap? Upendo Uko Wap? Order Ziko Wap? Tuleni karanga tuongeze Eneji nyingiiii Mvua Mixer Karanga=🔥🔥 Mbichi na za kukaanga Bei rafiki sana (500 hadi 4000) ☎️0753433613 Kindly repost
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
63
111
@menaherself
menah💕
4 months
Good Morning Familia Mungu akubariki uingiapo na utokapo ❤️
Tweet media one
20
56
111
@menaherself
menah💕
10 months
Hili lijamaa linanguvu utadhani limekula menah karanga😅🙌
Tweet media one
9
11
109
@menaherself
menah💕
11 months
Nimechoka na mizunguko ya kuuza karanga. Nimejaribu kulala hapa, nimesikia sauti kuu ikinuambia "AMKA UPOST TANGAZO LA KARANGA, UTAPUMZIKA UKIFA" Bei: kuna package za; 500 1000 2000 3500 - ½Kg Plus 5000 - 1Kg 0753433613 Kindly repost
Tweet media one
7
67
109
@menaherself
menah💕
3 months
Good Morning ❤️ MUNGU akabariki leo hustle zetu zikajipe
Tweet media one
24
60
108
@menaherself
menah💕
2 months
Tweet media one
1
73
110
@menaherself
menah💕
2 months
Kila nikikumbuka nilimwambia mpenzi wangu naumwa akanijibu "kwani Huna wazazi," nakosa pumzi kabisa. Bora nikomae na busness mapenzi yashanishinda haswa hawa light skin hawa🚮😅😅
24
18
109
@menaherself
menah💕
6 months
Mje dukani mnunue sahani za udongo msitume plastic zina madhara Bei kitonga 1500/1 6pc 8000 2000/1 6pc 10500 3000/1 6pc 16000 4000/1 6pc 22000
Tweet media one
Tweet media two
12
43
107
@menaherself
menah💕
10 months
USICHUKULIE POA UNAFAHAMU SIRI NZITO YA KARANGA KUHUSU WANAMICHEZO? WEWE NI MWANAMAZOEZI KAMA @ommyfitness au @Millambo_ Uwe ME ni fresh, au hata KE kama @nyuki_malkia au @iamcleopatricia ni sawa pia Repost wanufaike wengi🙏 Karanga ni chakula chenye faida kubwa kwa
Tweet media one
9
40
108
@menaherself
menah💕
11 months
Nawashukuru wate mnaojitoa kuni support hata kwa repost tu. Mbarikiwe sana Nafurahia upendo kwa watu wa X Naamini wote walio weka order na walio nunua karanga tayari watatoa mrejesho humu Bei: kuna package za; 500 1000 2000 3500 - ½ Kg 5000 - 1Kg 0753433613 Kindly Repost
Tweet media one
5
71
103
@menaherself
menah💕
4 months
Good Morning champ Ikawe kheri kwetu leo
Tweet media one
24
44
102
@menaherself
menah💕
4 months
Usizae kwasababu mwanaume anataka mtoto au unampenda sana uyo mwanaume unataka kumzalia.Bali zaa kwasababu wewe mwenyewe unamtaka uyo mtoto, ili hata kama siku baba akimtelekeza uwe na nguvu ya kuendelea mbele. 🙏 Good Morning Africa
29
41
99
@menaherself
menah💕
10 months
Mwambieni alieniibia karanga Pakiti moja wakati nagombania mwendo kasi pale gerezani Mungu atalipa😥
Tweet media one
Tweet media two
11
34
101
@menaherself
menah💕
3 months
Hivi kwanini Wanaume wengi wanaamini hawawezi kununua vyombo hadi waoe Nasoma comment
Tweet media one
34
24
103
@menaherself
menah💕
4 months
