Maalim Nash Profile Banner
Maalim Nash Profile
Maalim Nash

@Nashemcee

Followers
37,705
Following
383
Media
906
Statuses
3,609

Nash Mc , Mwana Hip hop anaesimamia itikadi na misingi yake,balozi wa kujitolea wa kuhamasisha watanzania juu ya lugha ya Kiswahili.

Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Daraja La Malkia.
Tweet media one
64
39
2K
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Alhamdulillah nilifika London Jana na nipo hapa kwa mualiko kutoka Chuo kikuu cha Soas,Idara ya Masomo ya kiafrika. Nitawasilisha mada kuhusu "MCHANGO WA FASIHI KATIKA HIP HOP" kwenye Kongamano la Baraza la Kiswahili kesho In Shaa Allah. Taarifa zaidi zitawajia.
Tweet media one
89
144
2K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Rasmi nimefika katika Hijja ya Hip Hop jijini New York mitaa ya Bronx. Taarifa zaidi zitafuata.
Tweet media one
87
77
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Sikilizeni ndugu zangu,Kuvaa Tai au Skafu yenye Rangi ya Bendera yetu siyo kipimo cha uzalendo,tuelewane hapo.
Tweet media one
88
121
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Ijumaa yenye Baraka sana kukutana na Professor Assad katika sala ya Jumaa pale Masjid Imam Jabir Bin Zaid , alikuwa anamaliza kusali sunnah nikamsubiri nikajitambulisha akauliza, unapiga Hip Hop ya ipi? Yenye Ujumbe mwingi au ya siku hizi? nikamwambia Napiga Yenye Ujumbe mwingi
Tweet media one
70
76
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
6 months
We Zombie
Tweet media one
154
53
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
11 months
Taifa Stars bila hamasa Taifa Stars isiyo ya Wachambuzi Taifa Stars iliyotelekezwa Taifa Stars ya Hip Hop Taifa Stars isiyoenda na Vikosi vya Wajuaji Taifa Stars isiyo haidiwa hela Taifa Stars iliyopangwa na kuchaguliwa na kocha. Huwa inaenda vizuri kabisa.
45
148
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
Kuna mstari mwembamba sana unaogawanyisha Ushoga na Uchawa.
Tweet media one
53
106
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
24 days
Othman Mutalemwa Mushumbusi. Mhaya namba 5 ameongeza namba ya watoto wangu. Alhamdulilah
Tweet media one
112
72
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
Rafiki wa kweli,daima upo katika kumbukumbu zetu. 13.06.2013
Tweet media one
70
119
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
TAARIFA RASMI KWA UMMA. Namshukuru Mwenyezi Mungu nimefika salama nchini Marekani,Safari ilianza Ijumaa kutoka Dar mpaka Nairobi kisha Hadi New York na Baadaye kuelekea katika mji wa North Carolina (Carborro) katika Chuo Kikuu cha North Carolina. Taarifa zaidi zitakuja.
Tweet media one
94
79
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Hii ni kwa wanangu wote wanaoshabikia Arsenal.🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Tweet media one
32
52
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Parody la Royal Dua.😄😄😄😄😄😄😄
Tweet media one
42
29
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Wa mbele wainame wanyuma tupate kuona.
Tweet media one
55
46
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
Mfadhaiko wa moyo ulionipata Mwenyezi Mungu nisaidie.
Tweet media one
23
118
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Tweet media one
13
34
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
25 days
Ila Ndugu zetu mnaosukuma AGENDA sijui mnaishi Tanzania gani aisee? 2024 Mama mjamzito anatakiwa anunue Gloves zake kutokea Nyumbani? Gloves?
59
167
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Mnara unasoma Emirates Stadium nyumbani kwa washika bunduki. Hakuna siri tena Arteta ashajua. @1TraVeLA @MwansasuSnr
Tweet media one
58
101
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
3 years
Katiba Mpya Ndiyo Suluhisho. Mwenyekiti Wa Bodaboda Kijiwe Cha Michano.
Tweet media one
32
94
977
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Tweet media one
39
26
996
@Nashemcee
Maalim Nash
5 months
Dube anasema hana tatizo na Azam,ila ana tatizo na Yusuf Bakhresa kama ataondoka Yusuf Bakhresa basi atabakia Azam FC.
72
82
1K
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Brooklyn,Christopher Wallace Way.
