Ntiga Kalyango MD Profile Banner
Ntiga Kalyango MD Profile
Ntiga Kalyango MD

@Nkalyango5

Followers
4,948
Following
3,874
Media
89
Statuses
2,965

MUHAS Alumni MUHASSO PRESIDENT 2021/2022. A father/A proudly Husband.

Muhimbili, Dar es salaam
Joined July 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
In medical studies, Make sure a fellow doctor is well equipt with skills as you do, because you're his next patient.
Tweet media one
10
12
206
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
6 months
Madaktari wa Dar.. muwe mnawambia basi wagonjwa kwamba hata sisi Madaktari wa Njombe tumesoma vyuo sawa na nyie... 😁😁
72
52
803
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Nitumia fursa hii kuutangazia umma wa wanaMUHASSO waliomo Twitter na wanaTwitter wote wapenda maendeleo ya serikali ya wanafunzi MUHAS NIA yangu njema ya kuwatumikia kama RAIS wa serikali ya wanafunzi kwa mwaka 2021/22. Mawazo na maoni napokea, karibuni.
Tweet media one
43
30
229
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Ahsanteni sana wanaMUHASSO wote kwa Imani hii kubwa, na ahidi kutowaangusha 2021/2022. Serikali yangu itakuwa serikali ya kutumikia wanaMUHASSO kweli kweli. TIME TO STAND FOR STRONGER MUHASSO.
Tweet media one
29
13
162
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Ukifika hospitali kuonana na daktari, jikite hasa kuelezea kwa uzuri changamoto inayokusibu na sio kuelezea hospitali kubwa za Nchi hii ulizofika kutafuta suluhu ya changamoto yako. Good morning.
20
14
119
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Nipende kuwakaribisha wanafunzi wote waliobahatika kuchaguliwa kujiuunga na masomo mbalimbali ya shahada ya kwanza katika Chuo kikuu cha afya na sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Serikali ya wanafunzi iko tayari kuwapokea,kuwaelekeza na kuwasaidia mambo lukuki yahusuyo Chuo.
6
10
74
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
6 months
Daktari ameamua kubana zake matumizi ili afate ushauri wa HK wa kusave 200k out 400k, ameitiwa polisi 😁😁🙌
Tweet media one
14
2
72
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 years
Merry Christmas to all of you fam 🎄🎅🏽
1
9
65
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
I'm really impressed with Dr. Mavura (surgeon) may be I wanna be a surgeon in the near future 😊😊
8
3
68
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
After been accepted by people next is serving them beyond limits. SoM2020/2021. We have been preaching hard work and devotion for SoM then let it be.
Tweet media one
6
3
69
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
MUHASSO general election 2024/25 VS 2021/22 Ama kweli sisi tulikuwa hatujachangamka 😁😁 Au madogo wana muda mwingi?.
Tweet media one
Tweet media two
27
7
67
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Leo 23 Juni 2021 ndo siku naianza safari yangu ya kuwatumikia kwa Moyo na Ari kubwa wanaMUHASSO kwa mwaka mmoja 2021/2022. Unaweza jumuika nami katika kuapa pale L5, muda saa saba mchana.
Tweet media one
7
3
59
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Ni furaha kupata pongezi baada ya kushinda uchaguzi lakini ni furaha kubwa zaidi kupokea pongezi baada ya kuwatumikia watu kikamilifu na kwa uaminifu mkubwa.
Tweet media one
1
6
61
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
We had time With the Minister responsible for Education, Science and Technology to appear in a common photo During the 9th MUHAS Scientific Conference, A reminder to the public; Observe all the necessary precautions against COVID-19 including wearing a face Mask.
Tweet media one
1
8
59
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Aisee wadau kutranslate medical jargon kwenda kiswahili on air ni kitu kigumu sana 😁😁 #elimikanamimi
Tweet media one
8
1
60
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
Safari yangu ya utumishi katika serikali ya wanafunzi MUHAS kama RAIS ilifika kikomo tarehe 30 May 2022, Nashukuru sana kwa ushirikiano wa namna moja ama nyingine wa kila mmoja humu, ni kawaida kwa binadamu kujikwaa, naomba radhi pale nilipoteleza. Asante sana. #msoga
Tweet media one
3
1
47
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Kudos to Everyone Who Made us Proud Again, With Only Research a Policy can be Put in Action or Disproved, Let's Increase Efforts in Research for Developing policy Which are Applicable in our settings.
