Ayeem Ndimbo Profile Banner
Ayeem Ndimbo Profile
Ayeem Ndimbo

@ally_ndimbo

Followers
4,621
Following
1,511
Media
367
Statuses
4,210

Building Fiidz Social an innovative super app that would reshape digital landscape in developing countries where Swahili is used especially #Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania
Joined October 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Mwanangu @anon_codex alinicheki, "Oya babu, kuna kazi hapa." Mimi nikamwambia, "Lete hio kazi mezani, mzee." Yeye akaniuliza, "Oya, utaweza hii kazi?" Mimi bila kusita, "Hakuna kinacho shindikana, if you can imagine it, you can do it."
38
70
650
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Kwahiyo hacker wa mchongo kutoka #UDOM CIVE akajaribu ku inject malicions XSS na SQLI payloads kwenye platform yetu. aka sahau hata kutumia VPN tuseme hana aftatu ya kununua vpn hata vpn za bure alikosa. haya katuachia IP yake, IP ya ISP wake, pamoja na MAC address ya pc yake.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
54
23
429
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Mwezi ulio pita nili gundua bug kwenye kampuni fulani kubwa tu, nikareport kwa wahusika with a full documentation but niliishia kutishiwa na kutolewa credits anyways tuna safari ndefu sana Cybersecurity Researchers in our county. Once you know something you become a threat
Tweet media one
43
35
367
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
5 months
Kwanini kampuni nyingi za kutoa mikopo online ni zawachina.? kuna usalama wa data zetu.? Leo nimepokea sms kutoka kampuni X inadai kuwa kuna mtu kakopa pesa kwenye kampuni yao hivo wana wajulisha watu wote waliopo kwenye phone book , nikawa natamani kujua nini kinaendelea.
25
75
302
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Thanks for those who believe in me🤗🤗 I’ve signed two NDA for today let me deliver their work Stay home safety
Tweet media one
17
3
286
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Kwasasa Ninaunda Technology ya blockchain ambayo itaunganisha Shule kutoka shule za misingi mpaka vyuo vikuu, hii itaenda kufill gap la taarifa kamili kwamfano cheti cha kuzaliwa Ally M ndimbo, cheti cha darasa la saba Ally Mussa Ndimbo, cheti cha form four Ally ndimbo..
Tweet media one
18
38
241
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
My Rates Card Hii sio CV 😹😹
Tweet media one
19
37
242
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
nachukuwa fursa hii kuwatambulisha kwamba tumeanzisha a non profit organizaion ambayo inakuwa ina deal na vijana hasa wale wanao penda masuala ya Technology hususani wanafunzi walio maliza chuo na hawaelewi nn wafanye mtaani.
Tweet media one
13
56
187
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
9 months
Sikuwa tayari ama sikujipanga kuwa programmer hadi siku mwaka 2010 nilipo okota flash ya GB 4. Maeneo ya soko kuu iringa kwenye kale kanjia kakuingilia kota za polisi kulikua na mwembe pale apo nimetoka zangu sterio kama unaenda alexander hotel kulikua na internet cafe
Tweet media one
19
16
173
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Tayari tume kwisha kuwekea video nenda kajifunze jinsi ya kutengeneza payment gate way yako ya mchongo huku ukisubiri kuwa approved na MNO's kwaajili ya payment gateways zilizo nyooka. this works in 100%.
Tweet media one
4
42
167
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Wanang eeh hawa ndo wanao fanyaga tuonekane tunabei😹😹 imagine mtu kama huy anakutana na client ambae ume mwmabia Website 5M 🥺
Tweet media one
54
13
152
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Leo Nitaenda kushare nanyi common security vulnerabilities ambazo most of developers hawajari kama zinaweza pelekea mifumo yao au apps zao kuwa hacked….
