InnocentJLS Profile Banner
#NiYeye Profile
#NiYeye

@InnocentJLS

Followers
11K
Following
130K
Statuses
40K

Journalist | Reporter | Football Content Creator | I ❤️ Jesus | Yesu Mwamba Wangu

Kiboroloni, Moshi, Tanzania
Joined October 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@InnocentJLS
#NiYeye
3 years
Bwana u sehemu yangu... 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Tweet media one
5
22
124
@InnocentJLS
#NiYeye
2 hours
@thomasjkibwana Hatimaye Msambaaa amenipa zawadi😂
Tweet media one
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
5 hours
RT @thomasjkibwana: Historia ya Benki ya CRDB Benki ya Ardhi ya Tanganyika (Land Bank of Tanganyika - LBT) ilianzishwa mnamo 1947 na seri…
0
13
0
@InnocentJLS
#NiYeye
15 hours
RT @anuskills3: Bado hujasajili na 1XBET? Unangoja nini?! ✅ Odds kali kupita kawaida! ✅ Bonasi ya hadi 300% kwenye deposit yako ya kwanza…
0
18
0
@InnocentJLS
#NiYeye
17 hours
RT @bajabiri: 😁
0
1
0
@InnocentJLS
#NiYeye
17 hours
@bajabiri 😂😂😂
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
18 hours
RT @anuskills3: STAMICO yazidi kuimarika! Mtambo mpya wa Reverse Circulation (mita 300) unarahisisha uchimbaji na kupunguza madhara ya ki…
0
8
0
@InnocentJLS
#NiYeye
19 hours
@YoungAfricansSC Nina shida na hiyo hela, hakikisheni na mimi nafurahi
Tweet media one
2
0
7
@InnocentJLS
#NiYeye
19 hours
Sio tamaa ya pesa tuu, ni tamaa ya pesa, nyama na pombe za bure
@yose_hoza
Holy
20 hours
Tamaa ya pesa huwa inaharibu akili ya mtu. Tunza moyo.
1
0
2
@InnocentJLS
#NiYeye
20 hours
RT @INFLUENCERjr: Zawadi pekee niliwahi kupokea siku ya valentine ilikuwa ni kadi fulani hivi ukiifungua ina wakawaka na kulia ilikuwa 201…
0
33
0
@InnocentJLS
#NiYeye
22 hours
RT @ayo_shangwe: Vituko vya mwaka 😀😀😀 kwamba Serikali ina lalamika wakili ana ipendelea ACT Wazalendo 😳 haya ni maajabu 😃😃😃
0
1
0
@InnocentJLS
#NiYeye
23 hours
RT @thomasjkibwana: Ipo Ibara ya 99 ya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 lakini naona inaongelea zaidi kumzuia mtu kupiga kura na sio…
0
2
0
@InnocentJLS
#NiYeye
23 hours
RT @thomasjkibwana: Ocean Road Cancer Institute ilianza kutoa huduma mwaka 1895. Mwaka huu wanatimiza miaka 130. Kazi wanayo fanya kutoa h…
0
6
0
@InnocentJLS
#NiYeye
23 hours
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
@ayo_shangwe Dada yangu, huko Mahakamani sahau, kwenye sanduku la kura ndo kabisa sahau, Nyie nendeni kwenye uchaguzi kama mlivyopanga, tupambane kwa pamoja kila mtu kwa njia zake, ipo siku tutakuwa na Katiba mpya, Tume huru mpya na mfumo huru wa uchaguzi.
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
Tweet media one
1
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
@INFLUENCERjr 😂😂😂
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
@ayo_shangwe Shngwe, mimi si Mwanachama wa chama chochote, sifungwi na itikadi, natoa maoni nikiwa huru, Maoni yangu mwaka huu msiende kwenye sanduku la kura na CCM bila reforms , mtashindwa japo najua mtapewa baadhi ya majimbo , sio mbaya japo mtakuwa hamjatimiza wajibu.
0
0
0
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
@ayo_shangwe Dada Shangwe, mnapambana wapi ?, Mahakamani ?, sehemu ambayo mnajua hamuwezi kupata haki ?, au wapi tena ?, kwenye sanduku la kura ? Uongo. ACT mnaenda kwenye uchaguzi mkiwa mnajua kuwa uwanja ni wao, refa ni wako, kila kitu ni chao, So mnategemea nini hapo zaidi ya kushindwa ?
1
0
1
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
Siku hizi sioni tena zile picha za Wachezaji wa Simba wamebebeshwa unga na mifuko ya sabuni
0
0
4
@InnocentJLS
#NiYeye
1 day
@ayo_shangwe Sula la 20m inafanya nini mnajua nyie, jibuni hoja zangu, Nipo tayari hapa kwa mjadala wa wazi wenye kutumia lugha nzuri na bila makwazo Karibuni
2
0
0