SEBA THE DON Profile Banner
SEBA THE DON Profile
SEBA THE DON

@SabasAsenga

Followers
2,840
Following
4,415
Media
2,048
Statuses
18,736

It's not over until it's over SIMBA SPORT CLUB

Kenya
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Ni wahenga tu ndio wanafahamu hii kitu.
Tweet media one
35
39
100
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Early morning gains let’s get connected💯💥
27
24
37
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Men only, Kipi huwa kinakuchanganya zaidi?
Tweet media one
Tweet media two
4
7
36
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Let's register your x handles and cash out new mutuals 🦋🖐📌
27
18
30
@SabasAsenga
SEBA THE DON
13 days
@Evanmemba Are u active and want many followers...... Repost NOW👉🤝
0
2
29
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Hustle zetu zikajipe follow @alikomaster
Tweet media one
0
2
27
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Sikuwa online Tangu juzi nini kinaendelea humu?
Tweet media one
0
6
23
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Kuna mtu atashindwa kupajua hapa
Tweet media one
1
4
23
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Nipeni sifa za Wanawake weusi ? 1. Wanapenda sana
Tweet media one
3
3
21
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Huyu jamaa sidhani km kapona.
Tweet media one
0
3
20
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Guess the song 🎶
Tweet media one
2
2
20
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️ Kazini kwetu wanatudharau Lakini nyumbani kwetu Tunaheshimika kinouma.✊🏾
Tweet media one
3
2
19
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mlisema ileje hakuna maua haya kama unafollow back gonga like hapa tukufollow 🔥✅✅ @SabasAsenga na @alikomaster
Tweet media one
1
1
18
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
@Cheka___tz Mbona Mimi sipo
2
2
17
@SabasAsenga
SEBA THE DON
5 months
Ivi Kwnn? Mwanamke akiwa anapewa hela Na Mwanaume Hakatai Kusex Hata kama Yuko Period?
Tweet media one
5
2
16
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Follow me @SabasAsenga
16
14
16
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Kenya . Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
1
1
17
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Mtu unakuja kuniomba 50k kweli, unaniomba nusu ya utajiri wangu!?
Tweet media one
0
1
17
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
@Fiendlyg IFB faster
1
1
15
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Wakati Wa Kujitafuta Ndo Wakati Ambao Dunia Haina Muda Na Wewe ila Wewe Ndo Una Muda Na Dunia, Kadri Unavokua Bora Zaidi Kwenye Unachofanya Basi Dunia Itakuhitaji Wewe Popote. @Aduiwayanga
Tweet media one
0
3
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Hii Simba sio timu kabisa
Tweet media one
0
2
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Hii ingekua na matusii ingepata likes nyingii 🙌 @alikomaster
Tweet media one
0
0
16
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
X location hapa Ni Wapi??
Tweet media one
0
2
16
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
1
2
16
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Heri ya siku ya mama duniani mama angu mpendwa mwalimu wa maisha yangu Mungu akupe maisha marefu
Tweet media one
0
4
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Kama unafollow back shusha handle yako wapwa tukufollow chapu 🫶
Tweet media one
4
3
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️ Wewe Ni Mama na haujawahi kuchoka sio Mchana wala Usiku,Bado hauchoki Asante Mama🙏🏽❤️📌
Tweet media one
1
2
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Daresalam. Eheeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nairobi
Tweet media one
Tweet media two
2
1
15
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
kwa haraka haraka unadhan hili BUCHER liko mkoa gani
Tweet media one
1
1
15
@SabasAsenga
SEBA THE DON
11 days
Hii nchi Ina vijana wa hovyo Sana kwenye kuediti🙄🙄
Tweet media one
4
1
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Guys huo unyama wa Rice hapo chini bei gani mjini kkoo! 🤔
Tweet media one
1
0
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Twitter Matembezi!! Wakali wa Location Hapa ni wapi?
Tweet media one
2
2
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Kila jambo ambalo ni gumu katika maisha yetu lazima Kuna njia ya kulitatua ata kama tutachelewa kulitatua lakini kwa kuwa Mungu wetu ni mwingi wa rehma lazima tutafakiwa Mtandao Bado tatizo kwa watanzania Morning X Twitter family
1
5
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Tufike 3k nifollow nikufollow back.
Tweet media one
5
2
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Huko mtaani kwenu wanakuita nani?
