Jane Shussa Profile Banner
Jane Shussa Profile
Jane Shussa

@ShussaJane

Followers
8,363
Following
1,193
Media
1,875
Statuses
24,248

Digital Communications | Columnist @TheCitizenTz | Coffee ☕ | Travel | Nature🌳🪴 | Books 📚 | #NinaSoma | #MaishaKuishi

Tanzania
Joined March 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
L U S H O T O 💛✨ #Tanzania
Tweet media one
41
89
893
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Lesson one: patience 🥺✨️
Tweet media one
6
44
747
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
K I G O M A ✨🌍
Tweet media one
17
41
628
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Wengi tunadhani maisha yapo direct: 1. Maliza chuo 2. Tafuta kazi 3. Nunua kiwanja 4. Jenga 5. Nunua gari 6. Kuolewa/kuoa 7. Kuwa na watoto 8. Live happily ever after. Maisha yana mapito mengi, hayawezi kuwa this direct. Work smart, stay humble, be grateful & kuwa mvumilivu.
Tweet media one
29
150
573
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Working on myself, one day at a time 😌✨
Tweet media one
7
15
401
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
#Tanzania is that country 🥰 🐦🦤🦢💛 #Ngorongoro
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
88
350
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
And even now, God is still good 🤎
Tweet media one
9
35
344
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
When my plants are loving me back🥺💛✨🪴
Tweet media one
17
50
340
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
It sets differently in #Kigoma 💛✨ #nofilter
Tweet media one
22
32
317
@ShussaJane
Jane Shussa
10 months
☁️🌧
Tweet media one
8
20
317
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Mwanza ✨💫🤎🤎
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
21
34
301
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Usipende kushare matatizo yako kwa kila mtu... kuna watu wanakaa wakisubiri kujua kitu gani kinakusumbua ili wazidi kusheherekea shida zako. #WednesdayWisdom
Tweet media one
10
72
289
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Pugu Hills ⛰ 🌼🌳🍃🌲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
33
280
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Tweet media one
12
24
278
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Je, wajua kufanya mapenzi angalau kwa wiki mara moja kunaweza kumwepishia mwanaume magonjwa ya moyo kwa 30% na kisukari kwa 40%? #ElimikaWikiendi
Tweet media one
52
53
270
@ShussaJane
Jane Shussa
11 months
Postcards from Ngaresero ✨️💛
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
42
283
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Je, wajua Watu wanaosoma angalau masaa matatu na nusu kwa wiki huongeza miaka miwili zaidi ya kuishi? #ElimikaWikiendi
Tweet media one
52
39
253
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Kuna mtoto wa miaka 10 huku mtaani kwetu inasemekana amejinyonga. Alikuwa anaishi na bibi yake na alikuwa darasa la nne. Bado najiuliza kitu gani kilitokea, aliudhika na nini? Ni kwa kiasi gani tupo karibu na watoto wetu kujua kinachowasibu na tukawasaidia? #dailylifetalk
31
37
241
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Saturday's sunset was breathtaking ✨️
Tweet media one
10
23
245
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Naomba tofauti ya Cover letter na Application letter.
23
30
215
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
K I G O M A ✨️♥️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
35
206
@ShussaJane
Jane Shussa
5 months
Also, coffee? ✨️☕️
Tweet media one
21
10
212
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
M A G O R O T O ✨ ♥ #MaishaKuishi #Travel
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
37
204
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Ukuaji wa teknologia umeleta changamoto kwenye malezi, japo kama jamii hatujaweka mipaka rasmi katika matumizi ya vifaa vya kiteknologia kwa watoto. Badala ya kuwapa watoto vitabu, tunawapa simu wacheze games. Je wewe mlezi au mzazi unaweka balance/limit kwa watoto wako?
