Habari mhe,
@MwanaFA
Mimi ni kijana Mwenye Diploma ya pharmacy ,,Nimemaliza chuo Mwaka Jana mwezi wa 10,,
Kama kijana Mwenye maono nilikua naomba mtaji wa 700,000,Nifungue DLDM,nianze kujitafta
Natanguliza shukrani.
WANANGU REPOSTIN IFIKE MBALI.
Kazi iendelee🇹🇿