Tweet media one
6
40
147
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Ule mzigo wetu umefika 😅😅😅😅😅
Tweet media one
20
10
142
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Huyu jamaa kani inspire sana aisee simjui kiukweli ila hii extension yake ya python kiswahili kama ita tumika vizuri italeta mapinduzi makubwa sana japo kiswahili ni kigumu ila mzee ametisha @TOTAcademy @AuxGrep @JemsiMunisi @MalwarePeter @anon_codex
Tweet media one
14
50
119
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Baada ya kupiga piga code kiaina nkawa narefresh mtandaoni ile ninapita pita zangu uku na kule mitaa ya google mara bing nkakatiza yahoo, wakati natokezea yandex nkakutana na hii ishu hapa nkavutiw nayo nkashusha 😁 ile kufungua nakutana na hii aloo mkuu hongera sana @HabariTech
Tweet media one
7
9
119
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Tweet media one
7
22
121
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
7 months
just started career as a tech consultant and already have a fantastic opportunity lined up. Consulting a company in Tz looking to transition to blockchain technology. They operate across 40 sites in Tz and 5 in KE and UG. Thrilled to be a part of this innovative journey!
Tweet media one
Tweet media two
5
9
118
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 month
Sehemu ambazo zinahitaji uvumbuzi na ushindani zaidi katika teknolojia kwa vijana wa Kitanzania ni: Fintech Innovations Edtech Initiatives Agri-tech Solutions Healthtech Solutions Smart City Solutions Environmental Tech Tourism and Cultural Tech Tech for Social Good
7
36
105
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 month
Yes nina tumia PHP katika project zangu zotee but situmii na sijui kutumia frameworks kama laravel , codeigniter sjui etc PHP ninayo tumia nime tengeneza my own Framework na inafanya kazi vizuri sana . Kinacho waponza devs wengi ni kurukia platforms bila kuwa na ueleweza zaidi
15
13
100
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
I am an experienced ICT professional with database administration skills across MySQL, IT Security ability to Create stand alone Desktop applications developing websites, configuration and maintenance of computer based information systems, as well as having an eye for detail.
8
20
99
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
As a hacker or network expert unatakiwa ujuwe kucheza na hizi layers kila later ina impact yake kama isipo kuwa well secured, Wakat nipo certificate kuna lecture wetu anaitwa Mr Mishita from UCC Arusha, alitupa kanuni moja hivi “Please Don’t Throw the Sausage Pizza Away”
Tweet media one
5
12
94
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Information Technology professional specialized in Blockchain Development, Cybersecurity Research, Full stack Web2 & Web3 Develpment, Content creator based in Information Technology and Desktop standalone software & Information systems development skills for more than 6+ Years
Tweet media one
8
11
96
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Happening now OpenTechTz, TotTech interview
Tweet media one
4
9
89
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Tuendelee kujifukiza….
Tweet media one
4
1
87
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 year
If you want to Host workshop or trainings about Technopreneurship, Innovation, Cybersecurity, ICR, Programming, Database administrationand management &Tech Motivation and you need trainer just check me...
Tweet media one
5
12
87
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Kwa wale wanao pat shida kufanya appointment with me kwajili ya services that I’m providing (Cybersecurity Consulting, Penetration Testing, Cybersecurity & Programming Mentorship, IT Support etc) for fast response you can now book an appointment with via
Tweet media one
1
8
84
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Kwanini uteseke kujifunza masuala mazima ya tech ie Ethical Hacking, Programming, Artificial Intelligence, Cyber Security, Gaming, Reviews mbali mbali za simu,computer, magari, Graphics Design na Etc. na...
Tweet media one
4
19
85
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Naona watu wamenifata DM wanauliza nina uzoefu gani wa blogging, najibu kwa niaba ya wengineo blogging nimeanza mwaka 2010 baada ya kumaliza darasa la saba nkasoma short course ya computer na nilipenda sana masuala ya tech. and my first in 2012 post ili hit almost watu laki 6
Tweet media one
Tweet media two
10
10
84
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 month
Sema nini Tech bros wa humu tuache ujuaji haufai tutakuja aibika mbele za watu. Silaha moja kubwa ya kujifunza ni kutokua mjuwaji @TOTTechs @HabariTech @NjiwaFLow @anon_codex @graficrafter @abdoolkhery
13
11
81
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Jee Wajuwa kuwa unaweza uka tengeneza Your own unofficial payment Gateway.? Kupokea malipo kutoka bank, mpesa, tigo pesa, visacard, zantel, ttcl, halotel mpaka nje ya nchi Ni haraka na rahisii sanaa Usikae mbali tunakuwekea video yenye kufundisha.
