CxtenoJr🇹🇿 Profile Banner
CxtenoJr🇹🇿 Profile
CxtenoJr🇹🇿

@CxtenoJR

Followers
2,413
Following
1,885
Media
270
Statuses
24,957

Humble Man|| DigitalI

Joined April 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
Nakumbuka First year nilienda kuomba Field Clouds nikaacha barua ile natoka nikamuona Gadner,nikamvamia bro sorry shikamoo blablaaa nisaidie nipate field, kaniambia Clouds Ngumu lkn Nenda Times FM kutana na Tambwe LilyOmmy mwambie mimi nimekutuma akusade Upate nafasi ya field.
Tweet media one
94
182
4K
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Wangoni washamba Sana ..ETI WALIHAMA JOHANNESBURG.A.KUSINI...NA KUHAMIA Songea.😂😂
66
69
716
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kuna kale kausingizi hujaga baada ya round ya pili haki mtakuja kufa Uchi jmn 😂😂😂
52
44
667
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
htaa sikujua kam Gadner angetumia busara kma ile ili nipate nafasi pale Times, Lily Ommy kaniambia tulisitisha kupokea wanafunzi hapa, lkn Nakupa nafasi kwakua uncle wako ni Zaidi ya rafiki chamsingi ufanye kazi usimuangushe. RIP GADNER!
9
12
583
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Halafu pigo za kusema mnatoka mitaan kwenu huko mnakuja kunyanduliana kweny lodge za mtaan kwetu Mkome, Kila MTU mtaani kwake kuna lodge tumieni hizo!😂😂
35
37
442
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
Nikamuaomba anatumie number za Lily Ommy, nikavuta waya📞kumbe mwana alikua ndani na kanifuata chap pale nje na gate pass kaniambia nina taarifa yako Gadner kaniambia mtoto wa dada yke nikusaidie Field,
2
6
339
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
Then siku inayofuata mapema sna nikafika Times kwa wakati ule utaratibu wao ulikua ukifika getini lazima mwenyeji wako akufuate na gate pass, nikaongea na mlinzi lkn kanitolea nje kaniambia lily Ommy hajafika kazini bado na unatakiwa uweke Appointment siku 3 kabla
3
7
331
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
Nikamwambia mlinzi siondoki namsubiria hapa hapa nikakaa sna lakini nikaona Muda unaenda na Mchana umefika, ikanibidi nimpigie simu Gadner nimuambie Kila kitu, Bro akasema Wewe Nimeaongea na Lily Ommy anakusubiria kwenye Ofisi yake Kuanzia asubuhi mwambie mlinzi apige simu
2
7
321
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Siku hizi Hawa wakike hawakojoi hata nyeti ukazipiga ngumi,wanangoja utamaliza saa ngapi uwape Hela wasepe 😂😂😂
16
25
225
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kombe Mbona Kama blender ya kusagia juice 😂😂😂
Tweet media one
35
19
219
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ndugu zetu kenya tunaomba tubadilishane Tuwape Nikki wapili sisi mtupe Raila Omolo Odinga.😂😂
16
34
215
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
3 months
Tulifika Airport na tukaonyesha nguvu ya Umma ni vile tu wamebadilisha Muda wa Ndege kuwasili🛬
Tweet media one
2
11
192
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ladies alipo weka yote 🍆 ndani ulisema nn kimoyo moyo 😂😂
7
11
155
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Amkeni, kwanini mnalala wakati hamjui siku Wala saa atakapo Rudi mwana wa Adamu?🤣🤣
8
20
144
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
ONYO: Kombe la dunia 2022 si mahsusi kwa shughuli za kubet! Ahsante😂😂
18
18
146
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Upendo ni ahadi ya kuwa mkarimu hata mambo yanapokua magumu, unamtanguliza Mungu na kutumia busara kufanya Maamuzi!
6
20
132
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Pisi Kali zote zinapenda kula ubuyu, ila hizi Ng'ombe zingine zinapenda kula Koni!😂😂 Elewa twit kwaza!
12
14
129
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hivi Hawa Watoto Waliozaliwa Miaka ya 2000 Hela Wanazitoa Wapi?.... 😢
19
18
128
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Mimi nikae siti karibu naww halafu uchezee simu nisichungulie unachoandika labda siyo mimi🤣🤣
7
30
122
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Birthday za wapenda Ngono sasa zimefika, September, October, November and December 🤣🤣
11
26
125
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ni nani anakupigia simu Kila kuhakikisha kama umeamka Poa?! au Akikupenda Mungu😂 inatosha! Good Morning TL Family!
