![Wakusoma ๐ Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1851588915775275008/mZ_-i_M9_x96.jpg)
Wakusoma ๐
@Wakusoma223
Followers
9K
Following
75K
Statuses
84K
Joined July 2022
๐๐ช๐๐ก๐๐ก๐ ๐ง๐จ๐ ๐๐๐๐๐จ๐ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐ฆ๐จ๐๐จ๐๐จ ๐๐๐ฆ๐ฆ๐๐ก ? Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya uongozi wa kipekee kwa kuzingatia maendeleo ya sekta ya elimu, jambo linalogusa moja kwa moja maisha ya mamilioni ya Watanzania. Katika kipindi chake cha uongozi, amefanikisha mambo makubwa yafuatayo ๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ 1. ๐จ๐ท๐ฒ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐๐ฎ 35,000 Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, serikali imefanikiwa kupunguza changamoto ya msongamano wa wanafunzi darasani kwa kujenga madarasa 35,000. Hii imewezesha wanafunzi kupata mazingira bora ya kujifunza, hatua inayochochea ubora wa elimu nchini. 2. ๐๐น๐ถ๐บ๐ ๐ฏ๐๐ฟ๐ฒ ๐ธ๐๐๐ผ๐ธ๐ฎ ๐ฆ๐ต๐๐น๐ฒ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ ๐ต๐ฎ๐ฑ๐ถ ๐ธ๐ถ๐ฑ๐ฎ๐๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐๐ถ๐๐ฎ Dkt. Samia ameendeleza na kuboresha mpango wa elimu bila malipo kwa kuufanya kuwa jumuishi zaidi. Wazazi na walezi sasa wamepunguziwa mzigo wa ada za shule, hatua inayowezesha watoto wengi zaidi kupata fursa ya kusoma. 3.๐๐๐ผ๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐ธ๐ผ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ ๐ฒ๐น๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐ท๐๐ Serikali ya Rais samia imeongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia TZS 787 bilioni. Hii imeongeza idadi ya wanafunzi wanaonufaika na mikopo, hususan wale wanaotoka katika familia zenye kipato cha chini. 4. ๐๐๐ฏ๐ผ๐ฟ๐ฒ๐๐ต๐ฎ ๐๐ฒ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ฒ๐น๐ถ๐บ๐ Dkt. Samia ameongoza mabadiliko makubwa ya sera za elimu ili kuhakikisha kwamba mifumo na maudhui ya elimu yanalingana na mahitaji ya soko la ajira na maendeleo ya taifa kwa ujumla. 5. ๐๐๐ถ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐น๐ฎ๐ต๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐น๐ถ๐บ๐ Katika kutambua mchango wa walimu, Dkt. Samia ameweka mikakati madhubuti ya kuboresha maslahi yao. Malipo na mazingira bora ya kazi yameimarishwa, na kuwahamasisha walimu kufundisha kwa weledi na bidii. ๐๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ฝ๐ฒ๐ธ๐ฒ๐ฒ, Dkt. Samia ameonyesha kuwa elimu ni kipaumbele kikuu katika maendeleo ya taifa. Kiongozi mwenye maono kama haya ndiye anayefaa kupewa nafasi ya kuendelea kuwatumikia Watanzania kwa ustawi wa kizazi cha sasa na kijacho. ๐๐ช๐ ๐๐๐๐๐๐ #SamiaNakupaTano
28
50
54
RT @IdrisaIddyTz: TANZANIA LEO ๐ธWasira afuchua siri siri ya ushindi CCM 2025 ๐ธSamia aridhia malipo ya fidia kwa Wananchi 429 Barabara yaโฆ
0
8
0
Habari njema #SamiaNakupaTano
๐Wasira afichua Siri ushindi CCM 2025 โ
Upinzani wataiona Ikulu katika luninga โ
Awajibu wanasema CCM imekaa Sana ๐Rais Dkt Samia aagiza malipi Bil.254/- Kwa wakandarasi โ
