Phares Elisha Profile Banner
Phares Elisha Profile
Phares Elisha

@PharesElisha1

Followers
2,211
Following
6,015
Media
4,550
Statuses
19,525

Retired Lieutenant Tanzania Peoples Defence Forces(TPDF),Military Operations analyst,Security Expert. 🇮🇱

Tanzania
Joined March 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@IAPonomarenko A lot of fertiliser to grow sunflowers in Ukraine.SLAVA UKRAINE!!!
1
0
189
@PharesElisha1
Phares Elisha
11 months
@TanzaniaLeaks Wewe Jamaa ni mwongo sana, Rais wa Jamhuli ya muungano wa Tanzania ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi. Kwa hiyo ki Protocol JWTZ hawawezi kutoa kauli ya kipumbavu kama hiyo!!
19
1
48
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@wartranslated Mr.Jaggar Jaggar keep it up to Distroy the occupier!!
0
0
40
@PharesElisha1
Phares Elisha
5 years
@kigogo2014 We we ndiyo unatakiwa uwe jela maana hats Lugola bado anakutafuta.Mamluki wa ccm Mara zote wakishindwa mbinu zao za kukiua chama hawaishi kulalama!!!
2
0
38
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@tanzania_mpya20 @zittokabwe Msukule ni msukule kinacholalamikiwa hapa ni ukosefu wa vitendea kazi mpaka zoezi la uokozi kusitishwa simply tu kuna giza Lakini kwenye chaguzi mko tayari kuiba kura usiku kucha ili tu mshinde.Kusitisha uokozi kwa sababu ya giza ni kutodhamini maisha ya watu
1
3
38
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci WAGNER walikimbia Bakhmut huko Ukraine kwa visingizio lukuki sasa hata wakienda huko Niger wataenda kupambana na Wabongo wa ECOWAS.Unapoiingiza Marekani hapo siyo saizi yao kabisa isitoshe hao Wagner Logistics kwao itakuwa shida wataweza wapi kupambana na Marekani?
39
1
33
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@Jake_Hanrahan @IAPonomarenko ми з тобою, солідарні з вами. ми цінуємо кожного з вас і так багато любові посилається вам. За вами стоїть міжнародна армія. Ніколи не забувайте про це. Ваша неймовірна хоробрість і лютий дух воїна ніколи не будуть забуті. Ми назавжди у вашому боргу за ті жертви, які ви принесли.
1
4
31
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@IAPonomarenko Sorry @IAPonomarenko or anybody please let me know if the Antonovsky Bridge is liberated or not!!
1
1
30
@PharesElisha1
Phares Elisha
4 years
@Vicent_mashinji Kwa akili yako hapo ndipo utapata pa kutokea??Dr.Unafeli wapi???au wajumbe waliyokufanyia bado yanakutesa??
0
1
31
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@EuromaidanPress Iran is at war with Ukraine 🇺🇦!!
2
1
28
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci SLAVA UKRAINE 🇺🇦 wameona kuliko kufia Ukraine bora waimalize vita kimtindo!! Maana huko Ukraine wanafyekwa vibaya mno bora wafanye uasi nchini kwao wanaweza salimika. Putin aliingia kichwa kichwa Ukraine na uvamizi huo hautamwacha salama madarakani. Wajinga endeleeni kumsifia!!
12
2
25
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@salimuibwe @MarkMwandosya Unajiuzuru kuonyesha uwajibikaji wako kwa wananchi!!!
1
1
23
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@kostas_pent @Reuters You are totally wrong!! Zelensiky is a warrior!!
12
0
23
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@salimuibwe @MarkMwandosya Kwa suala la uongozi Ethics za uongozi ziko pale pale sisi ndiyo tunabadirika na kujifanya miungu watu!!!.
2
1
23
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@sandemjeida @Aydidkingkunta @HecheJohn Alichokuwa anafa rais ni Intimadation kwa viongozi wote wa upinzani ili waonekane wote hawafai wakati si kweli.Ziara hii ilikuwa ya kudhalilisha upinzani tu na kukumbatia miccm wenzake!!!
3
3
22
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@bayraktar_1love We told them before don't go to fight in Ukraine you will be Fertiliser in that country but they didn't hear our call!!Let them cry for Allah I know he will not listen to invaders from Russia!!
