John Musili mulwa has passed on unfortunately kuamkia Leo💔Aliumizwa on Teusday kwa maandamano in Mukuru pipeline area.And he was taken to Kenyatta hospital and the family needs 32000 ndio wapewe mwili wazike🥹0702241089 this is the brother to the late for those who can support
He is the face behind the scenes 🥳ndio the diver mwenye amekua anatoa miili kwenye pit la quarry hapa kware👏kudos to him tumekamilisha shughuli now tunangonja we confirm kama hizo zote ni miili
Evidently hii ni mguu ya mwanamke ambaye katolewa kwa maji huku kwa shimo🥹Bado Mukuru kwa Ulaya tuko na security ya Ruto🙄kama ni kazi ambayo ulitupea tumeikubali😬kutoa miili ndio kazi sasa.well done
@WilliamsRuto
Hii siku utakua wapi???Uko na Fom??kama basi huna mark your calenders Tupatane mukuru Kwa njenga tuskize na kuchambua hii Album ya Baba Taifa himselfu.Bado in Mukuru Kwa Europe tuko na talanta kibao💯✊
Hakuna kitu Chochote under any circumstances justifies ending someone's life no matter what.if it's too much to bare then let go,lakini killing is not the way out my people
These are the hashtags and keywords to use
#IamSarah
Justice for Sarah
#EndFemicideKE
We urge Kenyans of good will kesho tujitokeze pale kortini milimani to offer solidarity to our two comrades that is Julia's and Mankuyo to be freed
#RejectFinanceBill
#FreeJulius
#FreeMankuyo
Pending Bills is a corruption milking machine where the government colludes with contractors, delays payment then pays them high interest for late payment. Thats how our money is stolen
#FungaWeziUsikope
Our very own Toure represented Mukuru community.
We want to understand why the government keeps cutting badget on critical dockets kama health and education??
#FungaWeziUsikope
Tafuta huyo mwesh wako.mchanue hatudai Finance bill
#RejectFinanceBill
Ikiwezekana mpigie na Bado mtext to remind him or her.Leo mpaka Tuesday sisi tuko on✊hatutachoka
So far so good today nothing was found.until kesho ndio tena tuangalie tujue kama hio chapter itakua closed we resume back to our day today businesses and also the families that have been hoping kama they will get their kins 😔 maybe wazidi kutafuta🥹
True definition ya the current state of Kenya.Only a few benefit.kila mahali kumejaa mafisi akipata shida zimeisha.
#SelfInterest
Personal gains for some tumbocrats hawatujali
#FungaWeziUsikope
That's how fantastic and smooth things went hapo Kwa listening party ya
#Dream
Possible by Baba Taifa hapo mukuru Kwa Njenga shofco.we are greatful to Kila mtu alifika.Tulisema kuskia fty ni priority 🎯 Thankful to MCJC too for hosting us.mbarikiwe Nyote
We are greatful To IPOA for taking action immediately and intervaining Kwa kesi ya Hawa vijana wetu walishikwa wakiuza mayai na wakawekelewa kuuza marijuana.we hoping going forward this rogue police officers will things the hard way na wabadilike
#CitizenJournalism
Capacity building ni muhimu Kwa Kila movement coz it helps to reflect on yourselfs plus Bado kujuliana hali na kuidentify gaps mko nazo na vile mtazisolve ni muhimu
#EmpoweringYouth
#SportsForChange
Today again we resume the retrieval of the bodies in Kware pit.Mukuru Community Justice Center in coordination with the community wanajipanga shughuli ianze
No police officer should ever restricted people from recording a video or taking pictures in a police station and threatening you that it is a restricted zone not unless their is printed poster kwa their walls that indicates so.but ni ya wrong intentions katakuramba
Their is need and Urge of young urban women to join the political spaces for the betterment of a good country and a promising future which has a stable economy.Women are the backbone of an economy
Feminists Economic Models
#WomenAndEquitableEcinomics
#RejectNeolibralPolicies
Each one of us has got a role to play ndio hio finance bill of the role ni kupeana solidarity hapo kesho milimani law court for our comrades.they played their part ✊ what about you 🫵
#Tumechoka
@KaaRada
#RejectFibanceBill
#Wajibika
We are tired of this shit💔maaskari mtahangaisha vijana wetu mpaka lini?in Kwa Njenga hatukai Kwa amani😢this is Nzomo from Kwa njenga police post.wamezoea kuharass vijana wetu pale Kwa baze ya chude genje😔today amekujakutishia vijana wetu using a gun juu they were smoking weed
Kwa ground ni Kunoma.watu wanabebwa na maji,minyana na mifugo kusongwa plus properties being destroyed manzethos is Embakasi South to be specific in Kwa Njenga,Ruben and hapo kware
#AccountabilityMatters
Sijui km viongozi wetu wanaona🤦we need an urgent help for disaster
Huyu ni mtu ameumizwa hapa king of Judah in pipeline hunysuckle assistance ya ambulances coz pia wanahofia safety Yao pia.we tried reaching out to mama lucy ambulances na zote ziko engaged lakini hofu juu ya venye zimekua zikivunjwa.
