niovivi Profile
niovivi

@Niovivi4

Followers
1,537
Following
1,701
Media
32
Statuses
12,809
Explore trending content on Musk Viewer
@Niovivi4
niovivi
6 months
Hii mvua ya pole pole imenikumbusha mbali ikinyesha hivi kijijin tunaenda shamba kutafuta mahindi ya kuchoma sasa huku mjini tutatafuta nini 😆
43
42
213
@Niovivi4
niovivi
9 months
Katika kipindi ambacho wafanya biashara wa miwani na kofia katika jiji la dar es salaam watapiga hela ni kipindi hiki cha kuumwa macho 📌
13
20
63
@Niovivi4
niovivi
6 months
Eid Mubarak 🌙
Tweet media one
10
12
59
@Niovivi4
niovivi
7 months
Nimekaaa hapa nimejikuta nakumbuka matukio nacheka mwenyewe, juzi nilikuwa hapo kanda ya kati nilienda kwa ajili ya usahili, wakati wa kurudi nikapanda chombo ya juu kwa juu yaani inatokea KIGOMA😆. Wakat nimekaa na yule faza ktk piga² story si akasema kanunua samaki wengi mno
5
7
53
@Niovivi4
niovivi
7 months
Jobless mimi nimeamka na mzuka wa kwenda kusambaza CV ushauri jmn nianzie wapi na maombi yenu pia yanahitajika🙏
9
12
47
@Niovivi4
niovivi
6 months
Basi mm nikawa nina kiherehere cha kumuulizia kumbe nimeshawekwa kabatini siku nyingi🤣🤣🤣🙌.
Tweet media one
12
7
44
@Niovivi4
niovivi
10 months
Ni siku nyingine tena tumebarikiwa kuiona asante Mungu, heri na mafanano wa siku yangu ya kuzaliwa🎊🎉🎂.
Tweet media one
11
9
48
@Niovivi4
niovivi
4 months
Ndugu zangu waislam mna pepo yenu, nimeshiba sana asanteni😀🔥🙏
5
11
44
@Niovivi4
niovivi
7 months
Habari za asubuh watu wa Mungu Niwatakie sabato njema🙏
7
15
36
@Niovivi4
niovivi
8 months
Fanya kilichokuwa sahihi tu hata kama hawakuelewi na usilazimishe wakuelewe maana mwisho wa siku wewe ndiye utakayevuna ulichokipanda. Muwe na siku njema🙏
8
15
35
@Niovivi4
niovivi
4 months
Hivi huu utaratibu wa baadhi ya vituo vya mafuta akija bodaboda na abiria wake kuweka mafuta, unaambiwa abiria shuka kwanza ndo aweke mafuta imekaaje mbona naona kama mambo ya ajabu😀😀🤷🤷
10
6
32
@Niovivi4
niovivi
4 months
Ni siku nyingine ya baraka Mungu ametuamsha salama kabisa. Asante Mungu kwa uzima sifa na utukufu ni zako🙏
2
7
32
@Niovivi4
niovivi
1 year
Oya jobless wapambanaji msio chagua kazi...... Amka saa nane au tisa usiku jiandae vaa pamba zako alaf beba kibegi chako weka nguo za kazi kazi mule ndani, ingia kweny soko lolote linalojishughulisha na uingizaji na utoaji wa bidhaa mbali², masoko km vile ilala, mabibo,
5
4
31
@Niovivi4
niovivi
6 months
Kumchapa mtoto kila siku anakua sugu💚💚💚💚💚
4
9
29
@Niovivi4
niovivi
5 months
Jobless jamani tujitahidi kuamka mapema tukilala sana ndo tunazidi kujiwekea ugumu wa maisha Habari za asubuh watu wa Mungu 🙏
4
13
28
@Niovivi4
niovivi
4 months
Nawakumbusha tuu penda kusikiliza sana kuliko kuongea ndio maana Mungu aliumba masikio mawili na mdomo mmoja 📌
2
4
29
@Niovivi4
niovivi
11 months
Ukitaka kujua tabia ya mtu halisi mkasirishe hata kwa makusudi📌.
