Mwanangu
@anon_codex
alinicheki, "Oya babu, kuna kazi hapa."
Mimi nikamwambia, "Lete hio kazi mezani, mzee."
Yeye akaniuliza, "Oya, utaweza hii kazi?"
Mimi bila kusita, "Hakuna kinacho shindikana, if you can imagine it, you can do it."
Kwahiyo hacker wa mchongo kutoka
#UDOM
CIVE akajaribu ku inject malicions XSS na SQLI payloads kwenye platform yetu. aka sahau hata kutumia VPN tuseme hana aftatu ya kununua vpn hata vpn za bure alikosa. haya katuachia IP yake, IP ya ISP wake, pamoja na MAC address ya pc yake.
Mwezi ulio pita nili gundua bug kwenye kampuni fulani kubwa tu, nikareport kwa wahusika with a full documentation but niliishia kutishiwa na kutolewa credits anyways tuna safari ndefu sana Cybersecurity Researchers in our county. Once you know something you become a threat
Kwanini kampuni nyingi za kutoa mikopo online ni zawachina.? kuna usalama wa data zetu.?
Leo nimepokea sms kutoka kampuni X inadai kuwa kuna mtu kakopa pesa kwenye kampuni yao hivo wana wajulisha watu wote waliopo kwenye phone book , nikawa natamani kujua nini kinaendelea.
Kwasasa Ninaunda Technology ya blockchain ambayo itaunganisha Shule kutoka shule za misingi mpaka vyuo vikuu, hii itaenda kufill gap la taarifa kamili kwamfano cheti cha kuzaliwa Ally M ndimbo, cheti cha darasa la saba Ally Mussa Ndimbo, cheti cha form four Ally ndimbo..
nachukuwa fursa hii kuwatambulisha kwamba tumeanzisha a non profit organizaion ambayo inakuwa ina deal na vijana hasa wale wanao penda masuala ya Technology hususani wanafunzi walio maliza chuo na hawaelewi nn wafanye mtaani.
Sikuwa tayari ama sikujipanga kuwa programmer hadi siku mwaka 2010 nilipo okota flash ya GB 4. Maeneo ya soko kuu iringa kwenye kale kanjia kakuingilia kota za polisi kulikua na mwembe pale apo nimetoka zangu sterio kama unaenda alexander hotel kulikua na internet cafe
Tayari tume kwisha kuwekea video nenda kajifunze jinsi ya kutengeneza payment gate way yako ya mchongo huku ukisubiri kuwa approved na MNO's kwaajili ya payment gateways zilizo nyooka. this works in 100%.
Leo Nitaenda kushare nanyi common security vulnerabilities ambazo most of developers hawajari kama zinaweza pelekea mifumo yao au apps zao kuwa hacked….
Baada ya kupiga piga code kiaina nkawa narefresh mtandaoni ile ninapita pita zangu uku na kule mitaa ya google mara bing nkakatiza yahoo, wakati natokezea yandex nkakutana na hii ishu hapa nkavutiw nayo nkashusha 😁 ile kufungua nakutana na hii aloo mkuu hongera sana
@HabariTech
just started career as a tech consultant and already have a fantastic opportunity lined up.
Consulting a company in Tz looking to transition to blockchain technology.
They operate across 40 sites in Tz and 5 in KE and UG.
Thrilled to be a part of this innovative journey!
Sehemu ambazo zinahitaji uvumbuzi na ushindani zaidi katika teknolojia kwa vijana wa Kitanzania ni:
Fintech Innovations
Edtech Initiatives
Agri-tech Solutions
Healthtech Solutions
Smart City Solutions
Environmental Tech
Tourism and Cultural Tech
Tech for Social Good
Yes nina tumia PHP katika project zangu zotee but situmii na sijui kutumia frameworks kama laravel , codeigniter sjui etc PHP ninayo tumia nime tengeneza my own Framework na inafanya kazi vizuri sana .
Kinacho waponza devs wengi ni kurukia platforms bila kuwa na ueleweza zaidi
I am an experienced ICT professional with database administration skills across MySQL, IT Security ability to Create stand alone Desktop applications developing websites, configuration and maintenance of computer based information systems, as well as having an eye for detail.
