Ambassador Hoyce Temu
2 years
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mheshimiwa Joyce Ndalichako amewasili Geneva, Uswisi tayari kuhudhuria Mkutano wa 110 wa Kazi wa Kimataifa. Pichani, Ndalichako akiwa na wenyeji wake katika Ofisi ya Uwakilishi ya JMT Geneva, Uswisi