Nauza Gadgets Original Profile Banner
Nauza Gadgets Original Profile
Nauza Gadgets Original

@Kinubi2

Followers
19,533
Following
1,222
Media
7,596
Statuses
87,049

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
1 year
This
@BroBabuu
Babuu | Hisa
2 years
UTT-Amis ni nini? kampuni binafsi au ya Umma? Naanzaje kuwekeza kupitia kwa UTT? kuna usalama kiasi gani ndani ya UTT? Haya ni baadhi ya maswali unayoenda kupata majibu ndani ya #UZI huu. Soma uzi huu hadi na mwisho uwe miongoni mwa 6% ya watanzania wanaoijua UTT SHUKA NAO🧵👇
Tweet media one
10
134
174
1
20
69
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Mbowe sounds nice anaongea na sisi hatufokeiiiii 😂😂😂😂
103
123
2K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
So Chadema ni kama Man United yaani kila timu ya EPL mshindani wake mkumbwa ni Man U😂😂😂
99
81
2K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Dear Men EPL ndo inaisha hivyo sijui mtatumia excuse gani😅
676
127
2K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Ndo kwanza mahusiano yana week moja ushaomba hela 😩😩..Hiyo hela ndo registration fee au?
317
113
2K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Tangia nimezaliwa hadi nakua I have never seen the wife of a president pregnant😅😅😅
220
49
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Tukianza mahusiano usinambie mambo ya I miss u sijui umekula , au unafanya nini Leta business ideas nambie tuwekeze wapi au tufanye kazi ipi...😎
357
101
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
SEX created by GOD for Reproduction and Satisfaction some girls are using it for FUNDRAISING 😩😭😭😭😭.........
166
187
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Nimelipa nauli ya wawili leo ili konda apate chenji the guy nilomlipia ata simjui😅..So baadae usije kuandika kuwa kuna demu amekukubali akatoa nauli......
314
29
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Huwezi kuwa Engineer ukawa na akili sawa 😅😅😅....hawa watu kuna sehemu nati zimechoka
153
20
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Ukiambiwa update bible yako unapuzia hujui kuwa sasa Hivi Daniel alikaa kwenye matumbo ya samaki na moto🤣🤣🤣.....
87
44
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Sio mpaka nikwambie kuwa im crushing on you ukiona nimeretweet mara 3 post zako changamka tu mzee baba😂😂😂😂
151
40
1K
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Km nilitoa mchango wa harusi then nikakuona unacheat nitamwambia mkeo coz I’m a shareholder in your marriage 😂.... I’ll not stand by and see a man lying he’s not married while i gave out my cash during his marriage 👌😂😂
103
53
968
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
I like Moslims kwasababu Huwezi leta mzaha kwenye Dini yao😊 Kama leo Kangi angesema Yule ni kama Mtume Muhammad angeipata fresh....
112
43
987
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Dear sister when he comes in ur DM to ask for your number give him one digit per month to test his patience 😅😅😅
230
54
955
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
So everyday najifunza vitu vipya kupitia Investigation Discovery (ID)..Natamani hadi nikaombe kazi polisi😂😂...maana najiona kama Detective sasa hivi
118
32
945
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Imagine the way unavyomwogopa baba’ko Halafu Kuna msichana anamwambia Mzee acha ujinga tuma hile hela😝😝
112
44
936
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Mwanaume una miaka 30 Huna PhD 🤧🤧🤧🤧🤧.......
311
12
930
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
I lost my mom 15years ago... but I’ll always celebrate you.. #HappyMothersDay
124
20
926
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
2 years
#GGMU ❤️❤️❤️💀💀
Tweet media one
53
17
920
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Chadema inafanya maamuzi mazito bila kujali maslahi za kichama🙌🏾🙌🏾..Chadema sio Level za huku jamani 😅😅😅...Ilibidi kiwe kinapambana na The Republican ....
