Tunaalika makampuni, mashirika na wadau ambao wangependa kutumia uwanja wetu wa kisasa kwa shughuli za michezo kwa gharama nafuu ya shilingi 70,000 kwa saa.
Gharama zitapungua ikiwa wahusika wataweka mpango wa matumizi wa muda mrefu.
Uwanja upo Masaki, Dar es Salaam.
Leo August 26, Meneja Masoko wa Justfit Sports Gear LTD, Ndg. Jabir Ally Jabir amekabidhi vocha za zawadi zenye thamani ya TZS 500,000/- kwa washindi wa mashindano ya mbio za masafa marefu za
#CRDBMarathon2022
Karibu JustFitt Arena ufurahie mchezo wa soka pamoja na ndugu, jamaa na marafiki.
Gharama kwa watu wazima ni TZS 80,000 na watoto 60,000 tuu kwa saa.
Tunapatikana Mtaa wa Makai, barabara ya Chole, Masaki.
Kutoka Ofisini umechelewa isiwe sababu ya kukosa kununua vifaa vyako vya mazoezi. JustFit bado tuko wazi sasa hivi. Mpaka saa tatu usiku. Ushindwe wewe sasa!😅
Tunaishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (
@TRATanzania
) kwa kutuamini.
Milango ipo wazi kwa mamlaka, taasisi, wakala, mashirika, makampuni na wadau wengine wanaohitaji huduma kama hizi.
Tupigie; 0787 700 070