Eng. Jubrin Profile Banner
Eng. Jubrin Profile
Eng. Jubrin

@Eng_jubrin

Followers
4,835
Following
1,398
Media
1,205
Statuses
17,546

VISUAL MAN

Zanzibar West, Tanzania
Joined September 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
19 hours
VXR V8 imepaki na iko imara and full tank 🤣
Tweet media one
0
0
3
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@AMAZlNGNATURE Is she survived ?
46
273
3K
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Msafara wa raisi wa Marekani🇺🇸 (USA President convoy) wanatumia Cadillac Escalade na chevrolet wala sio Toyota Land Cruiser V8 new model ? Leo nataka tuizungumzie Cadillac Escalade
Tweet media one
64
151
2K
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Nilitoa tangazo kupotea kwa mshikaji ,Taarifa zilizopo ndugu huyu ni marehemu na alipata ajali maeneo ya kimara. Nashukuru kwa ushirikiano🤝
Tweet media one
291
175
2K
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
🧐Basi tupo na washikaji story za dream car na kuongelea magari jamaa mmoja akaibua swali ni kwanini Ambulence(Tanzania) walichagua iwe Toyota 70 series❓Kuna jamaa mmoja akasema ni sababu ya bei😅😅😅unaijua bei ya hii ndinga wewe? Sasa leo tuiangalie hii mashine ya kazi…
Tweet media one
Tweet media two
69
200
2K
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Huyu jamaa au bro kwanza hakai ofisini🙌 , Inawezekana anayoyafanya tunaona anatafuta kiki✅ Lakini ni ukweli usiopingika wananchi wote wanapenda anachokifanya. Anayoyafanya hakuna kiongozi ngazi ya mkoa anayafanya tumezoea kuwaona wakuu wa mikoa maofisini tu Mtu anakemea maovu
Tweet media one
Tweet media two
174
98
1K
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Ungekua wewe ndiyo mwanaume ungefanya nini?
24
98
892
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@nocontextfooty Most influential person in the street
4
25
706
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@Rhevolver A la mierda la tecnología que la vente está viviendo para impresionar
1
0
455
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Ushawahi sikia hili gari linaitwa SUV ,XUV,TUV na MUV , sasa je hivi ni vitu gani ?🤔 Kwanza ni namna ya kutofautisha gari kulingana na uimara na ufanyaji wa kazi. Shuka na uzi kuelewa izi machine 🚙SUV (Sport Utility Vehicle) Hizi ni anina ya gari zinazoweza kuhimili
Tweet media one
17
55
387
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@CNN Am voting for trump
24
3
358
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
1
6
303
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Ni ukumbusho tu kwa wanaume “Kufanya mapenzi na wanawake wengi kunaua ndoto zako” ✍️
55
36
284
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@Leo_messii_8 But both are the Goats
Tweet media one
8
4
267
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@BarcaWorldwide Lionel Messi loved by all people around the world
Tweet media one
4
13
258
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
🚨🚨🚨 Una movie ? TV inazingua nakuletea mchongo huo kwa ujuzi mdogo sana jionee😳😳
16
96
260
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Kumekucha tunaanzia tulipoishia , Leo tukaanze na Mungu🙏
17
47
250
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
🚟Gari nyingi (station wagon) zina coil spring yani kwenye mfumo wa kusimama wa gari (Suspension system). Tofauti na hii mashine ina Leaf spring yani mfanano na malori 😂🙌 inayoifanya hii gari kuweza kubeba mzigo karibu tani moja na watu walioshiba wasiopungua 8👫
Tweet media one
Tweet media two
5
6
236
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
🚘Mafundi Leo tupige stori kuhusu gari la Mh @TunduALissu 🗣️ Toyota Land Cruiser VX Ni gari iliyobuniniwa na kampuni ya nchini Japan 🇯🇵 iitwayo TOYOTA. Ni gari aina ya SUV yani inauwezo wa kupita barabara zote ,ni gari iliyooundwa kwa matumizi yote yani kazi na starehe.