Tweet media one
0
1
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Kisinia cha mihogo Vs kisinia cha chips Upo wapi wewe??😂
Tweet media one
Tweet media two
1
2
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Tanganyika tunavyoitazama Zanzibar Kwa mbali 😓😏😆
Tweet media one
0
1
14
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Ndugu zangu waroma katoliki kula sana nyama Leo kesho atuli nyama 😓😓😓😓😓😓😓
Tweet media one
1
2
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Sasa kumi kamili maokoto ya vocha usichelewe follow @SabasAsenga
Tweet media one
Tweet media two
0
1
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Tendo la ndoa limebeba Habati,Mikosi na laana kuwa Makini na watu unaolala nao☺️🦋.
Tweet media one
3
2
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Yoyote alie kuwa nyuma ya hili tutamtafuta popote duniani na kuakikisha analiapa juu ya hili napendaga sana maneno yake mafupi makali
Tweet media one
Tweet media two
0
1
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️Unajaribu kuanza ku-save pesa zako vizuri tu, Ila ikifika jioni Hiyo pesa inabidi yenyewe ndio Iku-save.Mambo bado Magumu.📌
Tweet media one
0
0
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
1 month
0
0
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Viongozi wa serikali yetu wanaamini ni haki yao kuishi luxury life kwa kodi za wananchi ila mwananchi ateseke kwa kulipa mlundikano wa mikodi, kama mnapenda hayo maisha si mjichange muishi kwa hela zenu.
Tweet media one
0
1
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Amkeni Israel inampiga iran syria kwa pamoja hukooo .........
Tweet media one
0
0
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Nitapata tabu sana kuwaelezea wajukuu zangu kuwa hao weusi watatu ni wazungu na huyo mweupe ni muafrika 😆
Tweet media one
2
3
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️ Njia nzuri ya Kuithamini Leo,Ni kuangalia nyakati ngumu zilizopita na Mungu akakuvusha.
Tweet media one
0
1
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mwamba uyu apaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anakaribia kuchukua Maokoto yake
Tweet media one
2
2
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
⚠️ Tukiishi Maisha yetu bila nyinyi kunatufanya tuonekane tunalinga Lakini tukiwazoea sana Tunaonekana hatuna la kufanya.📌
Tweet media one
1
1
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
⚠️ Tulishasaidiwa na watu wasiotujua Ndo maana ikitokea Nafasi ya Kumsaidia mtu hatujiulizi mara mbili✊🏾📌
Tweet media one
2
4
13
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mbezi beach Makonde. Ukikosea step tu wewe na boda wako mpo chini
Tweet media one
0
1
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Mafanikio hayaji kwa kukata tamaa yenyewe huwafuta wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaaa sipigi Kila dili mipka imezingatiwa sitaki kuwa tajiri nataka kufanikiwa ili kuheshimiwa kwanza lazima ujiheshimu lakini kufanikiwa ni mujanja tu sio lazima elimu @FidQ @mwanza
Tweet media one
0
3
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mungu alivyo na maguvu yake, Simba anaenda kufuzu Cairo, Yanga anafungwa kwa Madiba, Mashabiki tunaenda kuwapokea simba kwa mbwembwe, waziri wa michezo anakuja kuipokea simba simba tunamfukuza hatutaki Shobo😂😂
Tweet media one
0
2
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Fanya jambo apa sasa
Tweet media one
0
3
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
wenyeji wangu wanafaham hapa ni wapi....🇹🇿
Tweet media one
3
3
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Yanga wana Mashabiki aisee 😮‍💨🙌🏼
Tweet media one
0
0
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
⚠️Ingawa Hatuwezi Kuelewa Njia Za Maisha Ila Haifai Kwetu Kufa Moyo , Yatupasa Kuwa Na Imani Juu Ya Mungu , Sababu Njia Zake Sio Njia Zetu🙏📌.