13
39
187
@ShussaJane
Jane Shussa
9 months
Nyumbani ✨️ 💚
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
29
201
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Je, wajua kusoma kwa dakika 6 kwa siku hupunguza msongo wa mawazo kwa 68%? Lakini lazima unachokisoma kiwe kitu unakipenda #ElimikaWikiendi
Tweet media one
13
17
185
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Happiness is getting new books 📚✨☺💛
Tweet media one
12
11
184
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
“Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo. ” — 3 Yohana 1:2 #Ninasoma
Tweet media one
3
35
181
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Some of my 2020 shots. ❤❤
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
18
181
@ShussaJane
Jane Shussa
8 months
🍰😋☕️
Tweet media one
7
17
182
@ShussaJane
Jane Shussa
27 days
"Let people meet you where you are." ✨️☕️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
16
185
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Good morning 🌧 ☔️☕️✨️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
4
179
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
N G O R O N G O R O ✨💖 #Tanzania
Tweet media one
4
16
172
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Breathe. You are alive. ✨💛
Tweet media one
10
22
178
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Mwami Theresa Ntare - wa wilaya ya Kasulu #Kigoma Malkia wa Waheru 1949 - 1962. Na mwaka 1960 alikuwa mjumbe katika baraza la kutunga sheria Tanganyika (LEGCO) #girlpower #dailylifetalk
Tweet media one
3
41
173
@ShussaJane
Jane Shussa
5 months
R E S E T ✨️ ♥️ ☕️
Tweet media one
6
11
172
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Je, wajua wanaume wana uwezo mkubwa wa kusoma dalili za wapenzi wao kutokuwa waaminifu zaidi kuliko wanawake? Na wanaume wanasumbuliwa sana pale mwanamke anapomsaliti kimapenzi. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
10
30
162
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Sikumbuki wazo gani nilikuwa nalo nilipopiga hii picha, ila it speaks to me...❤❤❤
Tweet media one
11
10
163
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Kwa mara ya kwanza nimeingia bookshop na sijui nichukue kitabu gani kwasababu kuna kila kitabu ninachokitaka 😊😊😊 kuna sehemu ya kukaa kama nataka kusoma...kuna kahawa...vitabu ni affordable...yaani sitaki kutoka hapa. Bookshop zetu za TZ please take note😊 #NinaSoma
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
37
158
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Kabla hatujamaliza, hizi hapa "apps" zinazoweza kukusaidia 1. Audible - hii kwa ajili ya audio books 2. Goodreads - hii kuna book reviews, unaweza pia kuweka malengo ya kujisomea na ukafatilia malengo yako 3. Blinkit - hii inakupa muhtasari na pointi za kitabu kwa dakika 15 tu
Tweet media one
11
69
162
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Kwa mfano unaomba kazi ya Sales & Marketing, je ni skills set gani zinatakiwa ziwepo kwenye CV yako?
15
30
155
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
🪴🕯📚 ✨💛
Tweet media one
4
17
162
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Thriving and surviving ✨️ 💕
Tweet media one
3
13
158
@ShussaJane
Jane Shussa
5 months
Living in gratitude 💛✨️🤲
Tweet media one
Tweet media two
9
18
164
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Trust the process. One day at a time ✨️💛
Tweet media one
Tweet media two
5
11
160
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Dar es Salaam ❤
Tweet media one
9
21
151
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
🌧 ✨️
Tweet media one
6
6
150
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Zanzibar 🤎🤎💫💫
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
16
155
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
📌📌📌
Tweet media one
2
28
154
@ShussaJane
Jane Shussa
6 months
Happy #WorldBookDay ✨️ I'm so so grateful for books 📚 🙌
Tweet media one
5
31
156
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Saturdays are for plants 🪴☺😌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
16
151
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Nyota njema huonekana asubuhi 💫
Tweet media one
12
6
145
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Je, wajua wanawake wanalia mara 30 mpaka 60 kwa mwaka wakati wanaume wanalia angalau mara 6 mpaka 17 tu kwa mwaka? #ElimikaWikiendi
Tweet media one
27
29
140
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
“Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu. ” — Mathayo 5:13 #Ninasoma
Tweet media one
5
17
144
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Coffee ☕️? ✨️
Tweet media one
4
6
143
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Je, wajua wanawake ambao wanashida ya kufikia mshindo wanaweza tu kuwa na miguu ya baridi. Inasemekana kwamba mwanamke wa aina hii anapovaa soksi anaongeza uwezekano wake wa kufikia mshindo. #ElimikaWikiendi
Tweet media one
25
28
139
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Kuwa mwepesi kujikosoa unapoona "umezingua". Itakusaidia sana kujifunza kutokana na makosa yako. Pia kuwa mwepesi kujipongeza unapoona umefanya kitu kizuri itakusaidia kutaka kufanya vitu vizuri zaidi. #dailylifetalk #pichazasimu
Tweet media one
5
29
139
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
Banning myself kuget plants zingine 🪴😤🙃
Tweet media one
9
2
136
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Usomaji vitabu kwa watoto unachochea udadisi na kujenga uelewa wa mambo mbali mbali kwa mtoto. Imethibitika mtoto mwenye tabia ya kusoma vitabu ana uwezo mkubwa wa kutunza kumbu kumbu. Tuwajengee watoto wetu tabia ya usomaji vitabu.