Tweet media one
7
27
228
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Tweet media one
2
3
214
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Tweet media one
0
1
209
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Ebu weka gari ifananishe na “EX” wako nitakuambia alikua na tabia gani…..😂 Mimi hii hapa : Nikimaanisha alikua pisi,ana msimamo na mvumilivu 🫡
Tweet media one
37
6
212
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Kijapani kama inavyofahamika kwa kina samurai YASUKE samurai wa kwanza mwenye asili ya Afrika🔪🗡️🥋hii gari inaitwa トヨタ・ランドクルーザー, (Toyota Rando-Kurūzā) kwa kawaida tunaiita Landcruiser kampuni hii ya magari miaka zaidi ya 70 walikuja na wazo la kutengeneza gari ya
Tweet media one
Tweet media two
23
16
211
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Katika kidogo tunachokipata basi tukamshukuru Mungu na tukaweke tabasamu kwa kuwapa kidogo wenye uhitaji kama sadaka ili tuendelee kubalikiwa.🤝
17
34
202
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Jummah Kareem Je ukisikia V6, V8 or VX hua inamaanisha nini ? Tupeane vocha mapema majibu yanyooke ,follow me then repost utakula vocha @EngJubel
Tweet media one
15
20
203
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Ushawahi kutana na haya maneno matatu kwenye magari ? 2Wheel Drive(2WD) ,4Wheel Drive(4WD) na All Wheel Drive(AWD) hua unajua yanamaanisha nini kabla ya kununua hiyo gari? Kula maujanja kidogo haya hapa chini 1️⃣ 2Wheel Drive(2WD) Hii inamaanisha nguvu kutoka kwenye gear box
Tweet media one
Tweet media two
13
31
197
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
🛣️Kutokana na kua na mfumo bora sana wa kusimama unaifanya hii gari kuweza kupita kwenye barabara za aina yoyote ile ✅ .Usishangae kuina inabeba watalii
Tweet media one
Tweet media two
3
7
194
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Njoo na ajali ya hii gari ukaonesha watu walipoteza maisha nitakuonesha kiuno cha samaki😄🤝 Volvo XC90 350M<
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
20
187
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
2 months
Maisha magumu sawa lakini hakikisha una demu mkali. 😊
Tweet media one
28
8
180
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
💥Ni gari unayoweza kuiwasha ikiwa hata kwenye muinuko mkali au mteremko mkali bila kupata shida yoyote. Ina tekinolojia inayoweza kuisaidia kuhimili hali zote mbili
Tweet media one
1
8
176
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Basi lazima tujue hii gari ya mondi @diamondplatnumz Cadillac Escalade ni gari yenye nguvu karibu mara mbili ya Land Cruiser V8 (682 horsepower compared to that of V8 326 horsepower) horse power ni kipimo cha ufanyikaji wa kazi kulingana na muda fulani sasa nafikiri mmeelewa
Tweet media one
14
13
174
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tumalize utata 🤝
Tweet media one
Tweet media two
49
16
174
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
🚨Kuna siku bungeni tar 26 march 2021 ,Mh mkuu sana 🫡aliongelea “MASEGA” kitaalamu yanaitwa “CATALYTIC CONVERTER” kwamba kuna baadhi ya vijana wanatumia kama madawa ya kulevya , Je masega ni nini ?
Tweet media one
10
30
169
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Mwanaume zingatia haya✍️👇🏼🧵…..
Tweet media one
20
25
172
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
👮‍♂️👮Pindi zinatoka hizi mashine tufahamu kabisa zilitoka na Inline 4 cylinder engine yani mpangilio wa mstari moja wa silinda na kuiwezesha kuwa ni gari inayochanganya haraka zaidi kuliko gari zenye V8 engine ambazo uchukua muda mrefu kuchanganya ndiyo maana migambo wa kariakoo
Tweet media one
Tweet media two
29
9
169
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Tweet media one
0
18
168
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Kilichompata mtalii alipoteleza na kuingia kwenye maji 🤯 Video kwenye comment😰
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
13
161
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Tumalize utata 🤔 A or B kwanini? ⚙️Mimi B sababu ya uwezo wa kubeba mizigo
Tweet media one
Tweet media two
55
12
161
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Kwanini Land Cruiser ZX inabaki kua gari bora sana ?