38
49
899
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Mwanaume mwambie mpenzi wako kuwa bae ‘I’m proud of u’ ..take her to driving classes , msaidie kufanya Job applications and Pray together...Sex can follow later
124
45
874
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Polisi wanaweza kutambua magaidi kama Mbowe na Tundu Lissu ndani ya masaa machache na kuokoa maisha ya watu ....Sasa inakuwa je magaidi wa Mtwara na Kibiti wanaua watu na bado hawajulikani😌😌😌.... Conspiracy theories 😂😂😂
32
61
851
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
My friend kafiwa na BF wake lkn pale msibani kasema wapo wadada km watano wote wanasema wamefiwa na BF wao😂😂😂😂😂....
121
21
829
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Jmn waliopo kwenye mahusiano ni muda wa kuachana ili na sisi BATCH ya pili tuingie😄
108
44
806
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
3 years
Hii nchi ina matumizi mengi yasiyo na faida ndo maana madeni yanakuwa mengi… Nchi inamkuu wa Mkoa, Wilaya , Mkurugenzi unnecessary positions…Still mnabeza wanaotaka katiba mpya😌
58
90
788
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
9 months
Nchi imeweza peleka watu 700 Dubai wakati wakina mama wanajifungulia chini kwenye sakafu Please usilale na mtu wa CCM bila condom kuepusha ukimwi na katoto ka chipukizi🤣🤣🤣
142
141
806
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Jana kwenye daladala the guy next to me aliniomba nimtext ndugu yake akadai kuwa ameishiwa text...So nikamsaidia kutuma text thr my phone . Kumbe the guy alinidanganya no ilikuwa yke 😭 Watu wengine angesema tu anashida na no yangu ningempatia mimi😃..nimeblock sipendi ujinga
167
22
758
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
2 years
Feminist wa humu wanawake wakiwa wachache kwenye uongozi uwa wanafight sana ila leo Suma anagombea the support is zero 😌😌
55
58
739
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Tweet media one
9
30
749
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Eti makao makuu ya Chadema mara jengo la ajabu haya wenzenu wapo digital sasa hivi kila kitu online 🤣🤣 Ndo mjue sasa kuwa wenzenu waliona mbali sio mpaka upoteze hela kwenye mijengo maana Technology can replace anything
46
33
738
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
2 months
Kisa nimecancel trip, dereva wenu kanitukana 😭 @Boltapp_tz
Tweet media one
210
30
760
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Hivi hapa Bongo kuna kituo cha polisi chenye computer pale reception Desk ????
122
17
721
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Nipo hapa Kinondoni studio TID kablock njia kisa anasalimiana na washikaji zake😅😅
78
20
702
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kuna wakati unaweza kujisikia vibaya pale unapoona boyfriend wako kila msichana anamkataa DM😂
56
21
712
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
CCM Na UKIMWI ni majanga makubwa sana hapa nchini 😩
48
32
709
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
3 years
Kumbe wanaendaga kupiga picha😂😂😂
41
269
718
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Siku Shilole kapewa kipigo hawa feminist na NGO za wao kila mtu alikuwa anakuja na waraka wake leo yule Katibu wa Bawacha yuko ndani kwa kuonewa hatuwasikii Y’all hypocrites , Keyboard warriors and clout chasers 🤧🤧
31
82
695
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Nina appointment na dalali leo 😩😩..hizo simu utadhani nina figo yake anaisubiri 😂😂😂
54
14
681
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Diamond should hire smart people na sio mashabiki kuna aibu ndogo ndogo zinaweza kuepukanika ukiwa na watu wenye shule kichwani....
24
16
648
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Siku ukijifunza kutafuta hela yako kwa jasho ndo siku utaacha kuita watu “BAHILI”...
39
79
646
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Nikija kwako huna DStv Explora km nilikuwa na mpango wa sleepover nabadilisha😂😂😂😭😭
91
9
617
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Rich people remains Rich because they act Poor and Poor people remains Poor because they act Rich👌.......