5
6
28
@Niovivi4
niovivi
9 months
Paka anayeijali kesho yake hawez mla panya mweny mimba......subira ni ibada📌
1
8
24
@Niovivi4
niovivi
8 months
Kumepambazuka tena, siku iliyo njema kwetu hatuna budi kumshukuru Mungu kwa pumzi🙏
6
9
26
@Niovivi4
niovivi
1 month
@TMnyama4_ Mungu akaifungue milango yako na akakuletee mtu yeyote sehemu yoyote alobeba hatima/kibali cha maisha yako, nikutakie kila la kheri usikate tamaa, amini Mungu yupo na anatenda
0
2
26
@Niovivi4
niovivi
7 months
Unatoka haraka² huko kwenye miji ya watu ili uwahi nyumbani ukaoge na hili joto unafika nyumbani umeme hakuna na maji hakuna🤔🫣😎😔
6
8
26
@Niovivi4
niovivi
9 months
Mungu ni mwema sana hata leo ameonekania katika maisha yetu na kuiona siku mpya siku nyingine ya Bwana, ni siku ya Jumatatu siku ya tofauti kabisa hii🎄 Muwe na Christmas njema🎄
9
10
25
@Niovivi4
niovivi
18 days
Azam kama mpira wenyewe ndo huu mujiandae kumaliza ligi kuu mkiwa nafasi ya 5📌.
2
3
25
@Niovivi4
niovivi
9 months
Habari za asubuh watu wa Mungu. Mnateseka na mvua mkiwa wapi?
4
7
24
@Niovivi4
niovivi
6 months
Leo kuna lidada limoja limeniharibia siku😆😆limeniita eti si likanitongoza kmmmk daaah ndo nilipogundua malesbian wapo kila kona mfyuuuuuuuu.
3
2
25
@Niovivi4
niovivi
6 months
Hii mvua ya leo🙌🙌
6
6
25
@Niovivi4
niovivi
24 days
Nipumzike sasa, mlale salama roho mtakatifu awalinde dhidi ya watesi naviumbe vibaya vya usiku🙏
8
8
22
@Niovivi4
niovivi
1 year
0
0
23
@Niovivi4
niovivi
4 months
Humu ndani usipopita kwa tahazari unaweza jikwaa ukaanguka ukakosa wa kukunyanyua.📌
3
4
22
@Niovivi4
niovivi
9 months
Mungu ametuamsha tena salama, asant Mungu kwa uzima🙏 Ikawe jumapili yenye baraka tele kwenu🙏.
5
11
20
@Niovivi4
niovivi
8 months
Alaf nyie wehu mnaopost ujinga mnaosababisha wanawake wote wenye macho makubwa kufananishwa na pumpu za nguruwe pori mjiheshimu shenziiiiii📌.
2
4
22
@Niovivi4
niovivi
1 year
@Neypaul01 💕🔥
0
1
20
@Niovivi4
niovivi
6 months
0
1
18
@Niovivi4
niovivi
10 months
Ni jumanne nyingine tena ya wiki ya kwanz ya mwez wa 12 tumshukuru Mungu kwa kutukirimia afya njema, twende sasa kweny mapamban. Asubuh iwekawe njema kwenu.
