LastbornWaMama Profile Banner
Lastborn Profile
Lastborn

@LastbornWaMama

Followers
302
Following
4K
Statuses
10K

| memelover🀭| Proudly TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ |

Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@LastbornWaMama
Lastborn
2 hours
Serikali ipo kazini na #mamayukokazini
@mamanafanikisha
Mama Anafanikisha
2 hours
TASAF yabadilisha maisha ya Bi Asha Simon Mganga mkazi wa Pangani Mashariki. #MamaAnafanikisha
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
2 hours
RT @mamanafanikisha: TASAF yabadilisha maisha ya Bi Asha Simon Mganga mkazi wa Pangani Mashariki. #MamaAnafanikisha
0
22
0
@LastbornWaMama
Lastborn
3 hours
Kazi iendelee #mamayukokazini
@mamanafanikisha
Mama Anafanikisha
3 hours
π–π€π“π€π€π‹π€πŒπ” 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ πŸ—,πŸ’πŸ–πŸ‘ πŠπ”π€π‰πˆπ‘πˆπ–π€ Katika mwaka huu wa fedha, serikali imetoa kibali cha kuajiri wataalamu wa afya 9,483 ambao watapangiwa maeneo yenye upungufu. #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
3 hours
RT @mamanafanikisha: π–π€π“π€π€π‹π€πŒπ” 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ πŸ—,πŸ’πŸ–πŸ‘ πŠπ”π€π‰πˆπ‘πˆπ–π€ Katika mwaka huu wa fedha, serikali imetoa kibali cha kuajiri wataalamu wa afya 9,4…
0
26
0
@LastbornWaMama
Lastborn
4 hours
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
4 hours
RT @mamanafanikisha: Rais Samia Suluhu anatarajia kufanya ziara ya kikazi Addis Ababa nchini Ethiopia kuanzia tarehe 14-15 Februari, 2025 a…
0
28
0
@LastbornWaMama
Lastborn
5 hours
RT @mamayukokazini: π“π€π…π’πˆπ‘πˆ π‡π€π‹πˆπ’πˆ π˜π€ π’π„π‘πˆπŠπ€π‹πˆ π˜π€ 𝐖𝐀𝐓𝐔 #MamaYukoKazini
Tweet media one
0
76
0
@LastbornWaMama
Lastborn
20 hours
Rais Samia Suluhu amewatibu wananchi wa Wilaya ya Pangani kwa kuwaboreshea miundombinu ya Afya katika Hospitali Kongwe ya Wilaya. Hadi sasa huduma mbalimbali zinaendelea kutolewa katika hospitali hiyo. #MamaYukoKazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
7
3
@LastbornWaMama
Lastborn
21 hours
RT @mamayukokazini: πŒπ€π“π”ππƒπ€ π˜π€ππ€πŽππ„πŠπ€ππ€ Utoaji wa chanjo bure kwa kuku umeongeza uzalishaji wa mayai kutoka Bilioni 5.50 kipindi cha 2022/…
0
125
0
@LastbornWaMama
Lastborn
21 hours
RT @mamayukokazini: πŒπ€π“πŽπŠπ„πŽ π˜π€ π”π–π€π‰πˆππˆπŠπ€π‰πˆ 𝐍𝐀 π”π–π„πŠπ„π™π€π‰πˆ 𝐖𝐀 πŠπ–π„π‹πˆ πŠπ–π„ππ˜π„ π“π„πŠππŽπ‹πŽπ‰πˆπ€, πŒππŽπ‹π„π€, ππ„πŒππ„π‰π„πŽ 𝐍𝐀 π‘π€π’πˆπ‹πˆπŒπ€π‹πˆ 𝐖𝐀𝐓𝐔 #MamaYukoKazini ht…
0
87
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuongeza eneo la umwagiliaji. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Mama amefanya mapinduzi makubwa katika kilimo cha umwagiliaji. Ndani ya kipindi cha miaka 3, eneo la umwagiliaji limeongezwa kufikia 74.7%. #mamayukokazini #mamaanafanikisha
Tweet media one
0
1
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kujenga skimu mpya za umwagiliaji MAMA AMETEKELEZA πŸ‘‡ Skimu zimejengwa na Utekelezaji wa mipango ya kuwezesha kilimo cha umwagiliaji inayoendelea nchi nzima ni kielelezo tosha. #Mamayukokazini #mamaanafanikisha
Tweet media one
0
1
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuimarisha usimamizi wa maafisa ugani, kuwawezesha na kuwapatia vitendea kazi. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Serikali ya awamu ya sita imewawezesha maafisa ugani kwa kuwapatia vitendea kazi mbalimbali. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vidogo, vya kati na vikubwa vya kusindika mazao ya mifugo MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Kupitia maboresho ya sera, sheria na mazingira wawekezaji wamevutiwa na kuwekeza nchini #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
1
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuimarisha mazingira ya ujenzi wa viwanda vya kimkakati kwa kufanya mapitio na maboresho ya sera. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Sasa kuna ongezeko la viwanda nchini. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
2
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuchukua hatua za makusudi kuwezesha ustawi wa viwanda vya ndani ili kuwa shindani. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Sasa kuna ongezeko la viwanda vya wazawa ambao wanawekeza nchini. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kutenga na kuendeleza maeneo maalum ya uwekezaji (EPZ/SEZ) na kuyawekea miundombinu muhimu. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Serikali imetenga maeneo ya uwekezaji wa kuyawekea miundombinu muhimu. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
1
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kuweka mazingira wezeshi ya biashara na kuhakikisha kwamba zinapatikana fursa nafuu za kibiashara ili kuchochea ujenzi wa viwanda na uzalishaji wa bidhaa. MAMA AMETEKELEZAπŸ‘‡ Mazingira yameboreshwa na biashara zinafanyika. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
1
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kufanya mapitio na maboresho ya sera na mikakati mbalimbali itakayoimarisha mazingira ya ufanyaji biashara na kukuza biashara ndani na nje ya nchi. MAMA AMETEKELEZA Maboresho yamefanyika na mazingira yapo vizuri. #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
0
0
@LastbornWaMama
Lastborn
1 day
ILANI ILIAGIZAπŸ‘‡ Kubuni na kutekeleza mikakati ya kurahisisha mazingira ya ufanyaji biashara nchini kwa kuimarisha utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara nchini. MAMA AMETEKELEZA Masoko ya kimataifa yanafunguliwa nchini #mamayukokazini #MamaAnafanikisha
Tweet media one
0
0
0