Tweet media one
2
4
47
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Ndg Zangu form isharudi tayari kwa kusubiria ufunguzi wa Kampeni Leo saa Saba Mchana pale L5. Karibu sana. TIME TO STAND FOR STRONGER MUHASSO ✊
Tweet media one
1
2
45
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
WanaMUHASSO wenzangu mlioko humu nipende kuwakumbusha kwamba bado siku mbili kuelekea siku ya uchaguzi(18/6/2021), jitokeze Kupiga kura kwani kupiga kura ni haki yako kikatiba. TIME TO STAND FOR STRONGER MUHASSO 2021/2022.
Tweet media one
6
3
46
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
A true evaluation of leadership strength is at the end of leadership term. Legacy incorporates strong and good leadership. SoM 2020/2021.
Tweet media one
4
2
49
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Ahsanteni sana wanaMUHASSO wote mliojitokeza katika Tukio kubwa kabisa la KUCHUKUA Form siku ya leo, mmeonesha kwa kiasi gani mna uhitaji wa uongozi ulio imara 2021/2022. kwani ni wakati wa KUSIMAMA kwa MUHASSO imara.
Tweet media one
3
2
47
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Mnaobisha kwamba madogo hawako moto nionesheni picha vibrant kama hizi in previous MUHAS elections.
Tweet media one
Tweet media two
19
3
47
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 months
Tukubaliane tuu kupiga masters kwa hali ya sasa ni muhimu uwe na ajira ya uhakika, tofauti na hapo utashangazwa 😁
6
5
46
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Daah, unapoenda kwa watu lazima uwe competent kweli kweli na mipango yako tofauti na hapo Kofia hutakaa uivae vyema, 🙂🙂
@Advocate_Jebra
Jebra Kambole
4 years
Spana Spana!! Gwajifix
296
283
2K
3
3
42
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
@ahmed__ally Kama ni ujasiri brother, mungu amekujalia 😁😁🙌
11
1
45
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
It's another day of editing my Twitter Bio 2021/2022 🙏.
4
2
42
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Nothing defines better a word father than responsibility, Father's Day 2020
Tweet media one
1
1
43
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
wanaMUHASSO wanaimani na dhamira yetu njema 🔥✊
Tweet media one
1
3
38
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
It's either you win or learn in political competitions. Acha kuogopa chukua form kama unauwezo huo. SoM2020/2021 MUHASSO
Tweet media one
0
5
41
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
@eastafricatv @mwigulunchemba1 Kati ya kipindi ambacho tulipata changamoto za mikopo(allocation) kwa wanafunzi wa Vyuo vikuu ni mwaka huu wa masomo, kama ni kweli hizi pesa zilitoka basi kuna shida mahali, reference point MUHAS allocation 2021/2022.
6
2
40
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
One grows up strong with a strong family. Am strong with this fam✊✊
Tweet media one
3
4
37
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Aliyetoa hii elimu ya JUICE YA BAMIA apewe kitengo cha elimu kwa umma katika mapambano dhidi ya VVU maana imepenya kweli yaani. Niko hapa mgahawani Njombe, binti mmoja anaibugia kama azam Embe!. 😁😁
9
1
38
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
8 months
@ummymwalimu Mhe. Waziri huyuu mtumishi sio wa kupongeza hata kidogo, huyu ni wakukemea vikali, alichofanya kinavunja protocol ya utoaji huduma ambayo ni usalama wa mtoa huduma kwanza Katika namna yoyote ile. Kumpongeza kutahamasisha watumishi wa afya wahatarishe maisha yao ilikupongezwa.
7
2
37
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Kusema Ukweli Rivers Wamechaza Mpira Mzuri sana leo, Yanga bado kuna shida sio tuu katika coordination kama team bali individual faults kama Control na Stamina. Bado kuna kazi ya kufanya kama nyumbani imekuwa hivi je ugenini?. #mwananchi
5
1
36
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 months
Chukueni maua yenu Dental surgeons Mbeya Zonal, mmefanya kazi bora sana aisee 🙌
2
4
36
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Jumatatu safi kabisa na vibe la nchi ya uchumi wa kati.
