Am_stupidö!🍓🍓🍓 Profile Banner
Am_stupidö!🍓🍓🍓 Profile
Am_stupidö!🍓🍓🍓

@am_stupido

Followers
6,795
Following
3,766
Media
199
Statuses
16,238

Fall for those who want see you rise #Come_Dm_at_your_own_risk 🔝 #YNWA ❤❤🥇🥈🥉 Only Stupido Things🤣😂🤧Tukutane ijumaa✍

Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Wasipokutafuta jitafute usifosi ushkaji!!!
15
48
164
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
7 months
@Aduiwayanga apa n darajan, njia ya kulia unaend masia,aris to mbahe iyo kushoto kilema af ya chin apa unaingia marang mton apo
12
0
139
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Baba yangu aliwahi nambia mama ako ni bora kuliko mimi ila mimi ni muhimu sana kuliko mama yako. Baba cjui alikuwa n maan gan..?
5
33
134
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
104
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
Naomba comment handle yako 👇 nikufollow now
11
16
81
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
1
0
75
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
Ukweli ni kwamba U. T. I tunazipata kwa malaya, mwaka sasa toka nimeoa sijaumwa UTI
10
21
75
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
60
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
10 months
Ikifika muda ukaona upo tayari kupanda gari lolote ilimradi ufike basi ujue safari imekushinda
11
20
64
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
ukubwa Ni pamoja na kutunza siri za mtu ambae hamuongei Tena Kama awali
7
20
61
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
1
0
62
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
Follow for follow Let's grow together This morning 💥💥💥 #HatuelewekiHQ
23
21
55
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
60
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
10 months
Dada ukiona umefika level ambayo unataka mwanaume wako awe na gari fanya ununue mawili umpe moja📌📌
14
23
59
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
52
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Omba sana Mungu akupe mwanamke ambaye Hata siku ukikwama atamkimbili Mungu kukuombea, Nasio kukimbilia kwa wanaume Wengine. 🙏🙏🙏🙏
6
13
54
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Hakuna raha ninayoipata kama hii ya kuamka asubuhi na kula kiporo cha wali maharage kwenye kasufuria😋😋❤
13
14
51
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Mwanaume bora hapimwi kwa wingi wa pesa zake wala uzur wake bali n kwa uwezo wake wa kumfanya mwenza wake atabasam na uwezo wa kumjali na kumthamini
8
17
50
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
tuacheni utani mapenzi bila kugombana hayanogi 😂 😂
10
14
49
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Heshimu sana mwili wako,ndio sehem pekee unayo itegemea ili uendelee kuishi
8
14
52
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
Mungu ametuamsha salama sio kwa uwezo wetu bali ni kwa matakwa yake, toka bed Ukapambane CHAMP 🙏
5
17
47
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Shida ya kusikiliza redio Mbeya ikifika sa mbili ad sa nne usiku ni matangazo ya location za waganga tu.😏😏
18
12
52
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Imagine upo kwa dala dala then unampata mpenzi wako ako kwa wallpaper ya mtu😂😂😂
9
22
46
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Unao uhuru wa kumdanganya mtu yeyote yule kwenye haya maiaha lakini hakikisha unakuwa mkweli siku zote kwa hisia zako
7
15
49
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
wanawake Ni waaminifu kwa wanaume wanaowapenda Ukiona anaku cheat juwa wewe sio chaguo lake alikuja kwako kutimiza Shida zake tu....... gm
9
15
50
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
0
0
49
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
1
46
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
2
41
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
bro mwanamke akikupenda Na akikuheshimu kabisa 1. Hawezi cheat 2. Arguments zinapungua 3. Atakutaja popote bila aibu 4. Anakubali kuwa under control 5. Upendo ni 100% Bros Sex sio determinant ya kupendwa but Respect is.
13
17
42
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Ukipata wasaa wa kulia kwa sababu ya moyo kujeruhiwa na baadhi ya mambo lia lia sana....wakati mwingine machozi huondoka hupunguza machungu kuliko kukaa nayo ndani kwa ndani Gmornng guys
3
16
42
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Just imagine mtu anaview status haonekan unadhan akikucheat utamkamata???🤔😂😂
5
7
42
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
8 months
Usimkosee mwanaume wako kwa sababu una idadi ya wanaume wengi wanao kufuata kwa maana unaweza kuwa mzuri wa kuchezewa ila sio mzuri wa kuifadhiwa..... gmornng
4
16
43
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
37
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
37
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Mwisho wa mwezi huu mtaona naanza kuposti tumikono tuwili 🥰 tukiwa tumeshikakna 🤝🏻 nyie tulini tu!!😂😂😂
4
9
39
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
39
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
11 months
Mimba changa huwa inapelekesha jamani 😓😓 mimi ni wa kuona pilau nipate kichefu chefu kweli😏😏😏😏
9
6
38
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
10 months
Akunyimaye hasemi "SIKUPI/SINA" utaona tu anakupa swaga nyingi mara ngoj badae tuone...atajidai anakuonea huruma ila...😂😂😂🙌🏻 Sitawafundisha kila kitu📌📌
6
13
36
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
1
36
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
1
0
38
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
39
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
38
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
36
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
@ze_mandevu Jamaa anajua na kwa upepo wa wale washkaji wanavyojua promotion barnaba atakuwa mpyaa ambaye ujawah waza na nyimbo moja tu akitoa inafunika mauzo yake yote ya maisha yake ya mziki
2
1
35
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
33
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Muogope sana mwanamke anayelalamika sana siku akinyamaza ujue mapenzi yameisha👋🏻😎😂
7
7
37
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
10 months
Kama hujawi kutapeliwa hela na mama yako au baba yako Basi we wakishua😎
6
11
36
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
wanaume warefu wembamba 🥰🥰🥰🥰😍
12
8
31
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
2 years
0
0
29
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Ukichoka na hao wababa usirudi kwa vijana,mtu husonga mbele tafuta baba yake na huyo MUBABA yako😂😂😂
9
12
32
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
8 months
mlio serious na maisha hamkeni muda umeshawadia
6
14
32
@am_stupido
Am_stupidö!🍓🍓🍓
1 year
Mtu una degree ya mipango alafu unalala bila kula. Sasa ulisomea mipango ipi?!🤔
9
15
32