Huyu nae ameniacha kisa siombi Hela. wtf FearMen 💔
20
20
101
@menaherself
menah💕
11 months
Hii mvua ni nchi nzima au hapa makabe tu? Hii mvua bila karanga mbichi hutoboi
Tweet media one
18
25
100
@menaherself
menah💕
3 months
🤔🤔
Tweet media one
15
9
97
@menaherself
menah💕
11 months
Kumekucha na makucha yake Leo karanga nitaenda kutembeza kariakoo Friends wa kariakoo na viunga vyake msiniangusha kitoto chenu🙏 ☎️0753433613 Kindly repost 🙏
Tweet media one
Tweet media two
10
50
99
@menaherself
menah💕
5 months
Tumshukuru Mungu tena kwa week nyingine. Good Morning Familia
Tweet media one
32
41
96
@menaherself
menah💕
1 month
Good Morning ❤️ Mungu akubariki uingiapo na utokapo 🙏
Tweet media one
33
46
101
@menaherself
menah💕
3 months
Huyu boda wa leo ana story balaa kashanza kunichosha. Mtu ana ongea hadi habari za wana wa Israel aisee nifike tu
10
16
97
@menaherself
menah💕
4 months
Good Morning champ❤️
Tweet media one
29
49
93
@menaherself
menah💕
10 months
HABARI NJEMA KUHUSU SIRI ILIYOJIFICHA KWENYE KARANGA HII NI KWA NJINSIA ZOTE, ME & KE Kabla ya yote Bookmark, utanishukuru badae Unaweza ukajiuliza kwanini wanao wanakua taratibu ukilinganisha na wengine wakati wamezaliwa mwaka mmoja? Zipo sababu nyingi zinazochochea ukuaji,
Tweet media one
4
31
94
@menaherself
menah💕
4 months
Uwezi Kupendwa na Kukubalika na Kila Mtu , wewe sio Pesa📌. Good Morning Familia😊
Tweet media one
12
48
92
@menaherself
menah💕
11 months
Leo acha niende kanisa jipya. Nikiambiwa nisimame nijitambulishe, nitangeze na biashara yangu ya karanga.
Tweet media one
Tweet media two
7
26
96
@menaherself
menah💕
3 months
Yani nimetoka mbagala saa 12 sahivi ndo naingia nyumbani aisee, mbagala itegwe tu iwe mkoa watuwekee na sehemu ya kuchimba dawa🤧
9
15
94
@menaherself
menah💕
3 months
Hivi ni mimi tu sipendi best friend yangu awe na Best mwingine au wivu tu unanisumbua 😅😅
17
11
92
@menaherself
menah💕
1 month
Finally nishakuwa Jobless
24
16
95
@menaherself
menah💕
17 days
Jipatie UZI wako mkali kwa my Sis @MissChelsea1221 Uienjoy life 🔥🔥 45000 tu
Tweet media one
Tweet media two
1
36
93
@menaherself
menah💕
4 months
Mara Mia ni bora mwanaume anaecheat na wanawake wengine kuliko anaekazwa na mwanaume mwenzie aisee, takataka🚮
12
16
93
@menaherself
menah💕
2 months
Comasava😊🤝
Tweet media one
16
31
90
@menaherself
menah💕
4 months
Good Morning Fam Mungu akabariki hustle zetu leo zikajipe
Tweet media one
22
37
91
@menaherself
menah💕
3 months
Hello Naomba repost yako dear🙏 Dinner Set ya Nzuri sana pc 47 unapata vyombo mchanganyiko Pendezesha Kabati lako leo ❤️🤗 Tsh 155000/= 📍Tupo Ubungo mawasiliano stand upande wa dadadala zinapotokea Karibuni sana Drivery ipo nchi nzima ☎️0745776971
Tweet media one
5
61
90
@menaherself
menah💕
4 months
The chef. The Menu.