Tweet media one
32
59
989
@Nashemcee
Maalim Nash
5 months
Nikiongea sana nitaharibu ngoja nishushe burudani tu.
61
85
993
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Unasema jana nilivua shati na kujiita Maiko Jackson? Na watu walirushiana klipu? Watanunua Mhadhiri kweli?
Tweet media one
46
25
986
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Unamfahamu Professor Nguli wa Fasihi,aliyeandika Vitabu vya,Mfalme Juha,Aliyeonja Pepo na Siri? Ni Mzee Farouk Topan,nina bahati ya kukutana naye mara kwa mara katika makongamano ya nchi mbalimbali. Nachota sana Ufundi.
Tweet media one
27
78
949
@Nashemcee
Maalim Nash
3 years
DC Wa Kahawa.
Tweet media one
44
40
861
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Ukiwa mchezaji wa Tanzania halafu ukawa na wanao Wachambuzi,IMEISHA HIYO.
Tweet media one
19
35
863
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Mahalim huoni kama kutoa Alubam utazipoteza Singo zako hiti song?
Tweet media one
45
22
834
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Nipo nje ya Uwanja wa @spursofficial Mkianza jeuri, picha ya pili nimekamatia ile kitu ya kukera bila Kupepesa macho nawajulisha mpaka Tottenham Hotspurs kilichotokea.Kwa ufupi tu ndugu yangu, kwenye masuala ya Yanga usitegemee nikatumia Akili zangu nazoandikia mashairi.🤣
Tweet media one
Tweet media two
43
50
853
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
MUZIKI WA SPUNDA....
Tweet media one
18
27
857
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
🤲🏿
Tweet media one
38
27
807
@Nashemcee
Maalim Nash
2 months
Album mpya soon.. VINA VYA SULUHU.
Tweet media one
68
51
824
@Nashemcee
Maalim Nash
11 months
Wasenge wa ukubwani.
@420Cousin
cousin 420
11 months
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Zawadi kwa Mama…!! Bila Juhudi za Rais Samia na Serikali ya CCM Taifa Stars isingefuzu!!! Salute 🫡
Tweet media one
160
24
276
98
60
806
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Mahalim ile ngoma yako ya Tabia ni kweli au umetunga tu?
Tweet media one
30
18
777
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Tumekubaliana na Mh. Rais Mtarajiwa 2025, Chaumma Full Hip Hop haina udwanzi wa Chipuka wala Chipukizi.
Tweet media one
37
42
788
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Alhamdulillah. Nimefika salama hapa Zurich,nchini Uswissi. Nimepata mualiko wa kutumbuiza katika @sunntigzhypher ama Sunday Cypher. Nitaamsha hapo siku ya Jumapili na kuendelea kuiwakilisha Bendera ya Wanangu wote wanaonikubali mpaka wale wanaosema natumia filter 😃. Zetu Dua.
Tweet media one
41
50
781
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Maalim natafuta sana ngoma zako Mtandaoni sizipati, unatuzingua wanao haupo SportFai.
Tweet media one
35
26
760
@Nashemcee
Maalim Nash
4 years
Mtangazaji akamuuliza Duke Tachez, Kwa nini Album zenu mmeamuwa kuziita Mixtape na vitu ka hizo? ? Duke Tachez- Simu Ikakatwa.
68
57
728
@Nashemcee
Maalim Nash
2 months
Jana tulipata wasaa mzuri sana kumtembelea Mjomba @professorjaytz nyumbani kwake na kubadilishana maarifa na soga mbalimbali, hakika ilikua siku nzuri sana, tumekubaliana tutayarish EP ambayo mauzo yake pesa yote itaenda katika mfuko wa Professor Jay Foundation.
Tweet media one
24
80
756
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
Tafadhali twende YouTube tukaitazame na kutoa maoni yetu pale. In Shaa Allah.
37
179
759
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
We Misso Misondo Umepigaje hapo?
Tweet media one
22
24
751
@Nashemcee
Maalim Nash
5 months
Tweet media one
38
24
738
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Nimefurahi sana kukutana na Mtayarishaji na Mwanachama wa TamaduniMuzik Bunduki Midundo, pande hizi tegemea lolote.
Tweet media one
18
36
711
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Siku ya jana nilipata mualiko kutoka Chuo kikuu cha Humboldt kupitia Baraza la Kiswahili la Berlin ( BALAKI-BE) na kupewa nafasi ya Kuwasilisha mada, Wasilisho langu lilihusu, (Nafasi Ya Hip Hop katika kukuza Maadili mema 🇹🇿). Kwa taarifa zaidi tembea IG yangu.