Tweet media one
3
10
74
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Nime jaribu kufikiria kwa upana kidogo kuhusu blockchain in relation to our daily life activities. Katika blockchain kuna baadhi ya terminologies ni kama vile kama knowledge, block, node, mining, chain, PoW( proof of work) etc Ninge penda kuiongelea moja moja katika maisha yetu
Tweet media one
3
29
72
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
7 months
Ninacho kumbuka VC wa chuo X hapa Tanzania alinipigia makofi baada ya kumaliza hii presentation comement yake ilikua “Nimesha hudhuria events nyingi sana kuhusu cybersecurity lakini sijawahi kuelewa kama nilivo elewa hii ya leo, nimetamani nikaanze upya kusoma”
Tweet media one
6
8
70
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
System Updated
Tweet media one
7
2
66
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
OpenTechTz mobile app..! usicheze mbali na
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
12
12
70
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
4 months
Baada ya mwaka mmoja wa kupambana , kuishindwa na kufaulu hatimae nime fanikiwa kumaliza Network project yangu ambayo inafanana kufanya fanya kazi kama TOR na Web yake ni v1.0 (DECI) ambayo kwa sasa inaweza transport text pekee.
8
17
67
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Achievement: mpaka sasa tume fanikiwa kuunda kampuni ya virtual gane developments hadi hivi sasa tumesha tengeneza games 6 ikiwemo aviator for shops kwa maelezo zaidi wasiliana na @anon_codex pia kama kuna mtu yupo interested and anatamani kujiunga na kampuni yetu anakaribishwa..
3
2
68
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Don’t plan to miss Vijana wata sema nina vua😹
Tweet media one
2
11
64
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
7 months
Wengi mnajiuliza kwanini meseji za namnahii skuizi zimekua chache sana kulinganisha na zamani, well skuizi mitandao imeweka filters ya mesej zenye any keword kama hizi kuto deliver. Ndomaana usi shangae ukituma mesej namba kwa mtu haifiki hio ni kwasababu ya filter hizo
Tweet media one
5
4
62
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
NetSarafu is a digital money transfer between two people without the interaction of the blocker. It is secured , reliable , available and profitable @tahaafarooq
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
11
58
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Jufunze Namna ya kuoerform Sqlinjection kwa kutumia DVWA Lab
Tweet media one
4
4
60
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Tanzania CyberStars 2019-2020 to 2021 ⁦ @TCRA_Tz ⁩ ⁦ @ict_commission ⁩ ⁦ @JemsiMunisi ⁩ ⁦ @HabariTech
Tweet media one
8
6
59
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Happy birthday to me….
Tweet media one
11
3
54
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Hello.! Tunachukuwa nafasi hii kukuletea website platform ambako ww kama mdau wa tech na unatamani kujifunza tech hususan kwa vitendo zaidi, ama ww mdau wa tech na unatamani kushare ujuzi wako kwa watu na ukajipatia kipato ama kwa kujitolea pia platform hii itakufaa pia,
Tweet media one
5
18
57
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
@nyuki_malkia Ufala sana mtoto wa kiume inabid apigwe makofi kiss una mfanya awe mlaini huyu uta shangaa una letewa kesi kamtongoza mwanaume mwenzie. Zile kesi za mtoto wako ana chungulia madem chooni, anaweka kioo chini ya wanawake, anafunua sket wanawake, kes za kuandika vibarua huwez sikia
4
4
58
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 month
@salymdev muda unao tumia kuhangaikia servers za watu embu tulia hangaikia server yako in less than 20min hata kichwa hakija niuma fanya kufix kwanza tunataka vitu vinavyo umiza kichwa
Tweet media one
Tweet media two
36
6
57
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
My super TBT this day at year of 2019 At University Of Iringa kipindi nasoma Diploma nilipata nafasi ya kupresent my own platform ambayo ina shuhulika na masuala ya ujezi mbele ya Mheshimiwa Prof Joyce Ndalichako. Alie kuwa waziri wa Elimu wakati wa the Late JPM….
