Cypher PX Profile Banner
Cypher PX Profile
Cypher PX

@TanganyikaKid

Followers
4,250
Following
3,503
Media
648
Statuses
23,284

Who JAH bless No Man Curse, We are all in One Titanic. @manUTD @realmadrid @simbaSCTanzania .

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Hivi kwanini ukiagiza gari mpya nje ya nchi ikifika Bongo inakua na Tax kubwa kuliko hata bei ya gari lenyewe,,🤔
Tweet media one
100
32
844
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Twitter Football naomba mnitajie App ambayo nitaweza kucheki mechi za Ulaya za Premier league na za UEFA isiwe ya kulipia lakini
Tweet media one
51
75
522
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Hii nchi vijana walishavurugwa siku nyingi sana😂😂🙌🙌 Video ipo kwenye Comments
Tweet media one
21
26
307
@TanganyikaKid
Cypher PX
3 months
Kichaa angu ukimuona tu ujue kuna tukio haonekanagi burebure 😂
Tweet media one
48
16
288
@TanganyikaKid
Cypher PX
5 months
Yani Mondi anafanya Show off ya Magari na Rick Ross sema kib9ngo bongo huyu mwamba sio mwenzetu tena😂🙌
23
32
252
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
Kuna watu huwa wanahisi Post zao (biashara) ni lazima sisi tu-RT ila za kwetu wanaziona ni options kuRT makuma nyie.🚮 tusipangiane
Tweet media one
50
67
244
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
Mfano ungekua ni wewe ungemaliziaje hapo😂😂😂
Tweet media one
72
31
227
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Broh nakuwashia Wi-Fi kumbe unaingia Tik Tok
Tweet media one
33
37
207
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
"Nikamkuta Casino la wadachi na walatino, akigonga mvinyo, Na pamba za maandalinyo, Hashpapi haspinyo Macho yalinitoka mithili ya zingonginyo"
Tweet media one
26
35
198
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Ukiachana na huyo demu wako mswahili anaekuzungusha mwezi mzima afu haeleweki 😂
30
17
204
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Machambuzi ya kimataifa yanasubiri kwa hamu pakuche😂😂🙌
Tweet media one
26
43
165
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
"Kwa hiyo Baby umesema Baba ako na mama ako ndo wazazi wako"😅
Tweet media one
25
37
135
@TanganyikaKid
Cypher PX
8 months
Mademu zenu👇 muendelezo upo kwenye Comments
51
18
140
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Mnaosikiliza ngoma za huyu manzi, zina upekee gani? Kazi zake ni kali kuzidi kina Rema, Fireboy,Omah Lay, Ruger au? Amekua wa moto sana🙌🏾
Tweet media one
13
13
134
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
Unakumbuka wapi😅👇
Tweet media one
40
14
127
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Hizo Rudisha amesema ulete Nyundo😂😂😂😂
Tweet media one
26
31
127
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Sifa yao ya kwanza ukiwakopesha kulipwa usahau😂
Tweet media one
32
39
122
@TanganyikaKid
Cypher PX
8 months
Unaondoka na ipi hapa
Tweet media one
67
17
119
@TanganyikaKid
Cypher PX
3 months
Hali za Wanachuo kipindi hiki😅😅
Tweet media one
15
13
126
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
Mara nyingi ndoto za kila Mzazi ni kuona Mwanae ukifanikiwa na kuishi maisha ya furaha, Mungu awajalie wazazi wetu kila jema popote walipo.🙏🏾
16
36
118
@TanganyikaKid
Cypher PX
6 months
Huwezi kuacha Nyeto kama huna demu, tafuta kwanza Demu mkuu lasivyo utasikia tu wenzako wanaacha nyeto ila wewe hutaweza😂😂
23
22
114
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Leo kuna mtoto wa mtu akanisusia kwenye daladala ila nimegundua mademu wengi wanapenda sana hii ila hawasemi😅😅.
Tweet media one
14
10
110
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌Pichani👇ni Bill Edgar raia wa Australia Kazi yake kubwa ni kutangaza Siri za marehemu wakati wa mazishi Watu wanaokaribia kufa humwambia siri nzito nzito ambazo hawawezi kuzisema wao wenyewe na kumlipa dola $10,000 ili atokee siku ya mazishi yao na kuutangazia uma siri hizo.
Tweet media one
Tweet media two
16
46
111
@TanganyikaKid
Cypher PX
6 months
Napenda Movie zenye Kash kashi kama hii, nipe ya kwako unayohisi itaizidi hii🔥🙌🙌 TRAIN TO BUSAN - 9½/10🔥
Tweet media one
17
24
108
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
📌Mwaka 2014 Huko China katika Sikukuu "VALENTINES DAY" Jamaa mmoja alilipia Siti zote za Pembeni katika ukumbi wa kuangalia Sinema. Yaani alikuwa analipia Siti moja alafu ya pembeni yake anaiacha halipii kwa lengo la kutenganisha wapenzi walioenda kuangalia Sinema wasikae pamoja
Tweet media one
20
31
104
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Mara paap!! me na wewe tumeokota Milioni kumi, milioni mbili yako utaenda kuifanyia nini
Tweet media one
27
26
100
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Kama wewe ndiye Dereva wa Mwendokasi ungemfanya nini huyu jamaa😂,😂
9
14
100
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 month
Hii mishangazi ya hivi tantalila naipendaga sana😅😅
8
9
99
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 year
"Samahani kuna mgonjwa mwenzio anaomba mbadilishane Vichwa'😊😂
Tweet media one
10
11
98
@TanganyikaKid
Cypher PX
5 months
Kwani ni kweli Mwamba wamempakua,,? au ni uzushi tu
Tweet media one
10
8
96
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Muda wako ukifika hata Tenga litabeba maji kwa ajili yako Morning.. .