Tweet media one
27
63
705
@Nashemcee
Maalim Nash
9 days
Mapema leo hii katika Makaburi ya Mwinyi mkuu Magomeni na Ndugu yangu katika Imani Suma Lee,tukimsindikiza Ustadh Adam Ahmad Abdallah katika safari yake ya mwisho hapa Duniani
Tweet media one
12
35
720
@Nashemcee
Maalim Nash
4 years
Hip Hop Kampeni. Kama unaaminia Chauma itachukua Dola 2020 njoo hapa tujuane. Hatutaki Masinichi. Bahari tutaipeleka Dodoma.
Tweet media one
44
34
691
@Nashemcee
Maalim Nash
11 days
Hawa watu hawaaminiki hawa! 15.06.2024 Rais kipenzi akiwa ITV.
Tweet media one
10
31
708
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Mwanachama kutoka Tawi la Chamazi Bamia nikiwakilisha wanangu wote wa Bamia.
Tweet media one
18
23
687
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Zimebaki siku 8 Album yangu mpya itoke rasmi. Kama unaona huwezi kununua Album kwa njia zetu unaachana nazo unatafuta Album zingine zilizowekwa katika njia zinazokufurahisha. Kuliko kuongea UKHANITHI na kujiona mna hoja kumbe ninyi ni Mwandiga FC na mpo nyuma kwa bao moja.
Tweet media one
36
34
672
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Asante Mama umeniwezesha kupitia hela yangu nimekula Biriani.
Tweet media one
44
35
665
@Nashemcee
Maalim Nash
4 years
Natoa pongezi za dhati kabisa kwa Simba Sc kwa kutufunga na kudhihirisha kwamba wao ni Bora dhidi yetu. Hakuna mchawi katika ukweli. Simba kwa msimu huu ni bora.
22
41
649
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Juzi tu hapa Taifa Stars walizawadiwa Milioni 500 acha hela zinazoitwa Goli la mama kwenda kwa Simba na Yanga, leo tunaambiwa kuna Harambee ya kuchangia Taifa Stars. Innallilahi Wainnailaihi Rajiun.
Tweet media one
38
51
664
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Arsenal Tanzania 🇹🇿 ileee! Kwanza kabisa namshukuru Mwenyezi Mungu kwa Mchezo kuisha Salama pili Mama yangu,Arafa Nashir Adnan pale Masasi Chigugu hakika bila wewe nisingefika hapa London.
Tweet media one
17
32
652
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Yanga tumewafunga TFF,Bodi Ya Ligi na Wachambuzi Makhanithi.
34
63
640
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Nimejiridhisha sasa kuwa hizi ni Tuzo za Kumshukuru Rais,Nilale.
32
22
632
@Nashemcee
Maalim Nash
19 days
Karibu sana wadau tusukume Reli kipande hiki .
Tweet media one
13
27
652
@Nashemcee
Maalim Nash
16 days
Sema vizuri na nafsi yako mjini kuna vya watu. Utamponza Mwaikimba.
Tweet media one
34
46
625
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Dakika kadhaa zilizopita nilikuwa na Professor Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili Hospital ni mmoja ya watu Fresh sana, Amenimegea madini mengi nimeshiba vya kutosha, Alhamdulillah maarifa yanaongezeka.
Tweet media one
18
30
614
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Sasa katika Daladala nililopanda kuna mchuano mkali sana,Dereva na Konda wake wanagonga ngoma zangu na za @dizastavina , Imetoka Naandika wametandika Kanisa,Kisha VVU wakaachia No Body is Safe.🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿😃😃😃😃 Mpaka tufike Kariakoo kazi ipo.
43
54
601
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Leo nimepata nafasi nyingine ya kuzungumza na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Humboldt, Berlin ambao wanasomea taaluma ya Kiswahili Sanifu. Niliwaeleza umuhimu na uzuri wa lugha ya Kiswahili na wao kutembelea Tanzania mara kwa mara wanapopata nafasi. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Tweet media one
25
45
610
@Nashemcee
Maalim Nash
5 years
Tunapinga mauwaji ya watu weusi wenzetu ambao ni wageni katika nchi ya Afrika ya Kusini. Hip Hop haikubaliani na vitendo viovu vinavyofanywa na wananchi wasiotambua thamani ya uhai na heshima ya utu kwa mtu mweusi mwenzie. #saynotoxenophobia
46
161
580
@Nashemcee
Maalim Nash
2 months
TMK Ndiyo Zetu Walumendago TMK Ojiz .