Tweet media one
8
4
55
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
6 months
Nita share ushuhuda juu ya Artificial Intelligence namna ilivyo niwezesha na kunisaidia ku-secure madili yenye jumla ya thamani zaidi ya dola 4,000 ndani ya mwezi ulio pita @anon_codex @TOTTechs
1
5
55
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Technology hii itaweza kubashiri kazi ama kipaji cha mtu miaka 10-15 mbele kulingana na uwezo wake wa darasani. Ni kakitu fulani hivi. Project on work … Yeyote ana karibishwa on board.
0
1
54
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Hello.! Naona maswali yamekua mengi inbox nashindwa kujibu moja moja kwa kila mtu nataka nijibu hapa in general.!
Tweet media one
3
10
54
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
What’s happening… 2022 gonna be 🔥🔥 future be @KenTheRemedy
Tweet media one
1
3
55
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Wakati una jisajili kwenye platform yetu una uwezo wa kuchagua ww ni member wa aina gani
Tweet media one
3
7
53
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Sqlinjection attack with DVWA using SQLMAP Tool, soon tunaiva mjini
Tweet media one
3
3
50
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
14 days
Zaidi ya miezi saba sasa Bado Nina endelea kurekebisha mfumo wangu wa (OPENDUKA) kwa sasa inatumika internal na ina nisaidia sana kufuatilia mwenendo wa hiashara. Hivi karibuni nilifingua Bar ya JUICE nkaona niongezee module ya QR Menu na ime pokelewa vizuri sana na wateja wengi
Tweet media one
6
9
53
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
9 months
Hii ni tatizo ila watu wana li-under estimate. google wana option ya kulipa kwa airtime so ikitokea mtu akatengeneza kiji-gateway chake aunge google pay then mtu afanye ku convert airtime kwenda kwenye pesa.
3
7
51
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
I think it is a time for me do advance my self in Cyber security ( Ethical Hacking ) Carrier. #ItsTime
Tweet media one
3
2
52
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Oh okay lemme try …..!🤔🤔🤔
Tweet media one
6
1
51
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Mwezi huu nipo free Nipe website ama system yako niweze kukufanyia Security Analysis Mfano… 1️⃣Kuangalia madhaifu 2️⃣Kupima uimara wa security 3️⃣Kuziba na kurekebisha udhaifu 4️⃣Kuongeza usalama 5️⃣Etc…. Vyote hivi utafanyiwa kwa gharama ya Nusu bei.. Njoo DM tuyajenge
Tweet media one
3
12
50
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
6 months
Nilikua naona mkewangu anavyo pata shida kumanage biashara yake kwenye madaftari na kila akinunuwa mzigo mpya namna ya kujulisha wateja wake inakua ishu vile vile upande wa kumanage madeni matumizi faida na malipo kwa wanaontumia simu ama banks.
Tweet media one
Tweet media two
6
12
49
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Where’s my data.? Data zangu ziko wapi.? Kwanza tufahamu maana ya data. Data ni taarifa zilizo chakatwa, taarifa hizi zinaweza kuwa kamili au zisiwe kamili, Data mara nyingi zinatumika katika kufanya maamuzi.. Tuende moja kwa moja kwenye swali letu Je Data zangu zilo wapi.?
Tweet media one
2
10
51
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 year
We are open guys any order.? Tailor made system software development (SDLC Procedure) Graphics design, Website design, API gateways integration(Online payments, sms, two way sms, call center, Embedded machine's. etc), Digital Advertising, Pitch deck preparation, innovation ideas
Tweet media one
4
2
50
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Me as a field student nkapata chance😹😹😹😹
Tweet media one
3
4
48
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
OpenTech Kazini will be a leading recruitment portal in Tanzania with jobs and freelancing in Technology Industry. For Freelancers, provides you reliable people for you to work with so that you can be earning depends on the task you got.