As a hacker or network expert unatakiwa ujuwe kucheza na hizi layers kila later ina impact yake kama isipo kuwa well secured, Wakat nipo certificate kuna lecture wetu anaitwa Mr Mishita from UCC Arusha, alitupa kanuni moja hivi “Please Don’t Throw the Sausage Pizza Away”
Information Technology professional specialized in Blockchain Development, Cybersecurity Research, Full stack Web2 & Web3 Develpment, Content creator based in Information Technology and Desktop standalone software & Information systems development skills for more than 6+ Years
If you want to Host workshop or trainings about Technopreneurship, Innovation, Cybersecurity, ICR, Programming, Database administrationand management &Tech Motivation and you need trainer just check me...
Kwa wale wanao pat shida kufanya appointment with me kwajili ya services that I’m providing (Cybersecurity Consulting, Penetration Testing, Cybersecurity & Programming Mentorship, IT Support etc) for fast response you can now book an appointment with via
Kwanini uteseke kujifunza masuala mazima ya tech ie Ethical Hacking, Programming, Artificial Intelligence, Cyber Security, Gaming, Reviews mbali mbali za simu,computer, magari, Graphics Design na Etc. na...
Naona watu wamenifata DM wanauliza nina uzoefu gani wa blogging, najibu kwa niaba ya wengineo
blogging nimeanza mwaka 2010 baada ya kumaliza darasa la saba nkasoma short course ya computer na nilipenda sana masuala ya tech. and my first in 2012 post ili hit almost watu laki 6
Jee Wajuwa kuwa unaweza uka tengeneza Your own unofficial payment Gateway.? Kupokea malipo kutoka bank, mpesa, tigo pesa, visacard, zantel, ttcl, halotel mpaka nje ya nchi Ni haraka na rahisii sanaa
Usikae mbali tunakuwekea video yenye kufundisha.
Nime jaribu kufikiria kwa upana kidogo kuhusu blockchain in relation to our daily life activities.
Katika blockchain kuna baadhi ya terminologies ni kama vile kama knowledge, block, node, mining, chain, PoW( proof of work) etc
Ninge penda kuiongelea moja moja katika maisha yetu
Ninacho kumbuka VC wa chuo X hapa Tanzania alinipigia makofi baada ya kumaliza hii presentation comement yake ilikua
“Nimesha hudhuria events nyingi sana kuhusu cybersecurity lakini sijawahi kuelewa kama nilivo elewa hii ya leo, nimetamani nikaanze upya kusoma”
Baada ya mwaka mmoja wa kupambana , kuishindwa na kufaulu hatimae nime fanikiwa kumaliza Network project yangu ambayo inafanana kufanya fanya kazi kama TOR na Web yake ni v1.0 (DECI) ambayo kwa sasa inaweza transport text pekee.
Achievement: mpaka sasa tume fanikiwa kuunda kampuni ya virtual gane developments hadi hivi sasa tumesha tengeneza games 6 ikiwemo aviator for shops kwa maelezo zaidi wasiliana na
@anon_codex
pia kama kuna mtu yupo interested and anatamani kujiunga na kampuni yetu anakaribishwa..
Wengi mnajiuliza kwanini meseji za namnahii skuizi zimekua chache sana kulinganisha na zamani, well skuizi mitandao imeweka filters ya mesej zenye any keword kama hizi kuto deliver.
Ndomaana usi shangae ukituma mesej namba kwa mtu haifiki hio ni kwasababu ya filter hizo
NetSarafu is a digital money transfer between two people without the interaction of the blocker. It is secured , reliable , available and profitable
@tahaafarooq
Hello.!
Tunachukuwa nafasi hii kukuletea website platform ambako ww kama mdau wa tech na unatamani kujifunza tech hususan kwa vitendo zaidi, ama ww mdau wa tech na unatamani kushare ujuzi wako kwa watu na ukajipatia kipato ama kwa kujitolea pia platform hii itakufaa pia,
@nyuki_malkia
Ufala sana mtoto wa kiume inabid apigwe makofi kiss una mfanya awe mlaini huyu uta shangaa una letewa kesi kamtongoza mwanaume mwenzie. Zile kesi za mtoto wako ana chungulia madem chooni, anaweka kioo chini ya wanawake, anafunua sket wanawake, kes za kuandika vibarua huwez sikia
@salymdev
muda unao tumia kuhangaikia servers za watu embu tulia hangaikia server yako in less than 20min hata kichwa hakija niuma fanya kufix kwanza tunataka vitu vinavyo umiza kichwa
My super TBT this day at year of 2019 At University Of Iringa kipindi nasoma Diploma nilipata nafasi ya kupresent my own platform ambayo ina shuhulika na masuala ya ujezi mbele ya Mheshimiwa Prof Joyce Ndalichako. Alie kuwa waziri wa Elimu wakati wa the Late JPM….
