![๐
๐ข๐๐๐ฅ ๐๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐๐ซ Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1511352921136508938/8HUBrVlJ_x96.jpg)
๐
๐ข๐๐๐ฅ ๐๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ๐ฉ๐ก๐๐ซ
@fidelChristophe
Followers
1K
Following
14K
Statuses
3K
๐๐๐ฉ๐ฎ๐ญ๐ฒ ๐๐ก๐๐๐จ๐ฐ ๐๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ญ๐๐ซ ๐จ๐ ๐ฐ๐จ๐ซ๐ค๐ฌ,๐๐ง๐๐ซ๐๐ฌ๐ญ๐ซ๐ฎ๐๐ญ๐ฎ๐ซ๐ ๐๐จ๐๐๐ฌ ๐๐ง๐ ๐๐๐ข๐ฅ๐ฌ -๐๐๐ญ-๐๐๐ณ๐๐ฅ๐๐ง๐๐จ
P.o.Box 105043Dar es Salaam,
Joined October 2018
Hivi ni kweli nasikia kwamba @WhatsApp sasa imeunganishwa na @ChatGPTapp? yani kwamba, unaweza kui command AI ikachart na watu kwa niaba yako Kwamsiojua @Ntobi_ staanza kucommand response Za kama yeye #MooVile {Boss}๐
0
0
2
@HalimaYusuf_N Sawa age go lakini kunizaa hapana kwa Kweli hata @WistonMogha analifahamu hilo๐๐
2
0
1
@Sativa255 PUndamilia ni mnyama mzuri sana kwa rangi zake,mwendo wa madaha akiwa anatembea Ukifika hifadhini muamgalie,mlishe,piga nae picha nae picha nk. Usimpeleke nyumbani kwako watalii tukija mbugani tukamkosa tutamfata kwako๐
3
3
27
RT @HamadMYussuf: Mtendaji wa Chama chetu (ACT Wazalendo) Mhe. Juma Kombo Hamad ametekwa na vikosi vya SMZ wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya yaโฆ
0
37
0
@Fikra_pevu Sikuizi ni mwenyekiti wa wafanyabiashara pale mawasiliano simu 2000 Ndo alikiwasha kwa DC wa ubungo ambae sasa kahamishwa
0
1
1
@Twaha_Mwaipaya kuongea imekua rahisi sana sikuizi hadi mambo za vita watu wanaona ni kama kwenda toi kulikata
0
0
0
@CarolNdosi Dada Carlo hii ngoma inaweza kua iko advantaged au disadvantaged kwa hawa watu tuwe wapole
0
0
0
@ayo_shangwe @shangwe Nakuaidi tu kwamba WiFi ataenjoy sana nitumie iyo tutorial ya mapishi you will never regreat
1
0
0
@WistonMogha @shangwe Sasa kaka hii picha ni ya wanaume watupu mimi nimesema niko na shemeji yenu๐๐
1
0
0
@Ntobi_ @WistonMogha @shangwe Shemeji yako mzungu kaka (mbelgiji) sasa kaka unawajua wazungu na mambo ya picha za vyakula hua ni mbingu man Ardhi Mwambie @ntele_bh akulete home tupige story mbili tatu tukitafakari Tanzania yetu huku tukishusha mvinyo taratibu kaka
0
0
2
@Ntobi_ @WistonMogha @shangwe Ntobi @MASOUDMAMBO24 Ana ku feed taarifa Zai uongo kijana ni mchochezi huyo ๐
0
0
1