Eng.Harrison HR Profile Banner
Eng.Harrison HR Profile
Eng.Harrison HR

@harrison_herry

Followers
5,459
Following
5,269
Media
1,546
Statuses
34,531
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Kijana unapopata kazi yako ya kwanza after kumaliza elimu yako, tenga miaka miwili ya mwanzo ule hela yako mwenyewe. Pendeza,kula vizur na uwakumbuke nyumbani. Kaa mbali na mahusiano ndani ya kipindi hicho 🤝🤝
99
165
1K
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
7 months
Kumbe inawezekana kutokupanga kwa mtu 😁😁
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
428
143
2K
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
22 days
Ingependeza kwa maslahi mapana ya Nchi; Mwenyekiti - Form 4 Diwani - Degree Mbunge - Degree Naibu Waziri - Masters/PhD ya darasani Waziri - PhD ya darasani Rais - PhD ya darasani 🤝🤝
228
193
2K
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Tumepata mwekezaji mpya kwenye familia 😂😂
Tweet media one
176
110
1K
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Vipi idea izi za vitanda na bafu au ziwapite tu? 🤣🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
98
126
979
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
19 days
Hivi ni sawa kumuajiri Degree graduate na kumlipa 300k? Hata kama kakubali mwenyewe coz ya changamoto za kazi, ila kama boss Moyo wako umeridhia kabisa? 🤔
183
72
989
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Kenya wanaweza kua wametuzidi sana kuongea Kingereza ila kwa utendaji kazi wa polisi sidhani asee 😂😂
108
46
735
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
7 months
Hii ndo level ya kwanza ya mafanikio kwenye maisha 📌📌
Tweet media one
21
69
556
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Nimepata jirani mpya ni bwana mdogo ana miaka kati ya 25 - 28, kahamia na manzi yake ambae bado yupo chuo miaka 19 - 21 ila ni mrefu na mweupe kinyama afu shape ya kibantu, bwana mdogo sijui kamuotea wapi. Anyway nimemshauri akae hapo mda mrefu maana mitaa hii hamna wezi 😎😎
88
33
533
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
22 days
Kuna mda humu post zinanishangaza sana, unakuta mtu daily anapost mwanamke wa ndoto zangu (Pisi flani nyeupe). Gari la ndoto yangu (LC300,Escalade,Benz) Afu anaapply kazi za Clinical officer au HR officer. 😁😁 Mzee sell drugs au try politics 😂😂😂
50
50
496
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
Ipi kampuni bora ya kufanyia kazi Endapo wote wana offer maslahi sawa, 1. Kampuni ya Mbongo 2. Kampuni ya Mchina 3. Kampuni ya Mhindi 🧐🧐
102
26
458
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
Asilimia kubwa wadada hawajui hii ni nini, na gari zao karibu wote zimeshatolewa hizi mbanga 😁😁
Tweet media one
47
27
425
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Mahusiano ya kibongo bana unakuta jamaa mwez mzima kampa manzi yake 100k tu ila kila wakigombana, Jamaa anaanza kulalamika nakupa kila kitu ila hunithamini😂😂😂
99
40
371
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Hivi mtu mwenye 30 years mahari yake yafaa bata wangap?😎😎
75
19
349
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
Useless accessories invented by fools 👇 - Shanga - Vikuku - Kipini cha pua - Kipini cha kitovu - kipini cha ulimi - Pete za nyota Nyingine malizien nimesahau 😁😁😁
82
28
343
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
10 days
Uzuri wa Tanzania yetu ukiwa na kama 5m ukatafuta active handles kadhaa humu X ambazo zipo online mda wote ukawatoa hata 30k, Wanaweza zuia hata Afcon isifanyike nchini vijana humu hawakatai kazi 😂😂😂
19
33
345
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Kwaio Jamaa kamuua mpenz wake usiku wa kuamkia leo, kamkata kichwa kakipeleka polisi. Aise watu wapo serious na mapenzi sana 🙌🙌
20
21
327
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Leo ndo nimejua kumbe ugonjwa wa vidonda (Ulcers) vya Tumbo unaambukizwa. Mfano partner wako akiwa nao mnapokula pamoja au kukiss una probability kubwa ya kuupata 🥱🥱
38
25
322
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Kwaio tukiwa bongo wana wanaona kazi za site jau 7,000 per day ndogo. Ila tunapambana kwenda uingereza na degree zetu kwa gharama kubwa ili tukafanye kazi izi izi za site 😁😁
27
21
313
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Ukishajipata usimsahau yule mwanamke ambae mlikua wote kwenye dhiki na mka enjoy mahusiano yenu ila hamkufikia malengo ya kuishi pamoja. Kama unajua bado hajajipata kimaisha we mcheki afu uwe unamtumia chochote kitu mwambie hii ni for the old days. Ila usimuombe mchezo 😂😂
32
44
297
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
8 months
@watmanAFC What is False 6?