Tweet media one
16
18
594
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Mahalim kwanini Alubamu yako umeipa jina la miksitepu?
Tweet media one
33
16
579
@Nashemcee
Maalim Nash
3 years
Vijana mnajisahau Sana,Hampo Marekani Njoeni mjifunze KUJIBRANDI hapa
Tweet media one
44
30
565
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Athumani YengaYenga wa Mpanda,Katavi.
Tweet media one
30
20
575
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Nikiwakilisha mabingwa na wacheza Finali ya kombe la shirikisho barani Afrika @Yanga1935 kutokea nchini Ujerumani. Nasikitika kuzikosa mechi zote zilizosalia za timu yangu. Dah!
Tweet media one
22
28
571
@Nashemcee
Maalim Nash
5 months
Wanachama Wa Yanga wanafurahia kwa Nguvu zote tofauti sana na mashabiki.
Tweet media one
13
29
563
@Nashemcee
Maalim Nash
4 years
Tweet media one
25
38
548
@Nashemcee
Maalim Nash
30 days
Tasuba, Bagamoyo tupo hapa kuanzia saa 11 jioni moto utawaka. @HiphopAsili
Tweet media one
15
52
562
@Nashemcee
Maalim Nash
4 years
Tweet media one
35
20
525
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Taarifa. Namtambulisha kwenu Professor Aldin Muthembei, Mhadhiri Mwandamizi na Mbobezi Nguli wa Lugha ya Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam maarufu kama Mlimani, yeye ndiye aliyetoa nasaha za utangulizi kwa Kutuambia Mhadhiri ni Nani? Katika Album yangu. #MHADHIRI
Tweet media one
18
36
520
@Nashemcee
Maalim Nash
11 months
Walikuwa wameandaaa PDF ndeeefu Kuhusu Tshabalala,Kapombe na Fey Toto 😀😀😀😀😀😀
36
35
519
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Rasmi Maarifa na Masomo ya Mhadhiri haya hapa. Kikosi chetu. MHADHIRI ALBUM 2022.
Tweet media one
26
117
510
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 USHINDI MKUBWA.
@worldemcee
World Emcee
2 years
The Tanzanian Legend @Nashemcee just torched the roof 🔥
167
678
2K
58
92
513
@Nashemcee
Maalim Nash
21 days
Othman Mutalemwa Mushumbusi Mhaya mpya,Mwana Yanga mpya kutoka Muleba Kamachumu.
Tweet media one
35
23
525
@Nashemcee
Maalim Nash
5 years
Kutokea 2018 - 2019 Nikki Mbishi anastahili kupewa heshima yake kuwa ni Emcee mkali mwenye uwezo usio na ubishani. @NikkiZohan
31
56
495
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Inawezekana vipi sijui kwa mtu unayependa Hip Hop mpaka sasa huna Album ya Dizasta? Moja Kati ya washairi wa kweli nchini tuliobarikiwa kwa kizazi hiki na bei ni rafiki kabisa pia uuzaji ni rafiki kabisa. Mcheki @dizastavina ununue Album Hii haraka sana,bei ni rafiki mno.
Tweet media one
17
117
514
@Nashemcee
Maalim Nash
10 days
Tunapiga Hip Hop ambayo huwezi kuisikia Redioni.
Tweet media one
15
63
516
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
TAARIFA: Alhamdulillah,kila kitu kipo safi hapa London na wakati huu nimeshafika katika Kongamano na tayari kwa kuwasilisha mada yangu Lakini pia kutumbuiza kidogo kwa ajili ya kuendelea kuitangaza lugha yetu ya Kiswahili. Taarifa zaidi zitawajia kupitia CBTV CHAMAZI BAMIA TV.
Tweet media one
25
55
512
@Nashemcee
Maalim Nash
24 days
Wa mbele wainame, wanyume tupate kuona.
Tweet media one
29
24
506
@Nashemcee
Maalim Nash
2 months
Makhanithi mnaokaa vikundi katika radio zenu tunaomba makala za kususia medali na mtueleze kanuni na Sheria zinasemaje. Kwa Hisani Ya Wazawa.
