Kijana unapopata kazi yako ya kwanza after kumaliza elimu yako, tenga miaka miwili ya mwanzo ule hela yako mwenyewe.
Pendeza,kula vizur na uwakumbuke nyumbani. Kaa mbali na mahusiano ndani ya kipindi hicho 🤝🤝
Ingependeza kwa maslahi mapana ya Nchi;
Mwenyekiti - Form 4
Diwani - Degree
Mbunge - Degree
Naibu Waziri - Masters/PhD ya darasani
Waziri - PhD ya darasani
Rais - PhD ya darasani
🤝🤝
Hivi ni sawa kumuajiri Degree graduate na kumlipa 300k?
Hata kama kakubali mwenyewe coz ya changamoto za kazi, ila kama boss Moyo wako umeridhia kabisa? 🤔
Nimepata jirani mpya ni bwana mdogo ana miaka kati ya 25 - 28, kahamia na manzi yake ambae bado yupo chuo miaka 19 - 21 ila ni mrefu na mweupe kinyama afu shape ya kibantu, bwana mdogo sijui kamuotea wapi.
Anyway nimemshauri akae hapo mda mrefu maana mitaa hii hamna wezi 😎😎
Kuna mda humu post zinanishangaza sana, unakuta mtu daily anapost mwanamke wa ndoto zangu (Pisi flani nyeupe). Gari la ndoto yangu (LC300,Escalade,Benz)
Afu anaapply kazi za Clinical officer au HR officer. 😁😁
Mzee sell drugs au try politics 😂😂😂
Mahusiano ya kibongo bana unakuta jamaa mwez mzima kampa manzi yake 100k tu ila kila wakigombana,
Jamaa anaanza kulalamika nakupa kila kitu ila hunithamini😂😂😂
Useless accessories invented by fools 👇
- Shanga
- Vikuku
- Kipini cha pua
- Kipini cha kitovu
- kipini cha ulimi
- Pete za nyota
Nyingine malizien nimesahau 😁😁😁
Uzuri wa Tanzania yetu ukiwa na kama 5m ukatafuta active handles kadhaa humu X ambazo zipo online mda wote ukawatoa hata 30k,
Wanaweza zuia hata Afcon isifanyike nchini vijana humu hawakatai kazi 😂😂😂
Leo ndo nimejua kumbe ugonjwa wa vidonda (Ulcers) vya Tumbo unaambukizwa.
Mfano partner wako akiwa nao mnapokula pamoja au kukiss una probability kubwa ya kuupata 🥱🥱
Kwaio tukiwa bongo wana wanaona kazi za site jau 7,000 per day ndogo.
Ila tunapambana kwenda uingereza na degree zetu kwa gharama kubwa ili tukafanye kazi izi izi za site 😁😁
Ukishajipata usimsahau yule mwanamke ambae mlikua wote kwenye dhiki na mka enjoy mahusiano yenu ila hamkufikia malengo ya kuishi pamoja.
Kama unajua bado hajajipata kimaisha we mcheki afu uwe unamtumia chochote kitu mwambie hii ni for the old days.
Ila usimuombe mchezo 😂😂
Ivi ni kweli dogo tunamuhitaji kwa hela ndefu? Mbona naona kama yupo overrated sana wasije wakawa wanaona sisi ndo wa kupigwa kila siku. Tukitaja viungo 10 bora wa duniani wa sasa Frankie atakuepo?
@George_Ambangil
@privaldinho
Nimejaribu kutuliza akili yawezekana Zaiylissa ni mzuri mbele ya watu wengi ila kiukweli Rushaynah ni wa kumueka mbali na watoto.
Manara hapa kapuyanga sana kabeti vibaya 😁😁😁
Matokeo ya mitihani ya saivi yanaonesha dhahir sio tu watoto wa saivi wapo smart ila brave pia sio waoga kujielezea.
Watu wengi wa zaman vichwa vilikua vizito kuelewa na kujielezea ni kazi sana 😂😂😂
Kuna mda unaingia Huku X unashindwa jua Mtanzania ni nani na Mkenya ni nani kila mmoja anataka kwenda White House kumtoa Ruto.
No one cares about Tanzania anymore 😭😭😂
Mtu anayetengeneza Hela kwa kuwepo tu Online apewe pongezi zake.
Hizi ndo zama sahihi kabisa kumake pesa kwa kua online, swali linabaki wanatengenezaje mkwanja online?
Kwa mnaojua tusanuane 🤔
Nilijiunga X (twitter) 2014 baada tu ya graduation chuo, nilijua ni mtandao wa kupata michongo ya kazi 😂😂
Na watumiaji wake nilijua ni watu wenye IQ kubwa tu 😆😆
Ila humu X usanii Ni Mwingi sana,
Unakuta Post ya kwanza mtu anaandika Ninauwezo wa kupambana na Mtu yoyote kuhakikisha Haki inapatikana nina uwezo huo,
Post ya pili jaman nahisi kuna watu hawanitakii mema nahisi sipo salama nisaidieni kusambaza hii taarifa
Nn hiki? 😂😂😂
Kama kijana ambae unajijua una ujuzi na uzoefu mzuri wa kupiga kazi,
Salary Scale ya kampuni ni 800k na unataka ulipwe 1.5m.
Utawashawishi vipi wakulipe nje na Salary Scale yao?🤔
Confidence ya Mwanaume unaweza kuipima kwa mwanamke ambae hana Wenge na hela.
Always mwanamke akiwa hana wenge na hela hata kuongea nae lazima ujiulize ntaongea nini cha maana nsije onekana na mimi ni mpuuzi.
Boda boda wa Mbeya anaingiza 15k per hour hii ni zaidi ya kipato cha Daktari specialist, Engineer mkuu mwenye experience zaidi ya 10 years,mkuu wa wilaya na taaluma zingine kibao tu.
Wanetu hua tunajitesa sana na maelimu bila sababu 😂😂😂
Good Morning Fam.
Wahaya wakijipata wanakimbilia nunua Mercedes Benz au BMW,
Wachaga wakijipata wanakimbilia Toyota IST,
Wanyakyusa wanakimbilia Harrier tako la nyani.
Kabila lenu mkijipata mnakimbilia kununua gari gani? 😂😂
Nadhani the most important part kwenye mapenzi ni ile feeling ya kupenda, mtu kukupenda back is just a bonus.
Our happiness lies most kwenye kupenda 😇😇
Kuna namna watu wanaokulana rahisi kuwagundua wakiwa wanaongea vibe lao lina limitations hawapo free kama watu ambao ni friends tu 😂😂
Just observe them kama unawajua😆😆