DIONIZKIPANYA25 Profile Banner
DIONIZ KIPANYA Profile
DIONIZ KIPANYA

@DIONIZKIPANYA25

Followers
7K
Following
4K
Statuses
4K

Kipanya bin Haki

Dare Salam
Joined March 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@bunge_tz Mwambieni Tulia Acksoni, Haki Imeshinda dhulma, Mwabukusi Anagombea Urais TLS.
0
0
0
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@MrRigh_ Ukikua yataacha.
0
0
0
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@Mwabuk2Boniface Mungu akutangulie, Auondoe udhalimu wawa dhalimu, Haki ikasimame, na kukureshea mastahili yako.
0
0
0
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@jjmnyika Hakuna mbadala wakuitetea haki ya Kupiga kura kama sisi wenyewe hatukujiandaa kufanya hivyo, Asante sana mh. Katibu mkuu kulitupia jicho hili kwa umapema huu.
0
1
2
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
Tutapokea mkeka wa tenguzi na uteuaji,Wakati huo Mchengerwa wa Tamisemikaita wakuu wawilaya na viongozi kadhaa wa ccm huko kibaha,Tenguzi hizo mojawapo ni ya Waziri wa Fedha Nchemba,Nia yao nikututoa kwenye reli ya kufatilia Uovu wao huko Kibaha dhidi ya Uchaguzi ujao wa November
Tweet media one
4
12
54
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
and the government,their media lost attraction and they saw it okay,that is Kenya there,they will kill you ma friend, Be Careful,.Give the people freedom in your country,listen your people what he need,your leader is greeter than all leader in East Afrca . My God protect you.
0
0
3
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@kavishePb Niko tayari
0
0
0
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
Si vibaya tukaamshana, Bila G'tz Mambo ni magumu, Madai. Ugumu wa Maisha. Ajira kwa vijana Afya kwa wote Utawala Bora Haki Uhuru Kuondoa matumizi ya Anasa kwa serikali. Haya yote na mengine mengi, Yapigiwe kelele, bila kuhusisha itikadi za vyama vya siasa, tuendelee kuamshana..
Tweet media one
Tweet media two
2
9
32
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@kavishePb @ParokoJm Baada ya Kenya na Uganda , Sasa ni TZ, Lazima watawala wajue Ajira, Elimu, Afya, miundo mbinu, na Maendeleo ya watu, nijukumu lao la kwanza, Niko tayari kwa maslahi mapana ya Taifa langu
1
8
44
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
Je? Huoni hizo ni Dalili moja wapo za wizi wa uchaguzi huo? Huoni vyama vya siasa nchini vinanyimwa haki ya kujiandaa kwa wakati?Huoni wananchi hawatajua kanuni za uchaguzi huo? Wewe na wizara yako ya Tamisemi wote Mko Kimya,Kwanini Tusiwafikirie Mnapanga kuiba Uchaguzi huo?? 🤔
1
0
3
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
Tukimaliza hoja ya Nape na makamba, tutaingia kwenye hoja ya simba na yanga, Tukimaliza hoja ya simba na yanga uchaguzi ushaibwa unabaki utekelezaji tu,. Nawasihi Tusikubali kuingizwa kwenye hii mikenge, Tunaibiwa
0
0
3
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@EduTalkTz Nitampa Tundu lissu, taifa linahitaji uongozi unaozingatia sheria na utawala bora kwa sasa, maana kupitia sheria na utawala bora kila kitu kitakaa katika njia yake. Kuliko hovisasa mambo ni pararaparara tu, kila mtu anafanya lake bila bugdha yoyote.
0
2
28
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@ExMayorUbungo Hahahah watalima hapo Manzese Darajani, hahahahah
0
0
5
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@ExMayorUbungo Hahaha mi ni mvivu wa kusoma maandiko marefu ila hili nimesoma loteee! Hahahaha umetisha mwamba
0
0
2
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
Rukwa imeonja radha ya kuongoza Serikali kwa Nyakati hizi,Kumbuka Unakua Tunu ya Watu wa Rukwa,Nakusihi sana kutunza Uadilifu na Tamaduni halisi ya mtoto wa kifipa,Licha ya utofauti wa itikadi yangu na yako,jua umebeba dhamana ya vijana wote wa Rukwa,Sasa Unakua Dira yetu,Hongera
Tweet media one
0
0
13
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@MussaMartin14 Kunampango mkubwa sana hapa ujaujua tu
1
0
0
@DIONIZKIPANYA25
DIONIZ KIPANYA
7 months
@Ntobi_ Hatuna mtu apa
0
0
0