11
28
120
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hivi hapa Tanzania kuna ukoo ambao ndugu wa damu hawana ugomvi? 😂😂
16
15
120
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Zile pisi zilizoletwa dar kwaajili kusoma zinazulula hizo mchana, Kama mimbwa Koko, ila zile pisi zenyew za dar born here, here, Mchana zinalala, zinapumzika na zinatoka kwa appointment maalumu😂😂🙌
7
14
109
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
6 months
Mungu alivyo na maguvu yake, Simba anaenda kufuzu Cairo, Yanga anafungwa kwa Madiba, Mashabiki tunaenda kuwapokea simba kwa mbwembwe, waziri wa michezo anakuja kuipokea simba simba tunamfukuza hatutaki Shobo😂😂
Tweet media one
27
13
120
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Nyiye wanawake, Urefu wa mwanaume unawasaidia Nini? na sisi wanaume wafupi tutaoa akina nani Acheni kutunyanyapaa sie special group🤣🤣
12
24
110
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Amka Uende Jumuiya🤣
5
17
110
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kumbe kuhesabiwa unapewa hela na hamsemi!😒😒
6
27
101
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tunaweza pigania mkate wetu bila kutajana nani Apate, nani Asipate. GM!!
6
21
101
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
3 months
Ki Hali ya hewa kina ruhusu kumpokea mwanetu SATIVA kuna jua kiasi wala hakuna mvua!
Tweet media one
1
9
111
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Twitter wajuaji! Ukipanda kwenye Treni utaskia kata tiketi yako kwa TT ilikuepuka usumbufu, hivi kirefu cha neno TT ni Nini!?
16
23
97
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kama hauna uhakika wakuachiwa urithi wako amka katafute ugali wako #GoodMorning !
18
32
100
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hivi karani wa sensa ataruhusiwa pia kula Ugali endapo utamuitia hiyo Siku?😂😂
7
25
92
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tunapotafuta Fursa tusiwe selective sana, kuna wakati ujumbe mzuri unaweza kufungiwa kwenye bahasha iliyochakaa.📌
7
24
88
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Leo matokeo ni mawili tu Man U Amfunge liver AU Liverpool afungwe na Man U 😂😂
14
20
86
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
"Tunafanikiwa kwasababu watu wanao tupa Nguvu na kutufariji pale tunapo vunjika moyo siyo Ndugu zetu."
7
23
86
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Siku Moja Rudi kweny nyumba ile uliyopanga ghetto zamani ukawasalimie si kwa ubaya 😂😂
4
14
91
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tafuta Hela Mwanao akikuudhi umwambie "go upstairs to your room" 😂😂
5
9
88
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hujarogwa Wala Nini ni vile tu huna Tako, halafu unaomba sana hela!. ndomana kakuacha.
11
18
81
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Usiseme wanajiona tafuta hela kuwa busy na maisha yako halafu Utaona tu.
5
25
83
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Lodge za mtaani kwetu zote zimejaa, hivi kwanini Kila MTU asitumie lodge za mtaani kwao, na majina waliyo Andikisha yote ya Mchongo 😂😂
8
11
85
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Si umeona Mchungaji wako Leo hajakuhubiria kuhusu pombe, nenda kanywe pombe siyo dhambi wewe.
6
13
79
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kama hauna uhakika wakuachiwa urithi wako amka katafute ugali wako !Good Morning Watu wa Mungu!
9
26
76
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kama Roho yako ndogo subiri kuajiriwa tu,, maana biashara Ina tuvituvitu twa hovyo sna 😂😂 ! Good Morning TL Family
6
12
72
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Nikitangaza naacha pombe mnaniroga nakunywa tena 😒 sa hizi naacha kimya kimya. 😂 😂
5
16
77
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
@Meshaccky Nilishampa maua yake Mara nyingi sna baada ya hapo tulikutana ktk Events tofaut nikamshukuru sna ikiwemo kwenye msiba wa Ruge
0
0
78
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Sasa inchi inaongozwa na nani? Ikulu yupo nani 😂😂
Tweet media one
21
10
68
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
1 year
@wisdomjaykwa Mwamba kutoka kusini huko nachingwea kule utapata elimu yake na jinsi alivyoingia huko kwa uchache wanamjua wamakonde wenzie
1
0
71
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kila hatua Mungu huandaa watu Wa Kukusadia ili utimize kusudi aliloweka ndani yako. Usimwache MUNGU, Good Morning!
