Muhaluro Jr Profile Banner
Muhaluro Jr Profile
Muhaluro Jr

@muhaluro1

Followers
14,056
Following
5,239
Media
3,656
Statuses
271,616

MUNGU Ni Mwema Sana. 🙏🏿

Kremlin Palace
Joined September 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Mshauri Mkuu Katika Mambo Yako Ya Msingi Ni Nani!? 1; MAMA 2; BABA 3; MPENZI/MKE/MCHUMBA 4;RAFIKI au 5; UNA TATUA MWENYEWE.
115
38
556
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Siji kuisahau ile siku natembea na Mpenzi wangu Bishoo mmoja akasimama na ALTEZA yake alafu akamuuliza Bae "Mbona unatembea peke yako?! kidogo Nizilai...😭😭😭
91
28
479
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
@clarseek_haji RT my pinned tweet
0
0
343
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Napenda WANAWAKE na huwa nawasimamisha Ila kutongoza siwezi. Mimi ni nani??!
103
2
369
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Kijana anaye ishi pekeyake/Hajaoa anaitwa Bachela.! Vipi Kuhusiana na mwanamke anayeishi peke yake,,...? Tumuiteje???
172
11
344
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Yaliyojili huko nchini Facebook. ''Kabla sijawa tajiri kama kuna mtu anataka kufa afe kabisa, Sio baadae niwe tajiri ndo ufe, nionekane nimekutoa kafara." 😂😂😂 Duuh.!!
30
24
345
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
TAFADHALI, wapi naweza pata girlfriend asiye na boyfriend ..??
87
12
329
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Huna nyumba, huna gari huna Pesa alafu bado unawaza mapenzi ivi unapata wapi huo muda na nguvu za kufikiria Ivo vitu??!
37
23
330
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Umeamka Asubuhi Unakuta MISSED CALL 7 kwenye Simu YakO, 1.Anayekudai 2.Unayemdai 3.Baba yako 4.Mama yako 5.Crush wako 6.Mama Mkwe 7.Mpenzi wako Utaanza kumpigia Nani?
138
14
303
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Unae isoma hii tweet, August iwe mwezi wenye baraka na fursa mpya za kiuchumi..I pray this to be financial month of your LIFE. 🙏🙏
11
17
304
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Dear SISTERS, Sio kila mwanamke aliandikiwa kuolewa na mwanaume tajiri/Anaye jiweza kifedha, Wengine mmeandikiwa kuwafanya Wanaume wenu matajiri. ✌😍
21
25
298
@muhaluro1
Muhaluro Jr
27 days
0
0
308
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Kuna rafiki yangu kafungua AC mpya ya twitter, kazama DM Kwa babe wake na kumtongoza alicho jibiwa kaanza kulia na kutafuta konyagi ikowapi...!!😂 Bi dada kamjibu ''Yupo single kwamba Boyfriend wake amefariki miezi 6 ilopita.'' 😭💔
39
10
279
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
.....Haki Naishi peke yangu ila bado sielewi vijiko vinapotelea wapi aisee,.....😨😨
35
10
290
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Umemuona MBU kwenye kichwa cha Ex wako, unaweza kuua kwakutumia kifaa gani...??? 😁😁😁
94
4
276
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Nimekutana na SIFA 5 za BAHARIA,....😂😂 1,-Anatia nanga popote. 2,-Hatishwi na dhoruba la kublokiwa. 3,-Muda wowote nanga inavutwa tuna sepa. 4,-Hajui lolote kuhusu ukame. 5,-Kuhonga MWISHO chips mshikaki na buku ya bajaji.
30
31
270
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Kwa hiyo ADELLE pamoja na kuimba ma song ya mahaba vile na yeye katoswa.? 😂😂😂 Wanaume tuna jijua wenyewe
25
19
267
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
MBINU 10 ZA KUONGEZA AU KUVUTIA WATEJA KWENYE BIASHARA. 1 Lugha nzuri 2 Huduma au bidhaa za bure 3 Punguzo 4 Shindano 5 Anzisha tovuti au blog 6 Tumia Mitanda ya kijamii 7 Matangazo 8 Toa misaada 9 Lenga changamoto 10 Shirikiana na Biashara au kampuni kubwa #ElimikaWikiendi
7
56
264
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Nikiwaga Sina Kazi Napendaga Kusikiliza MAPIGO YA MOYO. 😂😂
22
8
248
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Ukikuta MWANAUME anampa simu Mpenzi wake ashike jua huyo Mwanaume hana Nguvu zakiume.🏃🏃🏃
30
13
247
@muhaluro1
Muhaluro Jr
15 days
@CFC_Janty I get why Maresca binned Sterling now
1
0
262
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Vijana ambao hatuvuti sigara, bangi, kunywa pombe,kutembea na wapenzi/wake za watu, hatupendi siasa,wanawake, mziki na mpira, tuna nidhamu bado tupo. #ElimikaWikiendi
36
13
249
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Dear GOD, Asante tumeamka salama, waponye na kuwatia nguvu wale wote wenye uhitaji. Simama mbele na utuongoze katika kila litendekalo. Ikawe wiki yenye kiLa jema mbele zetu, kazi, biashara na ajira zifunguke kwa uwezo wako. 🙏🙏
7
25
236
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Hivi ushawahi kuwa single Hadi unajiangalia kwenye kioo Halafu unajiuliza ''Baby umekula''?? 😂😂😂
18
10
226
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
, demu mzuri hivi halafu unakuta kuna boya anamcheat jamn daah,...😩
48
1
222
@muhaluro1
Muhaluro Jr
8 months
Mwanaume Unatakiwa Kuwa Na Mambo Matatu Tu (3) 1: Hofu ya Mungu. ✅ 2: Akili. ✅ 3: HELA. ✅ Rudia Tena 1,2 na 3.
26
95
231
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Una Demu ametoboa Masikio, ametoboa pua, ametoboa ulimi mpaka kitovu, Na zaidi amejichubua, Halafu unasimama unasema Hujawahi kumuona SHETANI....??????? 😁😁😁😂
22
12
225
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Utafiti Unaonesha Mademu wafupi Huwa Wanajua Sana Mapenzi. 😊😊💘
32
3
225
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
MWANAUME kuhonga mwisho shingapi??
58
6
210
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
"Nikipoteza Kitu cha Thamani Nitauzunika Nitasahau Ila Nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika Kamwe." Wanawake 🙌🙌 Hii ni baada ya kumtumia jana 35k 😂😂
22
10
209
@muhaluro1
Muhaluro Jr
15 days
@CFC_Janty Chelsea fans Let's connect @muhaluro1
1
0
217
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Hivi crush wako akikuita "my wangu' ndio unakuwa Nani kwake??!
33
2
200
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Kama unaisoma hii TWEET, Utafanikiwa ndani ya huu mwezi [Maombi yako ya kazi, Biashara na kila unalo lipanga] baraka zako zipo njiani, Don't quit what you're doin just push On.
4
14
194
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Nimeamka nasikia "kanyaga nyee nyee kanyanga nyeenyeee" kumbe nyimbo yenyewe 🚮🚮
29
1
187
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Mnapo tushauri Kunywa pombe muwe mnatupeleka na kwenye supu, ona sasa mwili wote unauma 😂😂!!
15
1
193
@muhaluro1
Muhaluro Jr
5 years
Kumsomesha Mpenzi wako sio maamuzi sahihi kwenye Upendo wa kawaida, Endapo ikitokea basi ni UPENDO usio wa kawaida.
16
12
192