Nita share ushuhuda juu ya Artificial Intelligence namna ilivyo niwezesha na kunisaidia ku-secure madili yenye jumla ya thamani zaidi ya dola 4,000 ndani ya mwezi ulio pita
@anon_codex
@TOTTechs
Technology hii itaweza kubashiri kazi ama kipaji cha mtu miaka 10-15 mbele kulingana na uwezo wake wa darasani. Ni kakitu fulani hivi.
Project on work …
Yeyote ana karibishwa on board.
Zaidi ya miezi saba sasa Bado Nina endelea kurekebisha mfumo wangu wa (OPENDUKA) kwa sasa inatumika internal na ina nisaidia sana kufuatilia mwenendo wa hiashara. Hivi karibuni nilifingua Bar ya JUICE nkaona niongezee module ya QR Menu na ime pokelewa vizuri sana na wateja wengi
Hii ni tatizo ila watu wana li-under estimate. google wana option ya kulipa kwa airtime so ikitokea mtu akatengeneza kiji-gateway chake aunge google pay then mtu afanye ku convert airtime kwenda kwenye pesa.
Mwezi huu nipo free
Nipe website ama system yako niweze kukufanyia Security Analysis
Mfano…
1️⃣Kuangalia madhaifu
2️⃣Kupima uimara wa security
3️⃣Kuziba na kurekebisha udhaifu
4️⃣Kuongeza usalama
5️⃣Etc….
Vyote hivi utafanyiwa kwa gharama ya Nusu bei..
Njoo DM tuyajenge
Nilikua naona mkewangu anavyo pata shida kumanage biashara yake kwenye madaftari na kila akinunuwa mzigo mpya namna ya kujulisha wateja wake inakua ishu vile vile upande wa kumanage madeni matumizi faida na malipo kwa wanaontumia simu ama banks.
Where’s my data.?
Data zangu ziko wapi.?
Kwanza tufahamu maana ya data.
Data ni taarifa zilizo chakatwa,
taarifa hizi zinaweza kuwa kamili au zisiwe kamili,
Data mara nyingi zinatumika katika kufanya maamuzi..
Tuende moja kwa moja kwenye swali letu Je Data zangu zilo wapi.?
We are open guys any order.?
Tailor made system software development (SDLC Procedure) Graphics design, Website design, API gateways integration(Online payments, sms, two way sms, call center, Embedded machine's. etc), Digital Advertising, Pitch deck preparation, innovation ideas
OpenTech Kazini will be a leading recruitment portal in Tanzania with jobs and freelancing in Technology Industry.
For Freelancers, provides you reliable people for you to work with so that you can be earning depends on the task you got.
Tukiwa kwenye moja ya hackathons (e-kilimo) mwaka 2018
@Afruturist
alituuliza swali moja very tricky kwamba ikatokea simu yako ime jaa then kuna apps mbili app yako na wahstapp je ni app ipi utaifuta? , Watu tulijibu whatsapp lakini deep down we know tutafuta apps zetu 😂😂😂
My name is Ally and I am a cyber security expert in red teaming. Red teaming is the practice of simulating real-world cyberattacks on an organization's systems, networks, and people to test their defenses and identify vulnerabilities.
Basi tushare kastori kidogo..
Safari yangu ya kwanza Dar ilikua 2018 ambapo nilikuja kwenye bootcamp ilio endeshwa na
@ekilimotz
pamoja na
@VenturesSahara
. nilikua sijawah kanyaga dar before offcourse nilifurahi sana kwani niliamini kipaji kimnitoa mkoani kunileta mjini
Yeye: "Pow pow, lakini client anaitaka ndani ya mwezi, budget yao ni 6M."
