HaongaHon Profile Banner
Pascal Yohana Haonga Profile
Pascal Yohana Haonga

@HaongaHon

Followers
14K
Following
1K
Statuses
544

Member of Parliament-Mbozi Constituency (2015-2020).

Tanzania
Joined August 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 hour
@bbcswahili Very sad!
0
1
1
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 hour
Chama legelege huzaa Serikali legelege, pia chama mzigo huzaa Serikali mzigo.
Tweet media one
1
3
19
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
5 days
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mpambanaji Dereck Magoma kilichotokea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Magoma ni Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Mkoa wa Manyara,pia mwaka 2020 aligombea Ubunge Jimbo la Hanang kupitia CHADEMA.May his soul rest in eternal peace.
Tweet media one
3
35
239
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
10 days
Huyu mwenye mashavu mithili ya paka anayeishi kutegemea jalala aache ujinga.Uropokaji hautamsaidia,wananchi hawatakubali ujinga kama ule wa 2019,2020 na 2024.
Tweet media one
4
9
70
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
13 days
@Eng_Matarra Ahadi kuelekea uchaguzi ni rushwa
1
0
3
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
13 days
@Kalonga56483302 Wabunge wa mchongo hawawezi kufanya jambo la maana zaidi ya upuuzi.
0
0
0
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
13 days
@JumaAbdukarim Kweli hii ni laana ya kuiba kura.
0
1
1
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
16 days
Leo Wasira atalala na viatu,akiamka kesho atakosea kufunga vifungo vya suti.Hongera kwa kuhutubia Taifa kaka @HecheJohn.
Tweet media one
3
25
224
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
18 days
Mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika unawezaje kuathiriwa na press conference ya chama cha siasa?.Kilichofanywa leo na Serikali ya CCM kupitia Jeshi la Polisi ni uzwazwa tu.
Tweet media one
1
12
60
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
23 days
Huu ni ukomavu wa kiwango cha juu sana katika demokrasia ndani ya chama chetu.Umeonyesha uungwana mkubwa sana kukubali matokeo kamanda Mbowe @freemanmbowetz . Hongera sana Tundu @TunduALissu kwa kuaminiwa.Kilichobaki ni kuunganisha wanachama wetu waliogawanyika wakati wa kampeni.
Tweet media one
7
35
191
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 month
@Nnauye_Nape Mwizi wa kura upo?
0
0
9
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 month
Hii ni taarifa mbaya na ya kushitua.Tupambane kupaza sauti kwa ajili ya mpiganaji huyu asiyechoka.Maria @MariaSTsehai amekuwa msitari wa mbele kutetea haki za Watanzania wengi.Bring back Maria Sarungi.
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
1 month
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Tweet media one
4
63
138
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 month
Tatizo la ajira Tanzania ni janga kubwa sana.Serikali ya CCM haiwezi kumaliza tatizo hili.Kama walioomba ajira za Ualimu ni 201,707 katika nafasi 14,648 zilizotangazwa itahitajika miaka 14 kuwaajiri waombaji wa mwaka huu tu.Bado hujagusa ajira za afya,kilimo n.k.
Tweet media one
4
14
87
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 month
Lengo la Wenje lilikuwa ni kumshinda TAL katika nafasi ya Umakamu Mwenyekiti.Alitangaza vita siku ya kutia nia ya kugombea.Hii ya Heche @HecheJohn leo ni surprise kwa wengi sidhani kama Wenje alitarajia.Kwa mtazamo wangu hapa Wenje kalikoroga.Hii derby siyo ya kitoto let us wait.
Tweet media one
Tweet media two
85
182
1K
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
1 month
@AdvMatata @sightmirror Hongera sana Wakili Msomi @AdvMatata kwa kazi nzuri iliyotukuka.Hakika wewe ni hazina kubwa sana kwa chama chetu.
0
0
16
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
2 months
@MalemboLE Very sad!! pole sana Lucas kijana mpambanaji.
0
0
0
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
2 months
Agenda kubwa kwa sasa vijiweni na kwenye mitandao ya kijamii ni uchaguzi wa CHADEMA wa mwezi January 2025.Hakuna anayefuatilia wala kutaka kujua hata ziara za Betina.Acha CHADEMA iwafundishe Maccm nini maana ya Demokrasia tofauti na wao wanaotoa fomu moja kama cheti cha kifo.
Tweet media one
22
41
268
@HaongaHon
Pascal Yohana Haonga
2 months
@eastafricatv Huyu Gambo dish limeyumba.
1
0
3