Siji kuisahau ile siku natembea na Mpenzi wangu Bishoo mmoja akasimama na ALTEZA yake alafu akamuuliza Bae "Mbona unatembea peke yako?!
kidogo Nizilai...😭😭😭
Yaliyojili huko nchini Facebook.
''Kabla sijawa tajiri kama kuna mtu anataka kufa afe kabisa, Sio baadae niwe tajiri ndo ufe, nionekane nimekutoa kafara."
😂😂😂 Duuh.!!
Kuna rafiki yangu kafungua AC mpya ya twitter, kazama DM Kwa babe wake na kumtongoza alicho jibiwa kaanza kulia na kutafuta konyagi ikowapi...!!😂
Bi dada kamjibu ''Yupo single kwamba Boyfriend wake amefariki miezi 6 ilopita.'' 😭💔
Nimekutana na SIFA 5 za BAHARIA,....😂😂
1,-Anatia nanga popote.
2,-Hatishwi na dhoruba la kublokiwa.
3,-Muda wowote nanga inavutwa tuna sepa.
4,-Hajui lolote kuhusu ukame.
5,-Kuhonga MWISHO chips mshikaki na buku ya bajaji.
MBINU 10 ZA KUONGEZA AU KUVUTIA WATEJA KWENYE BIASHARA.
1 Lugha nzuri
2 Huduma au bidhaa za bure
3 Punguzo
4 Shindano
5 Anzisha tovuti au blog
6 Tumia Mitanda ya kijamii
7 Matangazo
8 Toa misaada
9 Lenga changamoto
10 Shirikiana na Biashara au kampuni kubwa
#ElimikaWikiendi
Vijana ambao hatuvuti sigara, bangi, kunywa pombe,kutembea na wapenzi/wake za watu, hatupendi siasa,wanawake, mziki na mpira, tuna nidhamu bado tupo.
#ElimikaWikiendi
Dear GOD,
Asante tumeamka salama, waponye na kuwatia nguvu wale wote wenye uhitaji. Simama mbele na utuongoze katika kila litendekalo.
Ikawe wiki yenye kiLa jema mbele zetu, kazi, biashara na ajira zifunguke kwa uwezo wako.
🙏🙏
Una Demu ametoboa Masikio, ametoboa pua, ametoboa ulimi mpaka kitovu, Na zaidi amejichubua, Halafu unasimama unasema Hujawahi kumuona SHETANI....???????
😁😁😁😂
"Nikipoteza Kitu cha Thamani Nitauzunika Nitasahau Ila Nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika Kamwe."
Wanawake 🙌🙌 Hii ni baada ya kumtumia jana 35k 😂😂
Kama unaisoma hii TWEET,
Utafanikiwa ndani ya huu mwezi [Maombi yako ya kazi, Biashara na kila unalo lipanga] baraka zako zipo njiani, Don't quit what you're doin just push On.