Tweet media one
1
0
35
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Tweet media one
1
0
34
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
I believe there's a wonderful place in heaven when we commit and serve for others,. I've devoted for SoM2020/2021
Tweet media one
5
1
32
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 months
Ukitaka usipate huduma appropriately kutoa lab Mwite mtaalam wa Lab "MTU WA MAABARA". Bado huwa natafakari shida inakuaga nini?.
19
3
31
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Ila huyu mdada wa halotel bhana, "you've finished your bandle please register again." Sauti yake haishawishi kuongeza salio kabisa ila basi tuu.... @Haloteltz siwafokei 😁😁
6
3
30
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
As we start a journey to December 31 2022, create a stress free atmosphere by lowering expectations from friends, colleagues, lovers, family, etc.. Trust while sparing some percents and expect loss, setbacks and disappointments from anyone at anytime. This will make you immune
5
0
28
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
Let's meet for the Last Hug as medical students at MUHAS, it was a long journey of five years which was sandwiched with exhaustion, self doubts and many more.
Tweet media one
0
3
29
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
I never imagined how a student would cry for just a single mark until I became one 🙂
1
0
28
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Kuna mtu kakomaa kweli wodi zimefurika wagonjwa wa Covid-19 Sijajua ametumia reference gani au wapi specifically. Tuulize tuko hapa.
Tweet media one
2
0
29
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
My new family, total admitted students in School of medicine 2020/2021 is 429 I believe no will be kicked out of this long career path under my leadership. Congratulations for been selected to join the MUHAS family.
Tweet media one
1
1
27
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Endelea kujiimarisha kifedha ili siku ukipata tatizo usije ita marafiki zako wanafiki.. #sifokii
3
0
25
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Vijana wangu wanampa taabu sana Prof Nyamhanga ya kumfungilisha vitabu viingi, mpaka anagusa katiba ya nchi 😪, vijana wanafujo sana this time.
Tweet media one
17
3
24
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Kunapokuwa na upinzani katika chaguzi yeyote hufanya wagombea kujipanga na kujipambanua vilivyo ili kupata mawazo mapya na tatuzi katika changamoto za wanainchi. Kupita bila kupigwa hufinya fursa hii muhimu.
2
1
25
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
When you walk into the WARDS and find a serious case you don't know it should be your motivation to dig in deep about it and not feel like you're doing less in medicine.
1
1
23
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Daktari makini, Picha inaweza kukushindisha kwa wajumbe 😄😄
Tweet media one
0
0
23
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
Hongera Lulu hiki ni kitu kikubwa sana , na sisi wanaMUHASSO tunajivunia 🙏😊
@KivuyoLaurel
Laurel Kivuyo
2 years
God is Good😭😭
Tweet media one
214
174
4K
2
0
24
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Know your leadership limits by volunteering to serve people by passion and devotion. We shall retrieve a lost smile. SoM2020/2021
Tweet media one
0
2
23
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Capitalize what you have then invest what you get. #outofclass .
Tweet media one
2
1
22
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
Continuous learning at work place is crucial on sharpening practioners' knowledge and skills. #recap on basic life support(BLS).
Tweet media one
Tweet media two
3
0
23
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
When giving advice to a person on carrier path, recommend him/her to watch the THREE IDIOTS as bonus advice.
0
1
23
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Aisee hili Gazeti la kushitaki kwa sheria kali sana 😁😁
Tweet media one
6
1
21
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 months
Wagonjwa wote wapya wa Pressure wanastahili kupewa uelewa juu ya ugonjwa wao kwa kina,ikiwemo usugu(chronicity) wa ugonjwa. Wengi wanapata stroke(kiharusi) baada ya kuacha dawa wakiamini normal reading mbili/tatu za BP wakiwa kwenye dawa wamepona. #elimikaNjombe
2
7
22
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Ni jumapili nyingine safi kabisa tuitumie kuomba mungu atulinde na atuongoze katika mapito yetu ya week kesho. Amen.
4
2
21
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Leadership is a ladder like pathway, we go upgrading day to day. Me with MUHASSO presidential candidates 2020/2021 the two on my left .