Tweet media one
3
10
49
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Tukiwa kwenye moja ya hackathons (e-kilimo) mwaka 2018 @Afruturist alituuliza swali moja very tricky kwamba ikatokea simu yako ime jaa then kuna apps mbili app yako na wahstapp je ni app ipi utaifuta? , Watu tulijibu whatsapp lakini deep down we know tutafuta apps zetu 😂😂😂
3
10
50
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
1 year
My name is Ally and I am a cyber security expert in red teaming. Red teaming is the practice of simulating real-world cyberattacks on an organization's systems, networks, and people to test their defenses and identify vulnerabilities.
Tweet media one
3
8
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
#synchronization #blockchain Welcome to the world of Synchro.!
Tweet media one
5
5
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Basi tushare kastori kidogo.. Safari yangu ya kwanza Dar ilikua 2018 ambapo nilikuja kwenye bootcamp ilio endeshwa na @ekilimotz pamoja na @VenturesSahara . nilikua sijawah kanyaga dar before offcourse nilifurahi sana kwani niliamini kipaji kimnitoa mkoani kunileta mjini
Tweet media one
8
10
47
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Today we’re going to launch our new software iScan a web based malware scanner software for your System or App it scans possible shells and backdoors Stay Tuned @cyberknowtz @TOTTechs @JemsiMunisi @graficrafter @AuxGrep @alipoki @ict_commission @TCRA_Tz @TanzaniaSA @HabariTech
0
12
45
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Na mimi nime tengeza portfolio yangu bana 😹😹 mnipe max bas
Tweet media one
10
2
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Yeye: "Pow pow, lakini client anaitaka ndani ya mwezi, budget yao ni 6M." Mimi nikapiga hesabu haraka, "Pow pow, wanataka nini hasa?" Yeye: "Jamaa wanataka virtual gaming system kwa betting shop, kama zile za Parimatch, lakini wao wanataka casino spin & win na keno pia."
1
0
47
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
It took me 8 years to become a #cybersecurity expert. You want to be as awesome as I am? Here’s how you can do it in 13 easy steps. 1. Wake up at 4:15 am 2. Meditate for 1 hour. Clear your mind like you have 0 unread emails.
1
13
45
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Are you a Software Developer, Logo Maker, Product Designer, UX or UI Designer, Digital Content Writer, Web developer, web designer.? And you have some of your work, but they didn't pay you back.? Well Tech Sokoni a product of OpenTech, is going to completely fix that problem;
Tweet media one
2
13
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Services I'm providing on Cybersecurity are Managed Security Service, Penetration Tests & Vulnerability Management, Security Risk Assessments, Incident Response, Insider Threat Planning, Cyber Security Planning, Secure Communications, Cyber security training.
Tweet media one
4
12
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Ethical Hackers: A hacker is an individual with technical computer skills but often refers to individuals who use their skills to breach cybersecurity defenses types of hackers: ⭐️The Ethical Hacker (White Hat) ⭐️Cracker ⭐️Grey hat ⭐️Script kiddies ⭐️Hacktivist ⭐️Phreaker
Tweet media one
5
11
43
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Natamani sana tuwe na BugBounty programs in Tanzania ambazo zipo OPEN kama ilivyo kwa wenzetu walio endelea, Lengo ni kufanya Cybersecurity iwe ajira kama ajira nyingine @TCRA_Tz @TOTTechs @graficrafter @AbilMdone @asatayo @MalwarePeter @RednetCompany @NjiwaFLow @ITexpertTz
Tweet media one
5
13
45
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
8 months
Big thanks to the amazing team behind the Sarufi x Azampesa hackathon! Learned tons about no-code bot tools & Azampesa's potential. Feeling inspired to create! #Sarufi #Azampesa @sarufi_ai @AzamPesa @j_kalebu @AviTheDev @gutoshiX @TOTTechs
Tweet media one
3
8
46
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
nina mmoja wa jamaa yangu yuko vizuri sana kwenye masuala ya programming hvi karibuni ame tengeneza tool yake ya kufanyia service ndogo ndogo kwajili ya simu na mpaka sasa amesha pata almost 6M kutokana na.
Tweet media one
4
4
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Working on your job while working on your education with working on your career while working on yourself while working out while working on friendships & relationships while working on personal goals while trying to accommodate everyone while also trying to get 8hrs of sleep..
