![angelocane👼🏾 Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1600411664645505024/80tMrIZR_x96.jpg)
angelocane👼🏾
@angelocane69
Followers
1K
Following
50K
Statuses
6K
man of people🤗#Man united#Simba🦁
Mbeya, Tanzania
Joined March 2019
@YourFrenchFry Kwakweli yaani punguza mawazo,,sasa mtu anapungizaje wakati yupo katika hali yakuwa na hayo mawazo kinachobidi ni atoe solution ya hata kimoja kinachonisumbua ndio mawazo yatapungua
1
0
2
@maxannania @BarakaMaviatu Elimu kwanza inapigishwa mtu afundishwe nini maana ya kuwa mtanzania na anajukumu Gani kama mwananchi alafu unakuja kudeal na uwajibishaji Kwa wanafuja mali za Umma Ile adhabu unaitoa lazima iwaingie watu,mtu aelewe akiiba haibii Serikali anaibia nchi yake tukifika hapo tu baasi
0
0
0
@BarakaMaviatu @maxannania Tena mtu unafundishwa primary imeisha hiyo,,China niliona mahali Kuna majengo yalitumika kipindi Cha vita yapo Hadi sasa kama makumbusho na unapofundishwa historia unapishwa huko mtu anaelewa Nini maana yakiwa mchina sisi sasa inasikitisha
1
0
1
@maxannania @BarakaMaviatu Yan ajabu Sana vyote hivo ukiangalia tunazalisha Tena Kwa wingi piga pin ongeza parefu hata Kodi Kwa vinavyoingia,miaka michache tu tunapiga hatu kubwa ila sasa saizi watu wanaingiza kila kitu hata vitu feki
0
0
0
@BarakaMaviatu @maxannania Ndio maana ake adhabu za maana kila mtu atafata kinachotakiwa,,Uzalendo haubembelezwi fundisha watu hawataki force inatumika hata safari ya waIsrael ilikua hivo hutaki unazikwa ukiachwa itaonekana tunafanya mzaha
1
0
1
@JamadiHatibu @maxannania @BarakaMaviatu Na policy ya importation ya bidhaa kutoka nje nayo inadiscourage Sana uzalishaji wa ndani,inachangia kuua viwanda vya ndani
0
0
1
@BarakaMaviatu @maxannania Tena ikiwezekana block importations ya mazao ambayo yanazalishwa ndani ili kupanua soko uwepo na uhakika,ikiwezekana kuweka hamasa Kwa kila mkoa kuwa na zao lake sio umalaya wa mazao Kwa wakulima kugusa gusa tu
2
0
1
@de_santo92334 @MarekaMalili Amna bwana jamaa wamecheza boli tu kipa aokoe na useme at gape limefanya nini
1
0
0
@YoungAfricansSC Mpira upo dakika ya nyongeza toa updates admin acha kulala hujifunzi Kwa wenzio?
0
0
0
@shajaratmubaraq @yoursTruly_blak @Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 @Balyx_ Nilimaanisha jamaa yemwenyewe haelewi alichoandika
1
0
0