23
39
94
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Hapa niuze zangu Figo yangu moja milioni 100 nikawekeze kwenye kilimo cha matikiti Baada ya mwaka napata faida ya Milioni 500, natoa milioni 100 naenda kuinunua tena ile Figo yangu na bado nabaki na faida ya milioni 400 juu, nimetoboa sijatoboa
Tweet media one
26
41
89
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 month
Wapush Hashtag Wote wapotee humu Unfollow, Block na Report Account zao zote, wao wanahusika kwa huu usenge unaofanyika humu kwa namna moja au nyingine. Huwezi kumsupport Adui yetu then ukasema upo upande wetu. WE NI HATER
11
38
99
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Kama We ni Legend Umemtambua Rapper gani hapa👊🏼
Tweet media one
26
31
93
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Baada ya kunikaba na kuchukua pesa zangu zote walinilazimisha kucheza amapiano ili waamini kama sijakasirika
Tweet media one
32
41
93
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Eti wakuu Unaweza ukawa na urafiki na demu uliyemtongoza akakukataa,,😅
Tweet media one
37
20
89
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
1. Leonel Messi 2. Lucas Modric 3. Kevin De Bruyne Kwenye timu yako unaenda na nani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
13
90
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 year
@DullahTheking2 Country kakupika kabla haujaiva kakupakuaa🤣🤣🤣aah msodoki afukuzwe nchini bhana
5
1
90
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Wakati mwingine kushindwa ndio kushinda, kuna vita nyingine sio lazima ushinde inabidi ushindwe ili ujifunze.
22
51
86
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
@omwambaKE @TanganyikaKid I'm so fast 👊🏿👊🏿🙏🏾
2
0
84
@TanganyikaKid
Cypher PX
8 months
Kuzaliwa Tanzania ni moja kati ya Laana kubwa niliyonayo 🚮
19
21
87
@TanganyikaKid
Cypher PX
4 months
Mtu aliye_Join Twitter leo lazima achanganyikiwe😂
18
14
85
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌 Pichani 👇 anaelia anaitwa "Richard Thomas" hiyo ilikuwa mwaka 2013' akiwa mahakamani baada ya kupokea hukumu yake ya kifungo cha Miaka mitano (5) jela kwa kosa la Kubaka. Kilio hicho kilianza baada ya kupewa taarifa kwamba binti aliyembaka alikuwa ni Mgonjwa wa UKIMWI
Tweet media one
12
21
84
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
Sio kila Mtihani wa Maisha utakuhitaji kukopi majibu ya mtu mwingine, fahamu kua kila mmoja ana majaribu/ Maswali yake.
19
32
81
@TanganyikaKid
Cypher PX
8 months
Baraka tele✌🏾 Mwambieni akini- unblock atakua ni Kuma² tena 🔥
Tweet media one
16
13
82
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 month
@Kinubi2 @Boltapp_tz Mtu anatumia mafuta yake anakufata, dakika 5,10 zishapita on the way then unacancel, UNAKANYAGWA hajakosea
19
1
85
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
💥💥Mashati Tsh 28,000 tu Delivery ni free💥 mikoa yote Tunatuma kwa uaminifu mkubwa sana✊🏽📌📌 0688536227 0695582990 RT RT RT🙏🏾 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
81
73
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌 Pichani👇 ni kundi la Mwewe Mwaka 2017' mwana mfalme kutoka katika familia ya kifalme ya 'Saudi arabia' aliwatengezea passport Mwewe hawa themanini (80) na akawalipia Siti katika shirika la ndege la "Fly Emirates" na Kila Mwewe alikuwa na siti yake
Tweet media one
21
26
76
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 year
Ukitaka Account yako ikue chap dondosha handle kwa Wahindi au waarabu Alooh! 😅
Tweet media one
26
10
72
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Kuna watu wanajua kukera 🤣😂🙌 imagine upo na mtoto mzuri afu anapita mwana anajiongelesha shanga kama hizi 😂 Video kwenye Comments👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
11
75
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
Kama sijakufollow dondosha handle yako niruke nayo🔥🔥
Tweet media one
32
17
68
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 year
📌 Pichani👇huyu ndo Kuku aliyefahamika kwa Jina la "MIKE", aliishi kwa muda wa Miezi 18 bila ya kuwa na kichwa. Alikatwa kichwa April 20, 1945 na kufa March 17, 1947.