Lengo mi kuongeza ufanisi katika miradi
0
0
1
RT @LeeCute255: ๐Wasira afichua Siri ushindi CCM 2025 โ
Upinzani wataiona Ikulu katika luninga โ
Awajibu wanasema CCM imekaa Sana ๐Rais Dkt Sโฆ
0
9
0
#SamiaNakupaTano NYOMI LA MAMA SAMIA ๐น๐ฟโค๏ธ Kiongozi wa watu,anayekubalika na wote. Upendo wake kwa Tanzania haupimiki. Mwanamkakati, mchapakazi, mwanadiplomasia wa kiwango cha juu. Kila kona, kila mtaa, sauti ni mojaโMitano Tena bila shaka! Mama Samia ni chaguo sahihi la Watanzania
9
18
17
@Mwitah_tz Under President Samia's visionary leadership, Iringa Airport is set to begin operations on February 22, 2025, with a 93% completion and an investment of Sh68 billion, driving growth in tourism, agriculture, and mining. #SamiaNakupaTano
0
0
1
RT @Mwitah_tz: The construction of Iringa Airport in Nduli Ward, Iringa Municipality, is now 93% complete, with a total investment of Sh68โฆ
0
12
0
RT @Wakusoma223: #SamiaNakupaTano TANZANIA LEO ๐น๐ฟ (Jumanne Februari 11 - 2025) DKT.SAMIA AAGIZA MALIPO BIL.254/- KWA WAKANDARASI https://โฆ
0
19
0
Habari njema #SamiaNakupaTano
Wasira afichua siri ushindi CCM 2025 ๐ท๏ธ Upinzani wataiona Ikulu katika luninga ๐ท๏ธ Awajibu wanaosema CCM imekaa sana. Dkt Samia aagiza malipo Billion 254 kwa wakandarasi ๐ท๏ธ Lengo ni kuongeza ufanisi katika miradi. #SamiaNakupaTano
0
0
0
RT @manywele_ze: Wasira afichua siri ushindi CCM 2025 ๐ท๏ธ Upinzani wataiona Ikulu katika luninga ๐ท๏ธ Awajibu wanaosema CCM imekaa sana. Dktโฆ
0
18
0
RT @Mastaa01: CCM IMESHIKA HATAMU, UPINZANI WAOTA IKULU KWA TELEVISHENI! Mzee Stephen Wasira ameweka wazi siri ya ushindi wa kishindo wa Cโฆ
0
17
0
Habari njema sana #SamiaNakupaTano
KAZI IENDELEE ๐๐น๐ฟ โSamia aridhia malipo ya fidia kwa Wananchi 429 barabara ya EACโ. #SamiaNakupaTano
0
0
0
RT @HamisUniversal: KAZI IENDELEE ๐๐น๐ฟ โSamia aridhia malipo ya fidia kwa Wananchi 429 barabara ya EACโ. #SamiaNakupaTano
0
12
0
Nipate nakala yangu sasa #SamiaNakupaTano
TANZANIA LEO โ โผ๏ธWasira afichua siri ya ushindi CCM 2025 โผ๏ธDkt. Samia aagiza malipo ya 254/- kwa wakandarasi #SamiaNakupaTano
0
0
0
RT @Rahma_Simba: TANZANIA LEO โ โผ๏ธWasira afichua siri ya ushindi CCM 2025 โผ๏ธDkt. Samia aagiza malipo ya 254/- kwa wakandarasi #SamiaNakupโฆ
0
15
0
Kazi inaendelea kwa kasi #SamiaNakupaTano
Wembe ni ule ule ushindi wa kishindo kikubwa kwa Chama Cha Mapinduzi chini ya mwenyekiti Dkt. Samia Suluhu Hassan. #SamiaNakupaTano
0
0
0
Habari njema #SamiaNakupaTano
Mama Samia, kinara wa maendeleo. Akiendelea kusimamia miradi kwa vitendo, kuhakikisha fedha zinawafikia wakandarasi na maendeleo yanawafikia wananchi. ๐๐ฝ #SamiaNakupaTano
0
0
0
RT @imaaJr_: Mama Samia, kinara wa maendeleo. Akiendelea kusimamia miradi kwa vitendo, kuhakikisha fedha zinawafikia wakandarasi na maendeโฆ
0
12
0
@Mwitah_tz SGR inaendelea kuwa mkombozi wa uchumi wa Tanzania chini ya uongozi madhubuti wa Rais Samia. Usafirishaji wa mizigo utaongeza kasi ya biashara na kuimarisha uchumi kwa viwango vya juu #SamiaNakupaTano
0
0
0