Tweet media one
19
28
501
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Jana nilipata wito kutoka kwa Dokta Husein Abass Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo,Sanaa na Utamaduni,Kujadili na kuona namna bora zaidi ya kuutumia ule ubeti wangu nilioupiga katika jukwaa la @worldemcee ambao una ubunifu wa kipekee wa kutangaza Vivutio vyetu. Royal Tour Verse.
Tweet media one
42
61
483
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Mh.Rais leo amewataka Wasanii watumie nyimbo zao kuelimisha jamii, Mlio karibu na Mh. Mwambieni hizo nyimbo za aina hiyo haziuzi na ndiyo maana hata Wasanii wengi waalikwa si wenye nyimbo za aina hiyo. Shukrani. Hamburg ➡️ Gothenburg Sweden.
Tweet media one
23
32
483
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Parody la Hip Hop Magokoro Khali.
Tweet media one
26
17
482
@Nashemcee
Maalim Nash
8 months
Daraja La London. Wahuni hatuna maana.
Tweet media one
16
24
489
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
MHADHIRI SUGU Asante Mjomba Sugu kwa kuniita na kununua Album yangu mpya ,si mara ya kwanza wala ya pili kununua kazi zangu na kila tunapokutana huachi kunipa nasaha na kunieleza furaha yako kila unapoona Harakati zangu zikienda katika njia Chanya za mafanikio. @TheRealJongwe
Tweet media one
5
48
487
@Nashemcee
Maalim Nash
1 month
Umoja wa Vijana wa CHAUMMA tunaendelea kugawa VPN Bamia.
Tweet media one
17
23
493
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Tweet media one
14
23
484
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Unajua mimi Hip hop yangu naifanyia Rotesheni,paap, Marekani,paap Ujerumani,paaap tena Uingereza, kwa hiyo striming ukiweka na rotesheni ni simpo kuwadaka new fans na mashabiki pia katika market strateji ya Coffee Maker. Ivo Yani.
Tweet media one
33
24
487
@Nashemcee
Maalim Nash
7 months
Underground ni msanii asiyejulikana😂😂😂😂😂.
Tweet media one
25
17
485
@Nashemcee
Maalim Nash
2 months
VINA VYA SPUNDA.
Tweet media one
7
16
480
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Kaka mwenye Swawabu zake.
Tweet media one
11
11
469
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Hazina Sura Ya Kwanza -Mixtape 2011 Mzimu wa Shaaban Robert - Album 2012 Chizi - Mixtape 2013 Mchochezi -EP 2014 Diwani Ya Maalim - Album 2019 Tumehitimu EP - 2020 Vitasamoto - Album 2020. + Bonus Ya Single 15. Zote kwa 30,000/= Kwa Wanunuzi wa kweli njoo WhatsApp 0769522346.
Tweet media one
20
105
465
@Nashemcee
Maalim Nash
1 year
Makao makuu ya wandandu. Chama langu la damu kabisa.
Tweet media one
8
17
470
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Mwanangu wa Pili wa Kiume, Nashir Mutalemwa Mushumbusi leo Katika mahafali ya kuhitimu Elimu ya Awali, ametangazwa kuwa Mwanafunzi Pekee aliyefanya vizuri katika Somo la Kiswahili. Mhaya amejizaa. Shukrani kwa Mwenyezi Mungu.
Tweet media one
37
22
454
@Nashemcee
Maalim Nash
2 years
Naitwa Naniii? Aaaaaah! Palestina Madina Vina Macca,Mzuzu Chata, Kitambo nawasha waliniita Nash Kenyatta.
29
86
452
@Nashemcee
Maalim Nash
3 months
CBTV ipo katika hali mbaya sana chuki zenu zinahitajika mno. Asalam Aleykum.
Tweet media one
22
18
459
@Nashemcee
Maalim Nash
5 months
Naibu katibu Mkuu wa Choyo na Fadhila.
Tweet media one
13
13
458
@Nashemcee
Maalim Nash
6 years
TANZIA. Dada yangu wa 3 kuzaliwa wa mama mmoja, Kulwa Ofula, amefariki jioni hii ya leo katika Hospitali ya Ndanda,Masasi. Maziko yatafanyika kesho saa 10 alasiri Kilwa Kivinje. Insha Allah. Mwenyezi Mungu amuweke Panapostahili. M.A.P
110
39
435
@Nashemcee
Maalim Nash
23 days
Pale unapoona kuna mchizi wanamuaminiaga kumbe ni Msukuma Reli Mkanyagwa Mwandamizi.
Tweet media one
14
34
455