Ukimya mwingi wadau wanahoji 🙌😂 Nikikua nina hofu ya kuwaletea hii chuma, kwanza tumalize mapema kama una ndoto ya kumiliki hii chuma achana na ajira au uwe mwizi 🙌.
Ni ndinga ya FOREX TRADERS/ wengine wanaita matapeli😂 ,ni ndinga za MABOSI,WANASIASA ,mafuta mwezi IST moja