Tweet media one
2
0
286
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 years
Ivi ni kweli dogo tunamuhitaji kwa hela ndefu? Mbona naona kama yupo overrated sana wasije wakawa wanaona sisi ndo wa kupigwa kila siku. Tukitaja viungo 10 bora wa duniani wa sasa Frankie atakuepo? @George_Ambangil @privaldinho
Tweet media one
41
4
281
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Unaweza kua Proffesional kwenye Sekta flani bila kua na cheti chochote cha iyo Sekta?
72
18
271
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 years
Moja ya wachezaji waongo waongo niliokua nawakubali sana kuwaangalia Epl 😂😂😂😂😂 @George_Ambangil @privaldinho
Tweet media one
19
2
258
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Kuna tofauti kubwa tu kati ya "This is my girl" na "Huyu ndio nilikua nawaambia" Just Know your place nanii utalia vibaya 😂😂😂
24
20
249
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Nimejaribu kutuliza akili yawezekana Zaiylissa ni mzuri mbele ya watu wengi ila kiukweli Rushaynah ni wa kumueka mbali na watoto. Manara hapa kapuyanga sana kabeti vibaya 😁😁😁
Tweet media one
Tweet media two
44
5
237
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
16 days
Matokeo ya mitihani ya saivi yanaonesha dhahir sio tu watoto wa saivi wapo smart ila brave pia sio waoga kujielezea. Watu wengi wa zaman vichwa vilikua vizito kuelewa na kujielezea ni kazi sana 😂😂😂
17
23
230
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Nimekutana na kabinti keupe mashaallah 18 - 19 years kana mtoto nimeumia sana😭
34
16
206
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Uzuri wa ma Dragon ukiwa huna hela wanakuelewa, Mwanaume mwenzangu hakikisha una Dragon mmoja wife material utanishukuru 😂😂
11
15
201
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Kuna mda unaingia Huku X unashindwa jua Mtanzania ni nani na Mkenya ni nani kila mmoja anataka kwenda White House kumtoa Ruto. No one cares about Tanzania anymore 😭😭😂
15
23
194
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Mtu anayetengeneza Hela kwa kuwepo tu Online apewe pongezi zake. Hizi ndo zama sahihi kabisa kumake pesa kwa kua online, swali linabaki wanatengenezaje mkwanja online? Kwa mnaojua tusanuane 🤔
16
20
190
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
8 months
Ivi why wanawake wana move on haraka zaidi kwenye mahusiano kuliko wanaume? Kikawaida si unatakiwa upumzike miezi 6 au mwaka kureshuffle mafile.
54
15
191
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Ukiona Mwanamke haingiliki kwa gia ya hela she is the one komaa nae 😁😁
8
21
178
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Ivi ni sahihi kwa mpenz wako ku have fun afu akutumie usiku lipa namba ulipie? 😂😂😂
35
17
174
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Mi nkimuona mwana anatumia android double line afu ana Manzi mkali sana hua nahisi jamaa lazima atakua na hela sana 🤣🤣🤣
9
9
173
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Nilijiunga X (twitter) 2014 baada tu ya graduation chuo, nilijua ni mtandao wa kupata michongo ya kazi 😂😂 Na watumiaji wake nilijua ni watu wenye IQ kubwa tu 😆😆
28
17
170
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
17 days
Kuna kipindi hata iyo biashara ya dini mnayoikimbilia sasa itakua ngumu for beginners. Yule mchumi mheshimiwa anaitengenezea Tozo kabambe 😂😂😂
7
7
172
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Ila humu X usanii Ni Mwingi sana, Unakuta Post ya kwanza mtu anaandika Ninauwezo wa kupambana na Mtu yoyote kuhakikisha Haki inapatikana nina uwezo huo, Post ya pili jaman nahisi kuna watu hawanitakii mema nahisi sipo salama nisaidieni kusambaza hii taarifa Nn hiki? 😂😂😂
52
38
171
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Good night 😂😂😂
Tweet media one
35
12
166
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
20 days
Kama kijana ambae unajijua una ujuzi na uzoefu mzuri wa kupiga kazi, Salary Scale ya kampuni ni 800k na unataka ulipwe 1.5m. Utawashawishi vipi wakulipe nje na Salary Scale yao?🤔
7
13
163
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 years
Best Content Influencers for me 2021 : 1. @millardayo 2. @Nindi_Jr 3. @JemsiMunisi 4. @HabariTech 5. @George_Ambangil 6. @Sirjeff_D 7. @geoffiejeff 8. Amir kiemba 9. @privaldinho 10. @FabrizioRomano Happy new year everyone.
