Naomba kushare jambo fulani binafsi🙏
Natembea masaa 12+ kwa siku kutembeza karanga
Huu ni muda wa likizo ndefu ya chuo
Naamini ningekuwa mtoto wa kishua, nisingeijua mitaa ya Dar vizuri. Ningezijua main road tu
Ninaishi kwa matumaini. TUMAINI LANGU KUBWA NI KUWA NITAPATA
Naitwa
@menaherself
ni mwanafunzi UDSM, Natengenezea mazingira ya kujiajiri ajira ikiwa ngumu
Jipatie karanga tamu mbichi na za kukaanga jumla na rejareja
karibuni sana, bei ni nafuu mno kwa kila mtanzania
Whatsup/call 0753433613
Naomba
#Repost
yako
MUHIMU KWA MWANAUME NA MWANAMKE
NDIO NI MUHIMU, TENA SANA
KARANGA NI MUHIMU KATIKA MFUMO WA UZAZI. SIO TU KWA MWANAUME KAMA ILIVYOZOELEKA, HATA KWA MWANAMKE PIA
Acha nikueleze machache kuhusu faida za karanga kwenye mfumo wa uzazi;
1.Kuongeza ubora wa manii: Karanga zina
Mamboo 😉
Naomba repost yako tafadhali 🙏
Nauza vyombo vya udongo jumla na rejareja
Location
Dar es salaam Mawasiliano bus stand
Derivery ipo na Mikoani tunatuma
0745776971
@IdrisSultan
Ni mwanafunzi wa chuo UDSM
nauza KARANGA,KOROSHO NA ALMONDS jumla na rejareja sina duka ila nafanya derivery nchi nzima.Natamani kufungua duka siku moja au sehemu permanent ili wateja wangu wafike kwa Urahisi🙏
Good Morning Family
Vyuo vimefunguliwa lakini hainizuii kukuletea wewe mteja wangu karanga . Weka order na zitakufikia popote ulipo.
Bei 500 hadi 4000.
0745776971( whatsup)
Calls 0753433613
Karibuni sana
😭😭😭 HUZUNI
Mtu ameweka Order kubwa ya karanga, nimetoa pesa ya Ada ili kuanda mzigo wa kutosha.
Mwishoni ananiambia ameahirisha😥
Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga jumla na rejareja
☎️ 0753433613
📍Dsm
Naomba
#Repost
yako 🙏
Good morning friends
Ikawe siku ya heri kwenye utafutaji wako
Leo nitakuwa kariakoo, karibuni sana mni support🙏
Bei ni rafiki kwa kila mwafrika
☎️ +255753433613
Naomba repost yako🙏
Naomba retweet yako tafadhali👍
Kwa mahitaji ya Karanga , Korosho na Almonds usisite kunicheki
Derivery ipo na Mikoani tunatuma kwa uamnifu mkubwa
No free derivery‼️
0753433613
Karanga Karanga Karanga
Nimerudia mara tatu
Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje
Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami;
0753433613
Bei rafiki (500 hadi 4000 )
Karanga Karanga Karanga
Nimerudia mara tatu
Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje
Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami;
0753433613
Bei rafiki (500 hadi 4000 )
#Repost
Tufurahi Wote
Nasikitika kuona mtaji wa karanga unateketea kwa kula mimi mwenyewe
Hizi karanga ni tamu, Ninafungua Pakiti ya 6 hapa🤓
Wateja niugisheni kabla sijamaliza zote🙏
Tunauza Karanga mbichi na za kukaanga
Bei za kizalendo (500 hadi 4000)
☎️0753433613
Siku yangu imekuja nzuri sana leo
Yote hii ni sababu ya upendo wa wana X
Nina pokea order za karanga kutokana na repost zenu. Much love to you all 💕
Muwe na usiku mwema,
Na umeme usiwakatikie🙏
Siri Nyeti Kweli Kweli Usiyoifahamu Kuhusu Karanga.
Hii Siri Imeficha kwa Miaka Mingi Sana. Leo Ninakuletea Bila Uchoyo.
Repost Wengi Wapate kufahamu haya mambo👇👇
Kabla ya kuanza kusoma, tuelewane hapa. Je, Unadhani ninaandika haya kwaajili ya kutangaza biashara yangu?
Kama
Karanga Karanga Karanga
Nimerudia mara tatu
Ni muhimu kwa Afya ya NDANI na nje
Kwa mahitaji ya karanga tamu mbichi na za kukaanga wasiliana nami;
0753433613
Bei rafiki (500 hadi 4000 )
Wateja Mko Wap?
Undugu Uko Wap?
Upendo Uko Wap?
Order Ziko Wap?