Tweet media one
6
4
154
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
“Wakirudi tusisahau namna walivyoondoka” Tuamke tukapambane tena lakini leo tunamtanguliza Mungu. 🤝
Tweet media one
26
34
150
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
4
1
146
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
🚨🚨🚨 HUYU MTOTO AMEPATIKANA MSUMBIJI/MOZAMBIQUE AKIWA NA RAIA WA MALAWI AKIPIGA KELELE NA KUOMBA MSAADA. ANAZUNGUMZA KISWAHILI SAFI KABISA KWA LAFUDHI YA KITANZANIA KABISA MSAADA REPOST YAKO MTOTO AWAPATE WAZAZI WAKE NINATANGULIZA SHUKRANI. 🙏
Tweet media one
8
108
150
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
💥Aerodynamic force (Nguvu zinazokinzana na kitu kinachotembea) Basi hii mashine ikaundwa kwa muonekano wa kuoendeza kwa macho lakini kitaalumu walizingatia kupunguza na kuipa gari uwezo mkubwa wa kuzizidi nguvu izo kiurahisi sana
Tweet media one
Tweet media two
2
5
142
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
⚙️Muonekano wa ndani wa kisasa na viti vikubwa pia nafasi kubwa unayoifanya hii gari kua mashine ya mizigo na inampa abiria mazingira mazuri na kuifurahia Taa zenye nguvu na teknolojia ya juu sana kweza kupambana na mazingira yote yanayoizunguka 💡
Tweet media one
Tweet media two
1
7
140
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@Jentezen Say yes if this child is going to win
Tweet media one
7
5
139
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
@Sirjeff_D Sasa wewe kwa marekani ni nani😂😂😂😂😂😂😂😂
23
1
138
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Kwakua ni TBT weka neno moja kwa hii nyota na taa iliyozimika ghafla 💡🥺
9
19
136
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
4
4
130
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
⛔️Hizi ndizo tabia mbaya za uendeshaji wa gari zinazoweza kuharibu au kupunguza umri wa gari
Tweet media one
7
15
133
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Things men should own 💪 1.Passport
Tweet media one
23
20
120
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@mrfunny____ Guess the country
Tweet media one
3
3
116
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Tweet media one
2
17
114
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
End the debate….👇🏼
Tweet media one
Tweet media two
28
15
110
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Tumalize utata🎥🎬
Tweet media one
Tweet media two
35
7
113
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Hii gari ina nafasi kubwa mistari mitatu Ya kuweza kubeba watu wazima saba 7 na nafasi kubwa ya kubeba mizigo Na tukija upande wa speed Cadillac. Escalade ina kasi kubwa sana kuliko Land Cruiser V8 (322km/h ukifananisha na 209km/h ya Land Cruiser V8) Kiufupi hii ni chuma ya
Tweet media one
18
5
111
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
4
52
100
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
@footbalIfights Overrated player
8
1
100
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Mfano ndiyo tunaelekea mbugani kuna rough road kama 1000km unapita na ipi hapa 😀👇🏼 zote SUV ,4x4 wheel Drive
Tweet media one
Tweet media two
31
15
97
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
@eastafricatv That the fact muheshimiwa ingekua upo karibu ningekupa bia 3 , Hamuwezi mkawa mnapinga ushoga na hamzuii vichochezi vya izo tabia ni ujinga , Hili lifanyiwe kazi kwamba huwezi kuigiza mpaka uvae uhusika wa mwanamke? Au wanawake hawawezi kuigiza? Kataa ushoga kwa vitendo
3
0
96
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Kwenye issue ya kufanikiwa maishani hakuna ujanja ni Mungu anaamua nani ampe kwa wakati gani ,wakati wako upo. Good morning !?
13
23
97
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Chuma nyingine ukiwa na Clown yako au subaru yako au BMW basi ukae pembeni ni hii hapa ,Pili iweke kwenye list ya gari ya ndoto zako Volkswagen Touareg. SUV ikiwa na teknolojia ya juu sana ,top speed 320kph. Body ngumu yenye mchanganyiko wa chuma na aluminium kuifanya kua na
Tweet media one
Tweet media two
13
12
93
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Mshikaji aonekani siku ys 3 una taarifa zake basi dm please kindly repost🙏
Tweet media one
Tweet media two
6
32
92
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
1
2
93
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
@NoPlugMedia Thanks God for everything
Tweet media one
0
5
91
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@Rhevolver ¿Cuál es el principal de todo esto?