Tweet media one
Tweet media two
@FatmahShokat
Chaurembo 🇹🇿
4 months
The Chef Vs The Menu
Tweet media one
Tweet media two
28
9
168
24
15
92
@menaherself
menah💕
8 months
Good morning familia mkawe na siku njema yenye baraka
Tweet media one
15
24
89
@menaherself
menah💕
6 months
Good morning family Ikawe siku ya kheri kwetu sote🙏 Support yenu please, Vikombe 6 Sahani za mraba 6 Sahani za round 6 Bakuli ndogo 6 Visosi 6 Bakuli ya serving 1 Bei ya offer. 80,000/= Hii offer hupati sehemu nyingine yoyote 😀 0745776971 Naomba Repost yako tafadhali 🙏
Tweet media one
Tweet media two
6
61
88
@menaherself
menah💕
23 days
Hivi dawa ya kiungulia ni nini?😭
35
8
88
@menaherself
menah💕
4 months
Hello Mambo Naomba repost yako dear🙏 KENWOOD 4in1 blender heavy 140000/= Inasaga juice na kuchuja kabisa...inakanda unga wa ngao..inasaga nyama,samaki,kuku, inasaga vyakula aina zote vigumu na laini. Inasaga unga wa lishe... HII BLENDER SI YA KUKOSA NYUMBANI👌🔥 0745776971
Tweet media one
9
67
83
@menaherself
menah💕
10 months
Fursa Kuichangamkia. Dada Clara amechukua mzigo wake bei ya jumla ameweka Dukani kwake Wakazi wa KITETO-MANYARA mzigo umewafikia. Tembelea duka la dada Clara ujipatie karanga Safi. ☎️+255688062547 Naomba Repost yako iwafikie watu wa KITETO-MANYARA 🙏
Tweet media one
7
46
85
@menaherself
menah💕
3 months
Mungu akubariki uingiapo na utokapo Good Morning Fam ❤️
Tweet media one
20
39
84
@menaherself
menah💕
11 months
JE, UNAFAHAMU FAIDA ZA KARANGA KWENYE UBONGO WA BINADAMU. NDIO UBONGO HII NI SIRI ILIYOFICHIKA KWA MUDA SASA FAIZA ZA KARANGA KWENYE MWILI WA BINADAMU NI PANA SANA Karanga zina faida kadhaa kwa afya ya ubongo. Na hizi 👇👇ni chache 🤌🤏kati ya nyingi; 1.Lishe bora Karanga
Tweet media one
5
30
84
@menaherself
menah💕
11 months
Hivi blue tick yangu mnaiona hapo au karanga zimezuia?
Tweet media one
11
16
82
@menaherself
menah💕
9 months
Good Morning X Familia Mungu awabariki muingiapo na mtokapo mkayaone mema ya nchi. Amen
Tweet media one
22
26
84
@menaherself
menah💕
3 months
Hata sijapumzika vizuri weekend imeshaisha aloo😭😭
8
14
82
@menaherself
menah💕
1 month
Hello Dears Naomba repost yako tafadhali 🙏 Goldish Jug and glass nzuri sana Unapata Jug 2L na Glass nne classic material Bei 30,000 tu Derivery full time popote ulipo Tanzania ☎️0745776971 DM/ Whatsup
Tweet media one
9
75
81
@menaherself
menah💕
4 months
Nikishika daftari nasinzia, ila nikiingia tu humu usingizi wote unakata
16
13
79
@menaherself
menah💕
11 months
Habari familia! Ofa Ofa Ofa...Ofa ya Octoba, mwezi wa toba Karibuni wateja, derivery ipo DSM Bei: Karanga za kukaanga; 500 /= 1000/= 2000/= 4,000/= Mbichi; 500/= 1000/= 1,500/= 3,500/= Order za super market, madukani na vikao vya harusi kwa bei ya jumla. ☎️
Tweet media one
1
44
81
@menaherself
menah💕
4 months
Ukitoa mahusiano na mpira kitu gani kingine kinakupa stress
18
24
81