Tweet media one
1
3
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
8 months
Supervised domain adaptation (SDA) to the rescue! ‍♀️ This ML technique helps models adapt to new situations with limited labeled data by leveraging data from a similar source. Great for when labeling data is hard or expensive! #machinelearning #AI #datascience #stanbicbiashara
Tweet media one
3
5
42
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Machines are learing humans are Hooked...
Tweet media one
2
2
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Basi, huku na kule, NDA ikawa tayari. Lakini mwanangu alikuwa na stress za mapenzi. Katika kuandika quotation, badala ya kuweka server cost ya TZS 500k, akaweka 50k. Wauni wakatia sign, nasi tukatia sign bila kuchelewa. Tulijua kilichotokea muda usha pita, tunacheka tu 😂😂😂😂.
1
0
43
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Kama unaona unaweza volunteer to contribute kwenye development ya NetSarafu kindly DM me😊
Tweet media one
0
7
42
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Backend : Assembly API : GO Frontend : C# Database : Postgre SQL Caching : GraphQl Configurations: VPN, BigIP, LoadBalancer, firewall, VLAN Security: IPS, DPS, Client Budget usd 1500 😹🙌🏻 Call satan to do this 😹
11
2
43
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
wow today nimefanikiwa kutengeza offensive + defensive like AI firewall ambayo itakuwa ina linda systems hususan webapps i put some rules ambapo zita cheki if user ana attempt kubypass the app kisha ikijiridhisha kutokana na behaviours zake itacheki current ....
5
4
39
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Baada yakujihisi niko idle, nika amua kuanza kujifunza GoLang kuanzia mwanzo, sijawahi kujuwa kama GoLang is such a sexy programming language I ever meet.! I will keep updating hii tweet mpaka ntakapo kuja na product nilio tengeneza kwa language hii 😅 #golang @golang
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
3
39
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Password thread. What is your best password share with us 😹😹😹 @TOTTechs @JemsiMunisi @AbilMdone @HabariTech @ITexpertTz
29
3
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
TechTube ni Open platform ambapo kila mtu mwenye nia ama anae tamani kuweka content zake zinazo husu tech ana karibishwa, kupitia tech tube mtumiaji yoyote anaweza akafungua chanel yake na kisha kuanza kupublish contents.
Tweet media one
3
6
38
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Je unaujuwa mtandao vizuri.? Unajuwa kuna vtu gani vinapatikana humo vipi kuhusu pesa za kidanlodi.?? Usisite kupata nakala yako
Tweet media one
1
5
42
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
As the internet is becoming one of the basic needs, ICT as one of the most essential tools in facilitating the access and utilization of the internet is also becoming one essential knowledge for every individual.
Tweet media one
3
12
40
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
i have been working through out this week just to create a simple system scanner for my systems this feature acts like antivirus for websites as well as the firewall. It checks the system behaviors how the system operates based on tail logs and scans each file in the system
Tweet media one
Tweet media two
3
5
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
3 years
Are you a Software Developer, Logo Maker, Product Designer, UX or UI Designer, Digital Content Writer, Web developer, web designer.? And you have some of your work, but they didn't pay you back.?
Tweet media one
3
11
40
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 months
Aka sema nzuri lakini iweke mkao🥲🥲🥲🥲tukazama mzigoni tena huku na kule huku na kule baada ya wiki mbili spin imeisha tukatuma kazi client shangwe kama zote bado kazi ya keno hapo 🥲🥲
Tweet media one
Tweet media two
2
3
41
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
@adamucyber @TOTTechs @ITexpertTz @NjiwaFLow Ye Sure, but if ange fanikiwa, even these logs nisinge ziona and nisinge notice anything, infact kufahamu tuu kuwa kuna kitu kipo wrong ina ashiria kabisa mtu kashindwa.
1
0
38
@ally_ndimbo
Ayeem Ndimbo
2 years
Thanks Brother @HabariTech kwa kunipa ridhaa ya kuweka hii kitu full Techtube from now on unaweza sikiliza mtaalam @HabariTech akiidadavua #chatgpt kupitia TechTube
2
7
39