#RutoMustGo
Mahali popote Kuna mafunzo invite me over..ntafika Political classes are what we need in order to beat this poverty of illiteracy.masomo ya shule pekee haitoshi hizo ni vitu basics.
#HumanIsMyId
In matters of Menstrual hygiene management ni vizuri pia boychild akue included ndio they understand how they can stand with galchild.Let's grow a community safe for girls
@NivalishePadKe
keep up the good work
#MenstraulHygieneMtaani
Leo pale makadara railway station 🚂 nakwambia tumetendwa vishenzi.kidogo kiturambe.umetoka shughuli na maharaka zako aty ndio uwahi kufikia train ndio ufike nyumbani mapema lkn kufika hapo checkin wanasema mpesa haiwork.msongamano Kila mahali joh.kwani
@safaricom
mmeamua aje?
Ni haki yetu kuandamana Kwa amani ✊ it's also our right to be protected by the same state🙌We are the People and we are the power ✊ The Central OCS was around to offer his services
It is never early to start something,just focus,be determined, disciplined,put hardwork and never shy away to ask and learn."Make mistakes,Go back realign and conquer ", that's my key takeaway from
@SABINACHEGE
@WeTrend
#UnlimitedGirlsLead
Na hivo ndio Mukuru Justice center tumekafunga😊 Mapema ndio best,happy holidays 🥰🥰Merry Christmas 🥳 Enjoy responsibly guys
#HakunaSikukuu
Keep in mind Kuna "njaanuary"
Imagine unaamka asubuhi utafutie familia Yako nao maasidi wameamka wateng'eneze za zesta na wewe.kware police station imekua ya wakora tu na wamefungua branches zao everywhere 🥺ukiamka asubuhi u find this men and women from hapo redeemed church mpaka kware stage kupiga seti💔
The state can facilitate such things zifike kwa maandamano lakini ikifika kwa itumikia mwananchi is where you draw the line💔mbona hii ndege ama ndio chopper isiletwe hapa kware tutor nayo hizi Mili ziko kwa pit🙄ambazo each day zinatolewa na raia tu🥹
Two bodies were retrieved from the quarry pit in kware today💔again one was a female whom had the upper part ya body only🥹 and the other body had decomposed to nearly unga only the back bone ndio imekua recognized 😭
@Gibson Maina @Martin Sema kweli Salim Hamisi was arrested at donholm outering road during 8/8 protests and taken to Kamukunji police station together with his bike.he spent a night then yesterday was taken to court for not having a license and insurance cover.
People be cautious na mfunguke macho.Kenya is our business so we have every right to demand accountability from this servants of ours. Citizen Assembly
#FungaWeziUsikope
NGO's should use a Human Rights Based Approach mechanisms to support people living in poverty and exclusion so that they become conscious of their rights and stand up and hold duty bearers to account
Feminists Economic Models
#RejectNeolibralPolicies
This was and will still remain a crime scene in Kware dumpsite pit.Lakini sasa hata just being cordoned ni only kwa news💔it has been forgotten and abandoned.we still need answers and justice to the community and the families of the deceased 😞Hapa ndio pesa zinahitajika lkn...
Hii siku utakua wapi🤔fom ndio hii hapa.kuja na mpoa wako🤭 angalau mjibba and have a vibrant quality time 🥰🥰
#DressCode
ni black na ma yellow yellow😂😂😂🤣still
#HumanIsMyId
Fagia kunguni wote🙌well represented caro🔥Hawa watu wakati they need numbers hua wako na our time😔wanatuona kama matako zao😩waende wote.Asante kwa kutuwakilisha
More power to women 💪 more power
#pussy
power
#our
power
Movements Building Training Day 2
Today my key Takeaway is on the Spectrum Of Allies and have known that passive opponents are those kinds of people hate for no reason just because you are hated.inshort inherited hate
The retrogressive taxes impose a heavy burden on the citizens by attacking every aspect of their lives from food, affordable healthcare,mobility, education etc.watoto wetu kutoka ghetto watacaught up kweli??
#FungaWeziUsikope
@Mademoiselfs
@Honeyfarsafi
@ClintonObonyo
Azin alienda ushago for the preparations za matanga.for more info could you plz call the brother maybe you could well understand their situation