10
18
69
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
kale ka kauli ka kusema "Mimi marafiki zangu wengi ni wanaume hawa hakike wambea sis wanawake hatupendani" Bro jua Ushapigwa Acha hiyo Manzi fasta😂😂
11
17
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Siku moja utakutana na mtu ambaye amechoka Kuumizwa kama wewe, na uaminifu wake utafanana na wako!
1
15
67
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ni Nani!? unatamani uone Picha ya sura yake hta kwa sekunde tu! huku Twitter then afute!? Mtag Wenda akakutumia hata DM!😂😂
9
13
59
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Sisi Tupoo kijijini Mwaka Mzima Tunalisha Mbuzi 🐐Na Ngombe🐂 Wewe Upo Mjini Mwaka Mzima Unalisha Madem Chips Kuku, Desember Unakuja Kijijini Unataka Tuchinje Mbuzi 🦙Hilo Halitawezekana Kila Mtu Achinje Alicho Lisha😂😂
10
11
65
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Yakikushinda LIA!! 😭
4
14
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tujitahidi kuficha maumivu yetu na changamoto tunazopitia wakati wa utafutaji wetu ili tusiwakatishe tamaa wanao tutegemea, wewe ni muhimili wao Jikaze!📌
5
18
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ili heshima yako isishuke jifunze kuwa msiri wa shida zako.🤐
6
20
61
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Vipi kesho unaenda kanisani au ndo inategemea na utakavyoamka!🤣🤣
2
6
61
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Babe Leo, kuna Derby simba na yanga, then kuna Final Uefa, tafadhali unielewe kuna time kubwa yakunipa nisipo pokea simu yako nieleweke tu!❤️⚽
3
7
59
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tumwagilia macho, wew siyo gaidi, pesa ukose Leo hata macho usimwagilie. 😂 😂
Tweet media one
7
10
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Naye akatabiri mambo mema ya team yake, lakin wayaudi walimpinga,na baada ya utabiri kutimia wakasema hakika yule ni mwana wa Mungu 😂😂
Tweet media one
7
29
62
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Afadhali nimeachwa Mwanzoni kabisa mwa Kombe la Dunia, Tena kabla ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya.😂😂
9
12
59
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Good morning, Amka umeze p2 sasa, Mwendo umeumaliza tayari 😂😂
7
14
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hata Kama umeokoka ndo ule Ugali na Damu ya Yesu!😂 😂
5
11
58
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
@Msamalia24 Sna bro na nilikua sina undugu naye
4
0
62
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Maisha Magumu kwangu hapa hata Mungu akisema nitoe afutatu niingie Mbinguni me nabaki😂😂
4
13
57
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Wakati wa exams ulituomba tukuombee haya matokeo yametoka unatuficha, Ng'ombe ww maombi yetu hayaendi Bure leta number tuchek feedback ya maombi.😂
6
19
58
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kwenye Long-distance relationship siku zote MTU mwenye makosa ni yule aliyepo Dar, hasa ukiishi sinza au Tabata🤣🤣
1
15
56
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Duniani kuna watu hawatakuheshimu mpaka utakapofanikiwa kuna baadhi ya heshima zinaletwa na mafanikio na sio ubinadamu wako!
1
18
52
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
kuwa makini na( urafiki) na (unafiki) vinatofautiana herufi moja tu!
3
19
54
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kuna siku ntafumba macho wao wataona ninazingua ila ndo itakua imeisha, Duniani tunapita Tuishi kwa upendo!
3
20
52
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
1 year
@iddynonga_ Sasa hapo anawaumiza vipi, mimi ni simba but bro ww ni mchambuz kiazi. sasa hapo yanga wanaumiaje?
12
1
60
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
5 months
@BobKabeyaTZ Haya kwake ni marudio nishamshukuru 100 times, Leo nimejiskia kuuishi wema wake.
1
0
59
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Sema wanangu wa vibanda umiza, muda wa kufanya marekebisho ndo huu ongeza feni,Nunua TV kubwa uwe na standby generator Ongeza na mabenchi, Ligi zinaanza wanetu msituangushe 😂😂
3
13
53
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Kichwa kina vitu vingi sio kama sikupendi..Nimeikuta meseji yake Asubuh hii kaandika hivyo 😭
9
19
52
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Mashabiki wa Man U sasa tupo tayari Kuhesabiwa wewe Jee? 😂
4
10
54
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hakuna kitu kinachoweza kurudi na kuwa kama zamani, Iweke akilini sentensi hii kabla hauja kipoteza kitu kizuri unacho Miliki Sasa.