Tuleni karanga tuongeze Eneji nyingiiii
Mvua Mixer Karanga=🔥🔥
Mbichi na za kukaanga
Bei rafiki sana (500 hadi 4000)
☎️0753433613
Kindly repost
USICHUKULIE POA
UNAFAHAMU SIRI NZITO YA KARANGA KUHUSU WANAMICHEZO?
WEWE NI MWANAMAZOEZI KAMA
@ommyfitness
au
@Millambo_
Uwe ME ni fresh, au hata KE kama
@nyuki_malkia
au
@iamcleopatricia
ni sawa pia
Repost wanufaike wengi🙏
Karanga ni chakula chenye faida kubwa kwa
Nawashukuru wate mnaojitoa kuni support hata kwa repost tu. Mbarikiwe sana
Nafurahia upendo kwa watu wa X
Naamini wote walio weka order na walio nunua karanga tayari watatoa mrejesho humu
Bei:
kuna package za;
500
1000
2000
3500 - ½ Kg
5000 - 1Kg
0753433613
Kindly Repost
Usizae kwasababu mwanaume anataka mtoto au unampenda sana uyo mwanaume unataka kumzalia.Bali zaa kwasababu wewe mwenyewe unamtaka uyo mtoto, ili hata kama siku baba akimtelekeza uwe na nguvu ya kuendelea mbele. 🙏
Good Morning Africa
Kumekucha na makucha yake
Leo karanga nitaenda kutembeza kariakoo
Friends wa kariakoo na viunga vyake msiniangusha kitoto chenu🙏
☎️0753433613
Kindly repost 🙏
HABARI NJEMA KUHUSU SIRI ILIYOJIFICHA KWENYE KARANGA
HII NI KWA NJINSIA ZOTE, ME & KE
Kabla ya yote Bookmark, utanishukuru badae
Unaweza ukajiuliza kwanini wanao wanakua taratibu ukilinganisha na wengine wakati wamezaliwa mwaka mmoja?
Zipo sababu nyingi zinazochochea ukuaji,
Hello Naomba repost yako dear🙏
Dinner Set ya Nzuri sana pc 47 unapata vyombo mchanganyiko
Pendezesha Kabati lako leo ❤️🤗
Tsh 155000/=
📍Tupo Ubungo mawasiliano stand upande wa dadadala zinapotokea Karibuni sana
Drivery ipo nchi nzima
☎️0745776971
Good morning family
Ikawe siku ya kheri kwetu sote🙏
Support yenu please,
Vikombe 6
Sahani za mraba 6
Sahani za round 6
Bakuli ndogo 6
Visosi 6
Bakuli ya serving 1
Bei ya offer.
80,000/=
Hii offer hupati sehemu nyingine yoyote 😀
0745776971
Naomba Repost yako tafadhali 🙏
Hello Mambo Naomba repost yako dear🙏
KENWOOD 4in1 blender heavy 140000/=
Inasaga juice na kuchuja kabisa...inakanda unga wa ngao..inasaga nyama,samaki,kuku, inasaga vyakula aina zote vigumu na laini. Inasaga unga wa lishe... HII BLENDER SI YA KUKOSA NYUMBANI👌🔥
0745776971
Fursa Kuichangamkia.
Dada Clara amechukua mzigo wake bei ya jumla ameweka Dukani kwake
Wakazi wa KITETO-MANYARA mzigo umewafikia. Tembelea duka la dada Clara ujipatie karanga Safi.
☎️+255688062547
Naomba Repost yako iwafikie watu wa KITETO-MANYARA 🙏
JE, UNAFAHAMU FAIDA ZA KARANGA KWENYE UBONGO WA BINADAMU.
NDIO UBONGO
HII NI SIRI ILIYOFICHIKA KWA MUDA SASA
FAIZA ZA KARANGA KWENYE MWILI WA BINADAMU NI PANA SANA
Karanga zina faida kadhaa kwa afya ya ubongo. Na hizi 👇👇ni chache 🤌🤏kati ya nyingi;
1.Lishe bora
Karanga
Hello Dears Naomba repost yako tafadhali 🙏
Goldish Jug and glass nzuri sana
Unapata Jug 2L na Glass nne classic material
Bei 30,000 tu
Derivery full time popote ulipo Tanzania
☎️0745776971
DM/ Whatsup
Habari familia!
Ofa Ofa Ofa...Ofa ya Octoba, mwezi wa toba
Karibuni wateja, derivery ipo DSM
Bei:
Karanga za kukaanga;
500 /=
1000/=
2000/=
4,000/=
Mbichi;
500/=
1000/=
1,500/=
3,500/=
Order za super market, madukani na vikao vya harusi kwa bei ya jumla.
☎️