![CHADEMA Jimbo la Hai Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1878075319803932672/gqX9p6eK_x96.jpg)
CHADEMA Jimbo la Hai
@ChademaHai
Followers
11K
Following
8K
Statuses
6K
Official Account For Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Hai Constituency. #HaiKwenyeRamani #SeraZaChadema
Kilimanjaro, Tanzania
Joined April 2020
Kwa masikitiko makubwa, #CHADEMAHai tunatoa salamu za pole kwa familia, ndugu, viongozi na wanachama wote kufuatia msiba mzito wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Mkoa wa Manyara Mhe. Derick Magoma, aliyefariki dunia asubuhi ya leo 09/02/2025 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
0
4
17
RT @ChademaTz: Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Mhe. @HecheJohn atapokelewa nyumbani Tarime, Mkoa wa Mara baada ya kuchaguliwa Januari 21,…
0
49
0
RT @ChademaTz: Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. @TunduALissu atapokelewa nyumbani Ikungi, Mkoa wa Singida baada ya kuchaguliwa Januari 21,…
0
70
0
RT @ChademaHai: Hii ndio misingi ya CHADEMA ambayo Kila mwanachama anatakiwa kuishika. #SeraZaChadema
0
57
0
RT @ChademaTz: Wenyeviti wa Kanda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa Chama baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoke…
0
81
0
RT @ChademaTz: Viongozi wa Mabaraza ya Chama (Bavicha, Bawacha na Bazecha) wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa Chama baada y…
0
70
0
RT @ChademaTz: Matukio katika picha kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #Stronge…
0
67
0
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #StrongerTogether
0
6
25
RT @KumbushoDawson: What a moment!!! Nimepata fursa ya kukutana na Mwenyekiti wa awamu ya tatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADE…
0
42
0
RT @WisemanNtele: "Wananchi wana njaa, kwasababu ya uongozi mbovu wa ccm unaopora mali za Nchi na nyingine kugawia wageni… Kila kona wizi…
0
9
0
#StrongerTogether
#NoReformsNoElection Leo tarehe 30 Januari 2025 Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu amekutana na viongozi wa Bawacha kutoka Kanda ya Pwani Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam.
0
8
31
RT @ChademaTz: Leo tarehe 30 Januari 2025 Mwenyekiti wa Chama Taifa Wakili @TunduALissu ataongoza jopo la Mawakili wa upande wa utetezi kum…
0
58
0
"Kiporo tulichonacho ni kumshitaki Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi CP Awadhi Juma Haji kwa matukio ya kupigwa na kuumizwa kwa viongozi Mbeya, niutaarifu tu umma tayari kesi ile imekwisha andaliwa bado tu kuingizwa mahakamani" @jjmnyika
1
7
17
"Kuna wizi wa kutisha kwenye nchi hii, katika hatua zinazofuata tutafumua mambo yanayotendeka." Mhe. @HecheJohn
#StrongerTogether
0
7
27
Jeshi la Polisi limepaki gari nje ya lango la Makao Makuu ya Chama. Waandishi wa Habari wanaofika kwenye press conference ya Katibu Mkuu Mhe. @jjmnyika wanafukuzwa na Jeshi la Polisi. Press hiyo ilipangwa kufanyika leo saa tano Asubuhi #StrongerTogether
0
7
20
Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar Es salaam. Hii ni muda mchache kabla ya kuanza kwa press conference ya Katibu Mkuu wa Chama, saa tano asubuhi. #StrongerTogether
0
12
28