@lugendosisty
@IAMartin_
Atapumzikaje kwa Amani wakati akina Ben sanane,Azory Gwanda walipotea kwa mazingira ya kutatanisha!!Watu wameteswa,Kuumizwa na kupotezwa,familia zinateseka sababu za Uchaguzi wa 2020 na wengine bado wako ndani wewe unasema apumzike kwa Amani,Amani gani hiyo?