1
30
132
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
This is Renatus...ni mchoraji, malengo yake ni kwenda chuo cha sanaa Bagamoyo. Kwasasa anachora picha 1 kwa sh 2000 ili aweke akiba afikishe kiasi cha ada kinachotakiwa. Yuko inspired na @masoudkipanya na Mpangala. Start where you are with what you've. #ChangeTanzania
Tweet media one
Tweet media two
8
35
140
@ShussaJane
Jane Shussa
3 months
📍Udzungwa Falls Lodge, Morogoro✨️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
26
146
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Moja ya vitu vya msingi kwenye mawasiliano ni kusikia kile ambacho hakisemwi. Soma kati kati ya mistari, lugha ya mwili, na "Voice tone"
5
22
135
@ShussaJane
Jane Shussa
9 months
Songwe Airport 🛫
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
14
142
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Figure out what matters, and follow that ✨💛
Tweet media one
7
9
139
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Our hearts can only take so much 💛✨
Tweet media one
2
17
135
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Mirinda nyeusi 😋🍷💫
Tweet media one
12
2
140
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
✨💛
Tweet media one
7
17
139
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
She is imperfect but she tries✨💛
Tweet media one
5
8
140
@ShussaJane
Jane Shussa
10 months
D O D O M A 🇹🇿✨️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
17
141
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Here is why I like house plants: They don't tell you half-truths 💯✨
Tweet media one
4
11
136
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Heri ya mwaka mpya kwako na kwa familia yako... Zaburi 23 ikaongoze hatua zako mwaka huu wa 2020. Nawashukuruni nyote kwa support mnayoendelea kunipatia. Happy new year...❤❤❤🙏🙏
2
11
132
@ShussaJane
Jane Shussa
8 months
"At the right time, I, the Lord, will make it happen" ✨️🙏
Tweet media one
Tweet media two
18
15
135
@ShussaJane
Jane Shussa
1 year
I'm so in love 💞😍🪴
Tweet media one
5
12
135
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
...Loving your own company means only wanting someone to fill the space when they have value to add...✨💛 #IWIKTE #Ninasoma
Tweet media one
5
16
136
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Maisha yana mapito yake lakini pia kuna mazuri tuliyobarikiwa tunayoweza kuyafurahia na kuyafanya maisha yaende. Location - Lake Tanganyika, #Pichazasimu
Tweet media one
7
13
133
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Like any other relationship, the one you have with yourself takes time and effort...be kind to yourself, you are doing the best you can..❤❤
Tweet media one
6
17
127
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
I've got your back and you have got mine ✨💛
Tweet media one
2
10
129
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
🌧 ☕️ 📚✨️💛🍂
Tweet media one
11
7
131
@ShussaJane
Jane Shussa
8 months
M O N D A Y ✨️☕️ Love yourself a little more today 💛
Tweet media one
Tweet media two
5
15
128
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
“Ee Mungu wangu, Nimekutumaini Wewe, nisiaibike, Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda. ” — Zaburi 25:2 #Ninasoma
Tweet media one
2
17
123
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Tatizo ni ulimi wako. Jifunze ukimya. #ElimikaWikiendi
4
19
121
@ShussaJane
Jane Shussa
9 months
S A T U R D A Y ✨️💚
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
17
127
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
S U N D A Y I N G ✨ #Ninasoma
Tweet media one
6
15
124
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
...All I know is that my life is better when I assume that people are doing their best... 💛✨ #Ninasoma
Tweet media one
4
14
129
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
We don't need to empower women. They are already powerful - @tonytogolani #EachforEqual
Tweet media one
5
23
126
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Mwili wa binadamu una mengi. Unaweza ukawa unatembea barabarani, kumbe ndani ya mwili wako hakuko sawa - #Rafu #Ninasoma
Tweet media one
5
19
124
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
When you can't sleep...😊😊
Tweet media one
Tweet media two
9
7
125
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Take only memories ✨💛 Lushoto Executive Lodge
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
15
123
@ShussaJane
Jane Shussa
4 years
Life is fragile. Live. Love. Be kind. 🌼♥️
Tweet media one
3
15
121
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Connecting with #Nature after my workout 🏃‍♀️🏃‍♀️🙂🙂 🌳🌳
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
13
118
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
When life gives you lemons, trade them for iced coffee 🙂🙂
Tweet media one
5
4
121
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Happy #WorldBookDay book lovers.... here are some of my favourites... what are yours?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
17
114
@ShussaJane
Jane Shussa
3 months
"Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana" 🤲✨️☕️ Also, "posho sio deni" 😀
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
9
124
@ShussaJane
Jane Shussa
1 month
T H U R S D A Y ✨️☕️ "J I K A Z E."
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
17
125
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
The sun will rise and I will try again tomorrow ✨💛
Tweet media one
3
11
119
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Kusoma vitabu vilivyoandikwa nyumbani ni moja ya uzalendo..love bombs by @MabalaMakengeza ni kitabu ambacho kinaendana na mazingira yetu ya kitanzania. @VwalaViola na mimi tumetoa maoni yetu. asante @AdeckJuice kwa support... #Ninasoma Angalia video hapa
4
32
118
@ShussaJane
Jane Shussa
5 years
Kama unaweza kusafiri fanya hivyo. Kuna vitu vingi unajifunza unapokwenda katika mazingira tofauti. Unapata nafasi ya kuona watu wengine wanaishi vipi, tamaduni na mila zao. kikubwa ni kupata mtazamo mpya wa maisha. Thamini maisha yako, wapo wanaoomba wayapate. #dailylifetalk
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
19
112
@ShussaJane
Jane Shussa
2 years
S U N D A Y ✨️💛☕️📚
Tweet media one
6
11
122
@ShussaJane
Jane Shussa
3 years
Take only memories ✨💛💛 L U S H O T O Mullers Mountain Lodge ✨✨ #JanesAdventures
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
24
120
@ShussaJane
Jane Shussa
6 years
Jitahidi sana kuwa mtu wa tofauti katika ulimwengu ambao watu wamekuwa wakisema vitu wasivyovimaanisha na kuahidi ahadi ambazo hawawezi kuzitimiza. Kuwa mkweli na ishi maneno yako. #dailylifetalk #pichazasimu
Tweet media one
7
27
109