10
0
91
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
End Bila kusahau gari hii ina mkonge mweusi watu hua wanajiuliza ni nini😂😂😂😂❓ Wakujibu basi ana 5k chap wapenzi wa mandiga Mwisho bila kusahau hii ndinga sokoni kama kwa mabingwa wa kuuza magari @faharimotors inakwenda kwa tsh 12M 😅 mashine 4WD
26
4
90
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
0
0
88
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Umegundua muda wote ulikua ukikosea kubadili gear?😂😂😂
27
22
86
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
Umeshafikiria kununua gari 🚖? Je ni sifa zipi za kuzingatia unapohitaji kununua gari? Nimekuwekea Gari 10 bora kuzingatia mazingira na gharama 💵⛽️ 1️⃣Toyota RAV4 : Sport Utility Vehicle (SUV) Hii gari imeundwa kuendana na mazingira ya africa na inaweza kustahimili barabara
Tweet media one
10
19
88
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Kwenye utafutaji tunza sana mwili wako, Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya magonjwa na umasikini. Good morning!?
22
34
82
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tuinuane wapwa follow for follow chini ya impression 5M
54
24
83
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Tweet media one
2
3
81
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Hivi unaijua hali ya kuambiwa huwezi kufanya kitu fulani? Na hata kwenye ukoo wenu hakuna aliyewahi kufanya🤔? Hua inauma tena sana kuna muda unaweza ingia kwenye mkumbo ambao hata hukuwahi kufiri siku moja utaingia . Lakini nikuambie kitu ukiweza kuishinda hiyo hali ndipo
Tweet media one
10
21
79
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
2
5
81
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
ALTEZZA ni neno la kiitaliano likiwa na maana ya ubora basi miaka ya 2010+ mabro waliokamata pesa kipindi icho walitusumbua sana kwa kelele kibao na kasi barabarani kwa gari iliyokua na jina hilo🚄
Tweet media one
Tweet media two
10
17
79
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
5 months
@FKihamu Umeandika sahihi sana kaka kuna muda mimi hua najisikia tu kutoa bakhshishi kwa maafande japo hua wanazingua baadhi yao izo ajira wamebeba kama fimbo
1
0
82
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@mrfunny____ God bless all mothers
Tweet media one
0
1
79
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Unaweza ukaona umefika sehemu huoni nafasi yoyote huoni mwanga ukahisi basi huna cha kufanya maishani kumbuka Mungu ana kusudi la kukupa pumzi hiyo. Leo tukapumzike tuombe Mungu tuamke tujaribu tena. Kumbuka mama na baba hawakulea mtoto dhaifu 🙏
Tweet media one
9
13
80
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
1
2
75
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
@FoxNews Free Trump , Am standing with Trump
13
3
72
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Ukimya mwingi wadau wanahoji 🙌😂 Nikikua nina hofu ya kuwaletea hii chuma, kwanza tumalize mapema kama una ndoto ya kumiliki hii chuma achana na ajira au uwe mwizi 🙌. Ni ndinga ya FOREX TRADERS/ wengine wanaita matapeli😂 ,ni ndinga za MABOSI,WANASIASA ,mafuta mwezi IST moja
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
16
71
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
CAR GEEKS wakuu leo kuna mashine izi mbili za kazi tuongelee ipi🔥🔥❓
Tweet media one
Tweet media two
24
11
69
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Msije sema sikuwaambia wanawake wa MBAGALA kuweni nao makini 😄🤝🤝 Suzuki Samurai 1987 , SUV 20M<
Tweet media one
Tweet media two
6
7
68
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
@brfootball Always a legend🐐
Tweet media one
1
3
65
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Itoshe kusema TZ kuna madereva na wataalamu , The show was amaizing🔥🔥🔥🔥
13
20
64
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Ushawahi kuiona hii machine?
Tweet media one
26
6
64
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
4 months
Mnamo tarehe 16/03/202 Raisi wa Urusi mbabe Vladimir Putin alimzawadia raisi wa Korea Kaskazini Mbabe Kim Jong Un zawadi ya gari aina ya Aurus Senat limousine ,Swali linakuja kwanini hili gari 🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
Tweet media two
7
7
65
@Eng_jubrin
Eng. Jubrin
3 months
Siku zote usisahau binadamu hua na wivu kwa yule aliyefanikiwa ,Hakikisha hawajui ukweli kukuhusu wewe hii itakusaidia sana kuepukana na vita zisizo na ulazima.
15
21
61