Tweet media one
Tweet media two
27
34
75
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
@Exquisite_255 Nikitaka kucheka tu napitia post zako😂
16
0
75
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌Pichani👇ni "Michel Lotito" kutoka ufaransa, Alikuwa maarufu kwa kula chuma na glass Alianza kula chuma na glass akiwa na miaka 9 Miongoni mwa vitu ambavyo amewahi kula ni baiskeli 18, TV 7, Vitanda viwili,Computer 1, vitoroli 15 vya supermarket na ndege (Plane) 1 Alikufa 2007
Tweet media one
Tweet media two
25
38
69
@TanganyikaKid
Cypher PX
8 months
Kama unahisi nimemuonea leta timu yako 😂
Tweet media one
14
11
71
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Tunakuza idadi ya maadui kwa tamaa za kutaka kuwa na marafiki wengi. Good Morning watu wa Mungu
16
41
69
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Wazee wa location mpaka hapa nishawapoteza😁
Tweet media one
21
26
67
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
UNALIJUA HANDAKI LA KIYOTAKI (KIYOTAKI TUNNEL) Nadhani kuwa hii ni moja ya barabara za misukosuko zaidi kwa madereva Duniani Kwa ufupi KIYOTAKI Ni handaki ambalo magari yanapita kama njia Liko nje ya mji wa Kyoto Nchini Japan UNATAKA KUFAHAMU VIMBWANGA VYA KIYOTAKI??SHUKA NAYO👇
Tweet media one
Tweet media two
16
27
72
@TanganyikaKid
Cypher PX
1 month
Nahitaji kuongeza marafiki wapya, Hii namba 4K Followers nimeichoka, kama sijakufollow mkali weka handle yako hapa tuwe marafiki.
Tweet media one
27
14
71
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
Kuhesabu madhambi ya Watu wengine hakutakufanya wewe kuwa Mtakatifu 📌
16
37
67
@TanganyikaKid
Cypher PX
3 months
Diamond ft Zuchu RAHA🎶 Hii ngoma ni kali hata kama mnajifanya hamuioni😅
Tweet media one
10
12
70
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Mwambie huyo tweep hapo juu☝ akapige mswaki kwanza simu ipo tu🤣
13
28
65
@TanganyikaKid
Cypher PX
5 months
Videmu vya Chuo ni mfano halisi wa Malaya📌
16
18
66
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
Sawa sina ndevu ndo uniite mimi Emoji 😔
Tweet media one
18
21
63
@TanganyikaKid
Cypher PX
3 months
Kuna Sound gani ya kipekee ambayo Wiz Kid anayo afu Davido hana,? Maana Wapopo wengi hua wanamkataa sana Davido kuliko Wiz Kid,ni kwamba Kid ni Talent sana kumzidi Davido au ni hating tu🤔
Tweet media one
Tweet media two
18
15
65
@TanganyikaKid
Cypher PX
9 months
Ramos kampiga Puyol kofi la uso, Pepe tayari kashamweka Messi chini, cavalho anamnyang'anya Refa kadi nyekundu Oyaa 🙌🙌 sahivi Boli limepoa sana wazee😂😂
Tweet media one
8
12
63
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌 Pichani👇 huyu ni "Masanobu Sato" binadamu anaeshikilia rekodi ya Dunia ya kupiga punyeto kwa muda mrefu zaidi akitumia "Masaa 9 na dakika 58" Alivunja rekodi yake mwenyewe ya awali aliyokuwa amepiga punyeto kwa "masaa 9 na dakika 33"
Tweet media one
31
33
55
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
UNAIKUMBUKA STORY YA MILIONEA ELIE TAKTOUK (So Sad) Ukiona wanaume wanamsifia Ashraf Hakimi na kutaka apewe Uchezaji bora wa Afrika wa muda wote pamoja na kujengewa mnara mkubwa kuliko yote Ulimwenguni usihisi ni wapuuzi,watu wamekutwa na mengi STORI YA TAKTOUK ILIKUWA HIVI👇
Tweet media one
9
20
61
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
let's follow each others
27
21
54
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Familia yako ndo timu yako hata ikishuka daraja shuka nayo wakati wa matatizo ndo inakuhitaji zaidi, MORNING HUSTLERS
9
18
59
@TanganyikaKid
Cypher PX
11 months
📌 Pichani👇 hii ni simu ya kwanza kabisa ya mkononi kutengenezwa, ilikuwa mwaka 1973 simu hio ilikuwa inachajiwa kwa masaa 10 na ikijaa ilikuwa inaisha chaji kwa dakika 30 tu. Ilitengenezwa na kupigwa kwa mara ya kwanza na "Martin Cooper" April 3,1973 Ilikuwa inauzwa shiling 23M
Tweet media one
22
41
61
@TanganyikaKid
Cypher PX
10 months
Sio kwamba waliniacha tu waliamua mpaka Kuoana na sasa hivi wana mtoto wamempa Jina langu
Tweet media one
22
28
56
@TanganyikaKid
Cypher PX
7 months
Drop your handle and let's gain Massive @TanganyikaKid 🍇
40
28
49