![AzamPesa Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1506295572826927110/EgfC9TiK_x96.jpg)
AzamPesa
@AzamPesa
Followers
5K
Following
3K
Statuses
4K
Tuma pesa BURE AzamPesa kwenda Azampesa Makato ni madogo mno kwa miamala mingine. Okoa hadi 10% Pakua App ufurahie unafuu wa AzamPesa https://t.co/N1ivy8Vm5u
Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2019
Jiokoe na Azampesa kwa kutuma pesa kwa unafuu zaidi kwenda mitandao mingine. Kujiokoa muhimu, tumia Azampesa sasa #jiokoenazampesa #uhuruniwako
0
0
2
UNAFUU MPAKA BASI! Fanya miamala kwa unafuu zaidi ukiwa na Azampesa, Tuma pesa BURE Azampesa kwenda Azampesa na kwa unafuu zaidi utaweza kutuma pesa Azampesa kwenda mitandao mingine pamoja na kufanya miamala mingine yote kwa unafuu zaidi. Makato yanachosha, Hamia Azampesa sasa! #jiokoenazampesa #uhuruniwako
0
1
6
@OllomyJustine Habari Justine Tunao wengi. *Machinga Complex* Rashid Mkanza Fatma Eva *Barabara ya 6* Kazimoto *Sango* Chami *Majengo* Jonas Aman *Nyerere Square* Sospeter Kongola
0
0
0
Mtaa kwa mtaa! Azampesa tunawasogezea huduma mtaani kwenu, Tunafika kuwaelimisha kuhusu huduma zetu, kuwasajili na kuwaacha mkifurahia huduma bora kwa Gharama nafuu zaidi unapofanya muamala wowote. Ukituona mtaani kwako tuulize chochote kuhusu Azampesa tutakusaidia papohapo. #azampesa #tupomtaani
0
4
8
Mtaa kwa mtaa! Azampesa tunawasogezea huduma mtaani kwenu, Tunafika kuwaelimisha kuhusu huduma zetu, kuwasajili na kuwaacha mkifurahia huduma bora kwa Gharama nafuu zaidi unapofanya muamala wowote. Ukituona mtaani kwako tuulize chochote kuhusu Azampesa tutakusaidia papohapo. #azampesa #tupomtaani
0
3
8
RT @ahmadfirask: Last month I posted on our salary advance scheme: No interest No cost to the employer No cost to the employee Now you se…
0
4
0
@INFLUENCERjr @chapo255 KWA KUTUMIA USSD 1.Piga *150*08# 2.Chagua namba 4 Lipia bili 3.Chagua 1 LUKU/Umeme 4.Chagua 1 Kununua Luku 5.Weka kiasi 6.Ingiza namba ya mita 7.Hakiki taarifa kisha thibitisha muamala"
0
0
1
@INFLUENCERjr @chapo255 KWA KUTUMIA USSD 1. Piga *150*08# 2. Chagua 4 (Lipia Bili) 3. Chagua 7 (Bili za Maji) 4. Chagua 1. (Dawasco) au 2. (E- water) 5. Ingiza namba ya malipo 6. Hakiki malipo, kisha ingiza kiasi 7. Ingiza namba ya siri (Tuma) 8. Muamala wako umekamilika "
0
0
1
LIPA KWA UNAFUU! Ukiwa viunga vya Forodhani Zanzibar pata huduma ya kulipa kwa unafuu kwa Lipa namba ya Azampesa. Kutana na mmoja wa wafanyabiashara wenye lipa namba ya Azampesa Mr.Fadhili Shawarma, anafurahia malipo kidijitali kutoka kwa wateja wake. #azampesa #lipakwaazampesa
0
1
6