Tweet media one
2
5
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Unifomu za shule ya msingi ziheshimiwe,Serikali pigeni marufuku watu wazima kutumia hizi sare kuzifanyia ujinga ...inawafundisha watoto tabia mbaya na umalaya tu😮‍💨 Video ipo kwenye comment
Tweet media one
2
3
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Kikosi Cha kesho
Tweet media one
1
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
WanaNgu Naombeni Handle Zenu Tuzijaze Followers Jioni Hii Kichuga Chuga👇🔥🔥✌️
Tweet media one
7
3
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Wanawake ndiyo watu wanaongoza kwenda makanisani lakini ndiyo hao hao wanaoongoza kwenda kwa Waganga. hii imekaaje? 🤔
Tweet media one
1
1
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
“Nitayainua macho yangu juu nitazame milima,msaada wangu utatoka wapi,msaada wangu u katika bwana anayezifanya mbingu na nchi” 🙏🏿 kumekucha tena wana wa Mungu ikawe kheri leo.good morning
Tweet media one
3
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Ukiona unataka uonekane mzuri kwa kila mtu ujue umeanza Maisha ya Kinafki.
Tweet media one
1
1
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Angalau Leo mtandao unafanya kazi maana Jana ilikua kwa mbinde sana morning x Twitter family
Tweet media one
3
2
12
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️Wakati watu wanakutupa na kukudharau ukiwa jasiri dharau zao unaweza kuzifanya kama mbolea ya wewe kustawi. kuna miembe imestawi njiani kwasababu kuna Mtu alikula embe na kulitupa kokwa kama uchafu ila ukachipua muembe.📌
Tweet media one
1
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Nikifika apa nikatwe shingo na serekali isingilie kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
0
2
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
5 months
Kwa ekari vinahitajika vibox zaid ya 34000. Je neti kwa ekari tuwe na yenye ukubwa gani? Follow @msakufarm
Tweet media one
0
2
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mungu turehemu sisi wanao
Tweet media one
0
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Mwalimu wa mathe alisema hapa siezi fika eti!😅 Hapa ni wap 😅
Tweet media one
0
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Wife tarudi juma nne hivi, Leo simba kesho mamelod zen Pasaka,Pesa iko chumbani ya matumizi.😂
Tweet media one
0
1
9
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
⚠️Ukitumia Muda wako Kukimbizana na Vipepeo Kamwe Huwezi Kuwakamata Lakini Ukitumia Muda wako Kutengeneza BUSTANI nzuri yenye Maua Vipepeo Watajileta Wenyewe!
Tweet media one
1
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Video kwenye comment mh alooo hii Dunia
Tweet media one
1
1
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
Taja jina la huyu ndege
Tweet media one
4
3
9
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Tweet media one
0
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
1 month
Mwenyezi Mungu fungua milango tuoneshe njia alipo kijana mwenzetu @Sativa255 awe salama
Tweet media one
0
4
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
Kabeti mkeka umechanika ajafanikiwa kuvuka habari za mchana x family
Tweet media one
0
5
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Aliyetengeneza hii Logo ya @eastafricatv alikua mbele ya muda sanaa🙌🙌. Ana mauwa yake.
Tweet media one
3
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Basi Tanzania Raha juzi tumepewa mchele Leo hela
Tweet media one
Tweet media two
2
1
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Nitakangoja haka kakue ndo nikaoe 😊 @alikomaster apa kaka umpatineatamuwai lamda ule na chumvi mapema 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
0
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Usijistress na mapenzi saana huenda ulizaliwa uwe Malaya 😂
Tweet media one
1
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
5 months
Formula Ni Moja Tu Weekend Hii Ya Jumamosi Location Inasoma Hyatty Regency Mwamba Wa Kaskazini Muite @JohMakini Welcome Mwamba #20YaKing
Tweet media one
0
3
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
3 months
Sasa nioge ili iweje jamaaa kasema 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
1
2
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Vamos! 💪🏾 @FidQ Mungu akupe maisha marefu
Tweet media one
0
1
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Bungen kwetu Kuna kazi aiseeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
2
0
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
@Cheka___tz Lakini mbona Mimi sipandi nakwama wapi
1
2
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
2 months
MUNGU kasimame katika Kila tufanyalo morning familia
Tweet media one
2
2
10
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
Kumbe wenye akaunti ndogo mmeridhika na followers mlionao ndo maana hamtaki kujishughulisha kabisa
Tweet media one
2
2
11
@SabasAsenga
SEBA THE DON
4 months
BAD NEWS..!! Fundi wa mpira,Reinford Kalaba amefariki dunia jioni ya leo baada ya kupata ajali ya gari.Kalana ni nyota wa zamani wa TP Mazembe na timu ya Taifa ya Zambia. Pumzika kwa amani,Kalaba.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
2
10