Moker___ Profile Banner
Moker πŸ‘οΈ Profile
Moker πŸ‘οΈ

@Moker___

Followers
15K
Following
151K
Statuses
149K

@ChelseaFC | ζ‘£ζ‘ˆπŸ‘οΈ

Hatukai Sana
Joined July 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
5 months
jamani kuna wizi umeingia sasaiv madereva wa Boda Boda , Huyo ni Dereva BodaBoda , Kaniibia Simu yangu na Handbag kwa pamoja kakwapua na kuondoka kwa spidi na pikipiki .. Kwa Bahati nzuri sehemu aliyonishusha kulikuwa na CCTV camera , Yoyote atakayefanikiwa kumpata atapata zawadi
Tweet media one
443
305
2K
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
1 hour
RT @ComradeKawaida: USHAURI WANGU KWA VIJANA WENZANGU ... Usihukumu kila siku kwa mavuno unayovuna bali ni kwa mbegu unazopanda ... #Sauti…
0
5
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
1 hour
@ComradeKawaida Akili Kubwa πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
0
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
1 hour
@millardayo Hayo majani kazi yake nini?
0
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
2 hours
1
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
2 hours
@JohnNgutiCDM Acheni Kutuchanganya Nyie Wanaharakati Uchwara.
Tweet media one
0
0
2
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
2 hours
0
0
1
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
2 hours
RT @manywele_ze: RAIS SAMIA AMEBORESHA MIUNDOMBINU BORA NA YA KISASA YENYE TIJA Katika kipindi uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan amefan…
0
22
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
Mama Anafanikisha
0
1
1
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
RT @Mastaa01: MAGEUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA NISHATI CHINI YA RAIS SAMIA Tanzania imepiga hatua kubwa katika upatikanaji wa umeme chini y…
0
23
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
Mitano Tena kwa mama
@Bizydan
Wiseman 😎
3 hours
HATUA MBALIMBALI ALIZOCHUKUA DR SAMIA SULUHU HASSANI KUTHIBITI RUSHWA TANZANIA. 1kuimarisha taasisi za kuthibiti na kupambana na rushwa mfano TAKUKURU kwa kuwapa mamlaka zaidi na rasilimali za kutosha ili waweze kuchunguza na kuchukua hatua dhidi ya rushwa.
Tweet media one
0
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
RT @Bizydan: HATUA MBALIMBALI ALIZOCHUKUA DR SAMIA SULUHU HASSANI KUTHIBITI RUSHWA TANZANIA. 1kuimarisha taasisi za kuthibiti na kupamban…
0
14
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
● Uboreshaji wa Sekta ya Nishati: ● Ujenzi wa Madaraja Makubwa: Jitihada hizi za Rais Samia Suluhu Hassan zimeimarisha miundombinu nchini, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa Tanzania.
0
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
Mama Anafanikisha #SamiaNakupaTano
1
2
2
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
3 hours
RT @muhaluro1: Kukua kwa uwekezaji chini ya Profesa wa uchumi na siasa Dkt Samia Suluhu. Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais. Dk…
0
27
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
4 hours
Mama Anafanikisha
@Godfxer_fan
Godfather fan
4 hours
UONGOZI MADHUBUTI WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA NA MADAWA YA KULEVYA. Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha utawala bora kwa kupambana na rushwa na kudhibiti madawa ya kulevya kwa vitendo. Kupitia TAKUKURU na mpango wa TAKUKURU RAFIKI, serikali ya Mama Samia imefanya mikutano 1,039, ambapo kero 8,708 ziliibuliwa, na kati ya hizo, 5,061 zilipatiwa ufumbuzi katika sekta muhimu kama afya, elimu, maji, nishati, ujenzi, ardhi, kilimo, na usafirishaji. Hili limeongeza uwajibikaji na uwazi katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Kwa kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa, serikali imeendesha mikutano 11,033 na kuwafikia wananchi milioni 4.86, huku zaidi ya klabu 22,362 za wapinga rushwa zikianzishwa kwa ajili ya vijana. Hii imeongeza uelewa wa jamii kuhusu athari za rushwa na umuhimu wa uwajibikaji. Katika vita dhidi ya madawa ya kulevya, serikali imeongeza doria na udhibiti wa mipaka, kuimarisha sheria, na kushirikiana na mashirika ya kimataifa. Pia, imeweka mikakati ya kusaidia waathirika kwa kuwapatia tiba na kuwawezesha kurejea katika jamii. Kwa juhudi hizi, Rais Samia ameendelea kujenga Tanzania yenye uwazi, uwajibikaji, na maendeleo endelevu. Uongozi wake thabiti na maono yake makubwa yanastahili pongezi kwa kuleta mabadiliko chanya kwa Taifa, hakika mama anatosha mitano tena kwa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan. #SamiaNakupaTano
Tweet media one
0
6
5
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
4 hours
RT @Godfxer_fan: UONGOZI MADHUBUTI WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA NA MADAWA YA KULEVYA. Mhe. Rais Dkt.…
0
25
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
4 hours
Mitano Tena kwa mama
@Sirajitz1
Headboy wa mtaa
4 hours
Rais Samia Suluhu Hassan ameimarisha diplomasia ya Tanzania kwa kufungua milango ya uwekezaji na ushirikiano wa kimataifa. Kupitia diplomasia ya uchumi, amevutia wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali na kuimarisha biashara na nchi jirani.πŸ‘‡πŸΏ #SamiaNakupaTano
Tweet media one
0
0
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
4 hours
RT @Sirajitz1: Rais Samia Suluhu Hassan ameimarisha diplomasia ya Tanzania kwa kufungua milango ya uwekezaji na ushirikiano wa kimataifa. K…
0
19
0
@Moker___
Moker πŸ‘οΈ
4 hours
Mama Anafanikisha #SamiaNakupaTano
0
0
0