0
0
21
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci Rais wa mioyo ya watu wa Ukraine 🇺🇦 Volodymyr Zelensky yuko huru sana anatembea sana nchini kwake hata nje ya nchi yake.Tatizo linakuja kwa yule mtuhumiwa anayetafutwa na Mahakama ya kimataifa ya ICC yeye sasa anaogopa hata askari wake wanaomlinda kila siku yeye ndani ya Handaki.
8
0
23
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci Kama putin anayo Makasiriko arushe tu hizo Hypersonic zake huko Washington aone kitakachotokea! Kuliko kubwabwaja ovyo mitandaoni kutafuta Sympathy!!
24
0
20
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci President Volodymyr Zelensky is a President who deserves to be respected and protected.
1
1
20
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@NewGene360 @MangiWakwanza Uliona wapi unapoteza mabilion ya wananchi kujenga International Airport kijijini kwenu?Uliona wapi watu wamelitumikia taifa kwa miaka mingi baadaye unawageuka na kuwaambia ni waalimu fake na mkawanyima stahki zao?Mnakulaje pesa za Rambirambi?Unafungaje ajira kwa miaka 6??
9
0
21
@PharesElisha1
Phares Elisha
5 years
@Vuvu70377760 @fatma_karume Yupo anaitwa Pascal Mayala sasa hivi hana Njaa ametulizwa kajiunga na Praise & Worship Team!!!
4
1
20
@PharesElisha1
Phares Elisha
1 year
@siadevinci Watawala hao wanajulikana hata wakimnyonga na wao watatafutwa wawajibishwe kwa mauaji hayo. Na hii itakuwa fundisho kwa wahuni wengine watakaopindua serikali za kiraia.Acha ECOWAS iwafurushe na mamluki wao wa WAGNER.
23
0
19
@PharesElisha1
Phares Elisha
4 years
@IAMartin_ @darmpya_ Mkuu wa kaya kamwahidi atampatie majimbo 20 na ushee ili tu aunde kambi rasmi ya Upinzani Bungeni ndiyo maana anapata ujasiri huo!!!
2
0
20
@PharesElisha1
Phares Elisha
10 months
@siadevinci Hii photoshop kabisa kutafuta Sympathy kwa walimwengu!! Wewe unakufa unakumbukaje kukumbatia mtoto? Harafu mkono mwengine msafi kabisa!! Acheni kujikombakomba kipigo kiendelezwe tu mpaka wanyooke!!
16
1
19
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@MuhibuM @MsigwaPeter @HecheJohn ccm wanamwogopa sana @MsigwaPeter ndiyo maana wanaengua wagombea ili kumpunza nguvu,Na mimi nilishawaambia ccm bila polisi,Wakurugenzi na tume ni kifo cha mende miguu juu!!!
3
2
17
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@Lockena5 @HecheJohn Huo ndiyo uharamia ccm wanaibaka Demokrasia mchana kweupe na wenye macho wanaona!!!!
0
1
17
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@BackAndAlive слава україні! смерть ворогу
0
0
18
@PharesElisha1
Phares Elisha
4 months
@YerickoNyerereT Kama Iran wenyewe wamekiri kuwepo kwa shambulio huko Isfahan wewe ni nani hata uje Kubwabwaja hapa kuwa hakuna shambulio lolote kwenye ardhi ya Iran??. Kwa mtindo huu wapenda hadithi za Elfu Ulela Ulela na hadithi za Abunwas tutanunua sana vitabu hivyo!!
2
2
17
@PharesElisha1
Phares Elisha
6 years
@HecheJohn Narudia tena ccm bila kutumia vyombo vya dola ni kifo cha mende miguu juu!!!Wanafanya hivyo ili kuwadhoofisha tu wanajitahidi sana kuwafunga miguu na mikono ili kwenye mpambano ccm waibuke washindi bila jasho!!!!!
0
2
17
@PharesElisha1
Phares Elisha
10 months
@siadevinci Bado kabisa Hujasema na utasema tu!! Hata wimbo haujafika kwenye korasi unaanza kulalamika tulieni mziki wenyewe bado haujaanza hizi ni Rasharasha tu!!
1
1
18
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@f_lekule @AbroadTanzania Marehemu mwenyewe alikuwa mwizi!!
8
1
16
@PharesElisha1
Phares Elisha
2 years
@lugendosisty @IAMartin_ Atapumzikaje kwa Amani wakati akina Ben sanane,Azory Gwanda walipotea kwa mazingira ya kutatanisha!!Watu wameteswa,Kuumizwa na kupotezwa,familia zinateseka sababu za Uchaguzi wa 2020 na wengine bado wako ndani wewe unasema apumzike kwa Amani,Amani gani hiyo?
3
0
17