Wakati Wa Kujitafuta Ndo Wakati Ambao Dunia Haina Muda Na Wewe ila Wewe Ndo Una Muda Na Dunia, Kadri Unavokua Bora Zaidi Kwenye Unachofanya Basi Dunia Itakuhitaji Wewe Popote.
@Aduiwayanga
Kila jambo ambalo ni gumu katika maisha yetu lazima Kuna njia ya kulitatua ata kama tutachelewa kulitatua lakini kwa kuwa Mungu wetu ni mwingi wa rehma lazima tutafakiwa
Mtandao Bado tatizo kwa watanzania
Morning X Twitter family
Viongozi wa serikali yetu wanaamini ni haki yao kuishi luxury life kwa kodi za wananchi ila mwananchi ateseke kwa kulipa mlundikano wa mikodi, kama mnapenda hayo maisha si mjichange muishi kwa hela zenu.
Mafanikio hayaji kwa kukata tamaa yenyewe huwafuta wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaaa sipigi Kila dili mipka imezingatiwa sitaki kuwa tajiri nataka kufanikiwa ili kuheshimiwa kwanza lazima ujiheshimu lakini kufanikiwa ni mujanja tu sio lazima elimu
@FidQ
@mwanza
Mungu alivyo na maguvu yake, Simba anaenda kufuzu Cairo, Yanga anafungwa kwa Madiba, Mashabiki tunaenda kuwapokea simba kwa mbwembwe, waziri wa michezo anakuja kuipokea simba simba tunamfukuza hatutaki Shobo😂😂
Unifomu za shule ya msingi ziheshimiwe,Serikali pigeni marufuku watu wazima kutumia hizi sare kuzifanyia ujinga ...inawafundisha watoto tabia mbaya na umalaya tu😮💨
Video ipo kwenye comment
“Nitayainua macho yangu juu nitazame milima,msaada wangu utatoka wapi,msaada wangu u katika bwana anayezifanya mbingu na nchi” 🙏🏿 kumekucha tena wana wa Mungu ikawe kheri leo.good morning
⚠️Wakati watu wanakutupa na kukudharau ukiwa jasiri dharau zao unaweza kuzifanya kama mbolea ya wewe kustawi. kuna miembe imestawi njiani kwasababu kuna Mtu alikula embe na kulitupa kokwa kama uchafu ila ukachipua muembe.📌
⚠️Ukitumia Muda wako Kukimbizana na Vipepeo Kamwe Huwezi Kuwakamata Lakini Ukitumia Muda wako Kutengeneza BUSTANI nzuri yenye Maua Vipepeo Watajileta Wenyewe!
BAD NEWS..!!
Fundi wa mpira,Reinford Kalaba amefariki dunia jioni ya leo baada ya kupata ajali ya gari.Kalana ni nyota wa zamani wa TP Mazembe na timu ya Taifa ya Zambia.
Pumzika kwa amani,Kalaba.