7
11
149
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
15 days
Tunajua Maisha ni Magumu na wote tunapambana tutoboe ila 5M ni ndogo sana tuachane na akili za kimaskini basi hata mara moja. Tusikuze mambo 😂😂
9
17
157
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
Na hili baridi kuna mtu ana kitanda cha Chuma, Oya 🤣🤣🤣
19
21
152
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Hivi wenye ndoa afu mnaishi Dar, mnafanyaje mpaka ndoa zenu zinadumu? Au nyie swala la kushare sio ishu kubwa kiviiiiiiiiiile 😂😂
19
14
151
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
As a man kama umeoa na bado unaendekeza mambo ya side chick hakikisha hajazidi 25 years 🤝
15
7
146
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Wacha nijilipue afurahi mamlai 😂😂
Tweet media one
28
14
138
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Missed call mwisho ni 3, asipokurudia ni makusudi na dharau. Level up and move on.
21
11
135
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Confidence ya Mwanaume unaweza kuipima kwa mwanamke ambae hana Wenge na hela. Always mwanamke akiwa hana wenge na hela hata kuongea nae lazima ujiulize ntaongea nini cha maana nsije onekana na mimi ni mpuuzi.
5
21
135
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
19 days
Hivi Pepsi ni kampuni kubwa kuliko Cocacola? Au ni wataalam tu wa marketing?
11
8
136
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
12 days
Uyu Jobless bwana mdogo anakua kwa spidi sana nimtafutie lishangazi sasa 😂😂
Tweet media one
25
13
135
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Afu kuna mtu anakwambia Pesa makaratasi tu 😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
12
128
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Kama wewe ni Engineer na hii sio dress code yako jitafakari 😂😂😂
Tweet media one
18
13
129
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
14 days
Mwanamke anaweza kujifanya analia ili kuficha makosa yake.
12
17
127
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
@fineboytunde_ IFB now everyone lets go guys 🔥🔥🔥✅✅✅
0
0
119
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Siri ya kuvaa na kupendeza ni kudress like the body you have not dressing like the body you want. Kubali style flani ikupite huna umbo hilo 😂😂😂
17
11
123
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Kijana wa kitanzania anaogopa maandamano lakn anamawazo ya kujiua. Si bora uandamane ufe for something good?😁😁
11
16
118
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Mimi kiukweli nkizama DM nimekuamini ni mtu mzima mwenzangu 😁😁
13
8
118
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Hii game tunaichukulia poa ila yawezekana ingemshinda Aucho nadhan Mkude amekua na good game sana.
1
8
117
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Mwanamke akikwambia ana mawazo hua anamaanisha ana hamu ya kuku na chips yai 🤣🤣🚮
13
16
116
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Hivi mfano ukamteka mtu ukaomba 100m, Bongo kuna Familia zinatoa kweli au wanatangaza msiba wanaendelea na shughuli zingine? 😂🤣🤣
15
7
114
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Kuna uongo wowote hapo? 😂😂
Tweet media one
12
12
112
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
17 days
Leo acha wenye account ndogo below 10k followers tuinuane. Weka handle yako tukufollow 🔥🔥🤝
Tweet media one
91
27
108
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
@Prettyarii21 IFB lets go ✅✅✅
0
0
90
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Ivi kwann madalali wengi wanadhani wakisema gari lilikua linatumiwa na mdada ndo linauzika haraka? 🤣🤣🤣 Mbona wadada wengi nnaowajua hata hawajui ku-take care magari yao? 🧐🧐
12
18
104
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Watu wenye infinix uwanja ni wetu 🤣🤣🤣
Tweet media one
13
9
103
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Nimegundua wanawake weupe leo ni kama hii mada haiwahusu. Hamna anayelalamika 🤣🤣🤣
11
10
100
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Mwanamke ambae umhudumii kumuuliza sehemu alipo au anapokwenda ni kumkosea heshima. Mwache akwambie mwenyewe kama ikimpendeza.
13
18
101
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Niwakumbushe tu hakuna Wife material anachangia maswala ya Muswada wowote ule uwe wa sheria ya fedha au uchaguzi 😂😂😂
12
10
98
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Muda huu baby mama wako anaambiwa nyoosha na barabara hiyo hiyo nishakuona 😆😆😆
4
16
99
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Throw back, wakati huo mi mtu wa Hip Hop sana hakuna Yeaaaaaah wala we zombie 😂😂😂
Tweet media one
19
4
99
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Boda boda wa Mbeya anaingiza 15k per hour hii ni zaidi ya kipato cha Daktari specialist, Engineer mkuu mwenye experience zaidi ya 10 years,mkuu wa wilaya na taaluma zingine kibao tu. Wanetu hua tunajitesa sana na maelimu bila sababu 😂😂😂 Good Morning Fam.