Mimi nikapiga hesabu haraka, "Pow pow, wanataka nini hasa?"
Yeye: "Jamaa wanataka virtual gaming system kwa betting shop, kama zile za Parimatch, lakini wao wanataka casino spin & win na keno pia."
It took me 8 years to become a
#cybersecurity
expert. You want to be as awesome as I am? Here’s how you can do it in 13 easy steps.
1. Wake up at 4:15 am
2. Meditate for 1 hour. Clear your mind like you have 0 unread emails.
Are you a Software Developer, Logo Maker, Product Designer, UX or UI Designer, Digital Content Writer, Web developer, web designer.? And you have some of your work, but they didn't pay you back.? Well Tech Sokoni a product of OpenTech, is going to completely fix that problem;
Ethical Hackers:
A hacker is an individual with technical computer skills but often refers to individuals who use their skills to breach cybersecurity defenses
types of hackers:
⭐️The Ethical Hacker (White Hat)
⭐️Cracker
⭐️Grey hat
⭐️Script kiddies
⭐️Hacktivist
⭐️Phreaker
nina mmoja wa jamaa yangu yuko vizuri sana kwenye masuala ya programming hvi karibuni ame tengeneza tool yake ya kufanyia service ndogo ndogo kwajili ya simu na mpaka sasa amesha pata almost 6M kutokana na.
Working on your job while working on your education with working on your career while working on yourself while working out while working on friendships & relationships while working on personal goals while trying to accommodate everyone while also trying to get 8hrs of sleep..
Supervised domain adaptation (SDA) to the rescue! ♀️ This ML technique helps models adapt to new situations with limited labeled data by leveraging data from a similar source. Great for when labeling data is hard or expensive!
#machinelearning
#AI
#datascience
#stanbicbiashara
Basi, huku na kule, NDA ikawa tayari. Lakini mwanangu alikuwa na stress za mapenzi. Katika kuandika quotation, badala ya kuweka server cost ya TZS 500k, akaweka 50k. Wauni wakatia sign, nasi tukatia sign bila kuchelewa. Tulijua kilichotokea muda usha pita, tunacheka tu 😂😂😂😂.
wow today nimefanikiwa kutengeza offensive + defensive like AI firewall ambayo itakuwa ina linda systems hususan webapps i put some rules ambapo zita cheki if user ana attempt kubypass the app kisha ikijiridhisha kutokana na behaviours zake itacheki current ....
Baada yakujihisi niko idle, nika amua kuanza kujifunza GoLang kuanzia mwanzo, sijawahi kujuwa kama GoLang is such a sexy programming language I ever meet.!
I will keep updating hii tweet mpaka ntakapo kuja na product nilio tengeneza kwa language hii 😅
#golang
@golang
TechTube ni Open platform ambapo kila mtu mwenye nia ama anae tamani kuweka content zake zinazo husu tech ana karibishwa, kupitia tech tube mtumiaji yoyote anaweza akafungua chanel yake na kisha kuanza kupublish contents.
As the internet is becoming one of the basic needs, ICT as one of the most essential tools in facilitating the access and utilization of the internet is also becoming one essential knowledge for every individual.
i have been working through out this week just to create a simple system scanner for my systems this feature acts like antivirus for websites as well as the firewall.
It checks the system behaviors how the system operates based on tail logs and scans each file in the system
Are you a Software Developer, Logo Maker, Product Designer, UX or UI Designer, Digital Content Writer, Web developer, web designer.? And you have some of your work, but they didn't pay you back.?
Aka sema nzuri lakini iweke mkao🥲🥲🥲🥲tukazama mzigoni tena huku na kule huku na kule baada ya wiki mbili spin imeisha tukatuma kazi client shangwe kama zote bado kazi ya keno hapo 🥲🥲
@adamucyber
@TOTTechs
@ITexpertTz
@NjiwaFLow
Ye Sure, but if ange fanikiwa, even these logs nisinge ziona and nisinge notice anything, infact kufahamu tuu kuwa kuna kitu kipo wrong ina ashiria kabisa mtu kashindwa.
Thanks Brother
@HabariTech
kwa kunipa ridhaa ya kuweka hii kitu full Techtube from now on unaweza sikiliza mtaalam
@HabariTech
akiidadavua
#chatgpt
kupitia TechTube