8
11
18
@Niovivi4
niovivi
4 months
Happy Sunday watu wa Mungu🙏
5
8
21
@Niovivi4
niovivi
11 months
Tulikuambia anakuchezea ukasema michezo ni afya sas amekuacha unalia, endelea kulia machozi ni afya pia📌
4
4
18
@Niovivi4
niovivi
19 days
Umeme umekatika simu ina asilimia 10 hata tochi haiwaki, sina hata mshumaa ndani 😀 daaaah🙌🏃🏃🏃
3
4
20
@Niovivi4
niovivi
3 months
@Neypaul01 ❤️🔥
0
1
19
@Niovivi4
niovivi
2 months
@EsirEid Ila tajiri la kihaya bana hao tunajua fika ni dada zako rangi zao kabisa hizi acha kukataa kabila lako😆😆😆😆
1
0
20
@Niovivi4
niovivi
11 months
@Abyasmzigua @ClaraKavin17559 @JayleenRickie @kapeto98 @SadickTusia @OriginoZee17 @RobhinEdson Kudadeki 🤣🤣eti unaonyesha mwanangu timbwili langu umelikubali sana 🙌
1
1
19
@Niovivi4
niovivi
6 days
@EsirEid Pamenoga na tumeshanunua wengi daaaah😂😂😂😂😂😂
5
1
21
@Niovivi4
niovivi
11 months
Hayuko busy bana mbona sisi tunachati naye 🤣🙌
8
7
18
@Niovivi4
niovivi
1 month
Jobless alafu unalala mpaka saa hizi una raha gani ya kuupata huo usingizi tuamke mapema tukasaidie kazi za nyumbani✍️📌
5
3
19
@Niovivi4
niovivi
1 month
Niko zangu na TTCL yangu nateleza tuu😀kwani nyie wenzangu mnatumia mtandao kuweka bando🏃
3
3
18
@Niovivi4
niovivi
3 months
@Mkunga_Og Bado akili yangu inajiuliza maswali mengi sana juu ya hii😳wanawekaje na inaenda wapi🤔❓❓
4
0
17
@Niovivi4
niovivi
8 months
@Ireneigora Hadi yeye anakula nyeto🤣🤣🤣
3
0
17
@Niovivi4
niovivi
11 months
@Neypaul01 🔥📌
0
0
16
@Niovivi4
niovivi
11 months
Katika maisha ukigombana na mtu yeyote epuka sana kauli ya utaona, hii huleta matokeo hasi📌
4
6
17
@Niovivi4
niovivi
4 months
Humu ndani inaonekana watu hamjalala kabisa sababu ya mwakinyo😀😀😀pole aiseee Happy Sabbath nyote 🙏
2
5
17
@Niovivi4
niovivi
1 year
@Neypaul01 🔥💕
0
2
17
@Niovivi4
niovivi
11 months
Moja ya nyakati ngumu maishani ni pale ambapo unahitajika umuage mtu ambaye ni lazima aondoke na hawezi kurudi tena📌.
0
4
17
@Niovivi4
niovivi
11 months
Hapo ulipo hata group lako la damu hulijui, ila umekaa unateswa na mapenzi 🤣 ACHA UJINGA JIPENDE WEWE.