4
17
51
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa Jumapili Njema!
2
15
49
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Si Kila Manzi unaye msaidia lazima umuombe number, sometime Saidia pisi Kalii then sepa achana nayo, usionyeshe interest yeyote kwakwe, huo ndio U gentleman bro😂😂😂
8
17
47
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Unatukana watu mitandaoni kisa tu una followers wengi, kumbe ww ni jobless Unapata Mchongo wa kazi siku ya interview uliyemtukana Ndo (HR) wako :Ishi na watu vizuri.🤣
7
13
42
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Tufanye tutavyofanya lakini tusimsahau Mungu. Good morning!
4
15
52
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Mchungaji si Leo kahubiri wanaume mnastress hamtoi sadaka, tena ukute anashabikia Simba na kule Ulaya anashabikia Man U ndo kabisa furaha zao hazidumu!! Nikainuka nikaondoka church Kwan kuna ubaya🤣🤣
0
13
48
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Punguzeni Filter tunataka Kuoa. 😂
4
12
49
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Mungu hakukuumba Mzuri ili uje kuwa Malaya, Njaa zako zinapelekea kutokutambua kusudi la Mungu kukuleta Duniani.
2
10
45
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
"Samehe, sahau Kisha songa mbele hatua zako Maishani zinahitaji amani zaidi kuliko chuki unayo ihifadhi" Jumapili Njema Kwako!
4
14
50
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Mahusiano ya sikuhiz hayan content kbsa yamejaa tu kusema, yes, hya bhan, Niko poa, umeshindaje, nawe pia yaan Rubbish kbsaa🚮
3
14
48
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
"Kuna Watu Ukiwa Karibu Nao Automatically MUNGU Anakaa Mbali Na Wewe, Na Kuna Watu Ukikaa Mbali Nao Automatically Na MUNGU Anakaa Karibu Na Wewe Good Morning TL Family!
3
17
47
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Weekend hii Toka OUT na wewe usikae Ndani Kama Zulia..!🤣
8
16
42
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
1 year
Mashabiki wa Man U tumeshaamka tayari na tunawasilimu kwa jina la jamhuri wa Tanzania vipi Table inasomaje huko!?
Tweet media one
2
5
49
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Good Morning wanawake wembamba!
6
14
42
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Head Master anawasalimia Wazaz wote, lakini anawakumbusha kumaliza Ada kabla mtoto hajakanyaga eneo la Shule!😂
Tweet media one
4
9
48
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Chelsea wakimchukua Magure msimu huu wanabeba EPL kwa uchezaj huu Magure wetu atakua Halaand kwao 😂😂
4
16
46
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Saivi mamipira pira yote yamekwisha tutumie mbinu gani? nyingine tukachepuke itakayo wafany mababe zetu, wasiwe na wasiwasi kama tulivyokuwa tukiwapanga tunaenda kuchek mechi.😂😂
3
7
46
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Oyaa nani yupo free tukaibe simu pale lupaso leo!😂😂
5
8
46
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Ukimpenda akikukataa, mpende Rafiki yake.!
6
9
44
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
10 months
MAMA: "Acha kula msibani"🫰 Msibani sasa:👇👇😊
Tweet media one
6
4
46
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
#DearNyerere Vijana wako sikuizi tunapenda Nyeto na kubet, kula chakula mchana imekua Kama Anasa.
5
14
39
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Psalms 34:4 Nalimtafuta BWANA akanijibu, Akaniponya na hofu zangu zote. Good Morning Family!
1
17
43
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Me Sina hisia zozote za mapenz kwasasa, wewe ni mwanaume mzuri unaweza pata mdada yeyote usijali,me nakuchukulia kma brother wangu tu..hii kauli tunaipokeaga kwa Uchungu sna😂
9
9
39
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Fahari ya Nyumbani, hya kwenu mnajivunia Nini?
Tweet media one
9
7
38
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
hivi Umegundua watu wamepungua sana Dar ndoman kuna baridi sana, hatubanani kariakoo, hakuna foleni, wamikoani wamerudi makwao🤣🤣
2
8
41
@CxtenoJR
CxtenoJr🇹🇿
2 years
Hakikisha unachoringia kinadumu milele, tofauti na hapo ishi na watu vizuri. utanishukuru baadae!
1
4
39