Nakumbuka First year nilienda kuomba Field Clouds nikaacha barua ile natoka nikamuona Gadner,nikamvamia bro sorry shikamoo blablaaa nisaidie nipate field, kaniambia Clouds Ngumu lkn Nenda Times FM kutana na Tambwe LilyOmmy mwambie mimi nimekutuma akusade Upate nafasi ya field.
htaa sikujua kam Gadner angetumia busara kma ile ili nipate nafasi pale Times, Lily Ommy kaniambia tulisitisha kupokea wanafunzi hapa, lkn Nakupa nafasi kwakua uncle wako ni Zaidi ya rafiki chamsingi ufanye kazi usimuangushe. RIP GADNER!
Halafu pigo za kusema mnatoka mitaan kwenu huko mnakuja kunyanduliana kweny lodge za mtaan kwetu Mkome, Kila MTU mtaani kwake kuna lodge tumieni hizo!😂😂
Nikamuaomba anatumie number za Lily Ommy, nikavuta waya📞kumbe mwana alikua ndani na kanifuata chap pale nje na gate pass kaniambia nina taarifa yako Gadner kaniambia mtoto wa dada yke nikusaidie Field,
Then siku inayofuata mapema sna nikafika Times kwa wakati ule utaratibu wao ulikua ukifika getini lazima mwenyeji wako akufuate na gate pass, nikaongea na mlinzi lkn kanitolea nje kaniambia lily Ommy hajafika kazini bado na unatakiwa uweke Appointment siku 3 kabla
Nikamwambia mlinzi siondoki namsubiria hapa hapa nikakaa sna lakini nikaona Muda unaenda na Mchana umefika, ikanibidi nimpigie simu Gadner nimuambie Kila kitu, Bro akasema Wewe Nimeaongea na Lily Ommy anakusubiria kwenye Ofisi yake Kuanzia asubuhi mwambie mlinzi apige simu
Zile pisi zilizoletwa dar kwaajili kusoma zinazulula hizo mchana, Kama mimbwa Koko, ila zile pisi zenyew za dar born here, here, Mchana zinalala, zinapumzika na zinatoka kwa appointment maalumu😂😂🙌
Mungu alivyo na maguvu yake, Simba anaenda kufuzu Cairo, Yanga anafungwa kwa Madiba, Mashabiki tunaenda kuwapokea simba kwa mbwembwe, waziri wa michezo anakuja kuipokea simba simba tunamfukuza hatutaki Shobo😂😂
Sisi Tupoo kijijini Mwaka Mzima Tunalisha Mbuzi 🐐Na Ngombe🐂 Wewe Upo Mjini Mwaka Mzima Unalisha Madem Chips Kuku, Desember Unakuja Kijijini Unataka Tuchinje Mbuzi 🦙Hilo Halitawezekana Kila Mtu Achinje Alicho Lisha😂😂
Tujitahidi kuficha maumivu yetu na changamoto tunazopitia wakati wa utafutaji wetu ili tusiwakatishe tamaa wanao tutegemea, wewe ni muhimili wao Jikaze!📌
Sema wanangu wa vibanda umiza, muda wa kufanya marekebisho ndo huu ongeza feni,Nunua TV kubwa uwe na standby generator Ongeza na mabenchi, Ligi zinaanza wanetu msituangushe 😂😂
Si Kila Manzi unaye msaidia lazima umuombe number, sometime Saidia pisi Kalii then sepa achana nayo, usionyeshe interest yeyote kwakwe, huo ndio U gentleman bro😂😂😂
Unatukana watu mitandaoni kisa tu una followers wengi, kumbe ww ni jobless Unapata Mchongo wa kazi siku ya interview uliyemtukana Ndo (HR) wako :Ishi na watu vizuri.🤣
Mchungaji si Leo kahubiri wanaume mnastress hamtoi sadaka, tena ukute anashabikia Simba na kule Ulaya anashabikia Man U ndo kabisa furaha zao hazidumu!! Nikainuka nikaondoka church Kwan kuna ubaya🤣🤣
"Kuna Watu Ukiwa Karibu Nao
Automatically MUNGU Anakaa Mbali Na Wewe,
Na
Kuna Watu Ukikaa Mbali Nao
Automatically Na MUNGU
Anakaa Karibu Na Wewe
Good Morning TL Family!