46
62
614
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
2 years
Aisee Prime Minister wa Italy 😂❤️
70
233
622
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
I don’t know who needs to hear this ...These people so called graduates of microbiology that are supposed to be making research on This CORONAVIRUS are now Tailors, Makeup Artists, Politicians ,DJs and photographers 😩😩😩
41
62
596
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
3 years
Awww not everyone can get this reception 😂😂😂….CHADEMA setting the standards high
Tweet media one
15
58
607
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Nowadays nikingia instagram kwenye page za MaMC naona harusi za my schoolmates 😔 hapo mimi na boyfriend sina😂😂.... Kuna muda napanic kuna muda najipa moyo kuwa nisubiri wakati sahihi ni ule wa Mungu😅
98
10
573
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Niulize chochote about me nitakujibu leo😅😅😅😅😅😅😅
131
9
582
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
1 month
Chama cha Mawakili kinafanya Chama cha Wahandisi waonaekane hawana akili😂😝😝😝
62
38
624
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
The way nilivyofulia tungekuwa tunalipia pumzi nahic ningekuwa nshatangulia mimi😩😩.... Kila mwenye pumzi na amsifu Mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
24
37
586
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Ukiona msichana anapenda mwanaume mwenye gari ni haki yake jmn😩😩 Nimekaa kwenye daladala joto na kusweat juu kama Nipo kwenye microwave .......
80
8
573
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
SUPPORT KOBE BRYANT FAMILY CRDB 0152524891800-NEEMA CHARLES KINUBI NMB 517101116735-NEEMA C . KINUBI.. 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
122
24
578
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Nipo kwenye daladala konda kamuuliza Mzee Konda:Unashuka wapi? Mzee:Terminal Konda :Gari haiendi uko Mzee: Siku hizi English courses zipo ata uchochoroni bhana kwani Makumbusho sio Bus Terminal au😂 Nimefika hadi ninapoenda I can’t stop laughing 😂😂😂😂😂
29
31
577
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Jana kaka mmoja alikuja kwangu kanyeshewa anauza nguo I felt bad sikutaka kununua but I had too😩😩... The guy came all the way from Dar...kuna watu wanajituma Jamani tusiache kuwasupport siku akifika mlangoni au nyumbani show love by buying his or her commodities
30
28
576
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
1 year
Olamide’s new song is everything 😩❤️❤️❤️❤️❤️
5
55
542
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Too much drama in one pic😁😁😁.Sasa kilichomfanya alie ni nini...
Tweet media one
114
9
525
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
2 years
Aseee
Tweet media one
Tweet media two
113
55
527
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Some married men will be watching a football match in a bar with their sidechicks and be screaming that the referee is cheating 😆😆
53
35
517
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kuna siku nimetoka Kunduchi pale hotelini nikapanda daladala na msanii mmoja wa kike (popular)..yeye alipata seat mimi nilishikilia bomba😂. So nikajaribu kumtext nikaingia insta Dm nikamtext Hello😂..nilikuwa nachungulia kwenye simu yake nikaona amesoma and she ignored it😂😂
61
11
500
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Kwenye Amri za Mungu 10 nimebakisha moja USIUE..... 😝😝😝😝
69
11
493
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Leo pikipiki kidogo iniue😭......Akii dying is very simple....
62
8
502
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Local girl I hate being skinny 😔
Tweet media one
69
14
509
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Niko peke yangu naangalia TV na remote nilikuwa nayo imepotea😭😭😂...nimetafuta nimechoka sijui nimeweka wapi sina ata raha Men are Trash😭😭😭😭😭
101
11
493
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Hivi nyie wapharmasi mnamatatizo gani 😂😂 I went to buy P2 for my sis sasa mtu badala ya kunipa she started feeling sorry for me eti ni zako kweli? When I said no nikauliza why kauliza akasema nilikuwa nakuwazia we bado mdogo 😂 Unajua kweli kazi yake?moyoni mm professional😂
56
8
495
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kama Mo kweli anataka kuongeza vipato vya wachezaji kwanini asingewapa HISA kwenye kampuni zake???? Mambo ya 15k eti kwa mwaka 5M ni hesabu za kilimo cha tikiti maji😅😅😅😅😅
67
13
492
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Ooh wait leo nimepigiwa simu na organization flani hivi...So my cousin ameniweka kama referee wake😂😂 Katikati ya maongezi kidogo niseme na mimi natafuta kazi jmn ndo nimemaliza chuo😂😂😂😂😂😂😂😂
41
23
486
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
NAME: Victoria Kaduma EDUCATION: Bachelor degree of Education with arts(linguistics & literature) INSTITUTION:Dar es salaam University (DUCE campus) EMAIL: victoriakaduma922 @gmail .com PHONE:0718371464/0759648712 LOCATION:Kimara,Dar es salaam Kindly RT #NipeDili
26
163
487
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
You are dating four guys and u r mocking a prostitute. My sister it’s a same company just Know that u r in a PRIVATE SECTOR and she is in a PUBLIC SECTOR.....