7
5
17
@Niovivi4
niovivi
8 months
Walisema January ni mwezi mgumu wa kula makabichi lakini ukiangalia vizuri sas ni February hata hilo kabichi halishikiki😆😆😆
1
3
16
@Niovivi4
niovivi
4 months
@ze_mandevu Kwa imani yako kam mkristu nenda kanisan ukaombewe na kam muislam pia akafanyiwe dua🤲
0
0
17
@Niovivi4
niovivi
16 days
Hivi hawa watoto wa 2000's nani aliyewaloga eti miaka 2012 ilikuwa miaka ya utumwa ulikuwa bado haujaisha, tuliozaliwa 80's -90's sis tulikuwa watumwa daaaaah 😆😆😆🙌
4
3
17
@Niovivi4
niovivi
4 months
@datius_tz Akimaliz mnyando ndo atasema daaah😀😀
1
0
17
@Niovivi4
niovivi
1 year
Bado atakijaza kinywa chako kicheko na midomo yako ataijaza shangwe. Ayubu 8:21
4
8
15
@Niovivi4
niovivi
8 months
Kilichopatikana kwa maombi basi kilindwe kwa maombi🙏
3
9
13
@Niovivi4
niovivi
6 months
Jumapili ya leo watu wamechafukwa naingia huku hata sielew nianzie pale kwa mishy au kwa nan😆😆naona maneno makubwa makubwa tuu😜😜
1
2
16
@Niovivi4
niovivi
4 months
Nina raha hatari😀😀😀😀Yanga tena 🔥🔥🔥🔥🔥 Eti Azam azam azam kiko wapi, mtoto yake ice cream tu😀😀😀🏃🏃
3
3
16
@Niovivi4
niovivi
11 months
Wakati mwingine kukaa kimya ni jibu ndo maan hata mjinga akikaa kimya huhesabiwa kuwa mweny haki📌
2
8
14
@Niovivi4
niovivi
8 months
@ChoperWang Hiii pua kiboko ya majini😆😆😆
2
0
16
@Niovivi4
niovivi
5 months
Wakati mwingine tunarudishwa nyuma na wale tulowapa dhamana ya kutushika mkono tusianguke, wanatunyima kikombe kisha wanatupa maji ya kunywa📌
4
6
16
@Niovivi4
niovivi
8 months
Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa. Happy Sabbath 🙏
4
11
16
@Niovivi4
niovivi
8 months
Asante Mungu kwa uzima. Tusichoke kumuomba Mungu tutabarikiwa tutokapo na turudipo🙏.
5
6
16
@Niovivi4
niovivi
4 months
Happy Sabbath wapendwa katika Bwana 🙏
5
7
15
@Niovivi4
niovivi
16 days
Nilitamani nifunge ndoa mwakani ila nimeona nipishe kwanza uchaguzi🤣🤣🤣🤣🤣
3
6
14
@Niovivi4
niovivi
11 months
Mjue sana Mungu ili uwe na aman, ndivyo mema yatakavyokujia. Ayubu 22:21
4
5
15
@Niovivi4
niovivi
11 months
Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida. Muwe na siku njema yenye baraka na mafanikio tele🙏
5
6
14
@Niovivi4
niovivi
1 month
@OriginoZee17 Punda afe mzigo ufike😀😀😀na yule ka trend sababu ni mfupi🏃🏃🏃
1
0
15
@Niovivi4
niovivi
11 months
@Neypaul01 📌🔥
0
0
14
@Niovivi4
niovivi
5 months
Ni asubuhi nyingine iliyo njema kwa tuliobahatika kuiona siku mpya, Mungu wa Yakobo, Isaka akampe kila mmoja wetu hitaji la moyo wake🙏.
2
7
15
@Niovivi4
niovivi
21 days
@TMnyama4_ Teee haya ya upinde usiwe unayaleta hapa, hii ni mtu tuu anayependa kupakuliwa ndo katunga anatafuta soko😔😔
0
0
15
@Niovivi4
niovivi
6 months
Endeleeni kuleta hayo ma DM hapa public humu ndani kulipoa san😆😆😆😆😆
1
3
14
@Niovivi4
niovivi
6 months
@datius_tz Ww ni zaid ya mganga😆😆😆
1
0
14
@Niovivi4
niovivi
2 months
@TanzaniaOneJezi @julip202 Yaani alivosema hataki kiduku amtukane, comment ya kwanza tuu kiduku😆😆😆😆
3
0
14
@Niovivi4
niovivi
6 months
@OriginoZee17 😆😆😆ndo walivozoe, mbn dodoma daladal inamsubiri kbs abiria aoge ndo aje
6
0
14
@Niovivi4
niovivi
7 months
Kumbe wenzetu mna V8 alaf kutwa nzima mnajifanya jobless huku,😆😆mmeanza lini huo usaliti?