Tweet media one
0
1
22
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Mentality ya kujiajiri ndo ina neutralize Sana performance ya mtu chuoni, mtu anasoma huku anawaza itakuaje akimaliza badala ya concentrate na shule anawaza kuanzisha Biashara mtaani au sehemu yeyote kwa ajiri ya kesho, asikuambie mtu Biashara inahitaji muda. #siwafokei
4
0
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Tusiwaogope sana walimu wetu bali tuwaogope sana wagonjwa wetu maana wao ndo kipimo sahihi cha uwezo wetu. #outofclass .
Tweet media one
0
0
21
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Chuo kikifungwa na uko mtaa bila boom ndo unajua sasa kwanini wanaosema tujiajiri kirahisi rahisi ni watu wa kuchukia sana, Mtaani kugumu aisee 🙂
4
2
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Ishi sana kaka, naona man u siku hizi inapunguza risk of peptic ulcers
Tweet media one
2
0
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 years
Ikumbukwe tu kwamba ‘mtu yeyote anaweza kuwa mtu yeyote kwenye dunia hii’ hivyo basi hatuna budi kuheshimana na kuwa wastaarabu tukiwa kama binadamu. 😎
2
1
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Wapwa kuna raha yake kuwa na mke mwema niamini mimi 😀😀
3
0
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
To all young men, respect a man in white lab coat since at your early 40s medical history is incomplete without DRE(Digital Rectal Examination). #moodofasurgeon .
1
0
19
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
@kalegamyeh Daah Madaktari wanaotoka China na kutegemea kurudi kupractice nchini wanapitia maswaibu mengi sana. Ushauri kama huna connection ya kufanya kazi kimataifa ni bora upige MD Nchini then MMED nje ya nchi
4
0
20
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Winning the election alone is great sign of acceptance, congratulations bro and I wish you luck in serving for TAPSA 2020/2021
@HamisiMsagama
Hamisi Msagama
4 years
If I ever become a great person is by not only standing in the shoulders of giants but also listening, learning and unlearn from these giants. TAPSA PRESIDENT 2020/22 @castobarym @mtoro_h @faryus88 @eliangiringa1 @TumainiMakole @Dioniz__ @FridonM @PharmPunit @BKinemo
Tweet media one
38
16
146
1
1
19
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 months
Kwa pass rate hii kubwa Kupata admission MUHAS itakuwa noma 🙌
7
0
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Hakuna maisha private bali ishi katika misingi ya utu na wema,kwani wema ni akiba. Good morning wapwa
1
3
19
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Kumbe suruali za kubana kwa wanamke sio vazi lake kabisa ni kupotoka tuu naona leo wamependeza na vitenge vizuri kweli katika siku yao. #InternationalWomensDay
4
2
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 months
We endelea kujiapiza tuu hutaoa na hutaki watoto sijui nani atakuwa anakuleta clinic za tezi dume, pressure na Sukari at your 60s 😁
6
1
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Kabisa kiongozi
@amosywilliam
Amos William
4 years
"Hakuna mtu atakuwa mwanasiasa mahiri bila kuzomewa, kudharauliwa, kukerwa, kuchukizwa, kuchukiwa, kitusiwa, kusalitiwa na kunafikiwa". Kukua kisiasa Ni pamoja na kuyajua haya. @msangiben @benandmo2020 @EnockEr10 @AllyKamila @KajunaD @Nkalyango5 @EuphraimL @mdaki_rashid
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
30
3
0
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Tetemeko limepita kweli, niko on bed Tanga hapa nimehisi kuna mtu chini ya kitanda nikaanza kumsaka.
3
0
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Haina kufeli, one goal.. 👊
Tweet media one
1
1
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
@alimino150 @swahilitimes In fact you're talking with media information of which most are not relevant. No one in Tanzania feels dictatorship of any kind than appraising the action taken against the pandemic and everyone is doing routine activities.
2
0
18
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Si uogope kujaribu sehemu ambayo ameshindwa ndugu, rafiki au jamaa yako wa karibu, Watu tunatofautiana mbinu za utendaji, mbali zaidi Baraka pia. Good morning wapwa.