15
12
97
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
@goal Is the premier league a test whether a certain player is world class?
15
0
94
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
3 months
Kama mtu ana mchongo wowote haramu anicheki DM. Haramu tu usiwe legal wakuu😂😂🙏
20
16
96
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Kwenye Job interview ukishasema, “I don’t have any weaknesses.” Endelea tu na application zingine iyo kazi ushakosa mwanetu 😂😂
7
13
95
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Wahaya wakijipata wanakimbilia nunua Mercedes Benz au BMW, Wachaga wakijipata wanakimbilia Toyota IST, Wanyakyusa wanakimbilia Harrier tako la nyani. Kabila lenu mkijipata mnakimbilia kununua gari gani? 😂😂
26
10
92
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Mwanamke anaweza sema NO akimaanisha YES, na akasema YES akimaanisha NO. Na anaweza sema May be akimaanisha YES au NO 😂😂😆🚮🚮
14
10
91
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Izi ndo sababu pekee zinazoweza kukufanya uipende jumatatu 🤣🤣🤣
Tweet media one
10
9
88
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Siku moja moja muwe mnawatoa wanetu😁😁
Tweet media one
11
5
89
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Wanaume wahaya,wachaga na wapare 🚩🚩🚩
31
6
88
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
1
0
88
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Name a better Quality Beer than this 🚀🚀
Tweet media one
37
7
91
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Unaweza ukawa unapambana sana, ila mchawi wa mafanikio yako akawa ni mtu ndani ya Familia. Extended Families jau sana.
8
21
89
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
18 days
Hivi mnawezaje mtongoza mtu kwenye simu bila hata kwenda nae Dinner? Ni muhimu kuona reaction yake live ile ni kama interview 😂😂😂
12
7
91
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
After 33 days 😎😎, asante mamaa @GastonJenifa kamzigo kamefika. Naomba tena na kesho 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
14
7
91
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Hivi mtu akikwambia Celebrity Crush wake ni flani, maana yake akimuomba anampa free au? 😂😂😂
17
6
87
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
8 months
Akikuomba hela mtumie, ila usimpigie pigie kumuuliza kama kaipata hata kama akikaa kimya baada ya kuipokea. If she cares atakujulisha/atakushukuru.
14
7
86
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
@AdvoBarryRoux You wait for further instructions from him 😅😅
2
0
88
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Una option mbili, ya kumlipia Ada mpenzi wako ya 1.5m au kumnunulia iphone 13 pro max. Utafanya ipi na ni kwann?
37
7
88
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Kutongozwa na kila mtu maana yake ni dalili za kua Cheap 😁😁😁 Chenye thamani hua watu wanakiogopa.
7
11
89
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
4 months
Ukikaa kwa kutulia utagundua best female artists Bongo ni: 1. Jide 2. Vannesa mdee 3. Maua Sama 4. Ruby 5. Mimi mars
24
9
87
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Nadhani the most important part kwenye mapenzi ni ile feeling ya kupenda, mtu kukupenda back is just a bonus. Our happiness lies most kwenye kupenda 😇😇
18
16
87
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 month
Kuna namna watu wanaokulana rahisi kuwagundua wakiwa wanaongea vibe lao lina limitations hawapo free kama watu ambao ni friends tu 😂😂 Just observe them kama unawajua😆😆
13
9
87
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
2 months
Hapa Dunian kama we ni mwanaume jua tu Baba yako ndo mwanaume pekee anakua na furaha juu yako unapokua bora na kufanikiwa zaidi yake.
4
13
85
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
7 months
Asilimia kubwa ya sisi wabongo hatuna Malengo, maisha yetu tumemuachia Mungu. Tunasubiria lolote linalokuja mbele yetu.
15
17
86
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
1 year
Tweet media one
0
6
83
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
@rollymsouth Ndo maana watu wapo radhi kuuana au kurogana kwaajir ya kua kiongozi kwa maslahi binafsi na sio kwaajiri ya maslahi ya wananchi.
1
3
86
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Haya matunda yanaitwaje? Na yana faida gani mwilini?
Tweet media one
16
9
83
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
9 months
0
0
80
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
6 months
Mama yangu we ni nguzo maishani mwangu 🎶🎶❤❤
Tweet media one
12
7
84
@harrison_herry
Eng.Harrison HR
5 months
Ukishafikia level ya kukopesheka na bank au taasisi yoyote kubwa ya kifedha basi ujue upo kwenye njia sahihi ya mafanikio 🤝🤝
3
18
83