1
2
14
@Niovivi4
niovivi
11 days
@sajo_mwaihabi Hao hawajui biashara na kama mwenye hiyo biashara ndo anataka hivo basi yeye ni zero brain😀yaani unafanya biashara unamuuliz mtu mnaenda kutiana daaaah, ila nawasi wasi huyo demu alikuelew wallah 😀🏃🏃
2
0
14
@Niovivi4
niovivi
1 month
@TMnyama4_ Pole sana, mm nilikuwa kama wewe lakini ww mara 20 umezidi aisee enzi hizo nilikuw natembea na rambo muda wowote kinanuka, kama upo mjini hapa hakikisha unapanda daladala sana kwa wingi ili zikuzoeee yaani hakikisha kila siku una kurupushani za kupanda dala²
1
0
14
@Niovivi4
niovivi
2 months
@Kengold_Offical Hapa hakuna admin, sijawah ona admin anafugwa alafu anaona ni fresh kutweet ujinga📌
4
0
14
@Niovivi4
niovivi
11 months
Huu ndo ule msimu wa baridi, ambao watu wa Dar wanasema kula ni lazima kuoga ni hiari........ naona hii formula inakaribia kutumika sas🤣🌧️☔
4
3
13
@Niovivi4
niovivi
8 months
Kosa kubwa maishani mwao ni kudhani kuwa hatupitii changamoto yoyote, hivyo wanatafsiri furaha na amani ya nyuso zetu 🫣
2
3
14
@Niovivi4
niovivi
4 months
@TMnyama4_ Daaaaah acha bro na utubu hiyo ni dhambi kubwa san unaitengeneza kwa kizaz chako japo ww hutoona matokeo yake ila yanaanzia kwa watot wako
2
0
14
@Niovivi4
niovivi
6 months
@Salym Wajinga hawa wamekuja ugenini alafu wakawavua nguo wenyeji shenziiiii😆😆inabidi tuchutame tuu hatuna jinsi
0
0
12
@Niovivi4
niovivi
2 months
@babalao__ Namnani sinza
4
0
13
@Niovivi4
niovivi
10 months
Chura anapenda maji lakini siyo ya moto wala ya chumvi📌
3
6
13
@Niovivi4
niovivi
9 months
Happy new year all💕💕🤝2024
2
3
13
@Niovivi4
niovivi
26 days
Humu ndani ni kwa kupita kwa tahadhari, mtu anaweza akakurupuka huko anawaza tu mtu fulani na fulani lazima niwachafue mfyuuuuuuu 😎
0
2
12
@Niovivi4
niovivi
10 months
@SimbaSCTanzania @YoungAfricansSC Kwan usik wa den unakawia kuisha bas,😏😏
1
0
13
@Niovivi4
niovivi
11 months
Maisha ni kutafuta na kupambana, tupambane bila kuchoka📌 Good morning watu wa Mungu 🙏
4
6
13
@Niovivi4
niovivi
9 months
Kwa hiyo sasa hivi walaji tuamue moja tununue mafuta ya kula lita moja au tununue sukari kilo gramu moja🤔🫡.
0
2
13
@Niovivi4
niovivi
6 months
@Adventure_36 Mwanamke kauzu san huyu🤔
4
0
12
@Niovivi4
niovivi
24 days
@Adventure_36 Mm si update mpk waniambie😀😀
1
0
12
@Niovivi4
niovivi
4 months
@SharonMontana20 Nyege mbaya san
2
0
12
@Niovivi4
niovivi
1 year
@Neypaul01 🔥💕
0
0
12
@Niovivi4
niovivi
7 months
Leo nimeamka mapema nawaza niwahi ibada tuu Happy Sabbath 🙏
5
4
12
@Niovivi4
niovivi
16 days
Kuna mtu kanitukana huko 😆 kaniuliza unafanya kazi gani nikamwambia mimi jobless, akasema wewe mkubwa hivo mpaka sasa hivi jobless kwani ulikuaga mtumwa hapo awali😆😆MAISHA MAISHA MAISHA🙌📌
1
3
12
@Niovivi4
niovivi
11 months
0
1
7