2
0
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
2 years
Ivi hadi mitandao nayo iko affected na Vita ya UKRAINE na Russia ama, kila mtu anajipandishie tuu bei ya Huduma anayotoa kadri apendevyo. @TTCL Wameshusha bundle sijui shida iko wapi. @Dr_KalogeyePhil @PascalMisili
10
1
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
5 years
The future of the world and where opportunities lie, 1.Cryptocurrency(BlockChain) 2.Artificial Intelligence 3.Fourth Industrial Revolution @mdaki_rashid @FrankAraby @JNyamwikalila @AllyKamila
Tweet media one
0
2
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
8 months
Nimeanza kudhibitisha sababu ya kwanini matajiri wakubwa Tanzania hawawekezi sana kwenye sector ya afya kwa kufungua hospital ama vituo vya afya.
6
0
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Mungu wetu atujalie uwezo wa kutambua pale tunapo fanya baadhi ya vitu visivyowapendeza wengine na uwezo wa kujirekebisha. Wengi wetu hatuna hii. Happy new month.
1
1
17
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Hawa magwiji hawajakutana MUHAS kwa muda mrefu sasa Tukio lililoandaliwa na serikali ya wanafunzi(MUHASSO) kupitia uongozi wa SKULI YA TIBA Liliwafanya kukumbuka mengi na kutueleza mengi ya kujifunza. Asanteni sana kwa wote walioshiriki katika kukamilisha tukio.
Tweet media one
0
1
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Everyone is proud of being part of any achievement but only few join the process. #humannature
0
0
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Kuomba msamaha hakupunguzi kitu bali humfanya mtu kuwa huru na kujenga mahusiano mazuri zaidi na wala siyo ishara ya unyonge au udhaifu.. Good morning wapwa..
10
2
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 years
Sister atafanya tupunguziwe fedha kabisa, kumbe zinatosha mpaka Dinga 😁😁
6
1
14
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 months
Tunashukuru jana mmelewa bila kutubuguzi watu wa EMD 🤝
5
0
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Tupate muda japo kidogo wa kuwaombea ndugu zetu wa kidato cha sita katika mwanzo wa mitihani yao ya mwisho hapo kesho. 🙏🙏
1
1
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
My bro is acting really 😁😁
@saidmkude
The Versatileᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠ
4 years
Tukijiandaa kuitetea nafasi ya kwanza 2020/2021😂 @Nkalyango5 @Drbenjaminkamo @muhimbiliuniver
Tweet media one
1
2
27
2
0
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Wahenga walisema, "nyota njema huonekana asubuhi" Nawatakia jumatatu yenye kheri wapwa, 🙏
1
0
16
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Resources are never enough learn on how to utilize them appropriately.
0
1
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Hata mm ningekuwa mdude jaribu lilikuwa kubwa sana aisee 😆😆😆
3
1
13
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Twitter ni familia kubwa sana inafariji, inafundisha, inatoa maonyo, support mbalimbali na kuinspire pia. Tuishi humu
0
0
14
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Wale wa PCB muda kama huu watakuwa wanakumbuka kipindi hicho purukushani za kufaulu BAM na maswali ya Calculator☺☺. Mungu awakumbuke ndugu zetu wa form six.🙏🙏
1
0
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Tweet media one
0
0
14
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
6 months
Huko kwenu vipi cement bei gani? Juzi nilinunua dangote 16,000/= jana nimeuziwa 17,000/= Harafu pesa ya call iko pale pale na kuipata ni mbinde 🥲
3
0
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
3 months
Kanisani/msikitini huendi, matoleo hutoi, wenye uhitaji husaidii basi heshimu hata AMBULANCE barabarani wakati tukiwa tunapambania maisha ya mpendwa wa watu.
1
3
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Professional excellence is within passion and self devotion with it. Love what you do, it will obey newton's third law. #surgeoninmaking
Tweet media one
0
0
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
7 months
Simba wakitolewa @CAFCLCC washapata wa kumlaumu tayari (Wizara ya michezo) 😄😄
3
0
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
6 months
@EvanceMD Ushauri wako haufati na wala hausikilizi Kitu kikubwa ni ameambiwa na madaktari wa dar es salaam 😁😁😁
0
0
15
@Nkalyango5
Ntiga Kalyango MD
4 years
Why do most chiefs in medical school like to add stuffs above someone's class, utasikia hii utasoma Ukiwa MD5 😂😂
2
0
14