Gregorycn__ Profile Banner
Gregory Charles Ndaki Profile
Gregory Charles Ndaki

@Gregorycn__

Followers
1K
Following
5K
Statuses
6K

The Official account of Gregorycn

Tanzania
Joined September 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
9 hours
@catholicnews1 Congratulations to Fr Monsignor Richard Reidy,Good luck.
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
12 hours
RT @Gregorycn__: @ambwene_ Ijapo majiji yote nayafahamu Ila mie nitajibu hivi Kwa Upande wa Majengo ya Kisasa marefu zaidi na hotel za kita…
0
1
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
17 hours
@Agriculfuture Wow amazing 🤩 hata hivo huenda ikawa AI
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
19 hours
RT @gunsnrosesgirl3: trencher specifically designed for digging narrow trenches in the ground, often used for laying cables https://t.co/…
0
58
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
19 hours
@ambwene_ Ijapo majiji yote nayafahamu Ila mie nitajibu hivi Kwa Upande wa Majengo ya Kisasa marefu zaidi na hotel za kitalii na Kumbi za Mikutano Arusha Inaidhidi Mwanza ,Kwa Upande wa Majengo ya Kisasa na Wingi na Ukubwa au Upana wa mji au Jiji Mwanza inaidhidi Arusha mbali sana .
Tweet media one
3
1
23
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
19 hours
Tweet media one
Tweet media two
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
@McinikaWaLamar @NMBTanzania @VodacomTanzania @ccm_tanzania @TEC_kurasini @EWTNVatican @VaticanNews @wizara_afyatz Upande wa huduma kwa wateja yaani ubora na feedback na kushughulikwa shida yako hawa @Tanescoyetu
1
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
Nikweli Lakini Mpanzu anatakiwa kuongeza Utulivu wa Mpira awapo karibu na Lango la mpinzani yafuatayo yafanyike. 1.Asipige mashuti wakati ana nafasi ya kutoa pasi na kuna mchezaji mwenzake ana nafasi ya kufunga 2.Ajue wakati gani wa kupiga pasi na wakati gani wa Kupiga shuti.
@_CFCMax
𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧
2 days
Ukomavu ni kutambua kuwa Elie Mpanzu ni bora kuliko Pacome Zuozuo [ technically ].
Tweet media one
Tweet media two
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
@ercurryTz Njombe,Manyara,Tanga (Kwa Lushoto)
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
@wizara_afyatz Hongera sana Kwake
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
@MagdalenaJ81011 @ZPlanmaster Magdalena hata Kama ungekuwa wewe mwanaume kweli hapa utaacha?
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
20 hours
Nipo A
@MagdalenaJ81011
Maggie
21 hours
Upo wapi wewe A B
Tweet media one
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
21 hours
Nilikuwa najua Sema jamaa sasa hivi 24 Yrs hivo ni matured kwenye Soka aache hayo mambo.
@Sativa255
SATIVA17
21 hours
“Stop Crying your heart out” Kwa swahili : “USILIE MOYO WAKO UKIUMIA.” Ulikuwa unajua?😁🫵🏾
Tweet media one
0
0
1
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
21 hours
“Wakati Africa Akipatikana Rais au Waziri mkuu au Kiongozi Imara na anasimamia vema Nchi yake na Kwa Uimara , huitwa dikteta. Wakati Mzungu akifanya vivyo hivyo, huitwa kiongozi thabiti na Aftican na wazungu hutaskia Kelele yoyote.Dunia ina mizani yake ya ajabu! Tuamke ”
@swahilitimes
Swahili Times
21 hours
Mkuu wa Ukaguzi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), Paul Martin amefutwa kazi siku moja baada ya ofisi yake kuchapisha ripoti iliyokosoa juhudi za utawala wa Trump za kulifuta shirika hilo. Ofisi yake ilitoa ripoti iliyosema kuwa hatua ya serikali ya Trump ya kusambaratisha USAID imelemaza uwezo wake wa kusimamia misaada ambayo haikutumika yenye thamani ya dola bilioni 8.2.
Tweet media one
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
22 hours
Nina imani Team ya @SimbaSCTanzania wanajua wanachofanya.Sisi mashabiki tupunguze presha, maana hata @KMbappe alipitia wakati mgumu kwenye team yangu @realmadrid @realmadriden ijapo kwa sasa kaanza kujipata mdogomdogo . Mchezaji akipewa muda na sapoti, atarudi kwenye ubora wake.
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
23 hours
@nyuki_malkia Situmii kabisa hapa mafuta yoyote na Lotion nadhani mie natumia mafuta ya wakatekumeni 🙏
1
0
7
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
1 day
@Kweka61327798 @JamiiForums Tusichokijua ni Kwamba Kila Mtu ana Lifestyle yake na Mipango yake.Shida huwa tunataka kulazimisha tunachokiwaza kiwe Jawabu sahihi.Ukweli ni kwamba kuna watu hata awe Rais wa nchi bado anatamani kuendelea hata awe na miaka 100 ,Kuna Watu pia wanaridhika na kustafu mapema wapo.
0
0
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
1 day
RT @vinijr: NOS VEMOS EN MADRID!!! 🤍7️⃣🌪️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
25K
0
@Gregorycn__
Gregory Charles Ndaki
1 day
@ZagyGirl Hao ndo Utopolo wa South Africa
0
0
0