angelocane69 Profile Banner
angelocane👼🏾 Profile
angelocane👼🏾

@angelocane69

Followers
1K
Following
50K
Statuses
6K

man of people🤗#Man united#Simba🦁

Mbeya, Tanzania
Joined March 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@angelocane69
angelocane👼🏾
2 hours
@_king112 @Bwoy_Zackie Aaah hii kamba 😂😂
1
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
8 hours
@MarekaMalili Yan mzee uzee wake haoni shida kupigana
0
0
2
@angelocane69
angelocane👼🏾
20 hours
@YourFrenchFry Kwakweli yaani punguza mawazo,,sasa mtu anapungizaje wakati yupo katika hali yakuwa na hayo mawazo kinachobidi ni atoe solution ya hata kimoja kinachonisumbua ndio mawazo yatapungua
1
0
2
@angelocane69
angelocane👼🏾
20 hours
@maxannania @BarakaMaviatu Elimu kwanza inapigishwa mtu afundishwe nini maana ya kuwa mtanzania na anajukumu Gani kama mwananchi alafu unakuja kudeal na uwajibishaji Kwa wanafuja mali za Umma Ile adhabu unaitoa lazima iwaingie watu,mtu aelewe akiiba haibii Serikali anaibia nchi yake tukifika hapo tu baasi
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
21 hours
@BarakaMaviatu @maxannania Tena mtu unafundishwa primary imeisha hiyo,,China niliona mahali Kuna majengo yalitumika kipindi Cha vita yapo Hadi sasa kama makumbusho na unapofundishwa historia unapishwa huko mtu anaelewa Nini maana yakiwa mchina sisi sasa inasikitisha
1
0
1
@angelocane69
angelocane👼🏾
21 hours
@BarakaMaviatu @maxannania Tunadanganyana kuaminishana Uzalendo unafundishwa class
2
0
1
@angelocane69
angelocane👼🏾
21 hours
@maxannania @BarakaMaviatu Yan ajabu Sana vyote hivo ukiangalia tunazalisha Tena Kwa wingi piga pin ongeza parefu hata Kodi Kwa vinavyoingia,miaka michache tu tunapiga hatu kubwa ila sasa saizi watu wanaingiza kila kitu hata vitu feki
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
21 hours
@BarakaMaviatu @maxannania Ndio maana ake adhabu za maana kila mtu atafata kinachotakiwa,,Uzalendo haubembelezwi fundisha watu hawataki force inatumika hata safari ya waIsrael ilikua hivo hutaki unazikwa ukiachwa itaonekana tunafanya mzaha
1
0
1
@angelocane69
angelocane👼🏾
22 hours
@JamadiHatibu @maxannania @BarakaMaviatu Na policy ya importation ya bidhaa kutoka nje nayo inadiscourage Sana uzalishaji wa ndani,inachangia kuua viwanda vya ndani
0
0
1
@angelocane69
angelocane👼🏾
22 hours
@BarakaMaviatu @maxannania Tena ikiwezekana block importations ya mazao ambayo yanazalishwa ndani ili kupanua soko uwepo na uhakika,ikiwezekana kuweka hamasa Kwa kila mkoa kuwa na zao lake sio umalaya wa mazao Kwa wakulima kugusa gusa tu
2
0
1
@angelocane69
angelocane👼🏾
23 hours
@de_santo92334 @MarekaMalili Hapana kama umeangalia mechi huwezi sema Ile mechi ni fixed
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@de_santo92334 @MarekaMalili Amna bwana jamaa wamecheza boli tu kipa aokoe na useme at gape limefanya nini
1
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@MarekaMalili Kinyonge sana
Tweet media one
0
0
2
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@MSAMBATAVANGUJ Ko mshahara Huwa anapewa spika ndio awagawie?
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@JoshuaAlph27931 @YoungAfricansSC Team ni wachezaji 11 tu kaka
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@YoungAfricansSC Mpira upo dakika ya nyongeza toa updates admin acha kulala hujifunzi Kwa wenzio?
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@babaiftah @MarekaMalili Ndio anaecheza mpira?
0
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
@babaiftah @MarekaMalili Chezeni mpira CIIO anahusikaje mnapendwa ukanjanja
1
0
0
@angelocane69
angelocane👼🏾
1 day
1
0
0