35
20
478
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Pale Davido katoa FEM na Wizkid ana release wimbo mpya leo and Burnaboy ana Album mpya ....Acheni tu mbaki local artist 🤣🤣🤣
@OfficialAliKiba
Alikiba
4 years
Asanteni BUKOBA...... Next Ujiji kwa Mama or Iringa kwa Baba! #MagufuliTanoTena @ccm_tanzania @MagufuliJP @hpolepole @MsigwaGerson
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
129
74
2K
61
25
481
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Kingwangala anataka Herd~immunity hajui kuwa Wazee ndo uwa wanaipigia kura CCM🤣🤣....Ngoja waishe sasa
32
26
478
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Dating a student sometimes ni kama kujiongezea module😩
57
21
482
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Hivi unamwambia je mzazi/mlezi kuwa ni wewe mjamzito???😩😩😩
143
8
456
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Madaktari siku hizi ni wazuri (Mahandsome/Beautiful) ...Yaani unalipia tu ile consultation fee ili mradi ukae tu ukimtizama😂
49
12
467
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Naona watu wanashangaa kumlipa maid 120k but Kuna sehemu maid analipwa 200k na kaja na watoto wake wanasomeshwa bure na boss wake Private school ya 1.5M wawili ... Kuna watu wana roho za tofauti hapa duniani kila mtu kwao ni sawa
41
25
460
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
So far so good Equity Bank ndo Bank bora hapa Tanzania ✊
45
19
450
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Since naondoka Dom I decided to sell my properties mojawapo kitanda mteja wangu sasa😂😂😂 Mteja: Kinubi naona unaishi peke yako sijawai ona au kusikia movement zozote za mwanaume hopefully hakuna maagano yamefanyika kwenye kitanda chako.. Me: Ndio kweli kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂
49
7
439
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Jesca Kishoa kapigwa kaumizwa vibaya hovyo ila mumewe hawezi kuja public kukemea hichi kitu anaogopa 😂😂😂.... Mweeeh....Family should come first jmn....Kafulila mkeo sio jambazi kupigwa vile
34
25
452
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kwenye Group la rafki yangu kuna mtu alifiwa na mzazi wake na yeye mfiwa ndo anahamasisha rambirambi 😅.. asubhi kamtext my friend kuwa Muda umeenda inabidi atume hela🤣🤣🤣🤣
123
18
452
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
My brother walikuwa na kikao kwenye one of 5star hotels in the City...walikuwa accomadated for a week since hawezi kulala pale ana familia yake akanambia niwe naenda kulala.... Saa kumi jioni naenda posta narudi saa tano asbhi home hadi week ikaisha😂😂😂😂 Poverty is bastard
41
15
444
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Hivi hawa Watu wanaoitwa Peter uwa na matatizo gani haswa??????...Hawaaminiki ata kidogo 😏
87
9
439
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kuna stage ikifika kama ni email jaribu kutumia majina yako halisi +social networks..mambo ya silly names such as licious ..,cute ,queenbae..Just change yo mindset and think like an adult ✊
36
56
444
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
I look like my heart ❤️❤️❤️🥰
Tweet media one
35
4
440
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Unakuta mtu ambae yupo bize ana tweet kuhusu Alikiba kuishi na familia yake pale kwake ni mtu ambae anaishi kwa uncle /Shangazi yake 😂
20
23
427
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
6 years
This life bhanaa nilikuwa nabaniwa kutoka home ..,kuwa na BF.. simu n.k i now have my freedom but sina pakwenda BF ata sina 🤣🤣na simu haina vocha ...Life is like Rocket Science to me
56
25
425
