fidelChristophe Profile Banner
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ Profile
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ

@fidelChristophe

Followers
1K
Following
14K
Statuses
3K

๐ƒ๐ž๐ฉ๐ฎ๐ญ๐ฒ ๐’๐ก๐š๐๐จ๐ฐ ๐Œ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ญ๐ž๐ซ ๐จ๐Ÿ ๐ฐ๐จ๐ซ๐ค๐ฌ,๐ˆ๐ง๐Ÿ๐ซ๐š๐ฌ๐ญ๐ซ๐ฎ๐œ๐ญ๐ฎ๐ซ๐ž ๐‘๐จ๐š๐๐ฌ ๐š๐ง๐ ๐‘๐š๐ข๐ฅ๐ฌ -๐€๐œ๐ญ-๐–๐š๐ณ๐š๐ฅ๐ž๐ง๐๐จ

P.o.Box 105043Dar es Salaam,
Joined October 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
8 hours
Kwenye hizi taasisi zetu kuna watu wamejisetia standards za uperfection as if wao hawakosei, atakufanyia hata ubaya lakini utaonekana wewe ndio umekosea & hata itakubidi ukaapologise kwa kitu hujakosea.usiwahai ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
1
1
6
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
24 hours
@HalimaYusuf_N @WistonMogha Nakushauri tu usijaribu ๐Ÿ˜‚ the rest Wil be history
0
0
1
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
24 hours
Hivi ni kweli nasikia kwamba @WhatsApp sasa imeunganishwa na @ChatGPTapp? yani kwamba, unaweza kui command AI ikachart na watu kwa niaba yako Kwamsiojua @Ntobi_ staanza kucommand response Za kama yeye #MooVile {Boss}๐Ÿ˜‚
0
0
2
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
1 day
@HalimaYusuf_N @WistonMogha Ko we ukinipa Laana ile kali kabisa NALAANIKA?!
1
0
2
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
1 day
@HalimaYusuf_N Sawa age go lakini kunizaa hapana kwa Kweli hata @WistonMogha analifahamu hilo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2
0
1
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
2 days
@Sativa255 PUndamilia ni mnyama mzuri sana kwa rangi zake,mwendo wa madaha akiwa anatembea Ukifika hifadhini muamgalie,mlishe,piga nae picha nae picha nk. Usimpeleke nyumbani kwako watalii tukija mbugani tukamkosa tutamfata kwako๐Ÿ˜‚
3
3
27
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
2 days
RT @HamadMYussuf: Mtendaji wa Chama chetu (ACT Wazalendo) Mhe. Juma Kombo Hamad ametekwa na vikosi vya SMZ wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya yaโ€ฆ
0
37
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
3 days
@Fikra_pevu Sikuizi ni mwenyekiti wa wafanyabiashara pale mawasiliano simu 2000 Ndo alikiwasha kwa DC wa ubungo ambae sasa kahamishwa
0
1
1
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
3 days
@EzekiaWenje Wenje kumbe bado yupo,,Aache kususa aungane na wenzie kumpokea Heche ๐Ÿ˜‚
0
1
1
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
6 days
Big shout out to firms that take chances on new graduates with very little or no experience. Y'all are the real MVP!
0
0
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
6 days
@Twaha_Mwaipaya kuongea imekua rahisi sana sikuizi hadi mambo za vita watu wanaona ni kama kwenda toi kulikata
0
0
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@CarolNdosi Dada Carlo hii ngoma inaweza kua iko advantaged au disadvantaged kwa hawa watu tuwe wapole
0
0
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@ayo_shangwe @shangwe Nakuaidi tu kwamba WiFi ataenjoy sana nitumie iyo tutorial ya mapishi you will never regreat
1
0
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@WistonMogha @shangwe Sasa kaka hii picha ni ya wanaume watupu mimi nimesema niko na shemeji yenu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
0
0
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@Ntobi_ @WistonMogha @shangwe Shemeji yako mzungu kaka (mbelgiji) sasa kaka unawajua wazungu na mambo ya picha za vyakula hua ni mbingu man Ardhi Mwambie @ntele_bh akulete home tupige story mbili tatu tukitafakari Tanzania yetu huku tukishusha mvinyo taratibu kaka
0
0
2
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@Ntobi_ @WistonMogha @shangwe Ntobi @MASOUDMAMBO24 Ana ku feed taarifa Zai uongo kijana ni mchochezi huyo ๐Ÿ˜‚
0
0
1
@fidelChristophe
๐…๐ข๐๐ž๐ฅ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐ž๐ซ
7 days
@WistonMogha @shangwe Tunawajua!!!! Picha hampati
1
0
1