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Imagine na magumu yote waliyopitia ila wamejaa furaha usoni❤️❤️❤️
23
25
427
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Tweet media one
21
30
426
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Dunia imeisha nipo kwenye daladala nyuma yangu kuna dada katoa ziwa na someone is sucking it😩.. This guy who’s sucking this woman he’s just 2yrs old😂😂😂😂
48
10
404
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Nimeota Ndoto leo ila funny thing kuna mtu humu ndani nimemuota na sina mazoea nae ata kidogo 😩😩 Sijui nimwambie au nikaushe tu kuepuka fedheha ndogo ndogo 🤣
72
5
395
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Mwaka jana nilianza kusave hela kidogo kidogo ili mwezi wa tatu 2020 nipange chumba changu.. Leo nafurahi kuwaambia kuwa nimekula hela yote na bado nipo kwetu bado We move😂😂
37
15
401
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Ukianza biashara kuwa mpole sio safari moja ya China unaanza kusema ooh wasichana mjitume😂 Kuna mtu insta kaanza bzness yake kwa mbwembwe sasa hivi kaja na caption eti Agent wake akamuibia waliomtuma wasubiri😂😂 Keep on hustling no need of showing and doing comparison
31
19
402
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Mimi ni huge fan wa Mond ila kuna mahali jamaa anatukosea mashabiki. Wimbo wake mpya katumia /kaiga style ya Zaltan Ibile wa Nigeria maana ndo anahit sasa hivi. Same thing alionanaga Davido na wimbo wake wa Fall unafanya vizuri akatumia same beat. Creativity haitendewi haki..
85
14
397
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Hivi huyu ana akili kweli 🤦🏿‍♀️🤦🏿‍♀️🤦🏿‍♀️
48
8
407
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Hakuna watu wanaongoza kwa kula Tambi kama wanafunzi na mabachelor sijui kwanini???😝
56
23
394
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Huu mdomo siwezi kabisa achaa kufanya hivi🤣🤣
Tweet media one
53
8
399
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
4 years
Wakaka wakinondoni wanahama Na bajaj 😂😂....nahic watakuwa wanapanga kwenye full furnished apartments
28
9
402
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kuna office zile wanakaa watu 3 au 4 ..hizo office ukitoka kidogo wewe ndo topic😝😝.Hii hali ilinifanya nisiwe natoka hadi sekunde ya mwisho ili nisiwape chance🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
51
10
389
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Kuna shule nilienda kujitolea HM akasema wanaitaji walimu wa SCIENCE I told him basi akasema hapana mwanangu wafundishe tu BIOLOGY FRM 3 alafu mwenye swali awe anakufata Ofisini😅😅... Hiyo siku niliamini kuwa our education system is robbed
31
25
384
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Mama wa Kitanga kanambia kuwa anafunda wasichana wanaotaka kuolewa(mwali) ..laki 3 ila kwakuwa mimi sina hela nilete watu 5 na 50k Kanambia mwanangu na kufundisha kwa stage kuanzia jikoni hadi kitandani hadi mmeo wasichana wengine atawaona kama dada zake Watanga wakoje lkn🤦🏿‍♀️🤣
38
11
382
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Namba mpya ya Chadema HQ imepatika na ina uwezo wa kuchukua fedha kiasi kikubwa zaidi na tunaomba itumike kwa kusudi la kuwatoa viongozi wetu gerezani. +255744446969.
5
48
391
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
6 years
The artist amabao kila siku mnalalanika Ruge alikuwa anawadhurumu sasa he is gone mbaya wenu so from next year tunataka tuwaone Forbes👌👌👌 R.I.P Rugemalila🙏
23
60
373
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
5 years
Hivi ukiolewa mkaachana mahari waga inarudishwa????
63
4
370